Ibada ya jumapili asubuhi Tar 23.05 Katika kanisa la T.A.G Majumbasita Gospel Campaign Centre.
Пікірлер: 28
@CatherineJohn-uc9ft11 ай бұрын
Mungu nisaidie nisiwe mzembe
@user-fl9fe6ru4i8 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@user-fu9dg3xx4j Жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana mchungaji
@muyobokethomas3785 Жыл бұрын
Na sisi Kenya tunawasikiriza Muchungaji
@IsayaSchone-kt7uq6 ай бұрын
barikiwa san
@muyobokethomas3785 Жыл бұрын
Muchungaji kitabu hicho kinaweza patikana kwa njiya Gani"Lakini mutapokeya Nguvu"
@yudaseleman8320Ай бұрын
Matendo 1:8
@kalubanshimba6670 Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo ufalme usiotikisika kweli Baba Mungu azidi kukutu mia
@charlesrondo97642 жыл бұрын
Songa Miele na bwana unawasaidia washirika na wachungaji bwana aendelee kukutia nguvu nakuombea mtumishi WA mungu
@dorcasmalubi67692 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu! Mafundisho yako yako yamefanya hata huduma yangu ipande viwango! Mungu akubariki!
@stellahmwangacongrats68362 жыл бұрын
Amen baba hakika Mungu atusaidie hapo kwenye kusema ukweli maana😭
@harimakidesu36803 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia mtumishi
@festaaroni17362 жыл бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwe sana
@alenivyombo1919 Жыл бұрын
🙏
@orgashayo4562 Жыл бұрын
Ameeen Amen Mungu azidi kwashoria nguvu zake Dani yako akupe ujasili kwa jili ya Utukufu wake
@nsenga_cento3 жыл бұрын
Amena. Sisi tunachangamuka. Mambo yao ya dunia hayatuhusu, hatuhusiki. Ninabarikiwaaaa, haleluyaaaaaaa
@isayamalale98332 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na kila mahubiri yako baba mchungaji nikiwa tag busenda napenda unavyo lifafanua adiko
@jay-nyeye19003 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
@zawadiomari74093 жыл бұрын
Ameen
@gracemwangosi90173 жыл бұрын
Amen hii ndio kweli sasa
@nyagasagocelestine36362 жыл бұрын
Amen
@alexanderkyeveo54523 жыл бұрын
Mungu mwema, I love the annointing 😊
@josuekalonda94163 жыл бұрын
Naomba nipewe namba ya simu ya yule missionary wa Lubumbashi.
@naomiethebaddie63353 жыл бұрын
asante sana baba na kuitaji marekani ,tena naomba contact number, mimi nikotayari.
@nsenga_cento3 жыл бұрын
Ninalo swali. Hapa unaposema unaelekezwa na mchungaji hutaki, na mkuu yeyote kanisani, na kusema ni kumpinga Roho mtakatifu. Kila maongozo ya mchungaji, kiongozi yanatoka kwa Roho Mtakatifu? Je ikiwa ni mchungaji ambaye Roho hayiko naye, unakuta anakuongoza kinyume na neno la Mungu, je tutakubari kabisa kwa kusema tusimpinge Roho Mtakatifu. Asante kwa msaada wenu kuhusu swali hili.
@julieteshehiza40973 жыл бұрын
iwapo hakimtukuzi Mungu usishiriki, Hivyo kiwe cha Bwana.
@marykanute65583 жыл бұрын
@@julieteshehiza4097 yes. Kipimo chetu ni Neno la kweli la Mungu kwa kila kisemwacho haijalishi anasema nani