Walio hapa kwa sababu ya Tundu Lissu wagonge like👍👍
@emmanueljoshua42983 жыл бұрын
Kam unamkubali lisu gonga like
@edsonmwambokela37073 жыл бұрын
Tupo tyr kupiga kura kwa wingi
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Miaka buku
@HH-vx3bh3 жыл бұрын
UTI tupu
@abubakarishoo31733 жыл бұрын
Mpuzi tuu huyo
@frankkikambako92813 жыл бұрын
Hawi mtu shoga hapa labda Ponda na Bagonza..😎
@fredreckmwakalinga34753 жыл бұрын
Shikamoo Lissu
@princeswai89953 жыл бұрын
Kula kwa Lissu tijuana apa
@reubengeorge68403 жыл бұрын
Ni kweli haki huinua Taifa Mungu Linda watanzani kwa wakati huu wa uchaguzi iwe na Amani 🙏🇹🇿
@nelsabugo36133 жыл бұрын
Amani nikitu cha Thamani Bilamungu hatuwezi...Magufuli mpenda amani
@theofanialudovick81663 жыл бұрын
🙄🙄
@perezndesh84073 жыл бұрын
Hakuna kitu kama hicho
@zenicetairo89953 жыл бұрын
I TV Mungu Hawabariki
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Try may be but mmm
@gilbertvicent42293 жыл бұрын
Watanzania wanapenda mabadiliko ya uongozi jamn. . Hebu tumshukuru sana JPM kwa uongoz wake uliojawa na changamoto na wananchi......na tumpe raisi mwingine ili pawe na ufanisi na imani ya wananchi pamoja na furaha irudi tena nchini
@EK-kp2np3 жыл бұрын
@Gilbert Vicent: Usitusemee sisi wengine, sisi tunafurahia amani iliyopo mpaka alipokuja huyu Lissu, kama uongozi uliopo unaturidhisha hata CCM ikae milele, Mbona Mungu yupo tangu dunia ianze, je unamtamani Lusiffer sasa? Maana Mungu yupo muda mrefu, Chema chajiuza kibaya chajitembeza 🤷🏼♂️
@rahelmlowe64353 жыл бұрын
Hivi yey hatapiga kura🤣
@frankkikambako92813 жыл бұрын
We, "unataka tuwe mashoga sisi?. labda wewe na familia yako mimi simpi Lisu wakala wa shetani., "kama Mungu aliichoma kwa moto inchi kwa hasira (sodoma na gomora) Sasa unatushawishi na sisi tumchukize Mungu wetu kwa kuunga mkono ushoga?.. Namkataa wakala wa shetani Tundu lisu...😎
@gilbertvicent42293 жыл бұрын
@@frankkikambako9281 Mambo ya ushoga na uongoz yanaendana vipi. .mashoga wote waliopo hapa nchini nani kawafundisha wawe hivyo? Wanaovaa skeiti fupi na ndefu pamoja na nguo za kubana walifundishwa na na nani. Kama maadili yako yanakutuma hivyo utakaa hivyohivyo kwani huko ulipo kama wewe ni shoga raisi anahusika vipi? Tumia akili unapotoa hoja zako kwani haziendani na mada
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Hakika sema kwa Sauti
@zenicetairo89953 жыл бұрын
Amin ushindi wa haki upo...,Hata Mungu Huwa Hanatusikia Tumuombapo God is every things
@tumainisimon58993 жыл бұрын
Raha ya lisu anapiga kampeni lakini pia anatoa elimu ya pigakura na kuhamasisha watu wakapige kura
@arabimomadeali2703 жыл бұрын
Jaribu kumpigia kura uone kitachokukuta utajuta kuwepo tanzania
Mupatie chance he is a loyal patriot Man who have human heart believe on vision....
