Masikini alikua ana lala ndani kwenye kitanda cha fahari leo ana lala chini allah atupe mwisho wa kheri inshallah
@hakikahoman6153 жыл бұрын
amin
@grandneo52643 жыл бұрын
Ksbisa atupe mwisho mwema pesa zote zile wanamxika na mchanga bila kuweka mfuniko wa cement mungu mkubws
@muungujaunguja86093 жыл бұрын
Aisha Arusha. Inshallah
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Mmmm kifo kina Tisha my MUNGU ATUJALIE MWISHO MWEMA
@salmaalimusa5473 жыл бұрын
Amiin yaa Rabbi
@mrmangetown43233 жыл бұрын
Daa! Hii clip imenifunza Kitu wakati wa uhai wake alikuwa na marafiki wengi Sana na wanapesa ila wanao msitili ni hawa masikini ambao hawajui hata bei ya whisky wala Ferrari ila wale wavaa suti na mabilionea wenzake waliishia kumchafua kwa anasa za pombe Kali nakujiondokea zao. Mungu naomba nijalie moyo wa kutobagua tabaka lolote kwenye jamii yangu.
@friminamkenda74053 жыл бұрын
Ni kweli umeona tajiri hpo ameshka chepe hmna mungu tupe kujielewa na kutobaguana amen zaidi tukutumikie tukuche na kuacha maovu
@salmasururu74173 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@rehemaconeriocostance90113 жыл бұрын
Mim mpk nimelia kiukwwli
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Umeona eeh
@shangweyussuf6403 жыл бұрын
Alikuwa havagui na anafanya charities maisha yake yote. Hao wanaomfukia hapo ni miongoni mwa waliokuwa wakisaidiwa naye
@bonifaceomallya92013 жыл бұрын
Pesaaa aiziki mtuu aisee hataa uwe na pesaa vipii watakao kuja kukuchimbia nyumba yako ya milele ni walalaoi ambao kipindi cha uwahi wako ulikuwa unawaona kama vile taka taka aiseee Mungu aniepushiee hiyo dharau
@edwinalexander11703 жыл бұрын
Kumcha Mungu ni jambo la maana sana ata ukifa unakwenda mahali salama, ila shetani huwa anatupeleka kwenye kuwekeza vitu vya ulimwengu na mwisho kifo kinakuja ghafla na kwenda mahali pabaya.tujali sana roho zetu ziwe na uhusiano mzuri na Mungu.
@Your_Boy20063 жыл бұрын
Amen
@lightrich7903 жыл бұрын
Kabisa Edward maana.hata hapo wanaomstil n masikin sijaona wale wavaa nguo.nyeupe.na mashampen kama walivyoahid Kifo n Siri tuish kwa.kuthaminiana kwa hali yyte ile
@salamajuma54813 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@MsMasola3 жыл бұрын
Amen 🙏🏾 ni kweli kabisa hapa Duniani tunapita tu. Na hata mali tulizo nazo ni mali ya mungu tunapaswa kuhudumia wahitaji pia kwakilichopitia katika mikono yetu.
@aristidestarimo67573 жыл бұрын
Kifo ni mwisho wa maarifa yote ya hapa duniani, Haijalishi ulifannya nin, ulikuwa nan na umeacha nini.. Jamani eeh.. Mungu kwanza. Nakupenda Sana wimbo wa Bushoke, dunia tunapita
@kabumbaaldjimmy75263 жыл бұрын
Sisi wa maskini tuna onewa nawa tajiri awa juwi ya kwamba sisi njo tuna wazikaka tu pige like zetu apa
@deogratiusdominick88823 жыл бұрын
Mungu wangu Muumba mbingu na nchi na vyote vnavyoonekana na visivyoonekana,, naomba unipe moyo wa huruma na unijalie kifo chema
@jamaldinfundi77823 жыл бұрын
Na mwisho mwema amiin
@maryephlaz38113 жыл бұрын
Amina
@marrysilverius99963 жыл бұрын
Kweli 2nataftaga pesa za bureee tuu...mwsho we2 ni udongo mungu a2jaalie mwisho mwema tuu na waliotangulia awapunguzie adabu za kaburi🙏🙏🙏
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Kifo kifo kifo🙌🤲ALAH TUJALIE HATMA NJEMA YARABIALAMIN
@sabraabrahmani25583 жыл бұрын
Amiin yarabil-allamiin
@devisshirima67803 жыл бұрын
Tafuta kwanza hekima ya Mungu ukishaipata omba mali, hii ni sababu mali isikutawale bali hekima ya Mungu ndio ikutawale !! Ukitafuta mali bila kuwa na hekima ya Mungu hapo ndipo huibuka maswali mengi !!! Suleiman alikuwa tajiri lakini aliomba hekima kwanza kabla ya mali !!! Lets focus to God because He is the provider of everything, make Him first and He will consider you first and He will protect you !!
