SHEKH S NGUSURA +255762 664094 / +255716447727 TUPO BUGURUNI MALAPA MTAA WA GULAM NYUMBA NAMBA 19 KARIBUNI SAANA
Пікірлер: 205
@bintkijangwa43053 жыл бұрын
Maa sha Allah Shukran sana sheikh wetu hakika hii ni tiba mujarrab ngoja tufanyie kazi tutakuletea majibu
@ZainabuMwambashi Жыл бұрын
Shehe Allha akulinde tunakupenda kwaajili ya Allh❤❤❤❤❤❤
@amadirispa83823 жыл бұрын
Asante sana mahalim nauliza unaeza tumia kalamu gani nyeusi ama nyekundu. Napia nauliza nakama uko namchawi anae tumia majini anazi tuma kwamboma ama anazituma kwamtu moja kwa boma unaeza fanyaje kwa sababu sisi tuko na mwenye ana tumia majini kutumaliza sisi kama vile AME mua baba namama wote wame kufa sahizi hatuna mzazi
@juliusimbusi27103 жыл бұрын
Walai Shekhe Mola Akuongezee maisha Ili unusuru waja wake,,,!!! Baraka tele,,,,lkni pia Ningeomba kujua njia yakuwakomesha wezi nawadokozi sababu pia wanatutesa Sanaa! Asante Shekhe!!
Asante unayo yaongea yanakuta kunamyu kaniahidi sto zaa sito fanya biashala yoyote nanikweli yananikuta nimefungu mgahawa kwakweli hata mtu kupita ningumu kuzaa imekua ningumu kila ninalo lifanya haliwi mauzauza ndani nimechoka nimelia sana
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Walahi shehe kweli.kabisa wanawake wengi wanateseka Allah akuongoze sana shehe
@Zahrazahra-ue7bp2 жыл бұрын
Kunawengine wanasema uyo anaendekeza sana ushirikina ajawakuta👍👍💯💯
@aishashauri1232 жыл бұрын
Shukran sana, Allah akulipe kila la heri na akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha zidi ya watu wabaya
@mcanacamosses77873 жыл бұрын
M/mungu akubariki sana mjawake,na upo peke yako kwa hakika, una moyo wakipekee sana,M/mungu akujaaliye maisha marefu yenye heri na baraka tele. Nakupenda sana wemja, moyo wako niwakipekee sana.
@emiliennemurerwa3908 Жыл бұрын
Nami nimo katika wanaokufuata shukran chekh wangu
@jumaali91702 жыл бұрын
Dah asante sana nilichelewa sana kustuka wallah shekh asante sana kwa hii dawa maana baba yetu wa kambo anatutesa mwanga mkubwa kila dawa anazijuwa ukifanya katuwekea mpka mdudu ndani y nyumba ili atuadhibu sie na mama yetu sasa ajiandae hery aondoke ili tuwe. n amani Asante shekh Mungu akulipe khery na akupe ulinzi wewe pamoja n sie
@reemareemo2698 Жыл бұрын
Huyu baba kama kweli ana fundisha kutoka moyoni walakhi MwenyeziMungu aendelee kumuweka duniani jamani tu muombee kwamema❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
@petronillamnyambi76072 жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki tueleze baba hao watu hawataki maendeleo
@mohamedkeduali67663 жыл бұрын
Shukrani Sana ustathi tuwaombea sana wewe na ahli zako endelea na dararasa tufaidike kila kukicha kwani faida ni nyingi mola akubariki "
@mariamuharubu65775 ай бұрын
Ostazi tupe vitu muhimu Baba Allah akupe maisha marefu Sana
@bitaetenge87043 жыл бұрын
Hiyikiboko mwalimu Mungu akuongezee yalipotoka haya azidishe mengine mengi. Je yalema tone yawimo tutaheneza pande zote.
@phylliswachira28503 жыл бұрын
Asante kwa mawaidha ya faida, wachawi wamehangaisha watu wasio na hatia.
@fatumamunicmunic49063 жыл бұрын
Shukran nita kutafut shee unipe msaad nakupenda kwaajili ya Allah
@salummakame50862 жыл бұрын
A.alaikum Vp baad ya kumtafut mmb yamekaaj
@joliea29563 жыл бұрын
Mashalla mwenyezi Mungu akubariki,hakika nimefurai sana nimeteswa mnoo
@TheFire_Gamer2 жыл бұрын
Ikiwa alie fanya uchawi ni jini unaweza kufa kwa dawa hio ya tojo la mgomba?