@dicksonmatulile15233 жыл бұрын
Mmmh pumbavu
@husseinzay76393 жыл бұрын
@@dicksonmatulile1523 labda wewe I think u are easy going person without vision ...just give out a hell..🦀🤫
@goodendamon68533 жыл бұрын
Mwakà huu wizi wa Kura ni tofaut na miakà mingine
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Tunajua hilo tubadilisha number sio kadi basi. UVCCM wote tarehe 27 watapewa uniform za kijeshi na polisi , wengjne za kmkm kwenda kupiga kura kama na wao ni vikosi vya kijeshi na vijana wengine wanawasili kutoka Jkt kuja kupiga kura za ndio terehe wakimaliza wanarudi Dar jioni kwa ajili ya kupiga kura zao Bara na wale wanzibar tarehe 28 wanapiga tena kura kama raia. Act zanzibar hashindi kwa kura ccm wako na kila mbinu
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Masanduku ya kura ambazo tayr zimeshapigwa zikiingizwa nymban kwa mmoja ya wakerekwetwa wa ccm wilaya ya kasakzini A Unguja huku zikisimamiwa na mkuu wa wilaya na kila mkoa wamepeleka sanduku 15 za ndio kwa Dk. Mwinyi kwa upande wa zanzibar
@goodendamon68533 жыл бұрын
Unachopenda baba kaaa kimyà tuu maana sio kwà mipango hiyo And swali linakuja kwann wanàtumia nguv nying wakàt wanasema lisu Hana sera Kama kweli lisu hafai basi waachemaji yafuatemkondo na watashinda tuu Yani hakuna haja ya kutumià wizi wakat unaweza kushinda Bila wiz And through this wanadhihirishà kuwa hawakubaliki📌📌📌📌📌📌
@goodendamon68533 жыл бұрын
La muhum zaid tuombee Aman nchin kwetu Mungu ibariki Tanzania
@arabimomadeali2703 жыл бұрын
Wewe ni vita iyo utaweza kusalimika mana lissu anaitaji vita mchini sio mtu mzuri kabisa musiombee ndugu na jamaa wa tanzania kumchagua uyo mbinafsi
@hamiduothumani72273 жыл бұрын
Wale wapenda haki nchini Kama Mimi naomba like tujuane mapemaaaaaa✌️✌️✌️✌️
@kijeshiabdalla63163 жыл бұрын
Kazi ipo mwaka huu!!!
@zenicetairo89953 жыл бұрын
Na itakwepo aswaa
@hapakazitu73643 жыл бұрын
litashindwa mpaka basi we liache tu umati ulidanganye
@kijeshiabdalla63163 жыл бұрын
😁😁😁
@mwamvuamohamedi79733 жыл бұрын
Wanao wanafurahia tz mpya pia
@jacobomahona38793 жыл бұрын
Asante sana raisi
@MKULIMASMART3 жыл бұрын
NI YEYE
@sofialinus82413 жыл бұрын
I ❤️ JPM Hatutaki kiongozi kivuli, Kamwe hutakuja kuwa-Rais Sahau kabisa kwasababu Mashoga, wavivu, waliotumbuliwa, wezi na wasiojielewa.....wanapiga kelele tyuuuuuu CCM oyeeeee JPM saaaaafiiii Mitano mingine kwa maendeleo ya Tz
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Ni kweli mheshimiwa Rais Lissu- haki huinua Taifa
@pendomalisa81483 жыл бұрын
Raisi wa mashoga
@benladen4423 жыл бұрын
Eeh, my God help our leader of chadema so as 2 develop ourselves
@shukururashid42143 жыл бұрын
Wajinga tutaishi nao ✌✌✌✌✌
@fadhiliswidhun97793 жыл бұрын
Mkulimaa daa tuulze songea vs mbnga achaa tu
@magreththadei68803 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ramadhanirajabu86153 жыл бұрын
Magufuli baba laoooooooo kura kwa maguuuuuu
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Kabisa
@hafidhothman45883 жыл бұрын
Hana sera huyo bwege
@kadogoomushadi54093 жыл бұрын
@@hafidhothman4588 kabisaaaaa
@nathankimaro98033 жыл бұрын
unakula na kulala kwenu unajua shida gani wewe?
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
@@nathankimaro9803 wewe unasubiri Lisu aje akujengee Nyumba ??
@sarumariki18033 жыл бұрын
Lissu kanyaga twende zetu
@makutwioberd95423 жыл бұрын
Hakika mungu yupo na lissu
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Chadema for life lets try
@abdallahkawambwa90413 жыл бұрын
Mungu akulinde
@zenicetairo89953 жыл бұрын
Tukapige kura kwa Iman tusikate tamaa.!! Don't Give Up!!