@newchemchem5673 жыл бұрын
Dunia na mambo yote yatapita neno la Mungu litasimama unaeringa kwa ajili ya cheo au kazi mbona huyu kazikwa na watu wa kawaida tu jitafakari wewe matajiri watafukia kaburi lako au ni watu wakawaida amen
@hassannyoni34353 жыл бұрын
Nimeamin maskini ndo kila kitu hapa duniani ona wanaoshika chepe na kumzika bilionea ndo tunaotimuliwa vumbi mtaani na magari yao mungu atupe mwisho mwema Innshaalah.
@mwanaidimajid83823 жыл бұрын
si kweli
@ibrahimjoseph27893 жыл бұрын
LA ILLAHA ILA LLAH, kaburi ndio mwisho wa majivuno
@ashaali71543 жыл бұрын
Huu ndio mwisho wa kila mwanaadamu hakuna tajiri wala masikini njia ni moja tu. Mola amsamehe makosa yake ampe malazi mema Ameen.
@saumually94993 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti Na kila nafsi itaenda kuchuma ilicho panda, Tumuombe mungu atujaalie mwisho mwema Tuondeke katika hii Dunia hali ya kuwa akiwa radhi nasi🤲🤲
@kabyjxjrd98743 жыл бұрын
Ameen shukran jazaakallah kheir
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Amjn
@nuraydasworld44313 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@zuriathkajwangya17243 жыл бұрын
Amin
@salamajuma54813 жыл бұрын
Amin thuma Amin
@janeygory83383 жыл бұрын
Kazikwa na watu wasiokuwa na hela, watu walevi wa kawaida tu ambao labda katika uai wake hawangefika ata karibu naye, na ata kaburi lake halijawekwa plaster kama tulivyotarajia azikwe kifalme kulingana na uwezo wake mkubwa kifedha. Marafiki wake wa starehe wamo ndani wakinywa na ku party. Mungu tujalie mwisho mwema
@judithakoth18343 жыл бұрын
Niliowakosea wote wanisamehe maana sijui kesho yangu,kuna kitu nimejifunza hapa kwenye clip hii,,,Mungu nijalie mwisho mema.
@joharhamis8553 жыл бұрын
😭😭😭
@ommietrendz71753 жыл бұрын
Wachimba kaburi na wafukiaji ni masikini wale rafiki zake vishua wanafanya party 🙁 Hii imeniongezea uelewa wa maisha 🙏🏼
@justinpeter70403 жыл бұрын
Lafiki zake malehemu wenye pesa wamekaambali mbali hawataki vumbi wanao fukia kabuli ni maskini ambao hawakuwahi hata kumshika mkono enzi za uhai wake 🤨🤨
@sabrinasab29103 жыл бұрын
Marafiki wako mbali kabisa
@braidenmuziki86523 жыл бұрын
nmeelewa kama ulivo elewa wewe mkuu
@ommietrendz71753 жыл бұрын
@@justinpeter7040 ni tatizo sana
@ommietrendz71753 жыл бұрын
@@braidenmuziki8652 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@hawankungu76493 жыл бұрын
hiv kazikwa kwenye udongo au amepaishwaa angani??
@amoskitege58513 жыл бұрын
Pesa haiwezi kukuzika fanya yote ila usije ukamzalau binadamu mwenzako 🙏🙏
@bonifaceomallya92013 жыл бұрын
Leoo hiii wanao mzika jamaa ni walala hoi kabisa marafiki zakee wamekaa pembeni wanakunyaa pombeee
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Kwa kweli kifo ndio mwisho wa mambo yote uwe masikini uwe tajiri ila njia yetu ni moja Ila tunatofautiana ck ya kutangulia .R.I.P Ginimbi.
