MZEE WEWE GENIUS KAMA RAIS WETU DR. MAGUFULI.....BIG UP💪
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Mmmmmhh!! Unamdhalilisha mzee huyu mbunifu kwa kumfananisha na asiyekuwa na ubunifu
@ramadhaniallyjustyyui87hiy283 жыл бұрын
Re h. Ikk
@denisjonathan49194 жыл бұрын
Tanzania ya viwanda hiyoooo drs la 7 hoyeeeeeeee
@newbornhaule16354 жыл бұрын
Mzee naiona Master's kichwani mwako unaakili kuliko vyeti big up....vyeti vimefungia hazina kubwa.... Wasomi mjitahidi kuiga wenzetu wajerumani walitumia ujuzi wao kumuinua sisi tunafeli wapi?
@shadowmedia76444 жыл бұрын
Kama unakubali kuwa elimu ya darasa la 7 ya mwaka 1976 ni sawa na masters ya sasa gonga like millard ayo bro big up msalimie vido vidox mwambie shadow anakusalimu
@nahodahassan69384 жыл бұрын
Millard Ayo...upo vizuri sana
@mechanicaldesignbrain4 жыл бұрын
Mtafutaji hachoki Big Up Ayo you re fighting to reach you're destiny 👏👏👏
@agesag.m24764 жыл бұрын
This great, I really like this idea, how I wish Tz Gvt should engage him and start a Technical institute in this compound.
@youngrappertz17354 жыл бұрын
kama unaamini watu wazamani walikuwa na akili sana #Gonga like hapa...😀😀
@fahadfaraj12634 жыл бұрын
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
@fahadfaraj12634 жыл бұрын
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Heko mzee wetu. Mungu akusimamie katika zako.
@salummwanjali32074 жыл бұрын
Darasa la saba hao wakati wengine wanawaona hamna kitu mungu ndiyo mjuzi
@user-vy6st5ki2v4 ай бұрын
Wanaoungana na mimi kumukubsli huyu mzee mnipe mnipe.like zangu
@neemalkiswaga61264 жыл бұрын
Wanjombe tujuane hapa😍
@nehemiahmtitu33854 жыл бұрын
neema lkiswaga tunajuana
@neemalkiswaga61264 жыл бұрын
@@nehemiahmtitu3385 inapendeza cn 😍👏 kaka
@nikkinayso92754 жыл бұрын
Bigap
@deodathamkongwa35714 жыл бұрын
neema lkiswaga woyooooooo
@lilianmsigwa59404 жыл бұрын
mambo vp
@Emmanuel_Singu4 жыл бұрын
Hongera sana mzee wangu, naomba serikali ikuwezeshe zaidi
@zakyahya46454 жыл бұрын
Millard Ayo kazi zako mzuri sana
@happymsaki17204 жыл бұрын
Hongra sana Baba uko vzr Mungu akutunze na akulinde na vijana wakuige
@jaypili78374 жыл бұрын
ingekuwa inchi zilizo endelea huyu mzee angekua millionaire mkubwa sana lkn Africa
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Nchi za wapi acheni kukariri
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
WALIO ENDA CHUO SASA ATA KUPIKA CHAPATI YA MAJI HAWAJUI HAHAHAHAHAHAHA
@Sabrina-rg7tu4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
@@Sabrina-rg7tu huhuhuhu tena na wew ndo wale wale
@micamathew64334 жыл бұрын
Hahahahahhaaaaaaaa
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Duuu iyonikari
@alishehehamad81294 жыл бұрын
Umetisha kwa coment yako.
@denisjonathan49194 жыл бұрын
Huyu mzee anastahili tuzo kubwa sana hapa nchini na zaidi ya hapo support inahitajika sana
@annambezi62262 жыл бұрын
Ahsante mnoo ayo Tv
@lovenessrichard14734 жыл бұрын
Tunaoelewa maana ya nyengo gonga like 😂😂
@pendomakeula83334 жыл бұрын
😂🤣🤣
@jovintosssi32874 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shamimuabubakari35084 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@olivakilyenyi48904 жыл бұрын
Love upo hadi huku..
