Quran 3:18-19 Quran 3:84-85 Quran 30:30-31 Yesu alikua na dini yake ambayo ni uislamu na ndio dini ya manabii wote Yesu hakufa msalabani Kwa dhambi za watu Kila mtu atabeba madhambi yake Yesu si mwana WA mungu wala mungu hakuwa katika umbile la kibinadamu wala yesu hakusema aabudiwe wala hata beba dhambi za mtu
@zaburi238613 күн бұрын
Huo ndio ukafiri sasa upingaj
@robertphilip38512 күн бұрын
Lkn Yesu alisema alieniona Mimi amemona baba Sasa wewe unatulazimisha tukubali hicho kitabu kinachoshirikisha majini na binadamu au maana majini wamekwisha laaniwa Wanasubiri tu hukumu
@HashimMohamed-ku8mg12 күн бұрын
Kumuona yesu nikumuona Baba ki vp?yesu hakupewa bibilia ndio mana ina mafunzo ambayo hayako sahihi mfano kuna mtu katika bibilia alimuona Mwenyezi Mungu kweli Mungu aweza kuonekana? Quran imepewa mtume Muhammad ihukumu katika Kila kitu na majini wako waislamu na wasiokua waislamu
@aishahazary409712 күн бұрын
@@HashimMohamed-ku8mg Asante kaka umemaliza kabisa
@ngerejaboniface259612 күн бұрын
Quran 4:171 inasema yesu ni mwana wa Mungu na ni roho itokaye kwa mungu Quran 3:45 inasema anaheshimiwa duniani na mbinguni yaani wanadamu na maraika wanamheshim! Quran 3:50 inasema mnamwamini mungu muaminini na yesu! Tatizo waislam mnaposoma vitabu waga mna usingizi mwingi!
@DansonNjeru13 күн бұрын
brother apo uko sawa kapisa..vita fia wenyewe kwa wenyewe ni bure tu. na Mungu ni upendo kwa kila mtu
@HashimMohamed-ku8mg13 күн бұрын
Ipm nmefurahi ukisema Quran ni Ile Ile miaka yote sababu imeweka wazi yaliyoharibiwa katika vtabu vilivopita na Allah ashakuchukua ahadi kua atailinda uislamu raha jamani kuweni waislamu musalimike bado hamjachelewa
@moshantoj13 күн бұрын
Allah hajui kuchunga vitabu vyake ama?
@zaburi238613 күн бұрын
Lakn kitabu cha mungu
@robertphilip38512 күн бұрын
Uislamu unalindwa na waislamu wenyewe ndo maana waislamu ndo wanaongoza Kwa ugaidi duniani
@hashirali458712 күн бұрын
Acha unafiki unajuwa maana ya uislam? Uislam ni kusarenda, na unyenyekevu Kwa Mungu muumba sio Mungu yesu ,Bali yesu ni mtume wa Mungu.@@robertphilip385
@NathanielNathan-m4o12 күн бұрын
Mbona Uthuman alichoma Quran manuscript Kisha akaandika,kwani kulikua kumetokezea nini? Na Iko wapi Aya ya kunyonyesha mabarubaru mara 5 -10 Kwa siku?
@basilejuma12 күн бұрын
Yesu kristo njia ya kweli na uzima,ukiwa na kristo ni assurance ya kwenda mbinguni
@jumamnyonge214812 күн бұрын
Unajuwa jina ya iyo njiya kweli na usisahau mbinguni hawendi watu kama wewe sawa
@jumamnyonge214812 күн бұрын
Kuna kitu wachungaji uwa wanaficha juu ya yesu iyo kusema yesu ndiyo njia nikweli ila nani mkristo anaweza kuniambiya hiyo njia ni Gani alafu Pastor hapo hapo Kwa uokovu sikubaliani nawe Petro 1:5 yesu anasema mambo ya uokovu hakuna duniani huoni kuwa paster unapinga maneno ya yesu
@jumamnyonge214812 күн бұрын
Nipe jibu kweli ndiyo njia iyo njia ni Gani
@basilejuma12 күн бұрын
@@jumamnyonge2148 we wataka nikuonyeshe gani
@jacknoa57939 күн бұрын
@@jumamnyonge2148 unayoongea yaonesha kuwa wewe ni mbumbumbu akili huna
@wakeshojana13 күн бұрын
SIMULIZI HUYU IPM YUKO VUGUVUVU KWENYE MASWALA YA DINI....ANAOGOPA KUSEMA UKWELI NA ATAULIZWA SIKU YA KIAMA KWANINI ALIUJUA UKWELI AKAUBANIA!! UKITAKA KUJUA UKWELI HALISI WA DINI MTAFUTE MESHACK SALUM AU OMAR MNYESHANI....
