TAZAMA HAPA NDIPO ALIPOZIKWA BILIONEA GINIMBI NYUMBANI KWAKE DOMBOSHAVA

  Рет қаралды 400,974

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 535
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Masikini alikua ana lala ndani kwenye kitanda cha fahari leo ana lala chini allah atupe mwisho wa kheri inshallah
@hakikahoman615
@hakikahoman615 3 жыл бұрын
amin
@grandneo5264
@grandneo5264 3 жыл бұрын
Ksbisa atupe mwisho mwema pesa zote zile wanamxika na mchanga bila kuweka mfuniko wa cement mungu mkubws
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 3 жыл бұрын
Aisha Arusha. Inshallah
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Mmmm kifo kina Tisha my MUNGU ATUJALIE MWISHO MWEMA
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabbi
@mrmangetown4323
@mrmangetown4323 3 жыл бұрын
Daa! Hii clip imenifunza Kitu wakati wa uhai wake alikuwa na marafiki wengi Sana na wanapesa ila wanao msitili ni hawa masikini ambao hawajui hata bei ya whisky wala Ferrari ila wale wavaa suti na mabilionea wenzake waliishia kumchafua kwa anasa za pombe Kali nakujiondokea zao. Mungu naomba nijalie moyo wa kutobagua tabaka lolote kwenye jamii yangu.
@friminamkenda7405
@friminamkenda7405 3 жыл бұрын
Ni kweli umeona tajiri hpo ameshka chepe hmna mungu tupe kujielewa na kutobaguana amen zaidi tukutumikie tukuche na kuacha maovu
@salmasururu7417
@salmasururu7417 3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@rehemaconeriocostance9011
@rehemaconeriocostance9011 3 жыл бұрын
Mim mpk nimelia kiukwwli
@jafariramadhani3264
@jafariramadhani3264 3 жыл бұрын
Umeona eeh
@shangweyussuf640
@shangweyussuf640 3 жыл бұрын
Alikuwa havagui na anafanya charities maisha yake yote. Hao wanaomfukia hapo ni miongoni mwa waliokuwa wakisaidiwa naye
@bonifaceomallya9201
@bonifaceomallya9201 3 жыл бұрын
Pesaaa aiziki mtuu aisee hataa uwe na pesaa vipii watakao kuja kukuchimbia nyumba yako ya milele ni walalaoi ambao kipindi cha uwahi wako ulikuwa unawaona kama vile taka taka aiseee Mungu aniepushiee hiyo dharau
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 3 жыл бұрын
Kumcha Mungu ni jambo la maana sana ata ukifa unakwenda mahali salama, ila shetani huwa anatupeleka kwenye kuwekeza vitu vya ulimwengu na mwisho kifo kinakuja ghafla na kwenda mahali pabaya.tujali sana roho zetu ziwe na uhusiano mzuri na Mungu.
@Your_Boy2006
@Your_Boy2006 3 жыл бұрын
Amen
@lightrich790
@lightrich790 3 жыл бұрын
Kabisa Edward maana.hata hapo wanaomstil n masikin sijaona wale wavaa nguo.nyeupe.na mashampen kama walivyoahid Kifo n Siri tuish kwa.kuthaminiana kwa hali yyte ile
@salamajuma5481
@salamajuma5481 3 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@MsMasola
@MsMasola 3 жыл бұрын
Amen 🙏🏾 ni kweli kabisa hapa Duniani tunapita tu. Na hata mali tulizo nazo ni mali ya mungu tunapaswa kuhudumia wahitaji pia kwakilichopitia katika mikono yetu.
