No video

Je Yesu alileta Uislamu au Ukristo? , je sinagogi ni msikiti? Je Ukristo ni dini?

  Рет қаралды 60,928

Habari Njema TV

Habari Njema TV

Күн бұрын

Fuatilia uchambuzi huu makini na Pr Dominic Mapima akijibu maswali yote haya kwa Biblia na Quran

Пікірлер: 759
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n 10 күн бұрын
Uko sahihi mwalìu mafundisho yako niyakipekee mutumishi mungu akubariki
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
Ubalikiwe mungu. akusaidie
@georgealoyce4452
@georgealoyce4452 2 ай бұрын
MUNGU azidi KUKUPELEKA VIWANGO vinginee pastor
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 4 ай бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa ufafanuzi mzuri. Mungu akubariki.
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n 3 ай бұрын
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
@CharlesSimtaji-pq7ys
@CharlesSimtaji-pq7ys Ай бұрын
Safi sana unajua kufundisha ukweli ili watu waelewe ssafi sanaaaa
@eliakanyika5379
@eliakanyika5379 2 жыл бұрын
Safi sana mtumishi wa Mungu kwa kuweka bayana Kati ya msikiti na sinagogi kuwa ni mkutano.
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n 3 ай бұрын
Upo Vizuri katika ufafanuzi Safi sana Mtumishi.
@castrochelela6660
@castrochelela6660 2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@allyissalipawe7072
@allyissalipawe7072 3 жыл бұрын
Akili zako kama Paulo endelea kuwapoteza
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Paulo tena
@barnabasanga7552
@barnabasanga7552 3 жыл бұрын
Tatizo la hawa wenzetu wamerisishwa tu h
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
Endelea na akili za malehem mhammadi mkafiri wamaka
@aminashaaban5846
@aminashaaban5846 Жыл бұрын
@@petromachanga5538 kafiri baba ako na mama ako alokutoa ktk uislamu akakubatiza ukawa ukafiri,
@martinmkoba361
@martinmkoba361 Ай бұрын
Huo ndio ukweli ndugu tatizo mnapotoshwa na kina shafii
@kelvinyohana4178
@kelvinyohana4178 5 жыл бұрын
Nimejifunza k2 hapo mchungaji asanteee can mungu akubariki sanaaaa nitamuaminii yesu maisha yangu yote
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 4 жыл бұрын
tatizo dini yenu nyinyi wakristo.!! makolokocho mengi imekuwa kama movie yaani uongo mwingi kuliko ukweli au wewe huoni!!,
@sabrikhvuai2327
@sabrikhvuai2327 3 жыл бұрын
Dah kwaiyo unamtogoza Nani ?
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 kwa taarifa yako uongo ukiutaka hata kwenu upo uislamuni ndo maana watu husema hekma ikzd huondoa maarifa kwahyo wamefunyua kuitafuta hekma na nia zao so lazma haya yatokee
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
Wafuasi wamalehem
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
Utamfataje malehem???
@bendit4476
@bendit4476 3 жыл бұрын
Umechambua vizuri sana. Nimekuelewa vizuri
@linetligono1371
@linetligono1371 5 жыл бұрын
Amen mchugaji asante sana kunielimisha mungu akubariki Sanaa
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 жыл бұрын
Pr. Dominiki hongera hii kazi unayoifanya, ni kubwa mno!! Mungu akubariki sana baba, waelimishe waede Mbinguni.
@njiasalamatv4794
@njiasalamatv4794 4 жыл бұрын
Barikiwa pia
@njiasalamatv4794
@njiasalamatv4794 4 жыл бұрын
Amina Mary nashukuru
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
Wataeleweje wafuasi wamalehem?
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Ай бұрын
​@@petromachanga5538tunakuja na kwa sababu na wewe ni marehemu mtarajiwa
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 3 ай бұрын
asante sana mtumishi ubarikiwe sana
@abrahambash6687
@abrahambash6687 2 ай бұрын
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
@FridayMwassa
@FridayMwassa 27 күн бұрын
Kwahiyo, miaka yote mnasema hivyo hivyo na Israel anazidi kuwachapa
@user-th2ks9et2m
@user-th2ks9et2m 9 күн бұрын
Nawachape hao lakin ukweyutabaki kua ukweli 2​@@FridayMwassa
@abrahambash6687
@abrahambash6687 2 күн бұрын
Ukweli mlokuwa hamna ilimu medanganwa kuwa hawa ni wa israel, hawa niwazungu kutoka poland, ukrain na ujerumani hawana dini na wanapiga mpaka wakristo si wa islam tu.