@umranim58543 жыл бұрын
✌️✌️✌️💪💪💪❤️
@kelvine61673 жыл бұрын
Like Zenu hapa wapenda haki
@stephanomarwa30633 жыл бұрын
#NiYeye2020
@rojamgosi18933 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️✌️✌️💯✔️
@derickthobias63933 жыл бұрын
Lissu October 28 ✔
@kuyengathomas50133 жыл бұрын
Lissu tuvushe Baba
@hapakazitu73643 жыл бұрын
akuvushe mazembe bwana yanapenda kubebwa tu
@beatusbejea51833 жыл бұрын
Duh uchaguz umekuwa mgumu sana mwaka huu
@khalidballeth59573 жыл бұрын
Vituo hewa🤣🤣 Kila kukicha Lisu anawashtukia jamaa stail zao za uchakachuaji🤣🤣
@oscarbaltzar16453 жыл бұрын
yaani mtanzania mwelewa atafaham lengo la mtu huyu jamani huyu anawaponza msimfatishe ni agent wa mabeberu
@harounhabdully68423 жыл бұрын
Kalia hyo 🍆🍆🍆
@lordhilpolithrothschild59553 жыл бұрын
Asa Unaongea maneno ya kinabii afu huelezei. Why unasema katumwa na mabeberu?? And by mabeberu unamaanisha nini?? Na je Tz ni mabebebru au sio na kwanini??
@annelyimo60653 жыл бұрын
Kama ni kweli unaamini hivyo either wewe ni mshamba wa mwisho au hujafika hata classy 7
@patrickgodfrey48763 жыл бұрын
Elezea ww
@dadykidmaju1083 жыл бұрын
Kagombee wew usiwe mbeberu
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Sikujua kwamba TV za tanzania zinatangazia habari za chadema na vyama pinzani ndio mara yangu ya mwanzo kupata habari kama hivi baada ya miaka 4 maajabu sana
@waluohopaulo21163 жыл бұрын
Msema kweli..alafu wanasema akuna uhuru wa wanahabari
@stellamusa86723 жыл бұрын
@@waluohopaulo2116 mpuuzi mmoja
@waluohopaulo21163 жыл бұрын
@@stellamusa8672 nani mpuuzi
@waluohopaulo21163 жыл бұрын
@@abdallasefu8819 wapi uko vyombo havi fanyi kazi
@upendotarimo93243 жыл бұрын
Mbona wanatangaza muda tokea kampeni zianze we ndo huangaliagi tv
@raphaelsamwel26403 жыл бұрын
Odana??? Aiseee!!
@msumenoonlinetv91903 жыл бұрын
Swaaaaafiiiii rais wetu mpendwa
@abubakarishoo31733 жыл бұрын
Rudi shule ukasome mpuzi wewe
@judychallw55213 жыл бұрын
Umekosa rais pole sana
@naslee10103 жыл бұрын
Au #nakosea
@michaelmathias33793 жыл бұрын
Nakukbali
@jumakasuka58553 жыл бұрын
Hupati kitu hapa...
@weisikorugemalila49053 жыл бұрын
Atapata sana acha wivu
@josephatjonya69053 жыл бұрын
Ni yeye
@umulithokyarema64913 жыл бұрын
Ahahahaaaa, kama lowasa alitikisa kwenye kampeni lakini siku ya uchaguzi wajumbe wakamtosa. Ww Lisu ni mwongo, unapingana na benki ya Dunia kuhusu uchumi was Tanzania!!!!!
@ikoziboy44883 жыл бұрын
Jamani kusema kweli magufuli nnnnh sijui ila watumishi wengi wanadai pesa nyingi alafu tundu lissu anajua sheria kwahyo sijui
@shomaryally64613 жыл бұрын
Jamani tumpigie kura mgombea wetu
@benysanga32973 жыл бұрын
Tupo nae
@kingotoamiri89573 жыл бұрын
Magu mitano tena tafadhali
@sulekibombwe13673 жыл бұрын
umepita bhnaaaaaaaaaaaaa
@zenicetairo89953 жыл бұрын
Tukapige kura watanzania wenzangu tusikate tamaa.
@josennko62123 жыл бұрын
Rais aliyeteuliwa na mungu
@frankkikambako92813 жыл бұрын
Raisi wa shetani na usisubutu kumtaja Mungu wetu aliumba juu ya wakala wa shetani. Mungu alikasirika na kuingamiza nchi juu ya vitendo vya ushoga (Sodoma na gomora). Tundu leo anaunga mkono machukizo kwa Mungu naomba musiwe na mihemuko juu ya kumshirisha Mungu na mabo ya dunia. Tundu ni wakala wa shetani na kaa ukijua shetani na yeye ana nguvu zake za giza za kuhadaa watu.
@frankkikambako92813 жыл бұрын
Hata neno Mungu hujui kuandika. Sio mungu ni Mungu.
