Hongera sana mkuu umesoma kwa ajili yakudumisha uzalendo kwenye taifa na si unyonyaji ipo haja kwetu sisi wananchi kumuomba mungu atupe viongozi kamahawa kwenye kila kona ya taifa letu tanzania moja uzalendo daima .
@natyvan40715 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa kamwene 😘😘 ubalikiwe sana
@albertoarcangel58595 жыл бұрын
Mungu akubariki mkuu WA mkoa, akupe maisha marefu na heri tele dunian,
@SSs-tb9yo5 жыл бұрын
Alberto Arcangel Aamin Inshaallah yaarab
@evelyinipaja12024 жыл бұрын
Amen@Alberto Arcangel.
@salmaothman1535 жыл бұрын
Ahsante mh. Hapi ww ni kiongozi wa kuigwa
@exaverykalinga14875 жыл бұрын
Jamani mwalimu huyu anaitwa mwl mgaya kanifundisha tangu dalasa la kwanza 1986 makalala primary,yaani nimelia sn mkuu wa mkoa asante sn kwa kusaidia wanyonge.
@piusgadau63285 жыл бұрын
acha maneno wewe karudishe fadhira
@goodluckminja91015 жыл бұрын
Karudishe fadhila jamaa wacha mboyoyo,, kulia kwako kuna faida gani kwa mfano
@charlesmushi53505 жыл бұрын
OMG
@joycemashikolo90965 жыл бұрын
Usiichie kulia tu nenda katoe msaada
@mariammbughi27025 жыл бұрын
Alikuwa mlemavu hivo hivo toka zamani
@erickkangalawe27845 жыл бұрын
Hongera sana MKUU Wa mkoa wetu, umeonyesha utu Wa hali ya juu.
@musajackison59655 жыл бұрын
Du kweli million 3.5 inaludi kumi 16 life is not fair
@jafarimsaghaa955 жыл бұрын
Watanzania tuna tabia ya kutesana sisi kwa sisi Mungu anawaona wale wenye roho za nge na nyoka, ni bora uishi na wanyama wote na nyoka wakali chumba kimoja kuliko haya tunayoyaona.
@klystry12344 жыл бұрын
Jafari Msaghaa yani sijui tutaacha lini kudidimizana tunajijali wenyewe tu
@weizsymo62575 жыл бұрын
JAMAN wanyonge wanaonewa sana,mm mzazi wangu wakiume kafariki 2016,alijiunga na mfuko wa NSSF mwaka 1995 mama yangu kafuatilia lkn pension yake kazungushwa sana mwezi ulopita kalipwa Tsh.million 3 tu. Mimi nina miaka 3 kazn lkn ninauhakika nimesha vuka million tano kwasasa kwenye mfuko wangu.Mi nnaona hii mifuko ingefutwa tu ama ibaki ni hiari kujiunga😕
@chrisdanda47754 жыл бұрын
Mim nimefuatilia Nssf mpaka viatu vilichakaa nikaamua kuacha tu nawachukia mpaka basi
@bibianchambo38874 жыл бұрын
Umenena
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Kaka yangu we ni mfano wa kuigwa .......You are my Role model. One day Yes.
@silaseteven87085 жыл бұрын
inauma sana ningekuwa namamlaka mimi wote wanaonea watu wangeipata nimetokwa namachozi
@mckipofu60215 жыл бұрын
Duuu brother hauna siasa mzee, kiongozi bora kwa sasa
@manasemgaya12705 жыл бұрын
ee MUNGU tutazame maana wewe mtetezi wetu
@mwajumajuma47694 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭mam ameniliza xan
@damianoadam10415 жыл бұрын
Asante Mkuu wa mkoa@Ally Hapi unafanya kazi nzuri.Mungu akubariki.Nashauri serikali ifanye ukaguzi wa hizi taasisi za mikopo.Kwa jinsi hiyo nyaraka ilivyo kuna uwezekano mkubwa hawafuati sheria na hata ulipaji kodi una walakini.
@nyandwifidele85285 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa..
