ITAKULIZA: Roma asimulia jinsi dereva wake wa Bodaboda alivyokihisi KIFO na kweli kikamtokea!

  Рет қаралды 483,602

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

4 жыл бұрын

Пікірлер: 556
@daudiemmanuel451
@daudiemmanuel451 4 жыл бұрын
ROMA polen sana ila cha msingi kama umejiona umepata hatia jaribu kuacha pombe kabisa katika maisha yako ili kuweka agano na mungu wako katika maisha yako, pia chukua jukum la hao watoto INSHALAH
@samirnaty8774
@samirnaty8774 4 жыл бұрын
Dah hii story imenifanya nitoe chozi😢 mungu aifanyie wepec familia yke
@dativagabriel672
@dativagabriel672 4 жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢😢poleee ila ilishapangwa hivoo,hupaswi kujiona mwenye hatia Mungu umchukua kila amtakae na kila mmoja uondoka kwa njia yake
@alijuma6502
@alijuma6502 4 жыл бұрын
Duh..kifo kipo jamani ee mungu tuasamehe zambi tuzitendazo!
@mudricmakame9309
@mudricmakame9309 3 жыл бұрын
Amiin
@edgarbiko6562
@edgarbiko6562 4 жыл бұрын
Dooh inauma sana unaweza ukajilaumu ukasema Mimi ndio chanzo ila nimipango ya mwenyez mungu pole sana bro na kwa familia nzima
@islamkarata9655
@islamkarata9655 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@hasanimikeyo8893
@hasanimikeyo8893 4 жыл бұрын
Pole sana Roma ila ndo ilikuwa njia yake iyo sote niwapitaji hapa duniani akuna mwenyeji
@esterrashidi8305
@esterrashidi8305 3 жыл бұрын
Rama
@aoodalbadi8473
@aoodalbadi8473 4 жыл бұрын
Pole xana brother roma yote ni mipango ya mungu roho yake ilikua inatapatapa toka asubuhi so kumtuma ilikua kma 7babu kazi ya mungu aina makosa
@anthonymakelemo6477
@anthonymakelemo6477 4 жыл бұрын
Pole sana bloo roma m nakukubal sana
@edinahmaganga2722
@edinahmaganga2722 4 жыл бұрын
Pole sana kaka hiyo ni mipango ya Mungu siku zake zilikuwa zimekwisha hata kama usingemtuma kwa siku hiyo angeweza kufariki hata akiwa usingizini tu. Nimejifunza kitu 😭😭😭😭😭
@everinemichael7457
@everinemichael7457 4 жыл бұрын
Siku yake ilifika ila kama binadam lazma ujione una hatia aisee tuombe sana MUNGU atupe mwisho mzuri.
@suzanambeleji4273
@suzanambeleji4273 3 жыл бұрын
C 7)ll hffh, lllll
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
So painful.....! Pole sana Roma, Ahadi yake ilikuwa imefika, Washike hao watoto Allah atakulipia
@hawamakusi817
@hawamakusi817 4 жыл бұрын
Allah Akbar...🙆‍♀️
@tumamapishi2184
@tumamapishi2184 4 жыл бұрын
Mwambie aache pombe
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
@@tumamapishi2184 instead ya mimi kumwambia why wewe hii comment yako usingeitumia kwa kumwambia? Is it by force?
@meshakimgao9805
@meshakimgao9805 4 жыл бұрын
Poleni Sana ndugu. Lakini hiyo ilikuwa Ni njia ya Mungu kuwahubilia Mungu anawataka muokoke mmgeukie yeye mmtumikie yeye achaneni na Mambo ya kidunia Hakika Mungu atawabariki mkitii Neno Hili Okoka.!!
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
Duh ila dunia ina majaribu mengi sana. Hapa naona akina Roma hawajakosea ila kama binadamu, lazima wangejilaumu. Pole sana bro Roma na wenzako, may God help you guys to take it easy. Lakini ata ivo, mulifanya vyema na haki kwa kuchukua huo mzigo wa familia yake 🙏🙏💯
@mudyjumbe4544
@mudyjumbe4544 4 жыл бұрын
Dah, polen sana Roma kuwa karbu sana na family ya huyo dogo
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ana stori za majozi sana, Mungu amrehemu huko alipo.