@salummakame50862 жыл бұрын
Habar vp hii tiba umefany
@lazaroalfan87032 жыл бұрын
Shukran sana kwa darsa hili nzuri sana
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Shukran sana mungu akuweke akuzidishie elimu na baraka nyngi ktk maisha yako ya dunia na akhera
@zaidkillo56623 жыл бұрын
Ahsante Shekh,mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wa darsa zako. Jazaakallahu khaira.
@veronikaromward1903 жыл бұрын
Asant mwalim
@fernandocharles70872 жыл бұрын
Mungu akuzidiche elimu,na Mimi na omba une WA ume
@fernandocharles70872 жыл бұрын
Na omba Mimi nizidiche uume wangu no mdogo sana samani lakini
@faouziainamahoro41412 жыл бұрын
Asante sana mwalim Allah akuo'geze imri
@habimanaswedi49873 жыл бұрын
Assalamu alaykum warahmatullahi wa barakatuhu ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA UMRI MREFU NA MWISHO MWEMA,
@sharifusuleymanatv3 жыл бұрын
Amina
@shekhaabdallah68243 жыл бұрын
Shukran mola akupe umri kwetu nyumbani upoo
@ndayambajefikirini7252Ай бұрын
Shukran sana kaka,nilitaka kujua kama unauza pia mitishamba ya kwakopo,wanao ita yakisunat
@makamehaji26093 жыл бұрын
Masha Allah mweyezi mungu akujaliye kila laheri Insha Allah
@maryamally30852 жыл бұрын
Daaaah mtihani sheikh mimi kwakweli nitaabani kwa Walanifu hao .
@lulubintrashid19033 жыл бұрын
Shukran sana sheikh,acha tuwatie adabu kidogo hawa jamaa
@muhammedyussuf84062 жыл бұрын
Kweli kabisa wallah...
@salummakame50862 жыл бұрын
Habar Vp baad ya kufany daw kimetokea. Nn
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Mashaallah Allah Akuhifadhi
@issangalawa6763 Жыл бұрын
umenifunza adi nimekua mwanafunzi wako mzuri xana Tena xana 🙏🙏
@charlesmutio89243 жыл бұрын
I like it, keep it up
@florencemulei8147 Жыл бұрын
Wow may God bless you
@georgengige7250 Жыл бұрын
Tumalize wachawi na kamuti zao
@sistertrashid24883 жыл бұрын
Shukrani sheikh wetu ngoja tufanye wacha wanga wafe tu maana Hawana akili
@mswakisaid23203 ай бұрын
Mchawi ni mbaya zaidi kuliko mwizi. Mungu awabadilishe wawe watu wazuri,kama si watu wa kubadilika awafute tu kabisa.
@phylliswachira28503 жыл бұрын
Mchawi na afe hana haja duniani.
@maryamally30852 жыл бұрын
Kweli kabisa hata mimi wananisumbua wachawi hao Allah SWT awaangamize.
@verenaisskimambo5783 Жыл бұрын
Asante sana shehe kwa kutuelimisha
@sukynerally3509 Жыл бұрын
Allah akuongezee umri inshallah uendelee kutufundisha
@ndayisabafarouk92142 жыл бұрын
Asante sana kwa Ilmu yako 🙏🏽
@MarioBentoDuarte4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@georgengige7250 Жыл бұрын
Hii ndio nitamaliza wachawi nayo.sijali ni nani ama nani.asante sana sheik
@nasoroLuhomboАй бұрын
Mungu akubaliki
@reemareemo2698 Жыл бұрын
Wengine hawaongei kama huyu baba wana ficha ficha ila huyu baba Mungu muweke kweli kabisa
@abdularuffin93083 жыл бұрын
Shukurani sana shekhe wetu
@oorosam2 жыл бұрын
Hi ni Kali Sana ina ogopesha
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Ndoa nyingi zimekuwa nimitihani sana
@georgengige7250 Жыл бұрын
Kweli kabisa Khadija.
@salumngando4179 Жыл бұрын
Asalam aleikm mimi naitwa salum nauliza kuhusu hii kinga ya toto la mgomba ulisema nikisha lipata nichole lile toto vinukita 6 lakini ile karatasi yako vinukta vinaonekana vitano vimechorwa sehem tatu naomba shekhe unielekeze nivicholeje
@georgengige7250 Жыл бұрын
Eeeh tusiweke tano ikawa twajiroga sisi wenyewe
@salmawage72593 жыл бұрын
Jazakah allah kheir allah barik
@muranisalim35722 жыл бұрын
Wewe nibora unafundisha 💓❤🙌
@adamsnyakundi44273 жыл бұрын
Napenda sana masomo yako ndugu.Long life bro
@jonkobrownbrown9582 Жыл бұрын
Nashukuru habiby
@abelypeter32253 жыл бұрын
Huyu maalim anachukia wachawi kama mimi wanaturdisha nyuma
@jackmerci7819 Жыл бұрын
Shukrani mwalimu Ila nataka namba yako
@salmawage72593 жыл бұрын
Sana shekh allah barik allah barik
@SaadEbrahim3 жыл бұрын
As-Salaam Alaykum Asante Sheikh wetu kwa kutupa faida kubwa kinga dhidi ya wachawi. Allah Akbar amin. Sio Vitone 6 ni Vitone 5 aka shikeli ya Jadula hiyo.