@aristidestarimo6757
@aristidestarimo6757 3 жыл бұрын
Kifo ni mwisho wa maarifa yote ya hapa duniani, Haijalishi ulifannya nin, ulikuwa nan na umeacha nini.. Jamani eeh.. Mungu kwanza. Nakupenda Sana wimbo wa Bushoke, dunia tunapita
@kabumbaaldjimmy7526
@kabumbaaldjimmy7526 3 жыл бұрын
Sisi wa maskini tuna onewa nawa tajiri awa juwi ya kwamba sisi njo tuna wazikaka tu pige like zetu apa
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 3 жыл бұрын
Mungu wangu Muumba mbingu na nchi na vyote vnavyoonekana na visivyoonekana,, naomba unipe moyo wa huruma na unijalie kifo chema
@jamaldinfundi7782
@jamaldinfundi7782 3 жыл бұрын
Na mwisho mwema amiin
@maryephlaz3811
@maryephlaz3811 3 жыл бұрын
Amina
@marrysilverius9996
@marrysilverius9996 3 жыл бұрын
Kweli 2nataftaga pesa za bureee tuu...mwsho we2 ni udongo mungu a2jaalie mwisho mwema tuu na waliotangulia awapunguzie adabu za kaburi🙏🙏🙏
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Kifo kifo kifo🙌🤲ALAH TUJALIE HATMA NJEMA YARABIALAMIN
@sabraabrahmani2558
@sabraabrahmani2558 3 жыл бұрын
Amiin yarabil-allamiin
@devisshirima6780
@devisshirima6780 3 жыл бұрын
Tafuta kwanza hekima ya Mungu ukishaipata omba mali, hii ni sababu mali isikutawale bali hekima ya Mungu ndio ikutawale !! Ukitafuta mali bila kuwa na hekima ya Mungu hapo ndipo huibuka maswali mengi !!! Suleiman alikuwa tajiri lakini aliomba hekima kwanza kabla ya mali !!! Lets focus to God because He is the provider of everything, make Him first and He will consider you first and He will protect you !!
@newchemchem567
@newchemchem567 3 жыл бұрын
Dunia na mambo yote yatapita neno la Mungu litasimama unaeringa kwa ajili ya cheo au kazi mbona huyu kazikwa na watu wa kawaida tu jitafakari wewe matajiri watafukia kaburi lako au ni watu wakawaida amen
@hassannyoni3435
@hassannyoni3435 3 жыл бұрын
Nimeamin maskini ndo kila kitu hapa duniani ona wanaoshika chepe na kumzika bilionea ndo tunaotimuliwa vumbi mtaani na magari yao mungu atupe mwisho mwema Innshaalah.
@mwanaidimajid8382
@mwanaidimajid8382 3 жыл бұрын
si kweli
@ibrahimjoseph2789
@ibrahimjoseph2789 3 жыл бұрын
LA ILLAHA ILA LLAH, kaburi ndio mwisho wa majivuno
@ashaali7154
@ashaali7154 3 жыл бұрын
Huu ndio mwisho wa kila mwanaadamu hakuna tajiri wala masikini njia ni moja tu. Mola amsamehe makosa yake ampe malazi mema Ameen.
@saumually9499
@saumually9499 3 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti Na kila nafsi itaenda kuchuma ilicho panda, Tumuombe mungu atujaalie mwisho mwema Tuondeke katika hii Dunia hali ya kuwa akiwa radhi nasi🤲🤲
@kabyjxjrd9874
@kabyjxjrd9874 3 жыл бұрын
Ameen shukran jazaakallah kheir
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Amjn
@nuraydasworld4431
@nuraydasworld4431 3 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@zuriathkajwangya1724
@zuriathkajwangya1724 3 жыл бұрын
Amin
@salamajuma5481
@salamajuma5481 3 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@janeygory8338
@janeygory8338 3 жыл бұрын
Kazikwa na watu wasiokuwa na hela, watu walevi wa kawaida tu ambao labda katika uai wake hawangefika ata karibu naye, na ata kaburi lake halijawekwa plaster kama tulivyotarajia azikwe kifalme kulingana na uwezo wake mkubwa kifedha. Marafiki wake wa starehe wamo ndani wakinywa na ku party. Mungu tujalie mwisho mwema
@judithakoth1834
@judithakoth1834 3 жыл бұрын
Niliowakosea wote wanisamehe maana sijui kesho yangu,kuna kitu nimejifunza hapa kwenye clip hii,,,Mungu nijalie mwisho mema.