@dicksonsheja93765 жыл бұрын
Duh mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa Iringa maana umevumbua madudu ambayo watu tulionewa sana
@nelsonombeni56195 жыл бұрын
mh:Mkuu wa mkoa iringa wewe ni kichwa kweli unafaa, mungu akupe maisha marfu
@tonkimaro24955 жыл бұрын
Jah bless u mkuu Wa mkoa..... Kama tupo pamoja gonga like hapo chini
@saidikaputa11954 жыл бұрын
ბ
@bintiiddy70435 жыл бұрын
Mtihani kwakweli binadam hawana huruma hapo kwenye riba hakuna ubinadam kabsa
@samwelmwachitu93425 жыл бұрын
Hongera rc hapi,nilikuwepo kwenye mkutano huo.
@agreymsemwa80215 жыл бұрын
Samwel Mwachitu Iliishaje hii mkuu
@ifruitx20965 жыл бұрын
Hii ni laana sana bwana mulaaniwe nyote munaehusika kwa hili mpaka inaliza hii mambo kwa nini munamfanzia namna hii mama mtu mzima anaewazaa kabisa huyu mlaaniwe inshallah mungu atawanyoosha 🤲🏾
@bernardkibet4 жыл бұрын
Tanzania, give us this great man to be the president of Kenya!!
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
tunamtaka Burundi
@goldgod99635 жыл бұрын
Ukiitazama lazimaa utoee machozi daaa Eee Mungu asante kutuleteaa watetezi wa wanyongee
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Haya mambo ndio tunayahitaji kwa viongozi watetea watu wa chini, maana wanatupenda sana wakati wa kuomba kura wakishapata watapotea, hongera Mh Raisi kwa kuruletea huyu mkuu wa mkoa maana amekua mkombozi kwa wana iringa
@biberpriyer3307 ай бұрын
Mbon hujafika mwisho tuone nn kilitokea 😢😢Big up Mwamba hawa ndo viongoz tunaowataka katik TAIFA letu 😘😘😘
@abuuqaasim48155 жыл бұрын
hivi wewe unaempa huyu mama milioni 3 na laki 5 halafu akurudishie milioni 16 halafu mama mwenyewe ni mlemavu wa macho duuuu ,Ally Happy mungu akuweke sana kakangu
@aliarkam14135 жыл бұрын
Subhanaallah , kwakweli mama anatia huruma kweli ,huo mwiz was mchana kweupe .Inabid tupate mwendelezo wake.
@happinessmartin76225 жыл бұрын
Good job All
@abu-hanifamwenda68524 жыл бұрын
Kaka unanishawishi nikukubali katika kazi yako! Ni jasiri, nakuombea mungu akujaalie uiongeze nchi In Shaa Allah.
@abeidmayanga8095 жыл бұрын
Ivi wewe ALI HAPPY unamoyo waainagan kaka I wish viongozi wote wawekama wewee
@josephinalubanguka18845 жыл бұрын
Abeid Mayanga i
@scollorpatrick72145 жыл бұрын
Safi sana mkuu mungu akupe maisha marefu sana jaman
@wisperfect38605 жыл бұрын
Safi sana upo sawa na makonda wetu uku dar mungu awabariki nawengine wafate nyendo zenu watu tunaonewa sana kwa kuwa tu wanyonge
@yvonsimon40805 жыл бұрын
Oohoo jaman ...dunia haina huruma
@erickmassawe51075 жыл бұрын
tz tungekua na viongoz 20 kama ww mh Tanzania ingekua mbali xana
@susananyasani65265 ай бұрын
Super Service Waziri huwo ndio mwongozo mzuri kwa Wananchi ubarikiwe
@stahimilmassawe85405 жыл бұрын
Jaman ipitishwe sheria watoa riba waingize kwenye kes za utapeli, hata mungu kakata riba jaman mungu akulinde kakyangu happy unasaidia watu sanaa
@Papa2thaE5 жыл бұрын
Hiyo ni mwizi. Hiyo baba mkopeshaji kamatwe na hao PSPF wachekiwe.
