INASIKITISHA: Mama mlemavu wa Macho kakopa Mil 3 kaambiwa Riba Mil 16

  Рет қаралды 454,883

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 366
@user-zf2hx1cq4d
@user-zf2hx1cq4d Жыл бұрын
Hongera sana mkuu umesoma kwa ajili yakudumisha uzalendo kwenye taifa na si unyonyaji ipo haja kwetu sisi wananchi kumuomba mungu atupe viongozi kamahawa kwenye kila kona ya taifa letu tanzania moja uzalendo daima .
@natyvan4071
@natyvan4071 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa kamwene 😘😘 ubalikiwe sana
@albertoarcangel5859
@albertoarcangel5859 5 жыл бұрын
Mungu akubariki mkuu WA mkoa, akupe maisha marefu na heri tele dunian,
@SSs-tb9yo
@SSs-tb9yo 5 жыл бұрын
Alberto Arcangel Aamin Inshaallah yaarab
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 жыл бұрын
Amen@Alberto Arcangel.
@salmaothman153
@salmaothman153 5 жыл бұрын
Ahsante mh. Hapi ww ni kiongozi wa kuigwa
@exaverykalinga1487
@exaverykalinga1487 5 жыл бұрын
Jamani mwalimu huyu anaitwa mwl mgaya kanifundisha tangu dalasa la kwanza 1986 makalala primary,yaani nimelia sn mkuu wa mkoa asante sn kwa kusaidia wanyonge.
@piusgadau6328
@piusgadau6328 5 жыл бұрын
acha maneno wewe karudishe fadhira
@goodluckminja9101
@goodluckminja9101 5 жыл бұрын
Karudishe fadhila jamaa wacha mboyoyo,, kulia kwako kuna faida gani kwa mfano
@charlesmushi5350
@charlesmushi5350 5 жыл бұрын
OMG
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 5 жыл бұрын
Usiichie kulia tu nenda katoe msaada
@mariammbughi2702
@mariammbughi2702 5 жыл бұрын
Alikuwa mlemavu hivo hivo toka zamani
@erickkangalawe2784
@erickkangalawe2784 5 жыл бұрын
Hongera sana MKUU Wa mkoa wetu, umeonyesha utu Wa hali ya juu.
@musajackison5965
@musajackison5965 5 жыл бұрын
Du kweli million 3.5 inaludi kumi 16 life is not fair
@jafarimsaghaa95
@jafarimsaghaa95 5 жыл бұрын
Watanzania tuna tabia ya kutesana sisi kwa sisi Mungu anawaona wale wenye roho za nge na nyoka, ni bora uishi na wanyama wote na nyoka wakali chumba kimoja kuliko haya tunayoyaona.
@klystry1234
@klystry1234 4 жыл бұрын
Jafari Msaghaa yani sijui tutaacha lini kudidimizana tunajijali wenyewe tu
@weizsymo6257
@weizsymo6257 5 жыл бұрын
JAMAN wanyonge wanaonewa sana,mm mzazi wangu wakiume kafariki 2016,alijiunga na mfuko wa NSSF mwaka 1995 mama yangu kafuatilia lkn pension yake kazungushwa sana mwezi ulopita kalipwa Tsh.million 3 tu. Mimi nina miaka 3 kazn lkn ninauhakika nimesha vuka million tano kwasasa kwenye mfuko wangu.Mi nnaona hii mifuko ingefutwa tu ama ibaki ni hiari kujiunga😕
@chrisdanda4775
@chrisdanda4775 4 жыл бұрын
Mim nimefuatilia Nssf mpaka viatu vilichakaa nikaamua kuacha tu nawachukia mpaka basi
@bibianchambo3887
@bibianchambo3887 4 жыл бұрын
Umenena
@mshindivictor1690
@mshindivictor1690 5 жыл бұрын
Kaka yangu we ni mfano wa kuigwa .......You are my Role model. One day Yes.