@joharhamis855
@joharhamis855 3 жыл бұрын
😭😭😭
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 жыл бұрын
Wachimba kaburi na wafukiaji ni masikini wale rafiki zake vishua wanafanya party 🙁 Hii imeniongezea uelewa wa maisha 🙏🏼
@justinpeter7040
@justinpeter7040 3 жыл бұрын
Lafiki zake malehemu wenye pesa wamekaambali mbali hawataki vumbi wanao fukia kabuli ni maskini ambao hawakuwahi hata kumshika mkono enzi za uhai wake 🤨🤨
@sabrinasab2910
@sabrinasab2910 3 жыл бұрын
Marafiki wako mbali kabisa
@braidenmuziki8652
@braidenmuziki8652 3 жыл бұрын
nmeelewa kama ulivo elewa wewe mkuu
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 жыл бұрын
@@justinpeter7040 ni tatizo sana
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 жыл бұрын
@@braidenmuziki8652 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@hawankungu7649
@hawankungu7649 3 жыл бұрын
hiv kazikwa kwenye udongo au amepaishwaa angani??
@amoskitege5851
@amoskitege5851 3 жыл бұрын
Pesa haiwezi kukuzika fanya yote ila usije ukamzalau binadamu mwenzako 🙏🙏
@bonifaceomallya9201
@bonifaceomallya9201 3 жыл бұрын
Leoo hiii wanao mzika jamaa ni walala hoi kabisa marafiki zakee wamekaa pembeni wanakunyaa pombeee
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 жыл бұрын
Kwa kweli kifo ndio mwisho wa mambo yote uwe masikini uwe tajiri ila njia yetu ni moja Ila tunatofautiana ck ya kutangulia .R.I.P Ginimbi.
@hassanbaoma8798
@hassanbaoma8798 3 жыл бұрын
Ya allahu biha ya allahu biha bihusnul hatma yaa Allah jaarni minal swahilina wa jaarni minal mutatwahirina wa jaarni fii ibadika swalihina amiiin ya allah
@tofikinaftali4336
@tofikinaftali4336 3 жыл бұрын
Kwa Mungu sio kwa mzungu hakuna atakacho zikwa nacho mwanadamu ila jeneza to na sanda tuwache viburi maisha mafupi
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 3 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna ilaiyhi rajiun Ashes to ashes,dust to dust. Mungu atujaalie mwisho mwema.
@MusaNgao
@MusaNgao 3 жыл бұрын
Ameen
@asminathuman3113
@asminathuman3113 3 жыл бұрын
Amiin
@rashidyrashidy3923
@rashidyrashidy3923 3 жыл бұрын
Aimeen
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 3 жыл бұрын
Ameen
@neemambilinyi6763
@neemambilinyi6763 3 жыл бұрын
🙏
@yahayab4u614
@yahayab4u614 3 жыл бұрын
Dunia ni starehe ya kuondoka upesi na ahera ndiio itabaki milele Mari zisidudanganyee tukajiona tutakaaaa milele na afyaa isitudanganyeeee ,,,,,,sasa anaanza maishaaa ya kabulini mpaka kiamaaa ,,,usiku wa kwanza kabulinii
@naimasaid7763
@naimasaid7763 3 жыл бұрын
Mm nilifiliri hilo kaburi lake litakuwa kama mfano wa kaburi la mkapa, kumbe kazikwa kawaida tu, Ama kweli pesa si kitu mbele ya kifo, alikua analala kwenye kitanda chenye thamani yake lkn leo hii kaenda kuulalia udongo, Yaa Allah tujaalie mwisho mwema viumbe wako.
