MZEE ALIEJITENGENEZEA UMEME NJOMBE, KASAMBAZA KWA MAJIRANI, ELFU 5 KWA MWEZI, KAISHIA LA 7

  Рет қаралды 186,771

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 213
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 4 жыл бұрын
MZEE WEWE GENIUS KAMA RAIS WETU DR. MAGUFULI.....BIG UP💪
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 жыл бұрын
Mmmmmhh!! Unamdhalilisha mzee huyu mbunifu kwa kumfananisha na asiyekuwa na ubunifu
@ramadhaniallyjustyyui87hiy28
@ramadhaniallyjustyyui87hiy28 3 жыл бұрын
Re h. Ikk
@denisjonathan4919
@denisjonathan4919 4 жыл бұрын
Tanzania ya viwanda hiyoooo drs la 7 hoyeeeeeeee
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 4 жыл бұрын
Mzee naiona Master's kichwani mwako unaakili kuliko vyeti big up....vyeti vimefungia hazina kubwa.... Wasomi mjitahidi kuiga wenzetu wajerumani walitumia ujuzi wao kumuinua sisi tunafeli wapi?
@shadowmedia7644
@shadowmedia7644 4 жыл бұрын
Kama unakubali kuwa elimu ya darasa la 7 ya mwaka 1976 ni sawa na masters ya sasa gonga like millard ayo bro big up msalimie vido vidox mwambie shadow anakusalimu
@nahodahassan6938
@nahodahassan6938 4 жыл бұрын
Millard Ayo...upo vizuri sana
@mechanicaldesignbrain
@mechanicaldesignbrain 4 жыл бұрын
Mtafutaji hachoki Big Up Ayo you re fighting to reach you're destiny 👏👏👏
@agesag.m2476
@agesag.m2476 4 жыл бұрын
This great, I really like this idea, how I wish Tz Gvt should engage him and start a Technical institute in this compound.
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 4 жыл бұрын
kama unaamini watu wazamani walikuwa na akili sana #Gonga like hapa...😀😀
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 4 жыл бұрын
Heko mzee wetu. Mungu akusimamie katika zako.
@salummwanjali3207
@salummwanjali3207 4 жыл бұрын
Darasa la saba hao wakati wengine wanawaona hamna kitu mungu ndiyo mjuzi
@user-vy6st5ki2v
@user-vy6st5ki2v 4 ай бұрын
Wanaoungana na mimi kumukubsli huyu mzee mnipe mnipe.like zangu
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 4 жыл бұрын
Wanjombe tujuane hapa😍
@nehemiahmtitu3385
@nehemiahmtitu3385 4 жыл бұрын
neema lkiswaga tunajuana
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 4 жыл бұрын
@@nehemiahmtitu3385 inapendeza cn 😍👏 kaka
@nikkinayso9275
@nikkinayso9275 4 жыл бұрын
Bigap
@deodathamkongwa3571
@deodathamkongwa3571 4 жыл бұрын
neema lkiswaga woyooooooo
@lilianmsigwa5940
@lilianmsigwa5940 4 жыл бұрын
mambo vp
@Emmanuel_Singu
@Emmanuel_Singu 4 жыл бұрын
Hongera sana mzee wangu, naomba serikali ikuwezeshe zaidi
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
Millard Ayo kazi zako mzuri sana
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
Hongra sana Baba uko vzr Mungu akutunze na akulinde na vijana wakuige
@jaypili7837
@jaypili7837 4 жыл бұрын
ingekuwa inchi zilizo endelea huyu mzee angekua millionaire mkubwa sana lkn Africa
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Nchi za wapi acheni kukariri
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 4 жыл бұрын
WALIO ENDA CHUO SASA ATA KUPIKA CHAPATI YA MAJI HAWAJUI HAHAHAHAHAHAHA
@Sabrina-rg7tu
@Sabrina-rg7tu 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 4 жыл бұрын
@@Sabrina-rg7tu huhuhuhu tena na wew ndo wale wale
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Hahahahahhaaaaaaaa
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
Duuu iyonikari
@alishehehamad8129
@alishehehamad8129 4 жыл бұрын
Umetisha kwa coment yako.