@hapakazitu73643 жыл бұрын
JPM mpango mzima ndo maana tunabarikiwa
@mangegervas96513 жыл бұрын
hatutaki wanaoamin ushoga na mabeberu mambo Leo... Ccm oyeee
@najmaramso89013 жыл бұрын
Chadema juuu
@gracejuma3883 жыл бұрын
MUNGU ndie pekee anaeijua kiongoz yupi atafaa kuliongoza taifa,,, Wa Tz tumuombe tu MUNGU maana yeye ndie aonae awazacho mtu. Bt kwa namna nlivyo fuatilia Hii kampeni mmmh mmoja wa wagombea anataka kulipa kisasi tu hamna kingine,,, hata Kama mtu alikukosea haina haja ya kufanya wewe ety usiyaone mazuri yake huezi jua alipatana na MUNGU wake mda gani na akatubia kosa so, Ni msafi Sasa 🙏🙏
@frankkikambako92813 жыл бұрын
Huyu ni tayali wakala wa shetani usimjumuishe na Mungu alieumba na kuichoma sehemu ya nchi kwa hasira kuu baada ya vitendo vya ushoga sodoma na gomora. Ambavyo leo wakala washetani huyu anaviunga mkono kwa asilimia mia ma wazungu wachache wadhamini wake.
@starniceofficial54923 жыл бұрын
@@frankkikambako9281 kenge wew shoga babako
@mwanaidimvungi11973 жыл бұрын
Lisu unajisumbua maana kushinda hushindi ngoo'
@ondoroboy47203 жыл бұрын
Urais sio chumvi kila mtu aonje kua rais ni kubeba maisha na hatima za watu
@johnyty4983 жыл бұрын
Haki huinua taifa
@stephanokaaya18813 жыл бұрын
Wengine wamekuja kuona mtu anaetembea na risasi mwilini hapo hakuna kura wambulu sio wajinga
@wankyosogorya81153 жыл бұрын
Wanaomtukana Mara paaaa kashinda
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Hakuna kushinda kwa paaa Hadi MUNGU ATIE NAKSHI
@joycenyakiha81213 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 hawez kushinda hata ck1
@raymond_anthony953 жыл бұрын
Labda njaa
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Mmm atatufanya nini??
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Atashinda Magufuli akistaafu labda
@elaimgeyekwa97323 жыл бұрын
Hapa ndo ananishawishi lkn anavoponda tu watu badala ya Sera ananikera
@ebenezerkivuyo34593 жыл бұрын
lisu ni yeye 2020 2025 ccm akun kitu
@theworldproof12213 жыл бұрын
Kila mahari uchumi umedondoka Au Nakoseea :::: ndioo ndioo : sija elewa
@josephezekielmasolwa82833 жыл бұрын
Hahahaha!!!!! Au nakosea.....Ndiioooooo!!! Hao ndio watanzania
@sotimartinho10643 жыл бұрын
Unachekesha.risu..uwigih.ikuru.kwamwe.
@sonuswai75963 жыл бұрын
Hata kuandika hujui eti risu kuna mtu anaitwa risu?jitu kwenu hata maji ya kunywa hamna Ila bado mnangangana na ccm tuu
@mshammsham46033 жыл бұрын
Kisheo we mwizi imekula kwa ccm wala sio kwa lksu maisha magumu sana utakula ndege haki huinua taifa mpunga elf 50 wakatj nimeulima kwa ghalama kubwa mungu lete kiama thfe wote hadi bwana jiwe
@mohamedirumambo71783 жыл бұрын
Kufa mwenyewe kwahiyo wewe ulitaka utuuzie bei kubwa ili sisi maskini tusikie halufu ya wali kwa jirani?