@ayshaothman3995
@ayshaothman3995 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulaze unapo stahili
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Nikionaga hivi naona Mda wowote Nami itakua hivi yarabil tupe mwisho mwema sote tunapita kwenye mlango Wa mauti
@allymtaki8411
@allymtaki8411 3 жыл бұрын
Wale mabos wenzie hawashiki chepe wanakimbiavumbi maisha hayaaa, mungu amlaze mahali pema peponi
@arnoldmollel5241
@arnoldmollel5241 3 жыл бұрын
Pesaa
@shakiramcheni8684
@shakiramcheni8684 3 жыл бұрын
Dah kifo bwana eti Huwo udongo wote amefukiwa bilionea lakini leo ameacha kila kitu na amelala kwenye udongo hakuna taa wala kitanda wala AC hakuna
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Duh sijawai ona bilionea anafukiwa na udongo matajir tu wajaengewa yeye naona atajengewa kwajuu
@jafariramadhani3264
@jafariramadhani3264 3 жыл бұрын
Ni kweli
@mgeniyahaya1072
@mgeniyahaya1072 3 жыл бұрын
QAg b
@dorisjessy5960
@dorisjessy5960 3 жыл бұрын
Kwani wewe ukizikwa utaenda kupepewa na kipepeo kaburini hiyo ni njia yetu soote bna
@kimchemm7494
@kimchemm7494 3 жыл бұрын
@@dorisjessy5960 wambie dada yangu iyo ni njia tu sisi zote na mungu anajua mengine tusiwe watu wakuhukumu na sisi bado tuko safarini jamani
@ashengaboy3111
@ashengaboy3111 3 жыл бұрын
Daaah tuishi kwa upendoo na tueshimianeee woteee maan rafki waleo ndoo adui wa keshoo r I p ginimbi
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Hii ndio kiboko ya jeuli kifo ni kiboko yao . Mungu atupe mwisho mwema maana kifo kipo mda wowote tu tunatembea nacho
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
khaaaaa!! yan na umaarufu wote huo anazikikwa na kurudhiwa vumbi kienyeji vile!!!! nlidhan atashushwa kaburin kisasa na mitambo maalum du! mungu atupe kujitambua wakat wa uhai wetu tukumbke kumcha!
@kabitotv1302
@kabitotv1302 3 жыл бұрын
Umeona wanaozika wote watu wa hali ya chini na hao mabilionea wako wap ehhhhh mungu tusaidie
@mushishamimu6954
@mushishamimu6954 3 жыл бұрын
Nimepata funzo.Hata tukiwa na fedha nyingi tukumbuke kuwa wote makazi yetu ni udongo ndipo tusubiri hukumu
@maryamkhatau9445
@maryamkhatau9445 3 жыл бұрын
Msiba ni SoMo Leo kafukiwa yeye kesho mie au weye tujiandae ndugu zangu😭😭😭😭😭 najivutia picha siku yangu ikifika Allah tuhurumie waja wako
@melkizedekanthony4151
@melkizedekanthony4151 3 жыл бұрын
Allah alishatuhurumia ndo maana akamlete neno wake kwetu yaani Yesu Kristo, akafa akazikwa na akafufuka siku ya Tatu. Njoo kwa Yesu na hautaogopa kifo kwani mauti imeshindwa ukiwa ndani ya Yesu. Haleluya.
@maryamkhatau9445
@maryamkhatau9445 3 жыл бұрын
@@melkizedekanthony4151 amini Imani yako na Mimi nabaki na kwangu huyo kwako ni yesu kwangu Mimi ni nibii Issa as daima utalipa kwa dhambi zako
@melkizedekanthony4151
@melkizedekanthony4151 3 жыл бұрын
@@maryamkhatau9445 acha hizo bana khatau, unajua kuzaliwa ndani ya dini ni kitu hatari maana unarithi imani za baba yako. Kaa umuombe Mungu akuoneshe ukweli. Yesu ndiye njia, kweli na uzima. Usikubali kurithi tu imani na ukakubaliana nayo.
@rashidmohammed550
@rashidmohammed550 3 жыл бұрын
Mungu atukumbuke
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 3 жыл бұрын
Kwenye parties alikuwa ana henda na matajiri wenzake; ila kwenye kaburi lake au nyumba ake ya milele wanao lichimba ni maskini wanao kosa ata Bando ambao haku wai kuwaita kwenye party zake.. R.I.P 😭😭😭😭
@joshuasamson4174
@joshuasamson4174 3 жыл бұрын
Ukiona mtu anazikwa heshima zote na nguvu zote ujue kanisani alikuwa muumini mzuri maaskofu huwa wanasema jamani tumjengee kaburi muumini mwezetu lakini unakuta hajawahi kulanyanga kanisani Amezikwa na wahuni bora dada yake angekondisha watu wajenge kaburi lake yaani
@florencekabado8931
@florencekabado8931 3 жыл бұрын
Kweli mwanadamu ni mavumbi,na mavumbi tutarejea.Mwisho wa safari yako ni Mungu pekee anajua.