@chapchap-oz1ou12 күн бұрын
kweli nimeangalia clipi zao wako vizuri sana....SIMULIZI fanya hima utuletee hao walimu wawili....wanaelewa vzr pande zote mbili.
@AbdulazizAbdallah-i3b13 күн бұрын
Wewe mwenyewe una mizaha umeacha dini afu unajiita mtume wa mungu..... Acheni michezo nyinyi na tamaa za mali karibu mtakuj kuona tamaa za mali kama allah akuwarahem.....
@DAVIDMAGHANGA11 күн бұрын
Ipm asante una hekima ya MUNGU ndani yako
@MohamedAhmed-yi1yf12 күн бұрын
I'm anahitaji matibabu ya ruqya
@samxx41113 күн бұрын
Hana elimu very talkative
@adrisshagi125513 күн бұрын
Subhanalaah. Kaka yani una funga macho Kama una Ona ukweli ume ji poteza. Hidaya ni mungu sio mtu Ana weza kuji ongoza. Angaliya kaka. Wetu huyo . Inshalaah. Mungu aku ongoze tena kaka
@ZayyanaBamuni13 күн бұрын
Amyn
@zaburi238613 күн бұрын
Acha watu wapate uzima kutoka kwa yesu ww
@adrisshagi125513 күн бұрын
@@zaburi2386. Yesu. Ni mwana Adam. Ni. Mtume wa mungu. Wakati Allah ata sema. Iqra kitabak kafa binafsi. Yesu Ana kazi yake nawe kitabu lako. Inshalaah ata rudi. Dunia. Ime. Shukua. Huyu kaka.
@chapchap-oz1ou13 күн бұрын
IPM HAJIELEWI KAMA YUKO UPANDE WA MWENYEZI MUNGU AU BADO YUKO UPANDE WA ALLAH.....NI VUGU VUGU NA MWISHOE ATATEMWA!! Ufunuo 3:15 Ninayajua matendo yako. Wewe si moto wala baridi. Ninatamani kama ungekuwa moto au baridi! 16 Lakini wewe ni vuguvugu tu, si moto, wala baridi. Hivyo niko tayari kukutema utoke mdomoni mwangu.
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Uyo Allah jina lake nani
@AliMohamed-w3b12 күн бұрын
Kweli kabisa Bro, dini sio kitu cha kuchezea kama ndoa za mashoga na pia kuna baadhi yaa wakristo wakifa hufanyiwa maombi makanisani na baadae husindikizwa kuchomwa kama Baniani, upuuzi kama huu haupatikani na hautopatikana uislamuni
@NathanielNathan-m4o12 күн бұрын
Propaganda na kejeli.Muttah ni nini kiislamu kama kweli wewe ni muislamu unayejua na kuelewa dini yako
@AliMohamed-w3b12 күн бұрын
@NathanielNathan-m4o andika message ielewekayo , kama huna cha kusema ni bora unyamaze
@rashidyahya9913 күн бұрын
AMINI nakwambieni IPM anajua anachofanya anajua kabisa Yuko sehemu TU ya kupiga pesa, ila nyuma yake ana UAMINI tafauti na anachowaaminisha!!