@credo78374 жыл бұрын
😂😂😂
@nicholausnchimbi15994 жыл бұрын
HONGERA SANA AYO KWA KUWAFUATA WABUNIFU NA WATU WENYEJUHUDI MBALIMBALI WALIPO NJOMBE INA WENGI SANA AINA YA PWAGU WATAFUTE PIA,NI IMANI YANGU MNAMSAIDIA SANA RAIS KUPATAWATU WATAKAO IFIKISHA PAZURI SERIKALI YA VIWANDA,NARUDIA KUKUPONGEZA AYO NA TVYAKO
@user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын
"hakika Rais huyu atutufikisha pazuri" Ni kweli kabisa
@geofreyexaut58624 жыл бұрын
Kweli pwagu sio shida pwaguzi ndo anazinguaga siku zote
@matswelomphela9727 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@goodluckmasige52764 жыл бұрын
changamoto hiyo kwa wasomi na wataalam wetu walolalia taaluma zao.
@salumsamesame17413 жыл бұрын
Huyo mzee uongeaji wake tu kwa kweli ni mtu mwenye AKILI za kutosha sana sana
@MachembaMedia4 жыл бұрын
@millard ayo Tafadhari unaweza nipatia mawasiliano ya huyo mzee.
@ElishaTz-fs2oe2 ай бұрын
😢😢😢alishafaliki
@kalebumkandi64394 жыл бұрын
Kama unaamini Tanzania inaongoza kwa vipaji gonga like
@akwanzamtenga21744 жыл бұрын
Kipaji kama vile Mwalimu alifananisha na urefu au ufupi wa mtu vitaezabiwa?😚😚😚
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Na huu ndo uanaume lazima ukaze moyo utafika sehem nzuri
Hongera sana Baba!!! Elimu siyo njia pekee ya Mafanikio.
@konde24ful4 жыл бұрын
Wasomi wadogo wadogo warikuwa faida kwajamii kama sku zote kwani wao wanatambua uwepo wa mungu katika kazi zao. lakini wa vyuo leo niwakuzarisha shida na usumbufu kwa jamii, nakusababisha magonjwa ya kisaikorojia (psychology) kuongezeka. Hawana rorote wana tafuta maisha kiurahisi rahisi ndomana wawo nikupigania viwanja vya politic na uongozi. watu kama hao niwale akishika ungozi frani au madaraka kirakitu uwe na kibari frani iri uunde au ufanye, hawa mara nyingi hugeuka majambazi wa siri. nakuuza wana nchi kwa vikundi vya majambazi, kinacho fuata unapotowa ripoti ya wezi frani sku ifuatayo umesha safirishwa na kuitwa malehemu. Ee Mungu bariki kazi ya mikono ya watu wako na viongozi waelewa.
@dluena4 жыл бұрын
Very inspiring
@Kionambali74 жыл бұрын
Hii inaonyesha ni namna gani mfumo wa elimu wa Tanzania umefeli kabisa kutukomboa.......haumuwezeshi mtu kujitegemea zaidi ya kuwaza kuajiriwa wakati wenye elimu kidogo ndiyo wanaofanya mambo zaidi ya mategemeo, mfumo una urasimu mwingi sana. KUJUA KUSOMA na KUANDIKA TU VYATOSHA vingine ni mbwembwe na kupoteza muda!!!
@xmathematics_4 жыл бұрын
Wasomi wa siku hzi mnachoweza ni kuomba LiKe tu.....😀😀
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Yani ni shida saana
@xmathematics_4 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 sana mtanzania mwenzangu
@jovintosssi32874 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-he4fl7md2z4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@eliasmwambeta64534 жыл бұрын
Mzee ww unadhihirisha kipaji chako na wale wenye elimu ya umeme ya juu waje kwako wajifunze zaidi maana kila siku wanasema kuongeza elimu si bora wangekuja kwako wapate ujuz zaidi
@manumaelectricalworks18504 жыл бұрын
Hao ni darasa la saba la zamani,hongera sana mzee wetu.
@mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын
Hongera baba yangu umejitahdi sn
@salumusalumu81653 жыл бұрын
Mzeeee upo vizuriii. Wangapi wana Mkubali mzeee uyu
@annestamwinuka2 жыл бұрын
This is the gift from God
@neemalkiswaga61264 жыл бұрын
Hongera cn mzee wetu
@kingandreemmanuel79084 жыл бұрын
Very imresive niliatka pia ckufiaa malengoo natamn tenaa......
@wilsonmoses27614 жыл бұрын
Wewe jamaa uko wapi siku hz Masumbwe au wapi
@nsuriitv24684 жыл бұрын
Huyo jamaa anamzidi yule mwenye degree 4.
@benjaminfataki68984 жыл бұрын
mzee una akila mali yani inatakiwa kuwalinda sana watu kama hawa.