@denisjonathan4919
@denisjonathan4919 4 жыл бұрын
Huyu mzee anastahili tuzo kubwa sana hapa nchini na zaidi ya hapo support inahitajika sana
@annambezi6226
@annambezi6226 2 жыл бұрын
Ahsante mnoo ayo Tv
@lovenessrichard1473
@lovenessrichard1473 4 жыл бұрын
Tunaoelewa maana ya nyengo gonga like 😂😂
@pendomakeula8333
@pendomakeula8333 4 жыл бұрын
😂🤣🤣
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shamimuabubakari3508
@shamimuabubakari3508 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@olivakilyenyi4890
@olivakilyenyi4890 4 жыл бұрын
Love upo hadi huku..
@credo7837
@credo7837 4 жыл бұрын
😂😂😂
@nicholausnchimbi1599
@nicholausnchimbi1599 4 жыл бұрын
HONGERA SANA AYO KWA KUWAFUATA WABUNIFU NA WATU WENYEJUHUDI MBALIMBALI WALIPO NJOMBE INA WENGI SANA AINA YA PWAGU WATAFUTE PIA,NI IMANI YANGU MNAMSAIDIA SANA RAIS KUPATAWATU WATAKAO IFIKISHA PAZURI SERIKALI YA VIWANDA,NARUDIA KUKUPONGEZA AYO NA TVYAKO
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 4 жыл бұрын
"hakika Rais huyu atutufikisha pazuri" Ni kweli kabisa
@geofreyexaut5862
@geofreyexaut5862 4 жыл бұрын
Kweli pwagu sio shida pwaguzi ndo anazinguaga siku zote
@matswelomphela972
@matswelomphela972 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@goodluckmasige5276
@goodluckmasige5276 4 жыл бұрын
changamoto hiyo kwa wasomi na wataalam wetu walolalia taaluma zao.
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 3 жыл бұрын
Huyo mzee uongeaji wake tu kwa kweli ni mtu mwenye AKILI za kutosha sana sana
@MachembaMedia
@MachembaMedia 4 жыл бұрын
@millard ayo Tafadhari unaweza nipatia mawasiliano ya huyo mzee.
@ElishaTz-fs2oe
@ElishaTz-fs2oe 2 ай бұрын
😢😢😢alishafaliki
@kalebumkandi6439
@kalebumkandi6439 4 жыл бұрын
Kama unaamini Tanzania inaongoza kwa vipaji gonga like
@akwanzamtenga2174
@akwanzamtenga2174 4 жыл бұрын
Kipaji kama vile Mwalimu alifananisha na urefu au ufupi wa mtu vitaezabiwa?😚😚😚
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 4 жыл бұрын
Na huu ndo uanaume lazima ukaze moyo utafika sehem nzuri
@Afritextvkviewshoursago
@Afritextvkviewshoursago 3 жыл бұрын
Mzee ongela saana ukukwetu rwanda hatunawaze kamawewe ongerasaana
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 4 жыл бұрын
Hongera sana Baba!!! Elimu siyo njia pekee ya Mafanikio.
@konde24ful
@konde24ful 4 жыл бұрын
Wasomi wadogo wadogo warikuwa faida kwajamii kama sku zote kwani wao wanatambua uwepo wa mungu katika kazi zao. lakini wa vyuo leo niwakuzarisha shida na usumbufu kwa jamii, nakusababisha magonjwa ya kisaikorojia (psychology) kuongezeka. Hawana rorote wana tafuta maisha kiurahisi rahisi ndomana wawo nikupigania viwanja vya politic na uongozi. watu kama hao niwale akishika ungozi frani au madaraka kirakitu uwe na kibari frani iri uunde au ufanye, hawa mara nyingi hugeuka majambazi wa siri. nakuuza wana nchi kwa vikundi vya majambazi, kinacho fuata unapotowa ripoti ya wezi frani sku ifuatayo umesha safirishwa na kuitwa malehemu. Ee Mungu bariki kazi ya mikono ya watu wako na viongozi waelewa.