@petromachanga29
@petromachanga29 5 жыл бұрын
Asante sana aman
@davidmghanga8502
@davidmghanga8502 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@simonmwambene4441
@simonmwambene4441 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ushauri wangu tafuta vijana wafundishe habari hizi maana kanisa linaangamia Kwa kutojua haya utapata thawabu Kwa Mungu
@neemafelister9584
@neemafelister9584 2 жыл бұрын
Kanisa la mungu la kweri ni la ISA yaani (KAN-ISA, Aliye kufa msalabani yaani INRI I =ISA, N =NAZARESI , R=REXLUDAERUM I =ISIRAER. Yaani mungu wa Ibrahim Isaack Isiraeri ndiye Isa masiah. Huu ndio ukweri. Walio ktk aya majina apa chini ni ya lile kanisa lire MALAYA (Ufunuo 17:5-6. ZEWUSI YESU YEZU JESUS Walio ktk
@user-jj6sd8me9k
@user-jj6sd8me9k 3 ай бұрын
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
@johnmnonjela9809
@johnmnonjela9809 5 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi
@advesproduction9622
@advesproduction9622 5 жыл бұрын
HAPO SAWA KABISA. Yaani asiyeelewa atakuwa na sikio la kufa. Kumbuka tu kuna wana wa upotevu. Endelea kutupa masomo mengine mtu wa Mungu
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
Labda wafuga majini
@samuelmuiruri4405
@samuelmuiruri4405 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana..tunaomba utuletee mada ingine
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Sio ingine, Ni nyingine acha upotoshaji
@grdcgv7ufdwdfghh633
@grdcgv7ufdwdfghh633 2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho ya kina
@upendoluv7197
@upendoluv7197 2 жыл бұрын
Nimekupata vzr Mtumishi ubarikiwe
@esterjoseph670
@esterjoseph670 2 жыл бұрын
Nimekuelea sana kamanda,nimekupenda bule.
@allyissalipawe7072
@allyissalipawe7072 3 жыл бұрын
Yesu akimsujudia mungu wake ww ninyi mnafanya ivyo
@jacksonnzai1593
@jacksonnzai1593 3 жыл бұрын
Macho ya mwili yanasumbua kutambua ya rohoni. Sivizuri kuosha kkmbe nje ilikpendza watu na ndani kichafu
@abrahambash6687
@abrahambash6687 2 ай бұрын
​@@jacksonnzai1593hueleweki anamaanisha nini
@FridayMwassa
@FridayMwassa 28 күн бұрын
Nipe hilo andiko
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
Ubarikiwa amen
@allyissalipawe7072
@allyissalipawe7072 3 жыл бұрын
Ona umepiga shungi la kislam s mnapenda kukaa
@allyissalipawe7072
@allyissalipawe7072 3 жыл бұрын
Uchi
@leonardgewa5875
@leonardgewa5875 6 жыл бұрын
Safi sana mtumishi wanapenda kutumia hio mistari kupotosha watu
@faizasaid8262
@faizasaid8262 5 жыл бұрын
Leonard Gewa wapoteshwa wwe
@jouriasfaveur7450
@jouriasfaveur7450 5 жыл бұрын
3. Siku moja nitakuwa mwamuzi wa watu wote kama vile kila nabii atakuwa mwamuzi wa kizazi chake. Imeandikwa ya kwamba mitume wataamua makabila kumi na mbili za Israeli kuhusu wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa duniani. Warumi 2:16 inasema kwamba Paulo atakuwa mwamuzi wa watu wote kwa muda ambao yeye alikuwa duniani. Na mimi Kacou Philippe ambaye naongea nanyi, nitakuwa mwamuzi wenu mbele ya Mungu. Angalieni marais wa mataifa. Angalieni viongozi wa kidini na viongozi wa mashirika kama vile UM, UNESCO, wanasiasa, wakuu wa makampuni...mtahukumiwa wote kupitia Injili yangu mimi Kacou Philippe.
@lileoh3893
@lileoh3893 3 жыл бұрын
Hayo ni maneno yako mungu anasema issa na wanafunzi wslam
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 2 жыл бұрын
Issa anasema wapi kwenye Quran au
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
mmh hatuna Hilo Andiko ndani ya Biblia
@barakambise7866
@barakambise7866 2 жыл бұрын
Kaka nimekupenda pure uko vizuri
@jacksonnzai1593
@jacksonnzai1593 3 жыл бұрын
Nakubali sana maelezo na utafiti wako. Waislam ni janja nyingi kuhadaa watu
@issackabdi7001
@issackabdi7001 2 жыл бұрын
Wapi yesu alihingia kanisa 😂😂😂😂 kama hii imani ya ukiristo
@GraceWilliam-d1w
@GraceWilliam-d1w 14 күн бұрын
Acha upuuuz yeye ndio kanisa atajiingiza mwenyewe ndio maana waislam munakuaga wazito kuelewa Jambo
@masta_android
@masta_android 3 жыл бұрын
Pastor Habari. Naomba Mualiko Tujadiliane Kuhusu Maandiko.