@mansourmuhammed1922
@mansourmuhammed1922 4 жыл бұрын
Pole sana hata usengempigia simu mungu akesha mtuma ziraili basi huna ujanja roho hutoka kwa sababu na kifo chake kilikuwa ni cha ajali yalobakia ni kusema inalilahii waiinailahiirajiun jitahidi kuwasaidia hao watoto kusoma unafungulako kwa mungu ishaallwa
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 4 жыл бұрын
Inna lillahi wayna illahi rajiun..Poleni sana kwa mitihani familia
@bakariyasin3136
@bakariyasin3136 4 жыл бұрын
Pole Sana bwana Roma.Allah muombe Toba Allah ni mwingi
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Daaaah imenitoa machozi nimejikuta nalia tuu
@achottomazonge8639
@achottomazonge8639 3 жыл бұрын
Daaaah 😭😭😭😭😭 roma umeniliza sn leo M/mungu apuzishe salama🙏🏽
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 жыл бұрын
dah😭mungu wetu ni waajabu sanq yani wamekufa kifo kibaya,sqna na ukiona roho nzito ujue kuna kitu kizito kipo mbele yako japo ni fumbo kubwa sana ee mwenyez mungu warehemu marehem zako👏👏
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 жыл бұрын
Sasa PF3 ni muhimu kuliko kutibiwa kwanza? Nafikiri ni vyema sheria ikaangaliwa tena. Mtu ameumia atibiwe kwanza. Pole sana kwa kufiwa na dereva wako wa boda boda.
@bakariyasin3136
@bakariyasin3136 4 жыл бұрын
Mungu ni mwingi wa kusanehe kama utatubia kwake
@anakissiya8675
@anakissiya8675 4 жыл бұрын
Pole unapaswa kuomba to a coz ni mkristo saadia familia pale unapoweza Mungu mwema atasimama. Upande wao
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 жыл бұрын
Innallilah wainnallilah rajiun imeniuma sanaaa dahhhh,,Roma hiyo familia ungewasadia hd wakakua japo sijui km alikuja kuwasadia au alaa,,, Subhnallah
@shadowmedia7644
@shadowmedia7644 4 жыл бұрын
Daaaaaah pole
@silverman6930
@silverman6930 4 жыл бұрын
This is so painful to listen bro 🇬🇧😢😢😢🙏
@williaellymarawiti4937
@williaellymarawiti4937 4 жыл бұрын
Roma, death is inevitable Yes. No matter how long we live, we will die. Even if we eliminate every cause of death! Take heart and try to help the family he has left behind as much as you can. Forgive yourself and ask God to forgive you and your friends.
@maulidihussein3060
@maulidihussein3060 3 жыл бұрын
Unajua
@abeidathuman9218
@abeidathuman9218 4 жыл бұрын
Do ndomaana napenda sana kusikiliza interview za roma zipo na mafunzo mengi sana hadi hudhuni
@fedelinamahenge6649
@fedelinamahenge6649 4 жыл бұрын
mungu ameshasamehe kwa sababu mmejutia
@abdushakursalumu2428
@abdushakursalumu2428 3 жыл бұрын
Imenisisimua sana poleni sana mungu amlaze mahali pema
@enizemwayingatv5196
@enizemwayingatv5196 3 жыл бұрын
Pole sana somesha watoto hao
@amissahassan3251
@amissahassan3251 4 жыл бұрын
Dhuuu roma. Pole sana pigo kubwa sana hilo pole Mbomo😭😭😭😭
@famitonawanda4831
@famitonawanda4831 4 жыл бұрын
Nimejifunza uwezo uliojáaliwa na mungu, ndugu wa yule dogo, hasa wale wanaosoma, wanahusika kwenye kipato chako wasadie, utakapo jisikia ni ombi sio lazima.
@slayer7k629
@slayer7k629 3 жыл бұрын
Mungu aweke roho yamalehem mahali pema pepon
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
Daaaah😰 Haya Maisha hayaaaa Eeeeeh Mwenyezi MUNGU atujaalie Mwisho Mwema. Kifo Hakikosi Sababu.
@mbukwinikirishe760
@mbukwinikirishe760 3 жыл бұрын
Daaah pole sana inauma broo
@magrethjohn8576
@magrethjohn8576 4 жыл бұрын
Ni mipango ya Mungu,lakini pia Mungu akusaidie kidogo utakachopata uikumbuke hiyo familia!