@ABUUALLY-u6x12 күн бұрын
Hata pia katika uislamu hakuna kumlazimisha mtu kufata dini ya uislamu sisi tunakufikishieni tu ila mukiikataa dini ya kiislamu Allah s.w hadhuriki na kitu hasara inarudi kwenu .na pia wewe umetoka ktk uislamu umeingia kwenye ukristo Kwa tamaaa tu zako za malii ila izoo tamaa zakoo hazitokuokoa ktk moto wa jahannam maana umetoka ktk Nuru ukaingia kwenye gizaaa 😢hasara yako
@filexbenefits561212 күн бұрын
Uzuri ni Allah sio Mungu, hata kama ni tafsri ya wapi, ujinga mtupu na tena husitwabie ujinga uo tena
@loner_wolf12 күн бұрын
Huyu hajasoma quraan ila amekariri maeneo fulani alipoweza kukariri . Uislam ni kukubali MUNGU NI MMOJA NA MUHAMMAD NI MTUME WAKE . kisha UNAKUWA MUISLAM ..... lkn ili UKAMILIKE ufuate NGUZO 5 ZA UISLAM KWA ROHO NA VITENDO yaani 1. UMUAMINI MWENYEZI MUNGU MMOJA TU HANA MSHIRIKA na 2 . USIMAMISHE SWALA na 3. UFUNGE MWEZI WA RAMADHANI na 4. UTOE ZAKA na 5 . UHIJI MAKKA KAMA UNAO UWEZO . sasa hayo ya Yesu kutumwa na kufa kwa ajili ya Dunia nzima HAKUNA ANDIKO LOLOTE LINALOSEMA HIVYO NDANI YA BIBLIA .
@jobnyanaro54255 күн бұрын
Soma bibilia
@OmarKhamis-c4x12 күн бұрын
Alhamdhulillah wenzangu wamesema ila nakukumbusha maneno rafikiyako mkuu wa polisi, aliposema watu wajue mipaka ya kazi zao alikuwa anakuambia wewe ulie acha uislam dini ya Allah ya haki, alafu bado unaihubiri kanisani.Kwaio wewe wasema kila chuo cha kikristo hakikosi Quran lakini lengo lao ni kuisoma alafu waipinge tofauti na wewe, sasa hawakuelewi, umekuwa kama popo nundu kwa uislam huko na kwa krto huko. Sasa bado mapema usiwe kama Firauni alie jiita mungu paka alipo angamizwa kwenye Red Sea, mrudie Allah alie ziumba mbingu7 na ardhi7 na vilivyomo na yeye ndie muabudiwa wa kweli na wa haki.
@hashimwazir965513 күн бұрын
Ww uwe unaangalia ht watu wa kuwahoji ili usipoteze wat wanakfutilia ww smuliz Hpo hkuna mtu wa kielimu
@filexbenefits561212 күн бұрын
Hapo vizuri
@OmaryKawambwa10 күн бұрын
Ujajibu swali
@badmanno.165011 күн бұрын
Jamaa kahamia kwa wagalatia ili apige hela, anajua fika ukristo sio dini ya haki. Amechagua dunia dhidi ya Akhera.
@mwinyiswaleh838810 күн бұрын
Haezi kujibu hiloswala.Dunia nzima hakuna msomi wa kiislam alietoka kwa uislam kua Mkristo.
@DesderiusHaule10 күн бұрын
Bwana IPM katika ushuhuda wako ulisema kwamba ulitokewa na BWANA YESU akakumbia ukaitende kazi yake, na kazi yenyewe ni kuwaleta watu kwa Yesu. Lakini wewe unasema kila mtu afie kwenye imani yake kwasababu sote tumeumbwa na mungu mmoja na sote tuna vitabu vya neno la Mungu. Jua kwamba una dhamana ya kuwapeleka watu mbinguni kupitia jina la Yesu, na wale waislamu uliokuwa unawaongoza kama watakwenda motoni roho zao zitakulilia wewe nawe utakuwa na maswali ya kujibu kwa aliyekuita.
@rogerssimon95179 күн бұрын
@@DesderiusHaule Ashajisahau
@ZayyanaBamuni13 күн бұрын
I.P.M umesema kweli Qur-ani ñi mojà na kwenye ukristo kila mtu anauwezo kuongeza na kupunguza atakalo
@zaburi238613 күн бұрын
Ina jpya gan sasa
@Fear_Allah39413 күн бұрын
Matendo mema hayamfanyi mtu kuingia peponi. Allah/Mwenyeezi Mungu anataka kwanza umuabudu yy mmoja na usimshirikishe na chchte/llte. Wema kwanza uanze nayy umjue yy M/amungu km Yesu alivyokufunza. Yesu alimuabudu M/Mungu hakumshirikisha na chchte km sisi waisilam tunavyomuabudu Mungu pekee. Halafu unasema sote tunaabudu Mungu mmoja wkt ww huabudu Mungu anaemuabudu Yesu/waisilam unamuabudu Yesu?