@hassanbaoma87983 жыл бұрын
Ya allahu biha ya allahu biha bihusnul hatma yaa Allah jaarni minal swahilina wa jaarni minal mutatwahirina wa jaarni fii ibadika swalihina amiiin ya allah
@tofikinaftali43363 жыл бұрын
Kwa Mungu sio kwa mzungu hakuna atakacho zikwa nacho mwanadamu ila jeneza to na sanda tuwache viburi maisha mafupi
@khalekichambo11313 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna ilaiyhi rajiun Ashes to ashes,dust to dust. Mungu atujaalie mwisho mwema.
@MusaNgao3 жыл бұрын
Ameen
@asminathuman31133 жыл бұрын
Amiin
@rashidyrashidy39233 жыл бұрын
Aimeen
@mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын
Ameen
@neemambilinyi67633 жыл бұрын
🙏
@yahayab4u6143 жыл бұрын
Dunia ni starehe ya kuondoka upesi na ahera ndiio itabaki milele Mari zisidudanganyee tukajiona tutakaaaa milele na afyaa isitudanganyeeee ,,,,,,sasa anaanza maishaaa ya kabulini mpaka kiamaaa ,,,usiku wa kwanza kabulinii
@naimasaid77633 жыл бұрын
Mm nilifiliri hilo kaburi lake litakuwa kama mfano wa kaburi la mkapa, kumbe kazikwa kawaida tu, Ama kweli pesa si kitu mbele ya kifo, alikua analala kwenye kitanda chenye thamani yake lkn leo hii kaenda kuulalia udongo, Yaa Allah tujaalie mwisho mwema viumbe wako.
@ayshaothman39953 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulaze unapo stahili
@rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын
Nikionaga hivi naona Mda wowote Nami itakua hivi yarabil tupe mwisho mwema sote tunapita kwenye mlango Wa mauti
@allymtaki84113 жыл бұрын
Wale mabos wenzie hawashiki chepe wanakimbiavumbi maisha hayaaa, mungu amlaze mahali pema peponi
@arnoldmollel52413 жыл бұрын
Pesaa
@shakiramcheni86843 жыл бұрын
Dah kifo bwana eti Huwo udongo wote amefukiwa bilionea lakini leo ameacha kila kitu na amelala kwenye udongo hakuna taa wala kitanda wala AC hakuna
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Duh sijawai ona bilionea anafukiwa na udongo matajir tu wajaengewa yeye naona atajengewa kwajuu
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Ni kweli
@mgeniyahaya10723 жыл бұрын
QAg b
@dorisjessy59603 жыл бұрын
Kwani wewe ukizikwa utaenda kupepewa na kipepeo kaburini hiyo ni njia yetu soote bna
@kimchemm74943 жыл бұрын
@@dorisjessy5960 wambie dada yangu iyo ni njia tu sisi zote na mungu anajua mengine tusiwe watu wakuhukumu na sisi bado tuko safarini jamani
@ashengaboy31113 жыл бұрын
Daaah tuishi kwa upendoo na tueshimianeee woteee maan rafki waleo ndoo adui wa keshoo r I p ginimbi
@sidratybinkhamis28373 жыл бұрын
Hii ndio kiboko ya jeuli kifo ni kiboko yao . Mungu atupe mwisho mwema maana kifo kipo mda wowote tu tunatembea nacho
@janegeogre32342 жыл бұрын
khaaaaa!! yan na umaarufu wote huo anazikikwa na kurudhiwa vumbi kienyeji vile!!!! nlidhan atashushwa kaburin kisasa na mitambo maalum du! mungu atupe kujitambua wakat wa uhai wetu tukumbke kumcha!
@kabitotv13023 жыл бұрын
Umeona wanaozika wote watu wa hali ya chini na hao mabilionea wako wap ehhhhh mungu tusaidie
@mushishamimu69543 жыл бұрын
Nimepata funzo.Hata tukiwa na fedha nyingi tukumbuke kuwa wote makazi yetu ni udongo ndipo tusubiri hukumu
@maryamkhatau94453 жыл бұрын
Msiba ni SoMo Leo kafukiwa yeye kesho mie au weye tujiandae ndugu zangu😭😭😭😭😭 najivutia picha siku yangu ikifika Allah tuhurumie waja wako
@melkizedekanthony41513 жыл бұрын
Allah alishatuhurumia ndo maana akamlete neno wake kwetu yaani Yesu Kristo, akafa akazikwa na akafufuka siku ya Tatu. Njoo kwa Yesu na hautaogopa kifo kwani mauti imeshindwa ukiwa ndani ya Yesu. Haleluya.