@medinacheronohildah7933
@medinacheronohildah7933 2 жыл бұрын
Dini ni upotovu wapendwa wa mungu nina imani mungu hakuumba dini wanadamu ndio walijigawanya na kuanza mambo ya dini ....mimi si mdini ata juu nshakua confused mungu ni yeye ataniongoza katika maisha
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 3 ай бұрын
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
@adamally404
@adamally404 3 ай бұрын
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 3 ай бұрын
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
@kessyrojas9549
@kessyrojas9549 2 жыл бұрын
omba friend match na ustadh mazinge kama ujatokea dirishani!
@Nim68182
@Nim68182 5 ай бұрын
Mazinge hana kitu😂😂😂😂 umekos wengine wakutaja hapo
@abrahambash6687
@abrahambash6687 2 ай бұрын
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
@josephmtemi5658
@josephmtemi5658 5 жыл бұрын
Mungu akuzidishie maarifa zaidi
@rajabally2431
@rajabally2431 5 жыл бұрын
Af ww muinjilist ww uciwe mfinyinu wa mawazo cio kila ukiona neno njia ndio huaga lina maanisha dini, coz kuna cku nimeshakusoma njian ya mbagala utasema ni kiristo nayo,
@queen.christelle1
@queen.christelle1 3 жыл бұрын
@@rajabally2431 heshima ni kitu cha bure
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
@@rajabally2431 hahahaaaa Elim ya madrasa
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 4 ай бұрын
Uko vizuri mno
@allymohamedy6715
@allymohamedy6715 3 жыл бұрын
Asante sana tumekusikia sana ila unajuwa uisilaam au neno uislam ina maana gani na kama ukijua maana yake ndy utajua kuwa uislam hakuuleta mtume muhammad bali aliuleta mungu mwenyewe
@bernarddaudi9657
@bernarddaudi9657 5 жыл бұрын
Hongera sana!!! Mungu akubaliki sana umemwinua bwana wetu Sisi wakristo tunamsubiri Yesu kumlaki tukiwa hai au mauti.Ninawaonya wale wasioujua Ukiristo wasijiweke kuwakilisha wakristo.
@binyamina8850
@binyamina8850 4 жыл бұрын
Kwanza kabisa Sio baliki bali ni kubariki Pili Yesu akija atakuwa nasi sisi waislam nasio nyie
@parfaitkouassi9478
@parfaitkouassi9478 5 жыл бұрын
3. Kisha, njiwa wawili wakaja kwangu na wakaenda mara tena juu ya maji. Na kukawa na patwa jua (mwezi), halafu mtu aliyefanana wingu na mwenye kushika Upanga akashuka toka Mbinguni pamoja na mwana Kondoo na dunia ikaangazwa tena. Walisimama juu ya maji na mwana Kondoo akaanza kusema nami kwa lugha isiyo julikana. Sauti yake iliingiya ndani mwangu na nikaanguka kama mfu. Nafsi yangu ikaenda kusimama pamoja nao juu ya maji wakati mwili wangu ulilazwa juu ya mchanga wa bahari. Alipo maliza kusema nami, nafsi yangu ikanirudilia na nikawa tena hai lakini sikuwaona tena. #pkpchaneltv
@Nim68182
@Nim68182 5 ай бұрын
Huuu ni ushuhuda au ,sijafaham
@zachariabin5400
@zachariabin5400 5 жыл бұрын
We unawapotosha bibila kwa wakristo wenzio
@husha6372
@husha6372 Ай бұрын
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
@gidongailo7174
@gidongailo7174 4 ай бұрын
Yesu Kristo hakuja kuanzisha dini duniani. Hakuanzisha dini yoyote wala hakuagiza dini fulani ianzishwe kwa niaba yake. Ukristo wenyewe sio dini ila ni ufuasi tu
@davisrotich116
@davisrotich116 6 жыл бұрын
Nawapenda sana walimu wa kristo kwakua mnafatilia kwa yakini jambo kabla hamjafundisha nanyi mnafundisha yalio yakweli. Mungu awape uezo maana twawaitaji kina Mazinge wabatizwe waache kuwadanganya waislamu
@yaobleestelle2513
@yaobleestelle2513 5 жыл бұрын
30. Jua kwamba unapozaliwa, baraka zote na laana za familia na za wazazi tangu Adamu zinakuwa juu yako. Lakini unapofikia umri wa ufahamu, sio wachawi lakini vitendo vyako vya kwanza huamua uchaguzi wako. Na suluhisho ni kumrudilia kwanza Mungu kupitia nabii wake kulingana na 2 Mambo ya Nyakati 20:20. Tafuta kwanza wokovu. Na wokovu ni tu kupitia nabii aliye hai wa wakati wako. Sio malaika wala kitabu kinachoitwa Biblia au Korani. Sio nabii anayeitwa Musa, Yesu wa Nazareti au Muhammad. Lakini maneno ya mtu aliye hai pamoja nawe. Na wewe, ingawa shida na mateso unayopitia, jua kwanza ya kwamba chanzo ni wewe mwenyewe. Na katika kutafuta suluhisho, hutamwendea nabii ovyo na haifai mtu ovyo akuwekee mikono. Hutabadilisha wokovu wako na faraja ya muda tu ya shetani katika kanisa katoliki, protestanti, ya kiinjili au ya kibranhamisti. Katika Mwanzo 50, Yusufu aliomba kwamba mifupa yake yatoke Misri pamoja na nabii Musa. Na wewe, ikiwa wewe ni mchaguliwa, hupaswi kufa kabla ya kukubali Kacou Philippe, nabii aliye hai wa wakati wako.