@yusuphmjanja145
@yusuphmjanja145 4 жыл бұрын
Nakubarii
@queenjayzqueenjayz2807
@queenjayzqueenjayz2807 4 жыл бұрын
mbn imeniumiza😢😢 san hii MwenyeziMungu ampe kauli thabiti🙏🙏🙏
@barakafrancis7523
@barakafrancis7523 4 жыл бұрын
Daaaaah bhana eeeh yani kwa story iyo najikuta tu natoka machozi yani daaah tumuombee mungu ailaze roho yake sehemu salaam
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
Daaah pole san kaka bor 😭😭😭😭
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 4 жыл бұрын
Pole sana apumzke kwa amani kijana wa watu
@lemathomas2862
@lemathomas2862 4 жыл бұрын
Absolutely painful, pia kuna funzo kubwa mno, pole sana bro
@jomwenomkal
@jomwenomkal 3 жыл бұрын
Good mwamba dunia mapito
@krtgsmtechnology5732
@krtgsmtechnology5732 4 жыл бұрын
Pole sana
@dayanabakuza6306
@dayanabakuza6306 4 жыл бұрын
Jmn poleni Sana ndugu yangu
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Inna lilah wainnah ilaihi rajiun, Allah ampumzishe kwa amani
@surujajwie4768
@surujajwie4768 3 жыл бұрын
Innalillh waina ilah rajiun Allah rehemk llah pole 😢😭 naoba uwe unaikubuka family yake japo kw mwisho wa mwez vipesa kindogo nakumuobe duwa Allah atakufungulia riziki
@winheleni9263
@winheleni9263 4 жыл бұрын
Pole sana bro
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 4 жыл бұрын
I cried, I cried ila kila jambo lina sababu ya kutokea. Kuna kitu ama ujumbe wewe na wenzio Mungu amewatumia(ninavyoamini mimi) sasa ni juu yenu kulifanyia kazi. It could be a warning sasa nyie shupazeni shingo........just saying!
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 4 жыл бұрын
Kabisa
@dancehottzdancehottz2465
@dancehottzdancehottz2465 4 жыл бұрын
congratulations for your history .vevo Roma long story
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi 4 жыл бұрын
Kwahiyo Roma nakuomba kwa hiyo story acha pombe
@emmanuelellymwakyusa2900
@emmanuelellymwakyusa2900 4 жыл бұрын
Tatizo sio Pombe ila AJIRA BORA DESCENT employment watu wanafanya kazi kuliko MAHITAHI yao bila kujali kuda na ukubwa wa kazi
@hamissjuma5705
@hamissjuma5705 4 жыл бұрын
Iyo ni ahadi ilikuwa imetimia na pia muda ulishaphika, hata Kama asingekuja kuja kununua pombe angefariki 2, zaidi Tumuombe kwa mungu amsamehe mkosa yake,🙏🙏
@hagaimunuo7957
@hagaimunuo7957 4 жыл бұрын
Hahaha
@deuskashishi6648
@deuskashishi6648 4 жыл бұрын
MC J TV pole
@minzirominziro1320
@minzirominziro1320 4 жыл бұрын
Mmm
@augustinomgonde1505
@augustinomgonde1505 4 жыл бұрын
Nami nimelia Sana hapa. Hii Story imehuzunisha Sana.