@africasightwalktravels1875 Жыл бұрын
Hii haitawai zeeka... Asante sana mkuu wa mkoa. Yaani tunafikaje hapa
@judithmaziku45255 жыл бұрын
Iv jmn kweli wanyonge tunateseka sana unakopeshamtu milion3 na laki tano unataka million 16 dunian hakuna upendo huon hata aibu moyo wako hukusuti unataka utajirikie kwa mulemavu
@witnesimigodela24745 жыл бұрын
Yani mheshimiwa naona Mungu kakutuma kweli kusaidia wanyongeee, maskini huyu mama thambi sana
@amenyekibona87305 жыл бұрын
heri usaidiaye wanyonge maana unajitengenezea akiba ya utu wako,,
@zaheerqassimalarmiye61725 жыл бұрын
Duh! Yani mkopo milioni 3, Halafu riba milion 7. Hakika huu ni unyama wa hali ya juu mno
Angekuwa mkuu wa mkoa dar angetoa uwamuzi opo opo wauni wote awo watumbuliwe
@ismailibrahim13315 жыл бұрын
Alf laki tano liba milion tisa mmmm
@mossymtwana64225 жыл бұрын
Mmh Dunia hii na wanaadamu wamekosa kabisa imani na hofu ya Mungu hakuna inavyoelea hawa wastaafu wanadhulumiwa saana na watu wanaoshughulikia pesa zao za mafao wana shirikiana ba huyo magere pesa zao hawawapi ili waende kwa Magere kukopa ili siku zikipita nyingi ndio watoe hizo pesa magere achukue zoote na agawane na watu wa mafao kwa nini huyo magere a deal na watu wa pension na hao wa pension ndio wanachukua hao wastaafu kwa magere lol
@othumanyahya91684 жыл бұрын
Hongera sana Happy Ally wewe ni kiongozi bora kabisa. Msaidie sana Mwl huyu kwani inatia uchungu sana. Hawa ni matapapeli siyo wazalendo.
@charityusia58975 жыл бұрын
Inauma kwel mwl kanifundisha somo la maarifa ya jamii anafundisha vizur mno pole mwl karinga
@alfredkillo60805 жыл бұрын
hv kwnn wakuu wa mikoa wote wacwe kama huyu mh Ally huyu mkuu wamkoa anafanya msaada mkubwa sana angeweza kukaa tu ofcn kwake akapgwa na kiyoyoz lkn amejiongeza kua ktk jamii yoke kunamaonevu mazto maana haya n maonevu mazto kuwah kutokea hyo n riba ya kias gan ee MUNGU naamin hulal wala hucnzii MUNGU naomba ummulike huyu aliekua anataka kumtapel huyu mama
@friminamkenda74054 жыл бұрын
Mkuu was mkoa wwe mungu akulinde miaka kumi na mitano ijayo unatakiwa uwe rais
@rehemamasoud36875 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mwenyezi mungu atakulipa kwa mema unayowafanyia wanyonge
@lukemelyemwenga29105 жыл бұрын
yaaan kuna watu siku ya mwisho watachomwa kwa makaa ya mawe kwa kwel
@elifasinimpagaritse89254 жыл бұрын
Lukemelye Mwenga hahah
@emmanuelstephens18915 жыл бұрын
Yaani japo simfagilii Ali Hapi ila kwa hili.... Ikiwezekana sweka ndani especially hawa mbuzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii.... Wanasumbua sana! Nawachukia bure!
@shamimhassanzimzimahuyokij45215 жыл бұрын
Yani Kenya tukipata viongozi kama hawa 👏👏👏
@mdsaid89245 жыл бұрын
Asante kwa kulijua hilo
@eldambwaga15994 жыл бұрын
Hongera San mkuu wa mkoa iringa mungu ukulinde uwe na maisha maref ili uendelee kuwasaidia wanyong
MUNGU akupe maisha malefu kiongozi wangu. Kwani MUNGU anawataka wenye moyo wa kuwajali wengine zaidi.