@rashidjumamohamed3437
@rashidjumamohamed3437 3 жыл бұрын
Umri unaenda. Haki bado hujaijua au makusudi? Mungu hafanyiwi makusudi.. We endelea. Hujasoma Mungu Anavyowaangamiza wanaofanya makusudi
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Kanisa makanisa yametajwa katika Quraan lakini Yessu hakuwa hi ijenga kanisa wala hakuwa hi kuingia kanisani hata siku moja wala kupitia nje ya kanisa wala haja anzisha ibada yoyote ambayo nyie mnajifanya Sasa twambieni Hilo sinagogi ndio kanisa gani maana mnasema sio msikiti mbona hakuna andiko Yessu ameingia kanisani Imani ya Uislamu hakuileta yeye naye pia ameikuta Imani ya Uislamu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 27 күн бұрын
Wapi Yesu aliingia msikitini
@dahabomahmud3539
@dahabomahmud3539 3 жыл бұрын
Wacha kujificha marika jumba nenda huko ukajitambulishe wacha kufunza watu uwongo
@felixgitonga6783
@felixgitonga6783 5 ай бұрын
Soma ufunuo wa 3;9-hio die wa waislamu jini akasilimu akawa muislamu sawa?
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 3 ай бұрын
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
@rojac-uq1sc
@rojac-uq1sc 3 ай бұрын
Shida hapa ni pesa za Warabu zilizotumwa na kuwafikia Akina Lusekelo
@SAM_163
@SAM_163 5 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI.
@eshuchimukholi2890
@eshuchimukholi2890 4 жыл бұрын
Asante. Huwauliza waongeze somo mpaka Yesu anasoma kitabu cha Isaiah. Swali ni vtabu gani vinasomwa katika sinagogi?
@luiskiwale3145
@luiskiwale3145 3 жыл бұрын
Amina
@loner_wolf
@loner_wolf 3 ай бұрын
MTU Wa content tu , hauna point.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
Nyakati za mwisho hizi kila mmoja atakuja na elimu yake kikubwa ni Kumwamini Mungu na kutii sheria zake maana mwanadamu ana mavumbuzi mengi na ndio maana alitushindwa lakini anatuoa neema ya uhai sababu sisi ni viumbe wake na anatujalia mema japo sisi tunamtenda uovu
@user-ob2ik5gy1b
@user-ob2ik5gy1b 3 ай бұрын
Ukristo ulianza baada ya yesu kuondoka. YESU hatambui ukristo bali anatambua uislam kwani manabiii wote walimuabudu mungu mmoja na siii 1+1+1=1
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 жыл бұрын
Upo tayari kwa muhadhara ?
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
ubalikiwe
@mebbukatibalo787
@mebbukatibalo787 2 жыл бұрын
Wewe ni bingwa kiukwel umetusaidia watu ni wabishi sana👏👏
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Mtahangaika San ila hakuna dini inaitwa ukristo au vitabu vya dini vinaitwa biblia
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 5 жыл бұрын
Dominic Mapima. Kuna Debate Moja Ya Waislamu Na Wakristo, Waislamu Walikuuliza Swali Wapi Aya Katika Biblia Inayosema Yesu Katumwa Kwa Ulimwengu Mzima????? Ukahangaika Na Lile Swaliiiii Na Mwishowe Haikutoka Aya Yakuwa Yesu Kwa Ulimwengu Mzima. Ushauri Wangu Kwako, Ikiwa Kweli Unania Watu Wamjuwe Mungu Wa Kweli, Basi Usijifungie Peke Yako Kama Hivyo,Kisha Unafundisha Vitabu Vyote Viwili, Waalike Miongoni Mwa Wahadhiri Wa Kiislamu Japo Mmoja, Kama Mazinge, Kinyogoli, Kadogoo, Maulana, Shafii Na Wengine Mfano Wao Ili Watu Wapate Ukweli.