@maryamkhatau94453 жыл бұрын
@@melkizedekanthony4151 amini Imani yako na Mimi nabaki na kwangu huyo kwako ni yesu kwangu Mimi ni nibii Issa as daima utalipa kwa dhambi zako
@melkizedekanthony41513 жыл бұрын
@@maryamkhatau9445 acha hizo bana khatau, unajua kuzaliwa ndani ya dini ni kitu hatari maana unarithi imani za baba yako. Kaa umuombe Mungu akuoneshe ukweli. Yesu ndiye njia, kweli na uzima. Usikubali kurithi tu imani na ukakubaliana nayo.
@rashidmohammed5503 жыл бұрын
Mungu atukumbuke
@chantalmulasi56633 жыл бұрын
Kwenye parties alikuwa ana henda na matajiri wenzake; ila kwenye kaburi lake au nyumba ake ya milele wanao lichimba ni maskini wanao kosa ata Bando ambao haku wai kuwaita kwenye party zake.. R.I.P 😭😭😭😭
@joshuasamson41743 жыл бұрын
Ukiona mtu anazikwa heshima zote na nguvu zote ujue kanisani alikuwa muumini mzuri maaskofu huwa wanasema jamani tumjengee kaburi muumini mwezetu lakini unakuta hajawahi kulanyanga kanisani Amezikwa na wahuni bora dada yake angekondisha watu wajenge kaburi lake yaani
@florencekabado89313 жыл бұрын
Kweli mwanadamu ni mavumbi,na mavumbi tutarejea.Mwisho wa safari yako ni Mungu pekee anajua.
@mariamnamwa1883 жыл бұрын
Marafiki wako wapi niliskia wangevaa white eti kuenzi uhai wake.Best frnd n muumba wetu kwakwel.kazikwa na watu wachini kabisaa
@abubakaryomary39853 жыл бұрын
Dah Aiseee kweli binadamu tunapita kalinga na pesa mali majumba ya kifahari vyote kaviyacha wanandugu tufanye ibada
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Kifo bn Leo unqlala nje kwa mchanga unaacha jumba na samanizote ndani
@khadijaomari93443 жыл бұрын
wachimba kaburi ni watu wa kawaida sanaaa wale hunaona awafai urafiki na ww.ila marafiki zako kipenz watajitenga mbali ili vumbi lisi wachafue *Ukieliwa kifo utayaelewa maisha*
@boylondontztz9203 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali alipojichagulia.zote tutaonja umauti.jiadaeni roho na mioyo yenu.
@abbyadams86913 жыл бұрын
Daaa umesema kweli sana ndugu.Mungu hutuweka mahali tulipojichagulia kutokana na jinsi tulivyoishi hapa duniani. Inabidi mapadre na mashehe waige huu msemo.
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Kabisa, kila m2 anajichagulia mwenyewe.
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kabsaa na sio eti nkila anaekufa mahali pema peponi.n pahali uliojichaguliaa.
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
@@myunaniniahmad6463 ukwel uu.
@mariamnamwa1883 жыл бұрын
Nimependa hii comment
@subzigzig67263 жыл бұрын
Bilionea anazikwa na watu dhariri kabisaa ambao angekua hai wasinge hata msogelea kabisa na kumgusa wauuunii hahahaha wanafukia tu hawana habari binadamu wote ni sawa
@kramsjunior44473 жыл бұрын
Masela wanarusha chepe tuu😂😂😂😂
@manttheboss75453 жыл бұрын
Kifo Nouma pamoja na utajiri wote wanaoshika chepe kumzika ni maskini tu matajiri wao ni kuaga tu.
@marykatanga32833 жыл бұрын
Mungu azid kupewa sifa mana hachagui tajir wala maskini wote tunakufa tu
@goodlucktemu31493 жыл бұрын
Tutafute ela tuache kuwasingizia waliofanikiwa ni freemason.