@silaseteven8708
@silaseteven8708 5 жыл бұрын
inauma sana ningekuwa namamlaka mimi wote wanaonea watu wangeipata nimetokwa namachozi
@mckipofu6021
@mckipofu6021 5 жыл бұрын
Duuu brother hauna siasa mzee, kiongozi bora kwa sasa
@manasemgaya1270
@manasemgaya1270 5 жыл бұрын
ee MUNGU tutazame maana wewe mtetezi wetu
@mwajumajuma4769
@mwajumajuma4769 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭mam ameniliza xan
@damianoadam1041
@damianoadam1041 5 жыл бұрын
Asante Mkuu wa mkoa@Ally Hapi unafanya kazi nzuri.Mungu akubariki.Nashauri serikali ifanye ukaguzi wa hizi taasisi za mikopo.Kwa jinsi hiyo nyaraka ilivyo kuna uwezekano mkubwa hawafuati sheria na hata ulipaji kodi una walakini.
@nyandwifidele8528
@nyandwifidele8528 5 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa..
@dicksonsheja9376
@dicksonsheja9376 5 жыл бұрын
Duh mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa Iringa maana umevumbua madudu ambayo watu tulionewa sana
@nelsonombeni5619
@nelsonombeni5619 5 жыл бұрын
mh:Mkuu wa mkoa iringa wewe ni kichwa kweli unafaa, mungu akupe maisha marfu
@tonkimaro2495
@tonkimaro2495 5 жыл бұрын
Jah bless u mkuu Wa mkoa..... Kama tupo pamoja gonga like hapo chini
@saidikaputa1195
@saidikaputa1195 4 жыл бұрын
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Mtihani kwakweli binadam hawana huruma hapo kwenye riba hakuna ubinadam kabsa
@samwelmwachitu9342
@samwelmwachitu9342 5 жыл бұрын
Hongera rc hapi,nilikuwepo kwenye mkutano huo.
@agreymsemwa8021
@agreymsemwa8021 5 жыл бұрын
Samwel Mwachitu Iliishaje hii mkuu
@ifruitx2096
@ifruitx2096 5 жыл бұрын
Hii ni laana sana bwana mulaaniwe nyote munaehusika kwa hili mpaka inaliza hii mambo kwa nini munamfanzia namna hii mama mtu mzima anaewazaa kabisa huyu mlaaniwe inshallah mungu atawanyoosha 🤲🏾
@bernardkibet
@bernardkibet 4 жыл бұрын
Tanzania, give us this great man to be the president of Kenya!!
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 3 ай бұрын
tunamtaka Burundi
@goldgod9963
@goldgod9963 5 жыл бұрын
Ukiitazama lazimaa utoee machozi daaa Eee Mungu asante kutuleteaa watetezi wa wanyongee
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 5 жыл бұрын
Haya mambo ndio tunayahitaji kwa viongozi watetea watu wa chini, maana wanatupenda sana wakati wa kuomba kura wakishapata watapotea, hongera Mh Raisi kwa kuruletea huyu mkuu wa mkoa maana amekua mkombozi kwa wana iringa
@biberpriyer330
@biberpriyer330 7 ай бұрын
Mbon hujafika mwisho tuone nn kilitokea 😢😢Big up Mwamba hawa ndo viongoz tunaowataka katik TAIFA letu 😘😘😘
@abuuqaasim4815
@abuuqaasim4815 5 жыл бұрын
hivi wewe unaempa huyu mama milioni 3 na laki 5 halafu akurudishie milioni 16 halafu mama mwenyewe ni mlemavu wa macho duuuu ,Ally Happy mungu akuweke sana kakangu
@aliarkam1413
@aliarkam1413 5 жыл бұрын
Subhanaallah , kwakweli mama anatia huruma kweli ,huo mwiz was mchana kweupe .Inabid tupate mwendelezo wake.
@happinessmartin7622
@happinessmartin7622 5 жыл бұрын
Good job All
@abu-hanifamwenda6852
@abu-hanifamwenda6852 4 жыл бұрын
Kaka unanishawishi nikukubali katika kazi yako! Ni jasiri, nakuombea mungu akujaalie uiongeze nchi In Shaa Allah.