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Ukisoma mathayo 24 jibu Lipo apo Alafu usimpangie wapi pa kuongea ata mashehe uweka kama ivi wakielezea mawazo yao so kila mtu Ana uhuru wke sio mpaka debate.then aho kina mazinge awana lolote naangalia debet kibao mazinge Ana kitu kichwan tena Bora ata aho mashehe wengine lkn sio mazinge waislam wengi awajasoma ni mbumbu tuu
@neemafelister9584
@neemafelister9584 2 жыл бұрын
Kaka kabla ya Uhumbaji Isa masiya ambaye ni mwana wa mungu alikuwepo. Apo mwanzo kulikuwa na NENO neno likaja kwetu likiwa limevaa mwili (soma Yokaana 1 yote.
@thomasbwire8800
@thomasbwire8800 2 жыл бұрын
Acha uongo Yani mchungaji mzoefu hivyo ashindwe swali dogo hivyo,Yani ashindwe hata kutaja Yohana 3:16 na akamaliza mchezo,Yesu amekuja Kwa kila aitwaye mtu ulimwenguni,kama wewe siyo mtu basi bahati mbaya.
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 8 ай бұрын
Yesu hakureta Imani yakikristi bari arifavya ukamirishaji hivi kwanini nnapenda kuipinga bibiyenu wenyewe
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 3 ай бұрын
Na pengine atoe namna ya kuasiliana nae tumuulize maswali sio kuhutubia
@lukmanbakari2318
@lukmanbakari2318 4 жыл бұрын
Kwanza wew Mtumish umeongea uwongo na unajaribu kuwapotosha Wakrito wenzako na watu wengine, uislamu haukuanza mwaka 622 kama ulivyosema bali mwaka huo ndio kalenda au tarehe ya uislamu. Hebu rudi ukasome tena Qur-aan tuquf halafu urudi tena.
@neemafelister9584
@neemafelister9584 2 жыл бұрын
622AD Muhammad alianzisha ilo diini. ISA MASIYA NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA. Muhammad mwenyewe alikubali injili ya Isa masiya ila akupata mafunzo ya kina akawa amefanya kinyume na injili iyo.
@hashimumoshi7179
@hashimumoshi7179 4 жыл бұрын
Wakristo, huyu mchungaji kawa fumbua akili, anachokusudia nikuwaambia tafsiri ya Biblia mnayo itumia sio sahihi kwa sababu imetaja sinagogi ni Msikiti, lakini jiulize wakati wana tafsiri hivyo waliokuepo wakati huo walikua hawajui chochote ? Pili kama utasema sinagogi ni ukumbi wa mafundisho kwanini yesu alikua akiingia katika Masigogi wakati wa kuabudu?
@kuzmandasilva7418
@kuzmandasilva7418 3 жыл бұрын
Kwa tafsiri ilishindwa kusema sinagogi ni kanisa la wayahudi?
@kuzmandasilva7418
@kuzmandasilva7418 3 жыл бұрын
Na kwa maelezo hayo inamaanisha kua wayahud wanalo kanisa ila Nabii issa hakuwa akiingia humo yy aliingia mckiti wa wayahud
@AbdulMohamed-c8e
@AbdulMohamed-c8e Ай бұрын
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
@aboujanomarion6121
@aboujanomarion6121 4 жыл бұрын
Abraham alipokua akifanya ibada ana via viatu Yesu pia alivua viatu nyinyi mnavua viatu .??
@ushahidifilms2011
@ushahidifilms2011 4 жыл бұрын
Nani alikuambia kwamba Abraham na Yesu walivua viatu kufanya ibada? Unaweza kuleta ushahidi??
@timoteokajinaki7306
@timoteokajinaki7306 3 жыл бұрын
Yesu ni njiia ya uzima
@neemafelister9584
@neemafelister9584 2 жыл бұрын
Usidangwanwe mungu wa Ibrahim, Isaack Isiraeri ndiye Isa masiya. Mumgu INRI
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Hakuna vitabu vinaitwa biblia Wala dini inaitwa ukristo
@chalzdom7299
@chalzdom7299 4 жыл бұрын
Tujiulize swali" kwa mujibu wa biblia, tukiangalia ibada za yesu ndani biblia zinaendana na ibada za makanisani au misikitini?"