@susanraphael58943 жыл бұрын
Sure
@zkytv69263 жыл бұрын
Kweli kabisa👏🏿👏🏿
@kayombokayombo96093 жыл бұрын
Amin
@stevenlugojeremia23233 жыл бұрын
Goodluck Temu....umeongea bonge la point coz watu wanaishi kukariri
@ramadhaniomar52253 жыл бұрын
Hamna jamaa ni real masonic niliwahi chart nae mwaka flani hivi maisha yalipo yumba sana ila nimtu peace sana rest in peace
@franciskayombo14993 жыл бұрын
Tajiri haziki lkn tukumbuke hakuna tajiri bila maskini
@zawadpaulochalochalo64063 жыл бұрын
Hao matajili wenzake mbona hawaonekani wanamzika masiki jamani hata kujengeya tu kaburi imeshindikana mungu tupe mwisho mwema katika hii duniya🙏🙏
@chrismasiakidasi43003 жыл бұрын
Nimejifuza kitu Kikubwa Sana kupitia Msiba huu usimzarau mtu leo kazikwa na watu ambao pengine ezi za uhai wake walionekana si chochote Mungu naomba hekima yako🙏🙏
@agustinocharles26503 жыл бұрын
Kuzikwa na mtu yoyote sio issue uwo mwili unaludi mahali pake na roho mahali pake kwahio LA msingi kutengeneza njia zako na Mungu
@blacknature36913 жыл бұрын
Wenye kuzika wamelewa top 😔😔😔
@samuelhenry91943 жыл бұрын
Hayo ndiyo mazishi ya aibu ya billionea kuzikwa na vijana wahuni na wavuta bangi. Ama kweli thamani yako iko ktk uhai na uzima wako na si baada ya kufa.
@mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын
Sio mazishi ya aibu hawa ni miongoni mwa wale alowasaidia
@samuelhenry91943 жыл бұрын
@@mabyserolouchcraig2431 Mtindo au muonekano wa tukio hilo, utulivu na nidhamu ya watu wanaoshiriki kuhifadhi au kuustiri mwili wa marehemu, mazingira na watu ndiyo sababu yangu kuyaona kama mazishi ya aibu, lakini vinginevyo bado haiwezekani watu wa aina hiyo pekee kuwa sehemu ya watu aliyowasaidia kwasababu wanaoonekana kufanya shughuli hiyo ni kundi la vijana wahuni na pengine walevi na wabwia madawa ya kulevya. Nisamehe ikiwa kwa mtazamo na tafasiri yangu inakwenda kinyume na ww.🙏🙏
@Hasha-zt2oy3 жыл бұрын
Imeisha iyooo
@mariamjuma71643 жыл бұрын
Jaman bona wanakelele sana ka Wapo sokoni.ee jamanieeeee uislam neema kwakweli
@geitanjonas30993 жыл бұрын
Matajiri wenzake wapo mbali kwenye magari maskini wenzetu ndio wanaokuzika tujifunze kitu kwnye uhai
@bjzee19813 жыл бұрын
Watu wange jua maskini ndio watakuzika ukifa wasingekua waki watimulia mbali nyakati za sherehe. Tajiri gani akashike jembe
@Directortomwillz3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/kHbGfnt-gt2do9U
@happyjohn58823 жыл бұрын
Kweli kabisa yaan daah mpka huruma,yule ambae umdhanii ndie atabeb koleo na jembe kufukia mchna,ila yote memaa
@kikotikikoki25603 жыл бұрын
@@happyjohn5882 mmm mhhhhhh ndugu we acha tu hapo ndipo tunasemaga acha mungu aitwe mungu
@peninacharles2733 жыл бұрын
Yan umeongea kitu cha maana sana nichokuwa nakifikiria wakati nangalia hi video apa dah
@wanderenyeura90113 жыл бұрын
Mwenyewe nliangalia nkawaza hivi hivi,
@muksiniabdallah79473 жыл бұрын
Magari yte yle ata funguo wa gari ajaachiwa vyooote kaacha ,kifoniukumbusho mkubwa kwa mwenyekukumbk
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Ivi kweli iyo magari itawashwa na funguo gan
@litclass71783 жыл бұрын
Mnajisikiaje kutudanganya atazikwa na gunia la pesa?