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 5 жыл бұрын
Ivi wewe ALI HAPPY unamoyo waainagan kaka I wish viongozi wote wawekama wewee
@josephinalubanguka1884
@josephinalubanguka1884 5 жыл бұрын
Abeid Mayanga i
@scollorpatrick7214
@scollorpatrick7214 5 жыл бұрын
Safi sana mkuu mungu akupe maisha marefu sana jaman
@wisperfect3860
@wisperfect3860 5 жыл бұрын
Safi sana upo sawa na makonda wetu uku dar mungu awabariki nawengine wafate nyendo zenu watu tunaonewa sana kwa kuwa tu wanyonge
@yvonsimon4080
@yvonsimon4080 5 жыл бұрын
Oohoo jaman ...dunia haina huruma
@erickmassawe5107
@erickmassawe5107 5 жыл бұрын
tz tungekua na viongoz 20 kama ww mh Tanzania ingekua mbali xana
@susananyasani6526
@susananyasani6526 5 ай бұрын
Super Service Waziri huwo ndio mwongozo mzuri kwa Wananchi ubarikiwe
@stahimilmassawe8540
@stahimilmassawe8540 5 жыл бұрын
Jaman ipitishwe sheria watoa riba waingize kwenye kes za utapeli, hata mungu kakata riba jaman mungu akulinde kakyangu happy unasaidia watu sanaa
@Papa2thaE
@Papa2thaE 5 жыл бұрын
Hiyo ni mwizi. Hiyo baba mkopeshaji kamatwe na hao PSPF wachekiwe.
@africasightwalktravels1875
@africasightwalktravels1875 Жыл бұрын
Hii haitawai zeeka... Asante sana mkuu wa mkoa. Yaani tunafikaje hapa
@judithmaziku4525
@judithmaziku4525 5 жыл бұрын
Iv jmn kweli wanyonge tunateseka sana unakopeshamtu milion3 na laki tano unataka million 16 dunian hakuna upendo huon hata aibu moyo wako hukusuti unataka utajirikie kwa mulemavu
@witnesimigodela2474
@witnesimigodela2474 5 жыл бұрын
Yani mheshimiwa naona Mungu kakutuma kweli kusaidia wanyongeee, maskini huyu mama thambi sana
@amenyekibona8730
@amenyekibona8730 5 жыл бұрын
heri usaidiaye wanyonge maana unajitengenezea akiba ya utu wako,,
@zaheerqassimalarmiye6172
@zaheerqassimalarmiye6172 5 жыл бұрын
Duh! Yani mkopo milioni 3, Halafu riba milion 7. Hakika huu ni unyama wa hali ya juu mno
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
@Change Mindset kabisaa walitaka kumuibia kwasababu haoni
@zainabukivale5824
@zainabukivale5824 5 жыл бұрын
Angekuwa mkuu wa mkoa dar angetoa uwamuzi opo opo wauni wote awo watumbuliwe
@ismailibrahim1331
@ismailibrahim1331 5 жыл бұрын
Alf laki tano liba milion tisa mmmm
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 5 жыл бұрын
Mmh Dunia hii na wanaadamu wamekosa kabisa imani na hofu ya Mungu hakuna inavyoelea hawa wastaafu wanadhulumiwa saana na watu wanaoshughulikia pesa zao za mafao wana shirikiana ba huyo magere pesa zao hawawapi ili waende kwa Magere kukopa ili siku zikipita nyingi ndio watoe hizo pesa magere achukue zoote na agawane na watu wa mafao kwa nini huyo magere a deal na watu wa pension na hao wa pension ndio wanachukua hao wastaafu kwa magere lol
@othumanyahya9168
@othumanyahya9168 4 жыл бұрын
Hongera sana Happy Ally wewe ni kiongozi bora kabisa. Msaidie sana Mwl huyu kwani inatia uchungu sana. Hawa ni matapapeli siyo wazalendo.
@charityusia5897
@charityusia5897 5 жыл бұрын
Inauma kwel mwl kanifundisha somo la maarifa ya jamii anafundisha vizur mno pole mwl karinga
@alfredkillo6080
@alfredkillo6080 5 жыл бұрын
hv kwnn wakuu wa mikoa wote wacwe kama huyu mh Ally huyu mkuu wamkoa anafanya msaada mkubwa sana angeweza kukaa tu ofcn kwake akapgwa na kiyoyoz lkn amejiongeza kua ktk jamii yoke kunamaonevu mazto maana haya n maonevu mazto kuwah kutokea hyo n riba ya kias gan ee MUNGU naamin hulal wala hucnzii MUNGU naomba ummulike huyu aliekua anataka kumtapel huyu mama
@friminamkenda7405
@friminamkenda7405 4 жыл бұрын
Mkuu was mkoa wwe mungu akulinde miaka kumi na mitano ijayo unatakiwa uwe rais
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mwenyezi mungu atakulipa kwa mema unayowafanyia wanyonge
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 5 жыл бұрын
yaaan kuna watu siku ya mwisho watachomwa kwa makaa ya mawe kwa kwel
@elifasinimpagaritse8925
@elifasinimpagaritse8925 4 жыл бұрын
Lukemelye Mwenga hahah
@emmanuelstephens1891
@emmanuelstephens1891 5 жыл бұрын
Yaani japo simfagilii Ali Hapi ila kwa hili.... Ikiwezekana sweka ndani especially hawa mbuzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii.... Wanasumbua sana! Nawachukia bure!