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Yesu alisujudu tena nyakati 5 kila siku jee kanisani mnafanya hivyo ndugu
@user-wq4pl5dv6b
@user-wq4pl5dv6b 6 ай бұрын
Yesu alisema iko siku siri zote zitafichuliwa na ukweli utajulikana kwahiyo wakristo hata msiwe na wasiwasi
@amanisausi5529
@amanisausi5529 6 жыл бұрын
Njia ni moja tu na ukiikosa hiyo umepotelea kwenye msitu mnene, nayo ni Yesu Chrito, na alisha sema kwamba 'mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi'
@ahmedhussein2393
@ahmedhussein2393 5 жыл бұрын
Not only Jesus was the way,life and truth but also other prophets were also the same and that doesn't mean that Jesus is God
@masawejoram5075
@masawejoram5075 5 жыл бұрын
@@ahmedhussein2393 only Jesus Christ .
@masawejoram5075
@masawejoram5075 5 жыл бұрын
Ni kweli
@moseskatega8441
@moseskatega8441 3 ай бұрын
Yesu ni mmoja kati ya Kristo wengi
@pastorstevenmdoe5143
@pastorstevenmdoe5143 4 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe Sana! Naomba unielekeze wapi napata hivi vitabu
@allyissalipawe7072
@allyissalipawe7072 3 жыл бұрын
Iviiiiiii ww bado tu hujui huyu anaongea kwa matamanio yake tafsiri iko wazi inasema kama kawaida yake yesu anaenda ktk sinagogi kufanya ibada kanisa halikuwepo kanisa limekuja baada ya kuondoka yesu kanisa halijui ninyi mnaingia kwa kumfua nani yesu au Paulo kazi kwako
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 3 жыл бұрын
MSEMAJI kutoka Vatican ameshangaza kutangaza rasmi kuwa kurejea kwa Yesu Kristo mara ya pili kunaweza kukosekana baada ya kusubiriwa sana, japo akiwarai waumini kuendelea kuwa na imani. Kadinali Giorgio Salvadore alisema kuwa maadhimisho ya 1981 katika Jiji la Vatican yatakuwa ya mwisho, kuhusiana na kusubiri Yesu kurejea duniani. “Tunahisi kuwa Yesu harudi duniani tena kulingana na jinsi mambo yanaonekana,” akasema Giorgio, “Imekuwa miaka mingi. Huenda anafanya mambo mengine ya muhimu kwa watu mahali pengine.” Alikuwa akisema haya kutokana na hadithi ya Biblia kuwa miaka 2000 iliyopita, Yesu aliahidi wafuasi wake kuwa atarejea tena. “Kuna maboma mengi huko anakoishi baba yangu, na ninaenda kuyaandaa kwa ujio wenu. Kila kitu kikiwa tayari, nitarejea kuwachukua ili muwe name milele,” Yesu akaahidi wafuasi wake, katika kitabu cha Yohana 14:1-3. Lakini mkatoliki huyo wa Vatican alidai kuwa wakati alipokuwa akisema maneno hayo “huenda alikuwa akinywa mvinyo.” “Sote tunaweka ahadi ambazo hatuwezi kutimiza tunapokuwa walevi. Yesu alikuwa hivyo tu,” akasema Salvadore. Kanisa hilo sasa limesema kuwa litaangazia kujenga heshima yake duniani, japo bila kupoteza matumaini kuwa Yesu anaweza kuja tena. kama unabisha click iyo link hapo chini usome mwenyewe taifaleo.nation.co.ke/?p=26260 Eti mungu wenu alikuwa mlevi a.k.a chapombe !!! na hao waliosema kuwa yesu alikuwa chapombe ndio mabosi katika kampuni yenu ya ukristo!!! Thsy nasema ukristo ni kama movie ya kihindi uongo mwiingi!!!
@barnabasanga7552
@barnabasanga7552 3 жыл бұрын
@@allyissalipawe7072 sinagogi ni kanisa.
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Wacha uongo wewe hakuna dini inayotwa ukiristo iliyo anzishwa na nabii yeyote, ukiristo umeletwa na Paulo matendo 11:25-26
@gamelahg4613
@gamelahg4613 5 жыл бұрын
Amen asante kwamafundisho Mucungaji ubalikiwe sana
@mwagilomasukuzi4402
@mwagilomasukuzi4402 4 жыл бұрын
Kumbe sio kosa lenu mnasubiri kufundishwa na wachungaji badala ya kusoma vitabu sisi waislam tunasoma vitabu kwahiyo hakuna ambacho utamdanganya muislamu cz bibilia tunasoma agano la kale na quran tunasoma ko sijui utapita wapi tusipopajua pole rudini darasani
@rashidkassimjuma4320
@rashidkassimjuma4320 5 ай бұрын
USIBABAISHE NYOOSHA MANENO WEWE UNACHANGANYA WATU NA KUJICHANGANYA MWENYEWE
@martinmkoba361
@martinmkoba361 Ай бұрын
Sasa hapo anajichanganya nini??