@BensidaMusic3 жыл бұрын
Nambona kwenye matanga sijawai ona milionears wakishika kijiko tujaza mchanga ...kifo kina Siri... Rip
@mpamilamihayo72663 жыл бұрын
Walio mzika ni masikini subhanallah
@tatuta65293 жыл бұрын
A i p mbele yake nyuma yetu mungu aipumzishe roho yake maali pema
@devisshirima67803 жыл бұрын
Kama Mungu akiwa ndio chaguo lako la kwanza dunia na fahari zake hazitokutawala, bali wewe ndio utaweza kuvitawala kwa msaada wa Mungu !! Usikubali mwili ndio uiendeshe nafsi yako !! Maana mwili uozao huidanganya nafsi isiyooza ikahukumiwa katika uchungu !!
@estarwille82723 жыл бұрын
Daah! Hata ufanye nn apa chini ndo mwishi wake kibaya zaid hatujua mda wala saa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hemedytengu57183 жыл бұрын
Huwa najisemea mwenyewe, Sasa mm ninafaida gani yakua tajir halafu masikin wanateseka , ewe mwenyezimungu nakuomba usinijaalie kuwa tajir ikiwa sinamoyo wakuwasaidia wanyonge
@saidmaneno13053 жыл бұрын
Muombe Mungu utajiri na moyo wa kusaidia wanyonge. Kwani ufakiri ni nusu ya Ukafiri.
Tunapofanikiwa kupata Mali hatuna budi kuwasaidia maskini,, pamoj na ufahari wote kazikwa na watu Wa chini sana
@simonitaagesti36573 жыл бұрын
Hapo ndo ukifikiria sana utajili unaona auna maana jumba lote kaliachq na alijamsaidia kitu kaenda kulala sehemu ambayo hata laki aifiki binadamu tujitahidi kuwekeza zaidi kwq mungu kuliko duniani huyu shetani anatundanfanya tukifa anatukimbia tunabaki wenyewe na mungu wetu
@athmanissa92643 жыл бұрын
Kipo cha kujiifunzaa Hakika duniani tumekuja km tulivyo na tutaondoka km tulivyo kuja Ukiangalia Hawa wanao mzika ni malofa km mm yaan maskini naiman wamelipwa ili wamfukie kwa pesa yake mwenyewe akuna tajili alie shika chepe hii ina maana tusi dhalaulianee Mungu tujalie mwisho mwemaa
@hasanissantambarasamata34193 жыл бұрын
Naangalia wanao mzika yani ni watu wakawaida tu sioni tajir alieshika koleo hapo, daaah ila siyo poa
@thedirtybook22133 жыл бұрын
Amekufa tajiri lakin anazikwa na maskin tena wengine walev maan saut zao naziskia,na sijawah ona matajir wakizika makaburin zaid ya kuhudhuria, Piga like kuwa maskin bado ni wenye nguvu
@denicekabagile49123 жыл бұрын
Jamani kweli dunia mapito
@hasinarashid27683 жыл бұрын
Hapo ndipo mwisho wa kila kituu hata uwe na pesa vp. Mungu mpe kauli thabiti mja wako
@goodlucky85323 жыл бұрын
Matajiri muwapende masikini ndo tunaowazika matajiri wenzenu wanashangaa tu ata kushila chepeo no.... Sio mnajifany all white party nkija na Bicycle yng mnanizuia kuingia tutawarushia makokoto.... Tujifunze kupendana jmn
@martinejoseph60983 жыл бұрын
Ingekua bongo bongo wangejenga kaburi...ila jamaa na hela zake wahuni wanafukia tuu bila hata kujenga duh😥
@noxlosingida23693 жыл бұрын
Umeonae tena wataanza kuzusha kuwa ndiyo masharti yq utajiri wake
@bjzee19813 жыл бұрын
Yani angekua ndani ya tiles za kioo
@grandneo52643 жыл бұрын
Eti nashangaa masikini ndio wanafukia matajiri wenzie wameondoka pesa zote zile hata kujengea kweli alikuwa freemason
@feysalismail47683 жыл бұрын
Tumuombe mungu atujalie mwisho mwema inshaallah
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Mazishi ya ajabu Sana hta kulijenga kburi hkuna matajiri wenzke hawaonekni kburi linafukiwa majbu hya 😂😂😂
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Yn Habra ndo imeisha na wenda washaenda hawana mali zake uko na kuxifivha kbs
@meshackkilevo92593 жыл бұрын
Kaujenzi nini?