@shamimhassanzimzimahuyokij4521
@shamimhassanzimzimahuyokij4521 5 жыл бұрын
Yani Kenya tukipata viongozi kama hawa 👏👏👏
@mdsaid8924
@mdsaid8924 5 жыл бұрын
Asante kwa kulijua hilo
@eldambwaga1599
@eldambwaga1599 4 жыл бұрын
Hongera San mkuu wa mkoa iringa mungu ukulinde uwe na maisha maref ili uendelee kuwasaidia wanyong
@nyambelewinfrida9074
@nyambelewinfrida9074 5 жыл бұрын
Mwendelezo Ayo unahtajika inauma sana
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
Nyie Jamaa nae ‘ video muwe mnaweka fulu mkoko ‘ mnatukoroga ndonya Jamaa yangu kuanza kupekenyua muendelezo...! VP JAMAA YANGU’ MBONA NUSUNUSU HABARI RIPOTI UTAMU JAMAA..!
@burtonmhenga9196
@burtonmhenga9196 5 жыл бұрын
MUNGU akupe maisha malefu kiongozi wangu. Kwani MUNGU anawataka wenye moyo wa kuwajali wengine zaidi.
@emmanuelmussa8331
@emmanuelmussa8331 5 жыл бұрын
Nataka kujua jamani anaefahamu kwisho wa hii kitu ni nini ? Je mama alipata haki yake? Na huyo binti wa mama baada ya kuleta hizo documents zote zilikuwa zinasomeka wamekopa kiasi gani? Na je huyo Magere alipatikana? Inatia huzuni sana kuona binadamu wamegeuka kuwa na tamaa kiasi cha kudhurumu mpka walemavu tena wasioona! Ee Mungu tusaidie na kizazi hiki tulichonacho.😢😢😢
@zuhurasebastian5883
@zuhurasebastian5883 5 жыл бұрын
Mkopeshaji ana makosa maana yy mwenyewe akuwa na uwakika Wa kulipwa hao wahusika ndiyo washugulikiwe haswa tena wasisikilizwe ata kidogo
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 5 жыл бұрын
asante sana mkuu wa mkoa asante baba nalia utazan km namjua uyo mama dah shukran sana
@KP-kn2no
@KP-kn2no 4 жыл бұрын
We mwasibu muuzi sana
@gabrielmalecela3701
@gabrielmalecela3701 5 жыл бұрын
Tukiacha maisha ya siasa hiii dunia itakuona ally happy# kila lakheri brother mhim kuzingatia sheria ,wananchi wanapata taaabuuu saana aiseeee...... Upinzani sio uadui, tuungane kwa pamoja kukomesha hiz harakat kandamizi.....kama watu hawatasema bas jiwe litapaza sauti,......