@hamisizetz8942
@hamisizetz8942 2 жыл бұрын
Mimi piah.. so sad
@faiongala6190
@faiongala6190 4 жыл бұрын
Duu mungu amlaze mahari pema peponi
@brightmpembela5177
@brightmpembela5177 4 жыл бұрын
Inauma sana aisee
@shabanmpambe3857
@shabanmpambe3857 4 жыл бұрын
So Sad B, You made Me Cry Bro..Sunday I’ll pass by to see you on my way to NY..Be safe outchere
@amonidafa9665
@amonidafa9665 4 жыл бұрын
Hii ngoma ikitoka itakuwa kali sana... It is so emotional
@IdarousPossy
@IdarousPossy Жыл бұрын
We ni chizi wew
@rajabukulala6669
@rajabukulala6669 4 жыл бұрын
Kama ni story ya kweli inasikitisha sana na msimliaje uko vizuri sana
@mapenzisaylas288
@mapenzisaylas288 4 жыл бұрын
nakupendaga atari umekuja mwenyewe au umeoewa hoja🤝
@imamuhassan8637
@imamuhassan8637 3 жыл бұрын
Pole sana broo ila nakuomba uwache kunywa pombe broo
@agatasigara6483
@agatasigara6483 4 жыл бұрын
Daaaaaah jamn mungu atuhafu pole Sana bro
@daimavlog
@daimavlog 4 жыл бұрын
Hizi takataka za PF3 Tanzania sijui upuuzi huu utaisha lini, wanapaswa kuanza huduma na Police waje hapo hospital. Inauma jamani😭😭
@ngwalesma3681
@ngwalesma3681 4 жыл бұрын
Sheria ya kifala sana hata kama mtu ni mualifu bado anahaki ya kuishi, kwa hii sheria watu wengi wamekufa
@daimavlog
@daimavlog 4 жыл бұрын
ngwalesma upuuzi mtupu, wenzetu wanajali afya kwanza, pf3 inatafutwa na wauguzi bila hata mgonjwa kujua. Ukifika hospital umepigwa risasi wakati unahudumiwa basi muuguzi anapiga police, police wanakuja wqkati wewe ukiendelea na matibabu. Ila hawa waTz sijui hii waliwazaga nini aisee, sheria imekaa kikatiri sana
@paulinamwenisongole8804
@paulinamwenisongole8804 4 жыл бұрын
Yaa upuuz kabisaa
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@daimavlog KWELI KBS DUH!!!🏃
@regagud5414
@regagud5414 4 жыл бұрын
Wamejua kukuliza noma sana kaka inatakiwa uwache bombe kwa kumuenzi dogo
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi 4 жыл бұрын
Naona sitasahau inarudi kidogokidogo
@leylahley3542
@leylahley3542 4 жыл бұрын
Daah..inahuzunisha sana.. Ukweli ni kwmba siku yake imewadia ila kifo lazima iwe na sababu..usihuzunike sana Roma muombe dua na umtake allah msamaha.
@estherrobert345
@estherrobert345 4 жыл бұрын
emotional
@chelseadiva1072
@chelseadiva1072 4 жыл бұрын
Mungu ampumzishe mahali pema peponi,pole sana Roma inaumiza sana kwa kweli.Kifo tumeumbiwa wanadamu ila inaumiza sana unapohisi wewe ndio chanzo cha kifo chake japo ni mipango ya Mungu
@rukiasalim2512
@rukiasalim2512 4 жыл бұрын
Yaani kaka hi naidownload maana unaelezea mimi lia maisha haya yanasiri kubwa sana😭😭😭😓😢😢😢
@Manjalino
@Manjalino 4 жыл бұрын
Ila na haya mambo ya madokta kuhusu pf3 yaangaliwe wanakufa wengi sana ujue serikali iliangalie ili suala watu hali mbaya wanakata roho kwa mambo hayo ya pf3
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Sijawah kuelewa inampango gan kuhusu pf3 au kuweka dawati la police hospital ili kulahisisha huduma za majeruhi.
@lisauroble31
@lisauroble31 4 жыл бұрын
Polee sanaa onnlah waanlihi rajiuna mungu ampe mashukio mema kifo hipagwa sku zilifka ila stali hiyoo pombe yeye ulimtuma tuu wakati ulifka kuondolewa dunian muombe tuu imaani hakikasote niwake kwake tutarejea
@aminaabdallah9117
@aminaabdallah9117 3 жыл бұрын
Dah pole Sana broo
@jackingewe4974
@jackingewe4974 4 жыл бұрын
Pole sana mungu akusaidie kwa magum hayo Br,ila usiwaache hao watoto wasaidie pls
@dayanaleo7537
@dayanaleo7537 4 жыл бұрын
Maskini jamani pole sana roma jamani ni kazi ya mungu haina makosa jamani
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 4 жыл бұрын
Mmemponza nalana zenu mtubie na mumuombee msamaa😭😭😭😭
@MustafaAli-bl4sb
@MustafaAli-bl4sb 4 жыл бұрын
Asalaam aleikum all of u. Dah ni stry ya kuskitisha sanaaaaa bt kwa kweli nawambie nyote hapa hili ni funzo kwetu sisi husnil khatima ni kitu muhimu sanaa. Yatafakari hayo yote esplc wewe mwenye kusimulia hii stry . SWALI KABLA HUJASWALIWA!! yatafakari haya.