@dluena
@dluena 4 жыл бұрын
Very inspiring
@Kionambali7
@Kionambali7 4 жыл бұрын
Hii inaonyesha ni namna gani mfumo wa elimu wa Tanzania umefeli kabisa kutukomboa.......haumuwezeshi mtu kujitegemea zaidi ya kuwaza kuajiriwa wakati wenye elimu kidogo ndiyo wanaofanya mambo zaidi ya mategemeo, mfumo una urasimu mwingi sana. KUJUA KUSOMA na KUANDIKA TU VYATOSHA vingine ni mbwembwe na kupoteza muda!!!
@xmathematics_
@xmathematics_ 4 жыл бұрын
Wasomi wa siku hzi mnachoweza ni kuomba LiKe tu.....😀😀
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
Yani ni shida saana
@xmathematics_
@xmathematics_ 4 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 sana mtanzania mwenzangu
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-he4fl7md2z
@user-he4fl7md2z 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@eliasmwambeta6453
@eliasmwambeta6453 4 жыл бұрын
Mzee ww unadhihirisha kipaji chako na wale wenye elimu ya umeme ya juu waje kwako wajifunze zaidi maana kila siku wanasema kuongeza elimu si bora wangekuja kwako wapate ujuz zaidi
@manumaelectricalworks1850
@manumaelectricalworks1850 4 жыл бұрын
Hao ni darasa la saba la zamani,hongera sana mzee wetu.
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 жыл бұрын
Hongera baba yangu umejitahdi sn
@salumusalumu8165
@salumusalumu8165 3 жыл бұрын
Mzeeee upo vizuriii. Wangapi wana Mkubali mzeee uyu
@annestamwinuka
@annestamwinuka 2 жыл бұрын
This is the gift from God
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 4 жыл бұрын
Hongera cn mzee wetu
@kingandreemmanuel7908
@kingandreemmanuel7908 4 жыл бұрын
Very imresive niliatka pia ckufiaa malengoo natamn tenaa......
@wilsonmoses2761
@wilsonmoses2761 4 жыл бұрын
Wewe jamaa uko wapi siku hz Masumbwe au wapi
@nsuriitv2468
@nsuriitv2468 4 жыл бұрын
Huyo jamaa anamzidi yule mwenye degree 4.
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 4 жыл бұрын
mzee una akila mali yani inatakiwa kuwalinda sana watu kama hawa.
@edenihighness8691
@edenihighness8691 3 жыл бұрын
Asanteni nimeipenda hii
@captenndunga6199
@captenndunga6199 4 жыл бұрын
Wanasema njia nyepesi ya kumuua muafrica KIFIKRA weka historia kwenye vitabu waafrica hatupendi kujisomea vitabu. Na kwa hilo makaburu wamefaulu ndo mana wanaichafua BANGI huku mataifa yao wanahalalisha ila ukweli wa bangi uko kwenye VITABU. Hatuzungumzii kwa kuvuta mana ukiizungumzia GANJA watu wanakuona umepotea lakini kumbe tumefungwa mawazo na watu wa dunia ya kwanza.
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
Vijana hawataki kutuliza vichwa vyao na kuona au kudadavua ndoto zao muda wote wanachati
@celebratingunited4064
@celebratingunited4064 4 жыл бұрын
jaman
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Safi sana Mzee Ni kweli Magufuli alikuwa kiongozi wa kuigwa
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 3 жыл бұрын
Hongera zake baba
@barick
@barick 4 жыл бұрын
Huyo anaitwa pwagu ni fundi miaka mingi sana
@barick
@barick 4 жыл бұрын
@@hairesellasie1667 kweli
@annambezi6226
@annambezi6226 2 жыл бұрын
Jamani huyu engineer wa muhimu sana happa tz. Apanue miundombinu yake zaidi. Serikali iliangalie hili kwa jicho pana zaidi
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 жыл бұрын
Ukikaa vibaya Tanesco watakutumia malimbikizo ya bili ya umeme😂😂😂
@lukasanga9483
@lukasanga9483 4 жыл бұрын
hyo ni kubwa sana aisee...asant bro millardayo kwa habar za nguvu
@ramsixymwenga2352
@ramsixymwenga2352 4 жыл бұрын
noma San mzee genius
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 4 жыл бұрын
Ayo waambie hao wadhamin wako Azania waambie unga wa ngano PPF huku zanzibar watuleee umehadimika sana
@alfredtesha3063
@alfredtesha3063 3 жыл бұрын
Noma
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Honger
@bwirechrispus3092
@bwirechrispus3092 3 жыл бұрын
Good brain
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
👍
@khamisijuma4842
@khamisijuma4842 4 жыл бұрын
Hongera
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 жыл бұрын
kwa kua uzalishaji wa umeme unapofikia KW 100 ndipo utafuatwa na TANESCO lakufanya ni kuzalisha KW 98 ili usibabaishwe na TANESCO kisha upate SAFETY CERTIFICATE uendelee kusambazia vijiji na wananchi wa karibu na kwako kwa urahisi kabisa.