@edenihighness86913 жыл бұрын
Asanteni nimeipenda hii
@captenndunga61994 жыл бұрын
Wanasema njia nyepesi ya kumuua muafrica KIFIKRA weka historia kwenye vitabu waafrica hatupendi kujisomea vitabu. Na kwa hilo makaburu wamefaulu ndo mana wanaichafua BANGI huku mataifa yao wanahalalisha ila ukweli wa bangi uko kwenye VITABU. Hatuzungumzii kwa kuvuta mana ukiizungumzia GANJA watu wanakuona umepotea lakini kumbe tumefungwa mawazo na watu wa dunia ya kwanza.
@happymsaki17204 жыл бұрын
Vijana hawataki kutuliza vichwa vyao na kuona au kudadavua ndoto zao muda wote wanachati
@celebratingunited40644 жыл бұрын
jaman
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Safi sana Mzee Ni kweli Magufuli alikuwa kiongozi wa kuigwa
@jenipherkavusha16613 жыл бұрын
Hongera zake baba
@barick4 жыл бұрын
Huyo anaitwa pwagu ni fundi miaka mingi sana
@barick4 жыл бұрын
@@hairesellasie1667 kweli
@annambezi62262 жыл бұрын
Jamani huyu engineer wa muhimu sana happa tz. Apanue miundombinu yake zaidi. Serikali iliangalie hili kwa jicho pana zaidi
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Ukikaa vibaya Tanesco watakutumia malimbikizo ya bili ya umeme😂😂😂
@lukasanga94834 жыл бұрын
hyo ni kubwa sana aisee...asant bro millardayo kwa habar za nguvu
@ramsixymwenga23524 жыл бұрын
noma San mzee genius
@mohammedabdallah63904 жыл бұрын
Ayo waambie hao wadhamin wako Azania waambie unga wa ngano PPF huku zanzibar watuleee umehadimika sana
@alfredtesha30633 жыл бұрын
Noma
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Honger
@bwirechrispus30923 жыл бұрын
Good brain
@kwisa48993 жыл бұрын
👍
@khamisijuma48424 жыл бұрын
Hongera
@mwanamutemi4 жыл бұрын
kwa kua uzalishaji wa umeme unapofikia KW 100 ndipo utafuatwa na TANESCO lakufanya ni kuzalisha KW 98 ili usibabaishwe na TANESCO kisha upate SAFETY CERTIFICATE uendelee kusambazia vijiji na wananchi wa karibu na kwako kwa urahisi kabisa.
@josephjoseph8982 Жыл бұрын
Daa mzee kiboko
@kimitochacha44264 жыл бұрын
Hawa wajerumani mungu awabariki sana hawalipwi akini fraha yao kuona mtu akifanikiwa sasa tanzania Hahaha hata kama madarakani hawataki kutoka wanawezaje kuthamini wengine mhhh
@athumankamote61484 жыл бұрын
Technology inahtajika sana katika maisha yetu ilituweze kufanya comption na mataifa kiuchumi by Athumani Kamote moshi njoro
@zimboj52784 жыл бұрын
Siku nikienda njombe lazima nifike
@starmsictv16494 жыл бұрын
Mm nipo njombe ntkupeleka
@zimboj52784 жыл бұрын
Ntashukuru kaka
@tunkuh6613 жыл бұрын
🔥🔥🔥🤝
@omaribakari53684 жыл бұрын
Nakubaliii
@onegivetoboy45762 жыл бұрын
Nice
@micamathew64334 жыл бұрын
Kujituma ni mtaji.