@hapakazitu73643 жыл бұрын
wewe boya unataka serikali ikuletee chakula kwako, pambana na hali yako
@sharondivine89943 жыл бұрын
Bei zimeshuka dunia nzima ,corona imesababisha uchumi kushuka, mpunga hauwezi kupanda bei Kwa soko la ndani
@trophinidamac3 жыл бұрын
saf
@jonhjoseph11593 жыл бұрын
28/10/ gonga like kama utampa kula lisu
@LucasmollelMollelLucas11 ай бұрын
Kweli kweli kweli kweli kweli kweli watu wafahamu iyo
@wilhelmmrina60533 жыл бұрын
Kweli uchaguzi wa mwaka huu sio wa kawaida
@laurenceclarence68783 жыл бұрын
Nitoke hapa nimpgie tund kura siwezi kwa7bu najua hawez i shinda
@jenifacosmas17253 жыл бұрын
🏃🏼✌🏽
@georgeamry4223 жыл бұрын
Kerere tu malizia bado siku tuanza kujenga taifa
@annelyimo60653 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tuache u chama angalieni maisha yalivyo magumu ndani ya miaka hii mi5...tumpe Lisu ridhaa ya urais wa Tanzania jamaa kichwa yaani ukisikia IQ kubwa ndio huyu bwana...Chagua Chadema Chagua Lisu✌✌✌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@rachelbenard86053 жыл бұрын
Yan wew ujielew,,,Yan baada ya kufanya kazi,,,
@devotamsemwa30483 жыл бұрын
Wajinga wako wengi sana haki ipi mnayoitaka achen wehu.mnajidanganya kweli lisu lisu akaongoze mabeberu wenzie ubligiji si tanzania
@hafidhothman45883 жыл бұрын
Safi sana devota
@abasigawa3 жыл бұрын
Naomba niulize,je kama chadema wakiingia madarakani saiv ccm watamsimamisha magu next uchaguzi ili akamilishe miaka 10?
@mabenzimabenzi43483 жыл бұрын
Hapana hawezi simama
@nkiliyemedia3 жыл бұрын
Ushindi mgumu
@faustinemavere14503 жыл бұрын
Wewe utapeleka wapi hayo mazao acha kudanganya watu wewe unataka kuuza nchi yetu Mungu atasimama na nchi yetu
@ayubumzaire48533 жыл бұрын
Kwa maisha haya! Bora auze tu, Na kama mnadanganywa katumwa na mabeberu poa tu, Misha yetu ni Kama mbuzi jike, kwa hiyo bora atuletee mabeberu sawa tu, Kura tunampa huyo huyo
@ayubumzaire48533 жыл бұрын
MUNGU analipenda na kusimamia taifa linalopenda na kutenda Haki, Sio lenye dhuluma na kuchukia ukweli
@faustinemavere14503 жыл бұрын
@@ayubumzaire4853 pole kijana hiyo ni siasa huyo hatakuletea maendeleo yoyote zaidi ya kuturudishia wale wakuchukua dhahabu zetu lakini sitaki niingie sana Mungu ndo atatuchagulia rais wa haki na kiongozi bora si bora kiongozi
@judychallw55213 жыл бұрын
Amina
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Imeisha hyo Mh!!
@ghanimesuleiman57133 жыл бұрын
CCM ushindi lazima tundu povu
@namchokondasaid98663 жыл бұрын
Mutachambia kisu mwaka huuu
@victorakihanga43 жыл бұрын
Tumecho na malalàmiko ya huyo kiongozi wenu hata halalamike mpaka yesu arudi hatapewa nchi watanzania tuko na macho yakuona Yale tumefanyiwa na chama tawala kwahiyo mlalamikaji anajichosha bure Rais aliyepo madarakani ni yeye tu barafu ya moyo wetu
@kaimuulongo95903 жыл бұрын
Nakukubali San Mr lissu
@henryndosi11143 жыл бұрын
Baada ya tundu lisu kushindwa vibaya atakimbilia kwao ubeligiji
@stellamusa86723 жыл бұрын
Then what? Umburula ni kipaji
@sekiondowarema17863 жыл бұрын
Huyu anaweza akawa hajapona kweli. Uchumi tunauona waziwazi we unatudanganya
@@kadogoomushadi5409 ila matusi yako hayampunguzii chochote
@kadogoomushadi54093 жыл бұрын
@@shukurushabani1112 😁😁😁😁😁kumbe inaumaeeeee mwambiye nayeye aache kutukana naakiwa ni kiongoziwenu sivyemaa inawezekana we we hujawahi kumsikiya akitukanahuyo mzee
@jumannejmzungu57763 жыл бұрын
Yaani na usanii wako hapo ndo huwa unanichosha kabisa time ilishatoa na tukaona na ikatoa muongozo
@tinotohno803 жыл бұрын
Uwiwwwwwwwwwww kwaheli ccmmmmmmmmmmmmmmm
@edmundykusena97283 жыл бұрын
Niyeye2 hakuna mwingine