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 3 жыл бұрын
Marafiki wako wapi niliskia wangevaa white eti kuenzi uhai wake.Best frnd n muumba wetu kwakwel.kazikwa na watu wachini kabisaa
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 3 жыл бұрын
Dah Aiseee kweli binadamu tunapita kalinga na pesa mali majumba ya kifahari vyote kaviyacha wanandugu tufanye ibada
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Kifo bn Leo unqlala nje kwa mchanga unaacha jumba na samanizote ndani
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
wachimba kaburi ni watu wa kawaida sanaaa wale hunaona awafai urafiki na ww.ila marafiki zako kipenz watajitenga mbali ili vumbi lisi wachafue *Ukieliwa kifo utayaelewa maisha*
@boylondontztz920
@boylondontztz920 3 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali alipojichagulia.zote tutaonja umauti.jiadaeni roho na mioyo yenu.
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Daaa umesema kweli sana ndugu.Mungu hutuweka mahali tulipojichagulia kutokana na jinsi tulivyoishi hapa duniani. Inabidi mapadre na mashehe waige huu msemo.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 жыл бұрын
Kabisa, kila m2 anajichagulia mwenyewe.
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kabsaa na sio eti nkila anaekufa mahali pema peponi.n pahali uliojichaguliaa.
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
@@myunaniniahmad6463 ukwel uu.
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 3 жыл бұрын
Nimependa hii comment
@subzigzig6726
@subzigzig6726 3 жыл бұрын
Bilionea anazikwa na watu dhariri kabisaa ambao angekua hai wasinge hata msogelea kabisa na kumgusa wauuunii hahahaha wanafukia tu hawana habari binadamu wote ni sawa
@kramsjunior4447
@kramsjunior4447 3 жыл бұрын
Masela wanarusha chepe tuu😂😂😂😂
@manttheboss7545
@manttheboss7545 3 жыл бұрын
Kifo Nouma pamoja na utajiri wote wanaoshika chepe kumzika ni maskini tu matajiri wao ni kuaga tu.
@marykatanga3283
@marykatanga3283 3 жыл бұрын
Mungu azid kupewa sifa mana hachagui tajir wala maskini wote tunakufa tu
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 жыл бұрын
Tutafute ela tuache kuwasingizia waliofanikiwa ni freemason.
@susanraphael5894
@susanraphael5894 3 жыл бұрын
Sure
@zkytv6926
@zkytv6926 3 жыл бұрын
Kweli kabisa👏🏿👏🏿
@kayombokayombo9609
@kayombokayombo9609 3 жыл бұрын
Amin
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 жыл бұрын
Goodluck Temu....umeongea bonge la point coz watu wanaishi kukariri
@ramadhaniomar5225
@ramadhaniomar5225 3 жыл бұрын
Hamna jamaa ni real masonic niliwahi chart nae mwaka flani hivi maisha yalipo yumba sana ila nimtu peace sana rest in peace
@franciskayombo1499
@franciskayombo1499 3 жыл бұрын
Tajiri haziki lkn tukumbuke hakuna tajiri bila maskini
@zawadpaulochalochalo6406
@zawadpaulochalochalo6406 3 жыл бұрын
Hao matajili wenzake mbona hawaonekani wanamzika masiki jamani hata kujengeya tu kaburi imeshindikana mungu tupe mwisho mwema katika hii duniya🙏🙏
@chrismasiakidasi4300
@chrismasiakidasi4300 3 жыл бұрын
Nimejifuza kitu Kikubwa Sana kupitia Msiba huu usimzarau mtu leo kazikwa na watu ambao pengine ezi za uhai wake walionekana si chochote Mungu naomba hekima yako🙏🙏
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 3 жыл бұрын
Kuzikwa na mtu yoyote sio issue uwo mwili unaludi mahali pake na roho mahali pake kwahio LA msingi kutengeneza njia zako na Mungu
@blacknature3691
@blacknature3691 3 жыл бұрын
Wenye kuzika wamelewa top 😔😔😔
@samuelhenry9194
@samuelhenry9194 3 жыл бұрын
Hayo ndiyo mazishi ya aibu ya billionea kuzikwa na vijana wahuni na wavuta bangi. Ama kweli thamani yako iko ktk uhai na uzima wako na si baada ya kufa.