@emmanuelmussa83315 жыл бұрын
Nataka kujua jamani anaefahamu kwisho wa hii kitu ni nini ? Je mama alipata haki yake? Na huyo binti wa mama baada ya kuleta hizo documents zote zilikuwa zinasomeka wamekopa kiasi gani? Na je huyo Magere alipatikana? Inatia huzuni sana kuona binadamu wamegeuka kuwa na tamaa kiasi cha kudhurumu mpka walemavu tena wasioona! Ee Mungu tusaidie na kizazi hiki tulichonacho.😢😢😢
@zuhurasebastian58835 жыл бұрын
Mkopeshaji ana makosa maana yy mwenyewe akuwa na uwakika Wa kulipwa hao wahusika ndiyo washugulikiwe haswa tena wasisikilizwe ata kidogo
@fatimamohammed23325 жыл бұрын
asante sana mkuu wa mkoa asante baba nalia utazan km namjua uyo mama dah shukran sana
@KP-kn2no4 жыл бұрын
We mwasibu muuzi sana
@gabrielmalecela37015 жыл бұрын
Tukiacha maisha ya siasa hiii dunia itakuona ally happy# kila lakheri brother mhim kuzingatia sheria ,wananchi wanapata taaabuuu saana aiseeee...... Upinzani sio uadui, tuungane kwa pamoja kukomesha hiz harakat kandamizi.....kama watu hawatasema bas jiwe litapaza sauti,......
@lilianiq84165 жыл бұрын
Pole Sana mamaangu, mkubwa fanya kazi yako
@asiasalim46344 жыл бұрын
Nimekupenda byre happy my allah blessing you
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Kaka Hapi, Mungu atakulipa, usisite wala kuogopa na kwani fadhila zako Mungu anakuwekea akiba, utainuliwa juu zaidi ili uwafikie wengi
@everlynekakatoi17044 жыл бұрын
napenda kazi yako mkuu,mungu akubariki sana
@stevemaguly16474 жыл бұрын
Riba ya mil3 ni mil 16 dunia imeisha bigup brother Rc mungu akulinde bro
@ifruitx20965 жыл бұрын
Huyu msichana ni mwizi pia hawa ni waizi wafungwe wote mkuu hawa sio wa kuishi kabisa huyu mama ni mlemavu bwana mbona inaliza hii
@ndayambajemartin5694 жыл бұрын
iFruit X20 jzzbsbacwga
@ndayambajemartin5694 жыл бұрын
iFruit X20 jzzbsbacwga
@esnartmagoti92925 жыл бұрын
Uko vizuri sana mh ! Mungu akubariki
@maxjofrey705 жыл бұрын
Napenda viongozi kawa hawa mungu akubariki wewe mkuu wa mkoa
@allymahamed69425 жыл бұрын
Mheshimiwa unafanya kazi nzuri twatamani ungekuwa ndo mkuu wa mkoa wetu wa songwe!
@linkkabzarhamir15035 жыл бұрын
VIONGOZI WATANZANIA WANATUMIA MAGULIFICATION OF LEADERSHIP.
@mrthreesix2805 жыл бұрын
Pole Sana mama story yako inanitoa machozi kweli
@levinanickson65095 жыл бұрын
Jamani hadi nimelia,cyo kwa riba hiyo jamani,kweli nimeamini kuwa nirahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ......
@khamisothman11545 жыл бұрын
KAZI NZURI, NIMEPENDA NAMNA YA MAHOJIANO YALIVYOKWENDA, KILA MMOJA AJIELEZE.
@shakilamasoud89795 жыл бұрын
Wakomeshe baba,,,na Mungu akubariki
@samueljr91055 жыл бұрын
Huyu dada ni jeuri sana "boss wangu boss wangu nkt" TZ huyu mkuu wa mkoa awafaa kuwa president wenu
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Jamani watu wana zambi kaaa
@giannajoji79445 жыл бұрын
Hizi pesa za riba kwa kweli ni tatizo,sisi huku kwetu unakopa 100000 kwa riba ya 50000 kwa mwezi,sasa km unakuwa huipati hiyo 100000 wanakwambia unarejesha cha juu waweza lipa hicho cha juu hata mwaka na bado manyanyaso kibao! Kwa kweli hii ishu itizamwe kwa jicho la tofauti.Mungu akubariki kiongozi.