@zaburi238613 күн бұрын
Acha ujinga ww Allah sio Mungu wa kweli
@zaburi238613 күн бұрын
Halafu em kwa faida ya wengi elezea ni namna gan wakristo Wana muabudu yesu
@shifaazawadi443811 күн бұрын
Huyu jamaa ana upinde flani lakini anajificha kwa ukrsto ila ana simamisha sala tano huyuu anawachanganya wakristo tu kuwaziba macho
@HashimMohamed-ku8mg13 күн бұрын
Kwani sababu ya Allah kuwatuma manabii na kuwapa vitabu ni Kwa nn?ili watu waijue dini ya haki na ndio uislamu hata simulizi amekuuliza swali zuri kua uislamu ndio dini iliyotajwa kwenye vtabu Ipm Rudi kwenye uislamu ili upate salama mbele ya Allah hakuna dini inayochezewa kama ukristo kama ipm mwenyewe unavosema
@godsonishengoma537813 күн бұрын
Yesu alishamaliza yoote.. Alituagiza tuwe macho,wapo manabii wa uongo,yapo makristo ya uongo.. Kikubwa n ksoma neno na kliish kwa msaada wa roho mtakatifu..! Sishtushw na anyeejiita yesu,7b Yesu mwnyew alsema watawaambia yuko pale,lkn anasema mstoke kwenda,yeye ajapo kila mahal utapokua jicho litamwona na ulimi utakili kuwa yeye ndye!
@nassorsharifu98377 күн бұрын
Ila simulizi kwanini mmeshikilia pombe na wanawake 72 kwa waislamu mnasahau hayo ni kama zawadi tu lakini mnasahau kuwa Kuna moto?
@charlesmapunda-g5l12 күн бұрын
Unapenda kumsifia Lugumi kwa ndio anafanya vizuri mbona uongelei ubaguzi wake kafanya yote hayo kwaajili ya Waislam? Kwa nini asijenge kwa watu wote au awajengee na watoto wa kikristo? Yule hana lolote ni Mbaguzi tuu
@seifserenge334013 күн бұрын
Wewe ongea tu upendavyo, unavyojiskia iko siku utajua kama shubili ni mboga au ni dawa, jitie upofu hali unaona, uziwi nawe unasikia kwa tamaa na starehe za kidunia za mda mfupi. Ivi inangia akilini Mungu moja alete DINI teele. Halafu Yesu auawe awabebee dhambi, nyie mfanye midhambu ya Kila aina halafu aibebe yeye nyinyi mwende mkastarehe, Does it make sense!!
@zaburi238613 күн бұрын
Tuache na yesu wetu hatuwez kuabudu jiwe jeusi la maka cc
@seifserenge334013 күн бұрын
@@zaburi2386 ww mpende Yesu umuone ni Mungu au mtoto wa Mungu au mmoja katika miungu mitatu. Subiri uingie katika tumbo la ardhi utaamza kuelewa kuwa ni muokoI wako au laa. Yesu katumwa Kwa Wana wa izraili na kitanu Cha mwongozo Cha injili sio biblia iliyotungwa na wazungu
@charlesmapunda-g5l12 күн бұрын
Hili jamaa nimekubali katumwa kuuchafua Ukristo haiwezekani Wakristo wote wampinge Allah sio Mungu wa kweli alafu yeye anasema we Baki na Uislam we unambakishaje mtu akaswali na Majini wakati Mungu aliyalaani na kuyatupa kuzimu? Badala ya kuwaambia ukweli kwamba Yesu ni kila kitu?