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 3 жыл бұрын
Sio mazishi ya aibu hawa ni miongoni mwa wale alowasaidia
@samuelhenry9194
@samuelhenry9194 3 жыл бұрын
@@mabyserolouchcraig2431 Mtindo au muonekano wa tukio hilo, utulivu na nidhamu ya watu wanaoshiriki kuhifadhi au kuustiri mwili wa marehemu, mazingira na watu ndiyo sababu yangu kuyaona kama mazishi ya aibu, lakini vinginevyo bado haiwezekani watu wa aina hiyo pekee kuwa sehemu ya watu aliyowasaidia kwasababu wanaoonekana kufanya shughuli hiyo ni kundi la vijana wahuni na pengine walevi na wabwia madawa ya kulevya. Nisamehe ikiwa kwa mtazamo na tafasiri yangu inakwenda kinyume na ww.🙏🙏
@Hasha-zt2oy
@Hasha-zt2oy 3 жыл бұрын
Imeisha iyooo
@mariamjuma7164
@mariamjuma7164 3 жыл бұрын
Jaman bona wanakelele sana ka Wapo sokoni.ee jamanieeeee uislam neema kwakweli
@geitanjonas3099
@geitanjonas3099 3 жыл бұрын
Matajiri wenzake wapo mbali kwenye magari maskini wenzetu ndio wanaokuzika tujifunze kitu kwnye uhai
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Watu wange jua maskini ndio watakuzika ukifa wasingekua waki watimulia mbali nyakati za sherehe. Tajiri gani akashike jembe
@Directortomwillz
@Directortomwillz 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/kHbGfnt-gt2do9U
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Kweli kabisa yaan daah mpka huruma,yule ambae umdhanii ndie atabeb koleo na jembe kufukia mchna,ila yote memaa
@kikotikikoki2560
@kikotikikoki2560 3 жыл бұрын
@@happyjohn5882 mmm mhhhhhh ndugu we acha tu hapo ndipo tunasemaga acha mungu aitwe mungu
@peninacharles273
@peninacharles273 3 жыл бұрын
Yan umeongea kitu cha maana sana nichokuwa nakifikiria wakati nangalia hi video apa dah
@wanderenyeura9011
@wanderenyeura9011 3 жыл бұрын
Mwenyewe nliangalia nkawaza hivi hivi,
@muksiniabdallah7947
@muksiniabdallah7947 3 жыл бұрын
Magari yte yle ata funguo wa gari ajaachiwa vyooote kaacha ,kifoniukumbusho mkubwa kwa mwenyekukumbk
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 жыл бұрын
Ivi kweli iyo magari itawashwa na funguo gan
@litclass7178
@litclass7178 3 жыл бұрын
Mnajisikiaje kutudanganya atazikwa na gunia la pesa?
@BensidaMusic
@BensidaMusic 3 жыл бұрын
Nambona kwenye matanga sijawai ona milionears wakishika kijiko tujaza mchanga ...kifo kina Siri... Rip
@mpamilamihayo7266
@mpamilamihayo7266 3 жыл бұрын
Walio mzika ni masikini subhanallah
@tatuta6529
@tatuta6529 3 жыл бұрын
A i p mbele yake nyuma yetu mungu aipumzishe roho yake maali pema
@devisshirima6780
@devisshirima6780 3 жыл бұрын
Kama Mungu akiwa ndio chaguo lako la kwanza dunia na fahari zake hazitokutawala, bali wewe ndio utaweza kuvitawala kwa msaada wa Mungu !! Usikubali mwili ndio uiendeshe nafsi yako !! Maana mwili uozao huidanganya nafsi isiyooza ikahukumiwa katika uchungu !!
@estarwille8272
@estarwille8272 3 жыл бұрын
Daah! Hata ufanye nn apa chini ndo mwishi wake kibaya zaid hatujua mda wala saa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 3 жыл бұрын
Huwa najisemea mwenyewe, Sasa mm ninafaida gani yakua tajir halafu masikin wanateseka , ewe mwenyezimungu nakuomba usinijaalie kuwa tajir ikiwa sinamoyo wakuwasaidia wanyonge
@saidmaneno1305
@saidmaneno1305 3 жыл бұрын
Muombe Mungu utajiri na moyo wa kusaidia wanyonge. Kwani ufakiri ni nusu ya Ukafiri.
