Rapper Roma Mkatoliki amesimulia mkasa wa rafiki yake waliyesoma pamoja huko Dodoma alipogongwa na gari mwaka 2004 na kupata madhara kwenye ubongo yaliyopelekea awe kichaa hadi mwaka 2020 lilipotokea tukio la kushangazaa..
Пікірлер: 67
@husnahassan62894 жыл бұрын
Story za ROMA huwa nazipenda sana na zinauzunisha mno
@neemamayco32383 жыл бұрын
Romaaa una historia sana kwenye maisha yako pole maan unakutana na mambo makubwaaa sana mara mtu afie safarini mar mtu agongwe na agongwe tena mara boda umtume afe pole sana
@nevermind4789 Жыл бұрын
Roma is a good storyteller
@yusufutomass-br3fr Жыл бұрын
roma nime anzaga kuku fatilia toka ilesafari ya kwenda mbeya yule dogo alie fiwa na kaka ake kwenye bass alf dogo akawa wa mbuzi hadi stendi hii nayo imaniliza sana my broo mungu wetu ni wa ajabu sana roma
@mwasonkambi72072 жыл бұрын
Narudia Tena Kaka ,,ukiweza msaidie Sana Jos mtambo ,usichoke.🙏
@esterjimmy75734 жыл бұрын
Mungu ni mkuu 🙏
@shahamtindo4 жыл бұрын
Dah! Mungu ni mwema siku zote
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌 🙌🙌 hiz comments roma sijui km unazisoma unaambiwa unatunga Stori mara wimbo mpya
@stevenojambo63964 жыл бұрын
Roma Roma
@bahongilivingstone67922 жыл бұрын
Mkatooooooo uishiwagi story Mwanangu sema tunajifunza kitu kwenye story zako Mwanangu
@alberttarimo3 жыл бұрын
Roma unajua kusimulia
@edsonjumbe8794 жыл бұрын
Huyu mwamba anajua sana ku narrate story
@omarykalla26053 жыл бұрын
Nakukubari Sana broo
@tzoneboy9760 Жыл бұрын
Hii story imenikumbusha movie ya kihindi niliangaliaga kitambo sana nkiwa dogo janja daaah noma
@mwasimbega87124 жыл бұрын
Mungu mkubwa aiseee....!
@lydiaakimana79884 жыл бұрын
Allahu akbar Mungu ni mkubwa saana kwake hakuna linaloshindikana
@professorabdullah23004 жыл бұрын
Naaaaaam kwa Allah hakuna kubwa
@samsonmaswi9663 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka nakupata vizuli sanaa mungu nimwema
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Allah Akbar
@pillyomary61273 жыл бұрын
Akuna km km mungu duniani
@mgenihamisi12124 жыл бұрын
Tupe jina la hii ngoma acha kutuzuga brother😃😃😂
@BaddweedNyungu-e8x8 ай бұрын
Ipo powa
@zakariathomas85694 жыл бұрын
Pamoja sanaa SNS
@carencaren49144 жыл бұрын
God is good
@leahmajaliwa65752 жыл бұрын
Mungu anaweza
@mkiwamkiwa35704 жыл бұрын
Duduu mungu nimwema
@mikapecta60213 жыл бұрын
Roma unastory nying xn najua unacreat tu ila nakupongeza unavaa vilivyo uhuxk uko vzr
@kapembarashidi72103 жыл бұрын
Nimekubali Sana roma
@shamsalulanje41514 жыл бұрын
mistar hiyo ngoma inakuja soon but hongera kaka tunaisubiri
@yazidusaidi8843 Жыл бұрын
Nimekupata kwa ufupi tukio hili linakazia na ujumbe wa nyimbo ile ya Mzee wa Siku ya Ambwene Mwasongwe
@fatmadevd80724 жыл бұрын
Yeeeeeh syo kila tatzo ntatzo kna matatzo mengine huja na neema mbele yake
@rademm89244 жыл бұрын
Safi
@KaguttaEdson4 жыл бұрын
Aisee hii story inagusa sana hasa katika familia duni zisizo na uwezo kutatua jambo
@RandyMwanaKin4 жыл бұрын
Roma Roma naona mulango so bado upo apa America daaaahhh
@m.vmediazawadi45703 жыл бұрын
Dah mngu ni mkuu waajabu 🙏
@youngnoyn41194 жыл бұрын
MUNGU wetu ni mwenye nguvu
@joycemakungwa13072 жыл бұрын
Grorl to god
@scolabahame22144 жыл бұрын
Duh mungu nimwema
@nlylyn14434 жыл бұрын
Subhana ALLAH Alhamdulillah ALLAH Akbarc type GOD is name with capital letter dear
@fatmadevd80724 жыл бұрын
Mm nmekuelew sn kwass 2liosoma sayansi nnafaham 2nafaham
@susanruo80874 жыл бұрын
That's what God can do! He is a mighty God
@hassanisadiki8244 жыл бұрын
Weee Roma hizi story zako tume choka nazo sasa, maan hii ni story ya pili unatupa alaf zote ni za uwongo 😜😜🤣🤣
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Umeona bro muongooo huyu sana2 bro 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanisadiki8242 жыл бұрын
@@binaljabirmshihirzanzibar8369 😂😂Mzee wa Bugana my bro
@neemajoseph39713 жыл бұрын
dah nakumbuka
@mwasonkambi72072 жыл бұрын
Bro msaidie mwanao Jos mtambo
@edennygaudence8843 жыл бұрын
Story zako Roma zinafundsha saaan base
@ashabakke47339 ай бұрын
Everything happen for a reason
@jayratumaulid5824 жыл бұрын
Subhannallah 😢 😢 😢
@mudysinga80644 жыл бұрын
Upo vzr kwa uwongo
@francisruambothetechnician4 жыл бұрын
Dizaini kama jamaa alipopata ajari kama ubongo wake ulihama time travel na baadae kurudia. Kiujumla ni ngumu sana kuelezea ila kichwani nimeielewa
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Kama movie vile dah mwili wote umesisimka lakin Roma anastory kwel yan
@paulmillya91554 жыл бұрын
Du!!!! Mwanangu wew muongo xana ni ngoma mpya nini
@paulmillya91554 жыл бұрын
Mmmh atari xana
@maspro62944 жыл бұрын
Ngoma yako itaitwaje.? jamaa kichaa ila hiyo mistari yako usivuke mipaka kuitukana serekali ya JPM
@adamalfred93484 жыл бұрын
Muongo utamjua kwa vitu vingi, kimoja nilichokigundua anachana sana nywele
@aliseif26912 жыл бұрын
Mimi nimejifunza mungu ni mkubwa zaidi na wewe roma muongo kwa hadithi yako ya kutunga.
@elishamhina47162 жыл бұрын
Acha wivu wewe wee umejuaje kama katunga
@mpundempunde17224 жыл бұрын
Story ya kutungu
@fatmakiruwasha23783 жыл бұрын
Kila mtembea peku simasikini
@isacklaurent89484 жыл бұрын
uyu jamaa nae muongo muongo sana
@jackisongirani2453 жыл бұрын
Tonqweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@eliassabbath24804 жыл бұрын
pia kuna jamaa aliwai kupigwa teke kichwani na faransi akawa kipofu pia alipona baada ya kupigwa teke kichwan na punda
@susanlijera.4 жыл бұрын
Pamoja kabisa kzbin.info/www/bejne/p5Wre6qYetJjq68
@husnahassan62894 жыл бұрын
Story za ROMA huwa nazipenda sana na zinauzunisha mno