@lilianiq8416
@lilianiq8416 5 жыл бұрын
Pole Sana mamaangu, mkubwa fanya kazi yako
@asiasalim4634
@asiasalim4634 4 жыл бұрын
Nimekupenda byre happy my allah blessing you
@EK-kp2np
@EK-kp2np 5 жыл бұрын
Kaka Hapi, Mungu atakulipa, usisite wala kuogopa na kwani fadhila zako Mungu anakuwekea akiba, utainuliwa juu zaidi ili uwafikie wengi
@everlynekakatoi1704
@everlynekakatoi1704 4 жыл бұрын
napenda kazi yako mkuu,mungu akubariki sana
@stevemaguly1647
@stevemaguly1647 4 жыл бұрын
Riba ya mil3 ni mil 16 dunia imeisha bigup brother Rc mungu akulinde bro
@ifruitx2096
@ifruitx2096 5 жыл бұрын
Huyu msichana ni mwizi pia hawa ni waizi wafungwe wote mkuu hawa sio wa kuishi kabisa huyu mama ni mlemavu bwana mbona inaliza hii
@ndayambajemartin569
@ndayambajemartin569 4 жыл бұрын
iFruit X20 jzzbsbacwga
@ndayambajemartin569
@ndayambajemartin569 4 жыл бұрын
iFruit X20 jzzbsbacwga
@esnartmagoti9292
@esnartmagoti9292 5 жыл бұрын
Uko vizuri sana mh ! Mungu akubariki
@maxjofrey70
@maxjofrey70 5 жыл бұрын
Napenda viongozi kawa hawa mungu akubariki wewe mkuu wa mkoa
@allymahamed6942
@allymahamed6942 5 жыл бұрын
Mheshimiwa unafanya kazi nzuri twatamani ungekuwa ndo mkuu wa mkoa wetu wa songwe!
@linkkabzarhamir1503
@linkkabzarhamir1503 5 жыл бұрын
VIONGOZI WATANZANIA WANATUMIA MAGULIFICATION OF LEADERSHIP.
@mrthreesix280
@mrthreesix280 5 жыл бұрын
Pole Sana mama story yako inanitoa machozi kweli
@levinanickson6509
@levinanickson6509 5 жыл бұрын
Jamani hadi nimelia,cyo kwa riba hiyo jamani,kweli nimeamini kuwa nirahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ......
@khamisothman1154
@khamisothman1154 5 жыл бұрын
KAZI NZURI, NIMEPENDA NAMNA YA MAHOJIANO YALIVYOKWENDA, KILA MMOJA AJIELEZE.
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
Wakomeshe baba,,,na Mungu akubariki
@samueljr9105
@samueljr9105 5 жыл бұрын
Huyu dada ni jeuri sana "boss wangu boss wangu nkt" TZ huyu mkuu wa mkoa awafaa kuwa president wenu
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 5 жыл бұрын
Jamani watu wana zambi kaaa
@giannajoji7944
@giannajoji7944 5 жыл бұрын
Hizi pesa za riba kwa kweli ni tatizo,sisi huku kwetu unakopa 100000 kwa riba ya 50000 kwa mwezi,sasa km unakuwa huipati hiyo 100000 wanakwambia unarejesha cha juu waweza lipa hicho cha juu hata mwaka na bado manyanyaso kibao! Kwa kweli hii ishu itizamwe kwa jicho la tofauti.Mungu akubariki kiongozi.
@lucasdavid6187
@lucasdavid6187 5 жыл бұрын
Uongozi wa mkuu huyo ni wa uzalendo hasa wengi wetu tunamuomba apewe nafasi ya mbele zaidi katika uongozi
@ramadhanisururamadhanisuru3215
@ramadhanisururamadhanisuru3215 5 жыл бұрын
Kweli bbk Lucas devid
@mkwipunda2036
@mkwipunda2036 5 жыл бұрын
Mh Hapi piga kazi endelea kufukua hayo makaburi maana hii nimeisikiliza huku mwili unasisimka kwa hasira mambo waliyomfanyia huyu Mama
@KP-kn2no
@KP-kn2no 4 жыл бұрын
Yaani hamna hata aibu kweli kumuwekea liba kubwa hivyo
@lugomelugome371
@lugomelugome371 4 жыл бұрын
hapy...... bigapu chapa kazi iringa moja iyo.....
@burtonmhenga9196
@burtonmhenga9196 5 жыл бұрын
Safi kiongozi wangu upo vizuri.
@bahatimmependezamwanginda5202
@bahatimmependezamwanginda5202 5 жыл бұрын
Mh Ally Hapi utabaki Kuwa juu
@charlesmushi5350
@charlesmushi5350 5 жыл бұрын
Nilikua sikupendi but now Nakupenda kwa moyo wangu woote
@kulwajoel2465
@kulwajoel2465 5 жыл бұрын
uyu jamaa ni kiongozi anayefata haki,afanyi kazi kwa masifa
@stevemaguly1647
@stevemaguly1647 4 жыл бұрын
Mungu ampeafya tele rais wetu magufuli
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 4 жыл бұрын
Happy to be muslim . Nn kazi ya riba Riba inamzidishia tajiri na inamkandamiza ama kumuangusha masikini ..