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 3 жыл бұрын
Kayatafakar ndo maana katuletea kwenu nasi tujifunze kitu
@matridaluhala155
@matridaluhala155 3 жыл бұрын
Daaah imeniuma san
@kelvinefuronielisha4039
@kelvinefuronielisha4039 4 жыл бұрын
Atamimi imeniliza polesanaroma
@francejohn2175
@francejohn2175 3 жыл бұрын
Nakubali
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 жыл бұрын
Aisee Pole sana
@kasulucosmas9643
@kasulucosmas9643 4 жыл бұрын
Daaaa!! Pole sana
@blackamerican7983
@blackamerican7983 3 жыл бұрын
Nakukubali Sana Roma....pole Kaka yanguuu!!!
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 жыл бұрын
Dah😢😢😢😭😭 maskini pole sana roma maskin inasikitisha sanaa ndo ile laiti ningejua inakujaga mwishoni mwa tendo
@musayoung8916
@musayoung8916 3 жыл бұрын
Pole Sana mwanagu mungu apewe sifa kwan yeye ndiye anayewezakila Jambo
@dannyjonas651
@dannyjonas651 4 жыл бұрын
Dah Roma bro dah umenifanya nitoe machozi et
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 4 жыл бұрын
😢😢😢 Innalillah wainaillah rajiun ,Acheni pombe na mtubu, Mungu kawakumbusha kifo kipo karibu sana kupitia huyo kua,sio mda wote kunywa tuu hadi ucku wa manane bila kumkumbuka Muumba wenu nyie ni Tungi tu.
@kanezasheikha6426
@kanezasheikha6426 4 жыл бұрын
Allah nimwemaa uhhh sin lakusem. Allah ndo anajuw usijal
@havolinkalambo6882
@havolinkalambo6882 4 жыл бұрын
So painfull daa duniani kuna mengi
@jeranibanzi2127
@jeranibanzi2127 4 жыл бұрын
Pole sana kaka Huo mkasa no wakujifunza
@saumumasudi8431
@saumumasudi8431 4 жыл бұрын
aisee mara ya kwanza kusikiliza lakin story zur sana
@janepherpatrick3615
@janepherpatrick3615 3 жыл бұрын
pole sana roma hyo ilikua ni mipango ya mung
@hatibuathuman1178
@hatibuathuman1178 4 жыл бұрын
Hiii hatari lakini muhimu kujutia pia kuwajibka pia siku yake ndio ilipangwa hivyo pole sana mtunze huyo mtto na kuwajali ndug na kutubu
@patricktegea1430
@patricktegea1430 4 жыл бұрын
Dah inaskitsha sana
@panjatz1438
@panjatz1438 4 жыл бұрын
Pole sana dingii!! Yote mipango ya Mungu!!
@masoudseif3515
@masoudseif3515 4 жыл бұрын
Pole broo njia yetu sote Ila hilo ni funzo acha pombe
@husseinabdallah5367
@husseinabdallah5367 4 жыл бұрын
Mungu amrehemu dah! Hata mm nimeumia sn
@Smithdaob1
@Smithdaob1 3 жыл бұрын
😥😥dah
@onesmokway5731
@onesmokway5731 4 жыл бұрын
Pole broo,
@barick
@barick 4 жыл бұрын
Pole sana!! harafu hama roman umpokee yesu nakuahidi pepo la pombe litakutoka.
@assilaa2007
@assilaa2007 4 жыл бұрын
Roma my brother kupitia ctor hii plz if hutojali pombeee achaaa kbc😭😭
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 4 жыл бұрын
Pole Sana
@saidishomari1194
@saidishomari1194 4 жыл бұрын
Xo painfully..but all in all God's plan.. let as say R.I.P
@mohammedAbdallah-hi7qh
@mohammedAbdallah-hi7qh 4 жыл бұрын
kuna mengi sana yakujifunza,1 kutochukulia jambo kikawaida,kutolazimisha jambo,Thamani yakitu tuione kabla hatujaipoteza na kuheshimu mawazo nakila mtu
@rashidyussuf4375
@rashidyussuf4375 4 жыл бұрын
Innalilah wainarajiun kazi yangu mungu haina makosa
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030
35:25
Millard Ayo
Рет қаралды 779 М.
YAFAHAMU MENO BANDIA
4:11
Alexia Hospital
Рет қаралды 3,8 М.
GiGaMoN! 5 🗿 #gigachad #sigma
0:53
The Logan Chitwood
Рет қаралды 5 МЛН
我说我不是故意的,你们信吗
0:25
侠客红尘
Рет қаралды 26 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3,1 МЛН