@lucasdavid61875 жыл бұрын
Uongozi wa mkuu huyo ni wa uzalendo hasa wengi wetu tunamuomba apewe nafasi ya mbele zaidi katika uongozi
@ramadhanisururamadhanisuru32155 жыл бұрын
Kweli bbk Lucas devid
@mkwipunda20365 жыл бұрын
Mh Hapi piga kazi endelea kufukua hayo makaburi maana hii nimeisikiliza huku mwili unasisimka kwa hasira mambo waliyomfanyia huyu Mama
@KP-kn2no4 жыл бұрын
Yaani hamna hata aibu kweli kumuwekea liba kubwa hivyo
@lugomelugome3714 жыл бұрын
hapy...... bigapu chapa kazi iringa moja iyo.....
@burtonmhenga91965 жыл бұрын
Safi kiongozi wangu upo vizuri.
@bahatimmependezamwanginda52025 жыл бұрын
Mh Ally Hapi utabaki Kuwa juu
@charlesmushi53505 жыл бұрын
Nilikua sikupendi but now Nakupenda kwa moyo wangu woote
@kulwajoel24655 жыл бұрын
uyu jamaa ni kiongozi anayefata haki,afanyi kazi kwa masifa
@stevemaguly16474 жыл бұрын
Mungu ampeafya tele rais wetu magufuli
@truthspeaker20624 жыл бұрын
Happy to be muslim . Nn kazi ya riba Riba inamzidishia tajiri na inamkandamiza ama kumuangusha masikini ..
@leilahassan50194 жыл бұрын
Roho mbaya tuache tupendane jaman
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Kiomgozi imara, jasiri, wa kweli
@neemamahusho61934 жыл бұрын
mama umejieleza vizuriiii jmn msaidie
@rahelmasiga15034 жыл бұрын
We RC utaokoa wengi
@annaswai60724 жыл бұрын
Tatizo la ayo TV taarifa zenu hazimaliziki hamkamilishi mpo vizuri ila angalieni ktk hilo
@bimaisarankamia41535 жыл бұрын
Milady mwendekezo wa hii tuwekee
@ahmedathman16244 жыл бұрын
Huyu magufuli mdogo....
@motamohele82525 жыл бұрын
Naomba muendelezo kaka millard.
@abdallahmchange13705 жыл бұрын
Pole mama mungu akufanyie wepesi akupe hitaji lako la moyo
@masumbukosikania20195 жыл бұрын
Grace Ligunda N.
@roanmakero23095 жыл бұрын
Magufuli hoyeeeeee kweli unajua kuchagua wafanyakazi wakafanye kazi sehemu husika
@jamesngundateresia26005 жыл бұрын
ILA KUNA DHAMBI NYINGINE SIJUI KAMA MUNGU ATAZISAMEHE YAANI MNAMDHURUMU HATA KIPOFU JAMANI MMMMMM
@klystry12344 жыл бұрын
James Ngunda Teresia huyo dada anajibu mpk huruma
@crespomaeromajigo69234 жыл бұрын
Inauma sana
@burbiddy3165 жыл бұрын
Daaa!!! hii Dunia hii ....Ndomana Vitabu vya dini vimekataza maswala ya riba
@AbdalahAlly-pw4dt7 ай бұрын
Huyundiokiongozi mungu akubari
@bamdogobetwel62304 жыл бұрын
Riba na ufalme wa Mungu
@epifaniamponda29025 жыл бұрын
Dah nalia tu Maana huyu nikama mama Dah Nawaaaazaaaaa Mimi dah
@SamweliDaud5 жыл бұрын
RC Ally Salum Hapi mkombozi kwa wana Iringa
@augustinongonga35595 жыл бұрын
Samweli Daud
@mgayajofreyj97885 жыл бұрын
Daaah, inauma sana
@ubuzimabuzimatv4 жыл бұрын
Raisi Unapenda wana inchi kabisa Magufuli ni Raisi mwema kabisa