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 жыл бұрын
Matajili wapo wakula biriani. masikini wamzika bilionea kazikwa kama paka alidokoa mnofu
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 3 жыл бұрын
Tunapofanikiwa kupata Mali hatuna budi kuwasaidia maskini,, pamoj na ufahari wote kazikwa na watu Wa chini sana
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 жыл бұрын
Hapo ndo ukifikiria sana utajili unaona auna maana jumba lote kaliachq na alijamsaidia kitu kaenda kulala sehemu ambayo hata laki aifiki binadamu tujitahidi kuwekeza zaidi kwq mungu kuliko duniani huyu shetani anatundanfanya tukifa anatukimbia tunabaki wenyewe na mungu wetu
@athmanissa9264
@athmanissa9264 3 жыл бұрын
Kipo cha kujiifunzaa Hakika duniani tumekuja km tulivyo na tutaondoka km tulivyo kuja Ukiangalia Hawa wanao mzika ni malofa km mm yaan maskini naiman wamelipwa ili wamfukie kwa pesa yake mwenyewe akuna tajili alie shika chepe hii ina maana tusi dhalaulianee Mungu tujalie mwisho mwemaa
@hasanissantambarasamata3419
@hasanissantambarasamata3419 3 жыл бұрын
Naangalia wanao mzika yani ni watu wakawaida tu sioni tajir alieshika koleo hapo, daaah ila siyo poa
@thedirtybook2213
@thedirtybook2213 3 жыл бұрын
Amekufa tajiri lakin anazikwa na maskin tena wengine walev maan saut zao naziskia,na sijawah ona matajir wakizika makaburin zaid ya kuhudhuria, Piga like kuwa maskin bado ni wenye nguvu
@denicekabagile4912
@denicekabagile4912 3 жыл бұрын
Jamani kweli dunia mapito
@hasinarashid2768
@hasinarashid2768 3 жыл бұрын
Hapo ndipo mwisho wa kila kituu hata uwe na pesa vp. Mungu mpe kauli thabiti mja wako
@goodlucky8532
@goodlucky8532 3 жыл бұрын
Matajiri muwapende masikini ndo tunaowazika matajiri wenzenu wanashangaa tu ata kushila chepeo no.... Sio mnajifany all white party nkija na Bicycle yng mnanizuia kuingia tutawarushia makokoto.... Tujifunze kupendana jmn
@martinejoseph6098
@martinejoseph6098 3 жыл бұрын
Ingekua bongo bongo wangejenga kaburi...ila jamaa na hela zake wahuni wanafukia tuu bila hata kujenga duh😥
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 3 жыл бұрын
Umeonae tena wataanza kuzusha kuwa ndiyo masharti yq utajiri wake
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Yani angekua ndani ya tiles za kioo
@grandneo5264
@grandneo5264 3 жыл бұрын
Eti nashangaa masikini ndio wanafukia matajiri wenzie wameondoka pesa zote zile hata kujengea kweli alikuwa freemason
@feysalismail4768
@feysalismail4768 3 жыл бұрын
Tumuombe mungu atujalie mwisho mwema inshaallah
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 3 жыл бұрын
Mazishi ya ajabu Sana hta kulijenga kburi hkuna matajiri wenzke hawaonekni kburi linafukiwa majbu hya 😂😂😂
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Yn Habra ndo imeisha na wenda washaenda hawana mali zake uko na kuxifivha kbs
@meshackkilevo9259
@meshackkilevo9259 3 жыл бұрын
Kaujenzi nini?