@josephjoseph8982
@josephjoseph8982 Жыл бұрын
Daa mzee kiboko
@kimitochacha4426
@kimitochacha4426 4 жыл бұрын
Hawa wajerumani mungu awabariki sana hawalipwi akini fraha yao kuona mtu akifanikiwa sasa tanzania Hahaha hata kama madarakani hawataki kutoka wanawezaje kuthamini wengine mhhh
@athumankamote6148
@athumankamote6148 4 жыл бұрын
Technology inahtajika sana katika maisha yetu ilituweze kufanya comption na mataifa kiuchumi by Athumani Kamote moshi njoro
@zimboj5278
@zimboj5278 4 жыл бұрын
Siku nikienda njombe lazima nifike
@starmsictv1649
@starmsictv1649 4 жыл бұрын
Mm nipo njombe ntkupeleka
@zimboj5278
@zimboj5278 4 жыл бұрын
Ntashukuru kaka
@tunkuh661
@tunkuh661 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🤝
@omaribakari5368
@omaribakari5368 4 жыл бұрын
Nakubaliii
@onegivetoboy4576
@onegivetoboy4576 2 жыл бұрын
Nice
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Kujituma ni mtaji.
@harounali9057
@harounali9057 4 жыл бұрын
Nime ipenda
@bobleeswagger8166
@bobleeswagger8166 4 жыл бұрын
Tulishafika hapo kwa huyo mzee mwaka 2011 tukiwa kidato cha sita NJOMBE BOYS SECONDARY SCHOOL kufanya project. tuli enjoy sana kwa huyo mzee na alitupitisha kwenye kila sehemu yake aliyopitishia mitambo yake. Alituambia pia huwa analipia hayo maji kwa maji japokuwa ni natural resources
@deograsiasngailo4871
@deograsiasngailo4871 4 жыл бұрын
Ayo hua nakuelewa sana! Huyo mzee ni dhahabu
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 3 жыл бұрын
Tanzania tunavipaji vikubwa sana lakini taifa limeshindwa kuwatumia....utasikia oooh wee umesoma chuo gani.Tuna maporopesa hawajui kitu wapo tu ukiwambia wamefanya nini hakuna hata kitu chakukumbukwa kwa taifa
@zefamange7281
@zefamange7281 4 жыл бұрын
Safi sana mirad
@obedmlule5863
@obedmlule5863 4 жыл бұрын
Nilifika kwa huyo mzee Njombe mji mwema
@PavicMindPro
@PavicMindPro 3 жыл бұрын
Well
@eliakipampu8235
@eliakipampu8235 4 жыл бұрын
Kweli
@josephlukata2616
@josephlukata2616 4 жыл бұрын
Naweza kupata connection nahuyo mzee plz
@leoniamguma973
@leoniamguma973 4 жыл бұрын
Mzee nimekupenda bure
@juliusmpasa634
@juliusmpasa634 4 жыл бұрын
Gd
@awadhirashidi3531
@awadhirashidi3531 2 жыл бұрын
Tunaomba mwendelezo wa huyu Mzee tangu kumalizika kwa mahojiano haya
@hassamfariis5151
@hassamfariis5151 4 жыл бұрын
Watu wanakuja nawasaidia sana wananowa mapanga yao..mkoani njombe
@user-zb9sq2ov5z
@user-zb9sq2ov5z 9 ай бұрын
Safi mzee😅
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 2 жыл бұрын
Gifted father
@fredrickbochela6509
@fredrickbochela6509 4 жыл бұрын
Nimeikubal hiyo hongera sn mzee
@kimitochacha4426
@kimitochacha4426 4 жыл бұрын
Serikali baada ya kuwapa mazingira mazuri watu kama hawa wanajua kuiba kura swala sio kuwaita ikulu inatakiwa kuwanadlia mazingira mazuri hata kumwanadalia shule afundishe wengi kama kila mwaka atatoa wahitimia mia ndani ya miaka 30 tanzania hatutakuwa na shida ya umeme
@bakariabdallah4883
@bakariabdallah4883 4 жыл бұрын
ongela mzee
@MOtownTV.