@agrialauzi30973 жыл бұрын
Wenye hawani pesa ndo wanamfinika tusidharau maskini
@maryammohd59943 жыл бұрын
MBNA sijaona watu walovaa nguo nyeupe..utaringaa wee mwisho wake kufunikwa dongo TU🙄🙄🙄🙄
@salumkarim693 жыл бұрын
siku zote masikini huwa wadharauliwa lakini bila kukumbuka kuwa ndyo wazikaji watakao kuzika
@rachaeldhahabu50963 жыл бұрын
Sasa mbona hawajamwekea slab jamani pesa yote munashindwa na kujengea kaburi zuri na kueka slab hamna
@frankmgendi34543 жыл бұрын
Ww muweka post hii mungu anakuona
@shiksshiks84943 жыл бұрын
🙆♀️🙆♀️🙆♀️ yaani mtu akifa anasahaulika haraka ivo walecwa champagne wako wapi ama hawataki kuchafuka na udongo?kaa vizuri na watu wenu na wanakijiji ndo watakuzika....🤔🤔🤔🙄🙄🙄🙄🙄
@zabronnkoy31673 жыл бұрын
Matajiri waheshimuni masikini maana hao ndio wa kuwazika ..hapo sijaona Tajiri ht mmoja akirusha mchanga
@sanimoclassic19173 жыл бұрын
Hayo majinga yanarushiana udongo kwel makubwa jinga
@gilbertwafula80083 жыл бұрын
dunia ni mapito na kila mtu atapita.hakuna anayejua mipango ya Mungu.hata hivyo hizi ndo siku za mwjsho
@omaryshafii11743 жыл бұрын
Msela anazikwa na masela, dunia mapito na haina chochote
@dioncmusic4023 жыл бұрын
Nimejifunza tujitahidi kuishi na watu vizuriii,maana ukifa huwezi jua ninan atakaye kuzika,bilionea leo anatupiwa mchanga hata na mtu ambaye alishindwa kumsaidia maji ya kunywa😭😭rip ginimbi mbele yako nyuma yetu
@Craftiummah1233 жыл бұрын
I am here to join this session, Stay connected.
@abdallahahmedmmary2253 жыл бұрын
DUNIA NI MAPITO AN MWENYE AKILI HUZINGATIA WANAO MZIKA WENGI NI MASKINI APO
@saumuhassan63653 жыл бұрын
True
@africandarling69253 жыл бұрын
Sadakita
@hassaniomary49723 жыл бұрын
Umeonaeee tajili Hana mda wakuchimba kabuli
@husenhamis11733 жыл бұрын
Yaaan maskini wote peponi
@zach4068-c9e3 жыл бұрын
@@husenhamis1173 🙏🙏🙏🙏
@clarapendo82513 жыл бұрын
Kweli atakae kuzika humjui usimtegemee mwanadam
@joycemashikolo90963 жыл бұрын
Kikubwa na kumjua Mungu tu ya Duniani ni ubatiri mtupu
@martinmsechu88343 жыл бұрын
Acheni kuxingua watu hapo kuna kaburi gan
@mushishamimu69543 жыл бұрын
Allah tujaalie mwisho mwema Yarrabi
@mbecheterombeche33753 жыл бұрын
Kumbe hata uwe pesa vipj utazikwa na masikini duuuuu sikujua
@athumaniwazirisengoli43213 жыл бұрын
Kul nafsi kul limaut allah ampokee
@sekelamwangosi32893 жыл бұрын
Nilijuwa kabuli litakuwa la kufunua mweeh
@ahz69073 жыл бұрын
Kaacha mke na watoto?
@estherkimario79403 жыл бұрын
Mmmmh kifo bhana mbona anazikwa Kama watu wasokuwa na pesa
@Sogga_lee3 жыл бұрын
Njia ni moja yetu nyumba yako ya milele ni kaburi , muombe Mungu sana mwisho wako uwe mzuri