@leilahassan5019
@leilahassan5019 4 жыл бұрын
Roho mbaya tuache tupendane jaman
@mshindivictor1690
@mshindivictor1690 5 жыл бұрын
Kiomgozi imara, jasiri, wa kweli
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
mama umejieleza vizuriiii jmn msaidie
@rahelmasiga1503
@rahelmasiga1503 4 жыл бұрын
We RC utaokoa wengi
@annaswai6072
@annaswai6072 4 жыл бұрын
Tatizo la ayo TV taarifa zenu hazimaliziki hamkamilishi mpo vizuri ila angalieni ktk hilo
@bimaisarankamia4153
@bimaisarankamia4153 5 жыл бұрын
Milady mwendekezo wa hii tuwekee
@ahmedathman1624
@ahmedathman1624 4 жыл бұрын
Huyu magufuli mdogo....
@motamohele8252
@motamohele8252 5 жыл бұрын
Naomba muendelezo kaka millard.
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 5 жыл бұрын
Pole mama mungu akufanyie wepesi akupe hitaji lako la moyo
@masumbukosikania2019
@masumbukosikania2019 5 жыл бұрын
Grace Ligunda N.
@roanmakero2309
@roanmakero2309 5 жыл бұрын
Magufuli hoyeeeeee kweli unajua kuchagua wafanyakazi wakafanye kazi sehemu husika
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 5 жыл бұрын
ILA KUNA DHAMBI NYINGINE SIJUI KAMA MUNGU ATAZISAMEHE YAANI MNAMDHURUMU HATA KIPOFU JAMANI MMMMMM
@klystry1234
@klystry1234 4 жыл бұрын
James Ngunda Teresia huyo dada anajibu mpk huruma
@crespomaeromajigo6923
@crespomaeromajigo6923 4 жыл бұрын
Inauma sana
@burbiddy316
@burbiddy316 5 жыл бұрын
Daaa!!! hii Dunia hii ....Ndomana Vitabu vya dini vimekataza maswala ya riba
@AbdalahAlly-pw4dt
@AbdalahAlly-pw4dt 7 ай бұрын
Huyundiokiongozi mungu akubari
@bamdogobetwel6230
@bamdogobetwel6230 4 жыл бұрын
Riba na ufalme wa Mungu
@epifaniamponda2902
@epifaniamponda2902 5 жыл бұрын
Dah nalia tu Maana huyu nikama mama Dah Nawaaaazaaaaa Mimi dah
@SamweliDaud
@SamweliDaud 5 жыл бұрын
RC Ally Salum Hapi mkombozi kwa wana Iringa
@augustinongonga3559
@augustinongonga3559 5 жыл бұрын
Samweli Daud
@mgayajofreyj9788
@mgayajofreyj9788 5 жыл бұрын
Daaah, inauma sana
@ubuzimabuzimatv
@ubuzimabuzimatv 4 жыл бұрын
Raisi Unapenda wana inchi kabisa Magufuli ni Raisi mwema kabisa
MENGI KIBARABARA AZUA NOMA IRINGA/ MWANAMKE ANA WANAUME WATATU
12:29
My pastor husband planned my funeral while I was alive | Tuko TV
59:52
Tuko / Tuco - Kenya
Рет қаралды 326 М.
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 20 МЛН
Mkuu wa Idara hajategemea kilichotokea mbele ya RC Hapi
8:44
Millard Ayo
Рет қаралды 197 М.
RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2
8:48
Millard Ayo
Рет қаралды 396 М.
BIBI AIBIWA LAKI TATU NA NUSU ''AMTAJA MJUKUU NA MTOTO WAKE''
20:10
RC HAPI APIGA SIMU: ''KWANINI HUJAJA KWENYE MKUTANO WANGU''
5:00
Millard Ayo
Рет қаралды 144 М.
MAMA BILA UWOGA ATOA KARATASI MBELE RC HAPI ''WATU HOI''
11:10
Millard Ayo
Рет қаралды 140 М.
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Millard Ayo
Рет қаралды 99 М.
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 20 МЛН