@agrialauzi3097
@agrialauzi3097 3 жыл бұрын
Wenye hawani pesa ndo wanamfinika tusidharau maskini
@maryammohd5994
@maryammohd5994 3 жыл бұрын
MBNA sijaona watu walovaa nguo nyeupe..utaringaa wee mwisho wake kufunikwa dongo TU🙄🙄🙄🙄
@salumkarim69
@salumkarim69 3 жыл бұрын
siku zote masikini huwa wadharauliwa lakini bila kukumbuka kuwa ndyo wazikaji watakao kuzika
@rachaeldhahabu5096
@rachaeldhahabu5096 3 жыл бұрын
Sasa mbona hawajamwekea slab jamani pesa yote munashindwa na kujengea kaburi zuri na kueka slab hamna
@frankmgendi3454
@frankmgendi3454 3 жыл бұрын
Ww muweka post hii mungu anakuona
@shiksshiks8494
@shiksshiks8494 3 жыл бұрын
🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ yaani mtu akifa anasahaulika haraka ivo walecwa champagne wako wapi ama hawataki kuchafuka na udongo?kaa vizuri na watu wenu na wanakijiji ndo watakuzika....🤔🤔🤔🙄🙄🙄🙄🙄
@zabronnkoy3167
@zabronnkoy3167 3 жыл бұрын
Matajiri waheshimuni masikini maana hao ndio wa kuwazika ..hapo sijaona Tajiri ht mmoja akirusha mchanga
@sanimoclassic1917
@sanimoclassic1917 3 жыл бұрын
Hayo majinga yanarushiana udongo kwel makubwa jinga
@gilbertwafula8008
@gilbertwafula8008 3 жыл бұрын
dunia ni mapito na kila mtu atapita.hakuna anayejua mipango ya Mungu.hata hivyo hizi ndo siku za mwjsho
@omaryshafii1174
@omaryshafii1174 3 жыл бұрын
Msela anazikwa na masela, dunia mapito na haina chochote
@dioncmusic402
@dioncmusic402 3 жыл бұрын
Nimejifunza tujitahidi kuishi na watu vizuriii,maana ukifa huwezi jua ninan atakaye kuzika,bilionea leo anatupiwa mchanga hata na mtu ambaye alishindwa kumsaidia maji ya kunywa😭😭rip ginimbi mbele yako nyuma yetu
@Craftiummah123
@Craftiummah123 3 жыл бұрын
I am here to join this session, Stay connected.
@abdallahahmedmmary225
@abdallahahmedmmary225 3 жыл бұрын
DUNIA NI MAPITO AN MWENYE AKILI HUZINGATIA WANAO MZIKA WENGI NI MASKINI APO
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 жыл бұрын
True
@africandarling6925
@africandarling6925 3 жыл бұрын
Sadakita
@hassaniomary4972
@hassaniomary4972 3 жыл бұрын
Umeonaeee tajili Hana mda wakuchimba kabuli
@husenhamis1173
@husenhamis1173 3 жыл бұрын
Yaaan maskini wote peponi
@zach4068-c9e
@zach4068-c9e 3 жыл бұрын
@@husenhamis1173 🙏🙏🙏🙏
@clarapendo8251
@clarapendo8251 3 жыл бұрын
Kweli atakae kuzika humjui usimtegemee mwanadam
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 3 жыл бұрын
Kikubwa na kumjua Mungu tu ya Duniani ni ubatiri mtupu
@martinmsechu8834
@martinmsechu8834 3 жыл бұрын
Acheni kuxingua watu hapo kuna kaburi gan
@mushishamimu6954
@mushishamimu6954 3 жыл бұрын
Allah tujaalie mwisho mwema Yarrabi
@mbecheterombeche3375
@mbecheterombeche3375 3 жыл бұрын
Kumbe hata uwe pesa vipj utazikwa na masikini duuuuu sikujua
@athumaniwazirisengoli4321
@athumaniwazirisengoli4321 3 жыл бұрын
Kul nafsi kul limaut allah ampokee
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 3 жыл бұрын
Nilijuwa kabuli litakuwa la kufunua mweeh
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Kaacha mke na watoto?
@estherkimario7940
@estherkimario7940 3 жыл бұрын
Mmmmh kifo bhana mbona anazikwa Kama watu wasokuwa na pesa
@Sogga_lee
@Sogga_lee 3 жыл бұрын
Njia ni moja yetu nyumba yako ya milele ni kaburi , muombe Mungu sana mwisho wako uwe mzuri
Inside Ginimbi's mansion in rural Domboshava (Part 2).
10:34
Shumba News Network
Рет қаралды 11 М.
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
Dkt. Hussen Mwinyi. ona jinsi alivyo ondoka bada ya swala ya Ijumaa Mkwajuni
1:50
Maahadishifaa Kivunge Tv
Рет қаралды 38 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Jua Kali Leo Ijumaa Usiku 18-10-2024
21:21
KASKAZINI - Tv
Рет қаралды 38 М.
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34