@romeobraoua7009
@romeobraoua7009 5 жыл бұрын
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
@alimuniira5436
@alimuniira5436 5 жыл бұрын
Shame on you
@georgekimasa7393
@georgekimasa7393 5 жыл бұрын
romeo braoua unacho Ongea wewe na mada inayo ongelewa hapo nitafauti kabisa,so subri ufundishwe uskalili
@africrowd4559
@africrowd4559 Жыл бұрын
Yani Hawa wachungaji hawaingii akili bora hata waislamu
@josephkirimi5453
@josephkirimi5453 2 жыл бұрын
Waislam sio wayaundi. Wayaundi ni waisraeli. Leo nikiingia msikiti wa waislam, nitaitwa muislam?
@NemeyeMaliki
@NemeyeMaliki 4 ай бұрын
Acha ushabiki zungumza ukweli yesu hatambuwe ukristo abadan Hana habari namnayo yafanya.
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Mbona unaongea unazungunka Ongea kwa mkato Yesu alikuja kwajili ya wenye thambi ili watubu waokolewe,pamoja na hao. Wanoingia kwenye masigogi maana watu walikuwa wanaingia kwenye masinagogi wakiwa wenye thambi wakiwa wazizi wachawi waongo yesu alikuja ili wapate kutubu inaama mtu akiigia kanisani inamana Ni mkristo au mtu akiingia msikitini inaama Ni muisilamu mbona mnazungusha Yesu alikuja kwa walio wake wakamkataa Bali waliomkubali walipewa uwezo wa kuwa Wana wa Mungu Usizungushe Bwan,
@mwetajoseph1989
@mwetajoseph1989 3 жыл бұрын
Mbona husemi neno linalosema ni ukweli
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 5 жыл бұрын
Financial Loan. Muislamu Wa Kwanza Si Mke Wa Muhammad Rehema Na Amani Ziwe Juu Yake. Muislamu Wa Kwanza Ni Nabii Adam. Soma Wacha Kukariri.
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
Toa andiko basi ktk vitabu vya kale tuone adamu alipo kua muislam...kweli waislam ni 0 wkt mama w Mohammad mpaka amekufa ajui neno uislam sasa adamu uyo vp?Mohammad kazaliwa ajakuta uislam kweli mwalimu wenu kipofu na kawaroga kweli kweli maana mnamshobokea yule mbakaji kamlala Aisha akiwa na miaka 9 so sad moto wa milele umchome yule kafiri wa kiarabu
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n 10 күн бұрын
Muislamu wa kwanza ni mke wa mutume Muhamadi alimsilimisha waislamu tumieni akili zenu
@MaryMuigai-zj8fz
@MaryMuigai-zj8fz 3 ай бұрын
BwanaYesu hakuleta ndini ndini ni mpango wa shetani
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 5 жыл бұрын
Wakristo Wameona Kwenye Debate Wanazidiwa Dhidi Ya Waislamu Wameamua Wajifungie Waongee Peke Yao. Chezea Waislamu Wewe Wenye Dini Ya Kweli!!!!!!
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Mmmhh pole sana uoni ajabu Mohammed kasema muislm akitoka kwenye uislam auwawe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wkt sisi wakristo ni uhuru kbs unaruhusiwa kua huru atuukumu sisi lkn nyinyi mnaogopa mapanga alio sema Mohammed mkatwe katwe kama kuku😂😂😂😂😂😂😂chezea Mohammed ww na majini yke anawanyoosha kweli na motoni mnaenda
@nasmamponde198
@nasmamponde198 4 жыл бұрын
Nyie si magaidi
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@financialloan9818 wapi kasema
@MohamedAli-tg7xp
@MohamedAli-tg7xp 3 жыл бұрын
Soma lugha asili ya bibilia yenyewe sio kiingereza au kiswahili ndio hautapata tabu mchungaji
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 жыл бұрын
Waislam tatizo shule, walidanganywa vitu vingi mno ukisoma vitabu vya ufafanuzi !!
@ibrahimharuna9821
@ibrahimharuna9821 4 жыл бұрын
Mary unqfaa kabisa kuwa mwislam
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 2 жыл бұрын
Mary waislam sio mazuzu wafuatilie vzr kwa akili huru mwisho wa siku utaona ukweli.
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 4 ай бұрын
Hao waislam ndo wanaowafundisha dini yenu.
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 Ай бұрын
Tatizo sio shule kwa waislamu tatizo ukweli ndo unaopingwa na kupakwa matope kama mti wenye matunda tabia yake. Ushahidi kuwa tatizo sio shule ni kuwa waislamu ndio waliosaidia kutafsiri biblia kwa maana wakati huo hakukuwa na Mkristo mwenye uwezo wa kufanya hivyo hasa kwenye fani ya lugha. Msikilize vizuri mchambuzi utamuelewa na amemtaja kwa jina Tusome kwa akili huru wakati Domic mapina anatoa somo.