@sharifusuleymanatv3 жыл бұрын
Naam naam
@georgengige7250 Жыл бұрын
Umetegua swali kubwa kwa wengi Sheikh
@arunrawal54202 жыл бұрын
Thank you very much ubarikiwe
@deborakasambula7431 Жыл бұрын
Kweli kabisa shekhe iliwahi kunitokea
@JacobCondlad Жыл бұрын
Asante sana acha wafe
@aminanuru65263 жыл бұрын
Asante Mr Mkusula Suleiman
@adamsnyakundi44273 жыл бұрын
Kaka naomba unijibu please 🙏.ii kinga nikishaa weka huyo mchawi akifa nihuku huku kwangu au kwake . kweli nimeudhika nawachawi siku zote.matezo cku zote nimechoka
@msafiridiary3 жыл бұрын
Sheikh fanya hio dawa yao tuwaondoe kabisa hawa wachawi na washirikina, kwani hata m/mungu ametuamrisha kwenye suratul Taubah (9) aya ya 3-5 mwanzo mwanzo,.. m/mungu ametuamrisha siku ya hija, tukishamaliza kuhijj twende tukawatafute wachawi na washirikina popote walipo tuwalinganie na wakikataa tuwaue.
@sandraalbert3923 жыл бұрын
Asante Sana Shekhe
@mariamyangole88863 жыл бұрын
Asante Sana mungu akubariki
@khadijaathumanikhadijaathu9031 Жыл бұрын
Walahi Allah awalaani wenye husuna kwawenzao
@anksusiabdurashid1143 жыл бұрын
Allaah kareem
@maasharahamissi84732 жыл бұрын
Shukran MUNGU atakulipa kwa wema wako
@mawananasoro44053 жыл бұрын
Asante sana shekhe
@roselydahamwayi6971 Жыл бұрын
Napenda sana kuota ndoto la kufanyiwa ngono au wewe unafanyisha toto mdogo gono
@mrishomakunza24103 жыл бұрын
Safi sana mafundisho ni mazuri.
@angle36002 жыл бұрын
Shukran sheik
@mutabazihassan62919 ай бұрын
Naenda kufanya kwasababu wachawi wamenitesa sana shukran sana sheikh
@MathiasManyanza3 ай бұрын
upendo sana baba
@BaaOmar-j4hАй бұрын
Vitone Kwa kalamu au Kwa Nini? Shukran,
@biumbemohamed83782 жыл бұрын
Shukuran.allah.akujaze.kheri
@RuthNtimwaАй бұрын
Huu ni ukweli kabisa watu tumelogwa sana.nina miaka 16 Toka niachane na mume na sijapata mike mwingine ila yeye anaoa na kuacha na anaemuacha aolewi tena.asante kwa dalasa hili🙏🙏🙏
Asalam aleykum ikiwa umefanya Hilo zindiko na baada ya muda mchawi akaja na kweli akafa, Je ikiwa zindiko langu Ndio sababu za umauti wa mchawi huyo vipi hukmu yangu mbele za mungu?
@abdulazizmwipi92953 жыл бұрын
Allahu a'alam
@abdulsaid45793 жыл бұрын
Wee umejikinga n familia yako. Kufa kw mchawi wewe haikuhusu.
@abelypeter32253 жыл бұрын
Sasa wewe kama unawahurumia subr waje wakuue wewe ndpo utaisoma
@shomviyanga9433 жыл бұрын
@@abelypeter3225 tofautisha Kati ya kuhurumia na kuuliza kutaka kujua
@abdulkibwana5723 жыл бұрын
@@abdulsaid4579 nimecheka sana,jaman hawa watu wabaya sana
@nuratyngwenda46483 жыл бұрын
Katika kulifukia tunanuia shekhe au nieleweshe hapo
@vincentwafula2 жыл бұрын
mr wanichekesha vile unawachukia wachawi
@AminaShirumba9 ай бұрын
Alwa akujaalie ishaalwa.huna chelewa chelewa. Chuma baada chuma