@harounali90574 жыл бұрын
Nime ipenda
@bobleeswagger81664 жыл бұрын
Tulishafika hapo kwa huyo mzee mwaka 2011 tukiwa kidato cha sita NJOMBE BOYS SECONDARY SCHOOL kufanya project. tuli enjoy sana kwa huyo mzee na alitupitisha kwenye kila sehemu yake aliyopitishia mitambo yake. Alituambia pia huwa analipia hayo maji kwa maji japokuwa ni natural resources
@deograsiasngailo48714 жыл бұрын
Ayo hua nakuelewa sana! Huyo mzee ni dhahabu
@ernestmwanalinze26123 жыл бұрын
Tanzania tunavipaji vikubwa sana lakini taifa limeshindwa kuwatumia....utasikia oooh wee umesoma chuo gani.Tuna maporopesa hawajui kitu wapo tu ukiwambia wamefanya nini hakuna hata kitu chakukumbukwa kwa taifa
@zefamange72814 жыл бұрын
Safi sana mirad
@obedmlule58634 жыл бұрын
Nilifika kwa huyo mzee Njombe mji mwema
@PavicMindPro3 жыл бұрын
Well
@eliakipampu82354 жыл бұрын
Kweli
@josephlukata26164 жыл бұрын
Naweza kupata connection nahuyo mzee plz
@leoniamguma9734 жыл бұрын
Mzee nimekupenda bure
@juliusmpasa6344 жыл бұрын
Gd
@awadhirashidi35312 жыл бұрын
Tunaomba mwendelezo wa huyu Mzee tangu kumalizika kwa mahojiano haya
@hassamfariis51514 жыл бұрын
Watu wanakuja nawasaidia sana wananowa mapanga yao..mkoani njombe
@user-zb9sq2ov5z9 ай бұрын
Safi mzee😅
@phantyrhymes95362 жыл бұрын
Gifted father
@fredrickbochela65094 жыл бұрын
Nimeikubal hiyo hongera sn mzee
@kimitochacha44264 жыл бұрын
Serikali baada ya kuwapa mazingira mazuri watu kama hawa wanajua kuiba kura swala sio kuwaita ikulu inatakiwa kuwanadlia mazingira mazuri hata kumwanadalia shule afundishe wengi kama kila mwaka atatoa wahitimia mia ndani ya miaka 30 tanzania hatutakuwa na shida ya umeme
@bakariabdallah48834 жыл бұрын
ongela mzee
@MOtownTV.4 жыл бұрын
MILLARD AFRAEL AYO NAJIFUNZA VINGI SANA KUTOKA KWAKO BOSS MW.MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU KAKA ANGU NAPATA NGUVU SANA YAKUINUKA KILA NINAPO ANGUKA NIKIKUTAZAMA
@joveticndekyo83743 жыл бұрын
2po pamoja sana
@Josung089 ай бұрын
kashapumzka kwa aman sas mzee wetu
@pesangwasalim52583 жыл бұрын
Wazee kama hawa serikali ingekua inawapa jimbo zima lisambaze umeme wao,nina uhakika tungekua na umeme tunakaa hata miaka mia bila umeme kukatika kisha tanesco wao wangepewa nafasi umeme wao wausambaze viwandani tu
@saidmbanga28674 жыл бұрын
Saf sana.
@jakobosundew3634 жыл бұрын
Duuu, nimemkubari huyu Mzee, mzee huyu ni genus!
@deonicemollel42054 жыл бұрын
Huo ndo ubunifu mzri sio vijana jioni unamuwaza Aisha na usharobaro na huna hata mia mfukoni bushit
@stellakidenya14043 жыл бұрын
Watuletee kilosa morogoro vijijini tunashida ya umeme ayo tunanitaka huyu babu akiyamungu tuna wiki moja tunalala giza
@hamisimgugu63973 жыл бұрын
Nakazia. Hakuna ulazima wa tanesco kutumia gharama kubwa sana kusambaza umeme kila sehem, wakati kuna maeneo ambayo kuna vyanzo vya nishati. Kwa iyo kila rasilimali nishati zilizopo ktk maeneo tofauti tofaut zitumike ili kupunguza gharama za kusafirisha umeme kutoka kwenye vyanzo vichache vilivyopo Tanzania. Big up mzee wewe ni engineer
@sidetiamoszillieno8083 жыл бұрын
Sawasawa
@ammaherman3391 Жыл бұрын
Aisee Mzee huyu ni zaidi ya maprofesa wetu wenye vyeti! Angekua USA huyu angepewa heshima yake anayostahili. Sio hawa wasomi wa TZ wakuzalisha shida badala ya kutatua mattzo kwa jamii.
@smartismine11273 жыл бұрын
Pwagu nakufahamu tangu ujana wako unapamba kuhusu umeme mm nilikuwa bafu bite hangafilo hongera
@nyamtigaibrahim5303 жыл бұрын
Namuona Mama ananyonga Mtambo ovaa anaipaisha Bombardier QA 3572. Na vijana tupo tupo tu kama jiwe la Msingi tu onaa huyu Mzee kaishia Elimu ya Ugoko Lakini ovaa kapiga PHD.
@suzanmgaya43234 жыл бұрын
Bug millard Ayo kweli mfatilia vitu vaukweli
@kuryaboytv34264 жыл бұрын
Watu wa zamani walikua na Akili sana
@anwarykilunga56943 жыл бұрын
Atimae Mzee Pwagu tumempata,Sasa yeye ndo atasema Pwaguzi yupo wapi????