@Daudimakaza-s1v12 күн бұрын
Mungu atak mtu vugu vugu kw kifup ukristo c din cc tunawokovu hatun din
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Uvugu vungu wa lpm uko wapi wewe ndo unasikiliza hyo interview lakin Huna unacho kielewa ww hata darasan haukuwa sawa
@mustafamsati959913 күн бұрын
Hahahaha uislam ni dini isio badirikabadilika ipm ww ukushatajirika silim tu ulichokifuta kinajulikana
@robertphilip38512 күн бұрын
Nakweli dini ya majini haiwezi badiika
@Twahirpizza199412 күн бұрын
Majini yapo huko makanisani ulishawahi kuyasikia msikitini
@robertphilip38512 күн бұрын
@@Twahirpizza1994 misikitini ndo nyumbani Kwa majini na ndowashirika wenu kule makanisani yanaendaga kusumbua watu Ili waongeze watu wakwendanao jehanam
@Twahirpizza199412 күн бұрын
@robertphilip385 Yaani ndio mnavyofundishwa na wachungaji wenu nawapeni pole maana lazima muislamu apewe sifa zote mbaya lkn wanaoongoza kwa ushirikina na makafara na kwenye kununua uchawi eti mkisingizia nguvu za yesu na kuwasingizia waislamu ndio kazi yao nyinyi ndio wafugaji hasa viongozi wenu nyie mnalishwa matango pori
@ShabaniRashidi-d2v12 күн бұрын
Unatakiwa utoe andiko wapi andiko ukristo dini au wapi yesu anasema ukristo ni dini ya mungu au andiko yesu aliingia kanisani,quran 3.19 dini ya haki mbele ya mungu ni uislam
@charlesmapunda-g5l12 күн бұрын
Hizo kauli za Qur'an ni za Muhammad sio Mungu. Maandiko yenu wanasema Mungu wenu hajawahi kusikika hafanani na kitu chochote sasa huyo Muhammad kazitoa wapi hizo kauli zake? Muhammad alikabwa na Mashetani Mapangoni mpaka akapata Homa na uchizi na akarogwa na wakezake mpaka akasilimisha Majini wakawa waislam sasa Mtu kama huyo unamwamini vipi na Dini yake alokuja nayo.
@ShabaniRashidi-d2v11 күн бұрын
@charlesmapunda-g5l Acha kuropoka bange za vijiweni,mungu hawezi fanana na viumbe dhaifu alivyoumba tena kwa udongo ,mitume wote kuanzia Adam mpaka Muhammad S.A.W),waliongea na watu kwa kufunuliwa wahayi na malaika jibril,quran maneno ya ALLAH,alioshushiwa mtume kupitia malaika jibril,hivyo hivyo zaburi,daudi,taurati,musa,injili,issa,shida inaanza alipoondoka issa,miaka kadhaa ndipo pakaanzishwa ukristo antiokia uturuki matendo 11.26,tena kwenye maelezo ya aya yanasema ukristo ni jina la kupangwa lililoanzishwa na wapagani wa antiokia ,wakachoma injili ya ukweli wakawatengenezea biblia ya kina matayo,luka,yohana nk,injili alioandika yesu iko wapi? yesu aliingia kwenye sinagogi,luka4.16 tafsiri ya sinagogi( msikiti)hivi nyinyi mna akili kweli mpaka mnaikataa haki??
@Fear_Allah39413 күн бұрын
Itafika wkt huyu mnafik aloritadi kwa kufuata mali atasema kalishwa mkate ndio akaritadi.
@zaidiissa371413 күн бұрын
Huyu Ipm kaonafrusa ukristo nibiasharatu kaona hukuatachelewa kupata pesa waisilamu sio wajinga hawatoai pesa kijinga aliona wakristo choteutachowambia wanakubali napesa wanatoa😂😂😂
@erastusmumba12 күн бұрын
Eti wakrito mtu anajiita yesu huko kwenu hakuna huyo mwahumadhi wenu
@Fear_Allah39413 күн бұрын
Huyu anatapatapa. Ama kweli mnafik hana utulivu.
@nicodemuswidambe513211 күн бұрын
Mtangazaji mwongo dini ya haki nani alisema?
@MathayoCharles-z2u13 күн бұрын
Uyu siyo mchungaji ni muuni tu mpiga ela ajulikan iman yake atakapokufa atajuta maana mungu amesema eli ue moto au balidi sasa uyu ajulikani yupo wapi
@mustafamsati959913 күн бұрын
Kaka huyo mchumi tu anajua ubora wa dini ya ki islam ibada ni ainamoja shahada ni moja rugha ya kuabudia ni moja dunia nzima anajua kilakitu
@aishahazary409713 күн бұрын
Hapo ulipo IPM mwenyewe unauchezea Ukristo maana unajua kabisa kama Ukristo sio dini.Sema njaa tu ndio iliyokuingiza kwenye ukafir.Ila ngoja ufe ndipo utakapokumbuka kama dunia haikuwa kitu.
@robertphilip38512 күн бұрын
Uislamu ni dini ya shetani na mtume wake muhamad
@aishahazary409712 күн бұрын
@robertphilip385 Shetan wa kwanza ni wewe unayeabudu kiumbe kilichotahiriwa kama wewe.