@MOtownTV. 4 жыл бұрын
MILLARD AFRAEL AYO NAJIFUNZA VINGI SANA KUTOKA KWAKO BOSS MW.MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU KAKA ANGU NAPATA NGUVU SANA YAKUINUKA KILA NINAPO ANGUKA NIKIKUTAZAMA
@joveticndekyo8374
@joveticndekyo8374 3 жыл бұрын
2po pamoja sana
@Josung08
@Josung08 9 ай бұрын
kashapumzka kwa aman sas mzee wetu
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 3 жыл бұрын
Wazee kama hawa serikali ingekua inawapa jimbo zima lisambaze umeme wao,nina uhakika tungekua na umeme tunakaa hata miaka mia bila umeme kukatika kisha tanesco wao wangepewa nafasi umeme wao wausambaze viwandani tu
@saidmbanga2867
@saidmbanga2867 4 жыл бұрын
Saf sana.
@jakobosundew363
@jakobosundew363 4 жыл бұрын
Duuu, nimemkubari huyu Mzee, mzee huyu ni genus!
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 4 жыл бұрын
Huo ndo ubunifu mzri sio vijana jioni unamuwaza Aisha na usharobaro na huna hata mia mfukoni bushit
@stellakidenya1404
@stellakidenya1404 3 жыл бұрын
Watuletee kilosa morogoro vijijini tunashida ya umeme ayo tunanitaka huyu babu akiyamungu tuna wiki moja tunalala giza
@hamisimgugu6397
@hamisimgugu6397 3 жыл бұрын
Nakazia. Hakuna ulazima wa tanesco kutumia gharama kubwa sana kusambaza umeme kila sehem, wakati kuna maeneo ambayo kuna vyanzo vya nishati. Kwa iyo kila rasilimali nishati zilizopo ktk maeneo tofauti tofaut zitumike ili kupunguza gharama za kusafirisha umeme kutoka kwenye vyanzo vichache vilivyopo Tanzania. Big up mzee wewe ni engineer
@sidetiamoszillieno808
@sidetiamoszillieno808 3 жыл бұрын
Sawasawa
@ammaherman3391
@ammaherman3391 Жыл бұрын
Aisee Mzee huyu ni zaidi ya maprofesa wetu wenye vyeti! Angekua USA huyu angepewa heshima yake anayostahili. Sio hawa wasomi wa TZ wakuzalisha shida badala ya kutatua mattzo kwa jamii.
@smartismine1127
@smartismine1127 3 жыл бұрын
Pwagu nakufahamu tangu ujana wako unapamba kuhusu umeme mm nilikuwa bafu bite hangafilo hongera
@nyamtigaibrahim530
@nyamtigaibrahim530 3 жыл бұрын
Namuona Mama ananyonga Mtambo ovaa anaipaisha Bombardier QA 3572. Na vijana tupo tupo tu kama jiwe la Msingi tu onaa huyu Mzee kaishia Elimu ya Ugoko Lakini ovaa kapiga PHD.
@suzanmgaya4323
@suzanmgaya4323 4 жыл бұрын
Bug millard Ayo kweli mfatilia vitu vaukweli
@kuryaboytv3426
@kuryaboytv3426 4 жыл бұрын
Watu wa zamani walikua na Akili sana
@anwarykilunga5694
@anwarykilunga5694 3 жыл бұрын
Atimae Mzee Pwagu tumempata,Sasa yeye ndo atasema Pwaguzi yupo wapi????
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 101 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 48 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 30 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
NYUMBA NITU INGIINGIA BILA WENYEJI UNAKUWA KICHAA
11:49
SOPHY TOURS TV
Рет қаралды 2,7 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 11 М.
MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
18:47
Millard Ayo
Рет қаралды 594 М.
MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKEMEA UNAFIKI KWENYE DINI YA KIKRISTO
14:43
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 101 МЛН