@epifaniamilinga28483 жыл бұрын
Maswali yote,jibu ni moja,
@geofreymollel69733 жыл бұрын
Kweli mkuu umesem kweli ccm chaliii
@hollysprings33773 жыл бұрын
Hivi tundulisu no dini gani huyu
@pendomalisa81483 жыл бұрын
Alie jibu wakati Yuko sahihi
@mrzilla90963 жыл бұрын
Sasa ndugu yangu usishabikietu mambo usiyoyajua unajua maana ya uchumi wakati mnadanganywa nanyie mnaiga watu wanateseka haringumu mnadanganywa eti tjmeingia uchumi wakati mmmh wa tz kweli kichwa cha mwenda wazimu
@robertsemaganga91683 жыл бұрын
Ponda anatemvea na tundu😀😂😂😂
@emranmgaya10523 жыл бұрын
Hivi kwa nini Dstv hampo tunapata shida watamaji wenu
@richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын
Tundu lissu ni mtu kiboko sana weka like then angalia hii kzbin.info/www/bejne/aJrClKp_abOmoqs
@abdallahkawambwa90413 жыл бұрын
tunamuombea mungu amjalie spite moans huyu gaidi atatumali
@meshackemmanuel51563 жыл бұрын
Lisu mpumbavu
@jamesleonard81073 жыл бұрын
Hata libya walijalibu kufanya mabadiliko kwakumuondoa gadafi wakisema fisadi hivi sasa wanaliona joto la jiwe
@stanleycharles61023 жыл бұрын
Hata South Africa kumuonfoa Kaburu
@priscalameck87003 жыл бұрын
JPM 5 tenaa
@eliaskivuyo54563 жыл бұрын
Hapo MZEE unapoteza mda bure
@amedeusshio67213 жыл бұрын
Mama yako
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Hela ya kupiga porojo zipo lakini anazipata
@gilbertvicent42293 жыл бұрын
Acha kujipendekeza na mihemko yako ya kijinga. Yaani badala ya kusikiliza na kutulia unatoa kashfa
@benysanga32973 жыл бұрын
Unapoteza wewe lisu ndo rais
@selemanmaganga60133 жыл бұрын
Kweli anapoteza mda bule na kuwachoma watu bule na jua bila lolote, bola wakaendelee zao kulima tu.
Asubiri 2025 kwa sasa mkalale bado mtaumia saana wenzunu tutapeta tuuu
@Werema37603 жыл бұрын
Hilo ni jembe JPM analitambua sema hawez kili hadharan!
@jfmedia11793 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/iKC4XpuAmb5la7M KOCHA WA YANGA AWATETEA SARPONG NA YACOUBLE AWATUPIA LAWAMA VIUNGO WA YANGA
@annamushiaminaaa43673 жыл бұрын
Ni lisu banaa
@johnmasuka33703 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaah! CHADEMA imejipangaje kushinda uongozi vile wakati mashina ya CHADEMA yamendorola/yamekufa. Huku kwetu hakuna hata ofisi ya kata ya CHADEMA. Unafuta ushindi wa mdomoni.
@alphacharzy10783 жыл бұрын
Wewe unadhani watu wanapiga kura kwa kuangalia mgombea ambaye chama chake kina ofisi ya shina ??
@johnmasuka33703 жыл бұрын
Kama hujui chama ujengwa kuanzia shinani unawezaje kupata ujasiri kuwa utashinda uchanguzi. Siasa ni hesabu
@ayubumzaire48533 жыл бұрын
@@alphacharzy1078 Hajui huyo, Watu wanamtaka LISU aikoe TZ, Sijui shina mizizi matawi majani hatuangalii hayo, Tunaangalia MUNGU kamponya risasi 16, Kuna kusudi LA MUNGU hapo, ( Baada ya siku3 YESU mwokozi alifufuka, Baada ya miaka 3 LISU mkombozi wa Tanzania katurudia tena). Patamu hapo.....Mwaka huu......Mwaka huu.....
@happyshayo3723 жыл бұрын
Huko kwenu hakuna tofauti na kenge mmoja aliye katikati ya msafara wa mamba.
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Uko wapi mtwara karibu na border la mozambique nini ? sema ulipo tuje tukutmebelee ili tukuonyeshe mashina ya chadema
@madindamnyashi76033 жыл бұрын
Lissu au nakosea sawasawa
@suzanolemako77543 жыл бұрын
Ntamchagua mwanaume kamili,na si mwanaume suruali
@abdilahijumanne14153 жыл бұрын
Yaapu
@DEUSDEDITHPETER3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rGevf4OOrM5serM Karibu kuangalia video yangu inaitwa #jinalayesu niliyoshirikiana na @walter chilambo. Hakika utabarikiwa
@yohanapetro49373 жыл бұрын
ITV Asaiv mnatukosha wana CDM TULETEENI MDAHALO WALISU NA MAGU