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 3 ай бұрын
Wambie wenzio sinagogi nikanisa kumbewewe mwalim unashida
@MohamedAhmed-yi1yf
@MohamedAhmed-yi1yf 4 жыл бұрын
Sinagogi maanake ni misikiti
@ezlanshakilbhanji4133
@ezlanshakilbhanji4133 2 жыл бұрын
Yeah amefata mtume Musa na mafundisho yake. Kwa hiyo Musa alikuwa muislamu na yesu kumfata inamaana naye muislamu
@user-wf8eb6nm4s
@user-wf8eb6nm4s 3 ай бұрын
Ukristo na msalaba umekuja baada ya kusulubiwa msalabani yesu. Wakati wa uhai wa yesu kuli kuwa hakuna msalaba Wala neno kristo je yesu alihubiri dini gani
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 2 ай бұрын
Yesu hajaubir din ila wanafunz wake ndio walioitwa wakristo (wafuas wa njia ya kristo)
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 2 ай бұрын
Mungu hakujui sabab ya dini ila Imani yako ili upate rehema zake
@sullecom
@sullecom 5 жыл бұрын
Kweli mtumishi
@ommyomario3069
@ommyomario3069 3 жыл бұрын
Kwanini sasa unalazimisha ukweli mtumzima ufikirilesho?
@japharytwaha8552
@japharytwaha8552 3 ай бұрын
Sinagogi ni mahari panapokutanika tena ilikuwa ni kawaida yao tena wakifanya ibada baada kuwa nyumba zao kubomolewa, hii inaonyesha kwamba nikweli walikuwa wakifanya ibada hapo Kingine tafsiri hii imetolewa na mkusanyiko wa wakristo wote ambao ni viongozi
@mwagilomasukuzi4402
@mwagilomasukuzi4402 4 жыл бұрын
Katika dini zote hii dini ndo inaongoza kuleta manabii wa uongo na mijitu inawaamini poleni sana mtayumbishwa sana na hao manabii njaa wenu sisi tulii dini ya haki lazima ipigwe mawe wala hatuna papara na kama mnajiamini kelele za nini?ila nyie bhana mna macho lkn hamuoni poleni sana maana hata bibilia mnayodai mnaisoma hamuijui
@husha6372
@husha6372 Ай бұрын
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
@josephkirimi5453
@josephkirimi5453 2 жыл бұрын
Yesu hakuleta uislam.synagogi sio msikiti bali ni nyumba ya kuabundia la la waisraeli ukristo ni ndini.
@MaulidMtopa-sh6in
@MaulidMtopa-sh6in 4 ай бұрын
Apo unatetea Kwani ata Kwenye qur an. Lipo neno klisto sasa waliitafsili wakilisto?
@samsoni6873
@samsoni6873 Жыл бұрын
Ast san bro nimeelew
JE YESU ALIKUJA KWA ULIMWENGU MZIMA AU ISRAELI PEKEE?
1:00:21
Habari Njema TV
Рет қаралды 3,9 М.
123 GO! Houseによる偽の舌ドッキリ 😂👅
00:20
123 GO! HOUSE Japanese
Рет қаралды 6 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 42 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 14 МЛН
ALLAH SI MUNGU WA KWELI (NDACHA Vs SASAKA)
1:31:19
Ev. Isaac Deme
Рет қаралды 80 М.
JE BIBLIA ILIHARIBIWA NA WAZUNGU?  MAJIBU KWA ISAYA BENSONY
25:46
PASTOR KYABASHASA
Рет қаралды 2,6 М.
Uislamu dini ya uongo.na muhammad mtume wa uslamu ni muongo
1:09:27
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 9 М.
Wasifu wa Yesu. Na Pr Dominic Mapima
1:14:36
Habari Njema TV
Рет қаралды 7 М.
BIBLIA 'YAMNYOOSHA' MZEE WA UPAKO  KUHUSU WANAWAKE
1:16:20
BAYYINAT DM TV
Рет қаралды 4 М.
OTHMAN MAZINGE SAID KINYOGOLI...JE ALLAH NI NANI
2:05:44
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 199 М.
IPI KITABU CHA MWENYEZI MUNGU kATI QURAN  NA BIBILI?
1:03:41
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 17 М.
UTACHEKA NDACHA /  YESU WA KENYA /  WAISLAMU
1:11:18
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 37 М.
123 GO! Houseによる偽の舌ドッキリ 😂👅
00:20
123 GO! HOUSE Japanese
Рет қаралды 6 МЛН