Рет қаралды 17,196
Baridi imebadili utaratibu wa maisha, ndivyo unavyoweza kusema ukizungumzia maisha ya wakazi wa Mkoa wa Njombe baada ya mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa yenye baridi na kuwafanya wananchi wake kubadili utaratibu wao wa kila siku, lengo likiwa ni kujisitiri na baridi hiyo kama anavyoeleza Emmaniel Kalemba.
#AzamTVUpdates #BaridiNjombe #Njombe