@m.e.ssofttech280612 күн бұрын
@@aishahazary4097wewe ndio punguani, unae amini mtu kutoka peponi(nabii Issa) eti atarudi mara pili kuja kuoa?, 😅😅😅😅, Yani manabii wote walioa kwanza wakafa wakaenda peponi, ila nabii issa awe kinyume Chao, aende peponi kwanza halafu arudi duniani kuja kuoa. Hivi mna akili timamu kweli?
@aishahazary409712 күн бұрын
@@m.e.ssofttech2806 Waislam pekee ndio wanaoijua bible vizur.Ndio maana unatafsir maandiko kikondoo kondoo.Yesu atarudi na kuoa bikra safi kabisa.Nyie wenye roho mtaka vitu hamuwezi kuelewa bible.Sana sana mnamuelewa petero mtume wenu wa mchongo.
@m.e.ssofttech280612 күн бұрын
@@aishahazary4097 labda aoe mtoto wa miaka 8, wasichana wa miaka kumi na Tano tu hawana bikra
@YusufuKitulu-xz4hz11 күн бұрын
Ipm miyeyusho sasa wewe uislam umeuachia nini theni uusifie. Ndo maana umefungua kanisa lako mwenyewe....
@filexbenefits561212 күн бұрын
Na kitu ingine hakuna mtu anaiweka siku ya jumapili kama ya ibada mkristo maana kuwa mkristo ni kufuata mafundisho yake sasa wapi kasema siku ya ibada jumapili, labda wadumu kujiita lakini milele na milele haitawahi kuwa ni wakristo, hakuna wakristo wasampuli io,heti ibada tatu kwa siku kwa watu tofauti wale wengine wa saa kumi na mbili hadi saa tatu yao imeisha sasa wanaweza kwenda kufungua duka au kufanya biashara zao wenyewe, idiocy!!!!
@SuleimanMakame-p2r10 күн бұрын
Ipm sio uhuni kw mwanaume ni maumbile yako hivyo hata sayansi inakubali
@hashirali458712 күн бұрын
Huyu hajawa muislam labda alipozaliwa
@nassoroyahaya82113 күн бұрын
I P M ukweli unaujua ulimwengu unaotajwa hapo ni ulimwengu wa Wana wa israel na si ulimwengu mzima
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Wewe ndo sifuli kabissa
@Daudimakaza-s1v12 күн бұрын
Sasa s urud kw Allah wen
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Wwe unae sema lol kaona Fulham hujielewi hata kidogo
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Pole sana
@PendoKalama-rn8pf12 күн бұрын
Wewe Ipm unangoe kitu hukijui pia ju hata hujui unaamin Muhammad au yesu aliye kufa akafufuka kwa ajili yako....kufika mbinguni ni njia na kama njia yako niya Muhammad ujue alipokwamia Muhammad pia wewe utakwamia hapo hapo..siuwaambie ukweli 😂kwan haujui hilo
@mustafamsati959913 күн бұрын
Kumbe Ipm ni muhuni kwaiyo kupigqwa kwa yesu sisi tumepona kwaiyo sisi hatuna dhambi? Huu ukrosto ni aje?
@charlesmapunda-g5l12 күн бұрын
Soma Biblia sio kumsikiliza Shekhe wako zamani mlikua mnadanganywa kuhusu Biblia saivi kila kitu kipo wazi, Biblia ilikuwepo miaka elfu 4 kabla ya Quran waandishi sio wajinga.
@nicholousmtemi390212 күн бұрын
Usikurupuke taka kuelewa kwanza
@AliMohamed-w3b12 күн бұрын
Waislamu hawamkubali yesu pekee bali, Musa, Ibrahim, Daudi, Yusuf nawengineo
@WillBat-gc9ex12 күн бұрын
Eewe nawe hata unacho kiongea hukijui
@MosesMwiti-q2r12 күн бұрын
Mjinga huamini kila kitu
@filexbenefits561212 күн бұрын
My people perish due to lack of knowledge, I wish you all know what called God, Christ and christian, but you all not knowing based on the way you talk, you all utter nonsense, and by the way is that pastor not the one promoting freemason in facebook, you can't be kidding me, what do u expect from him if he is