Assalam aleykum, nashkuru kwa kutatua kwa ufasaha hili swala la madhheb Alhamdulillah leo nimefahamu umuhimu wa kuwa na msimamo katika madhheb moja.Allah swt akuzidishie hekma na elmu yenye manfaa kwa ummsh Amyn
@muniramohamed888710 ай бұрын
Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin
@nomadicman678110 ай бұрын
Masha Allah Muhimu sana anayomfuata na wengi hawaelewi masala hili Jazzakumullah Kheir Sheikh
@roseatienoogutu764110 ай бұрын
Allah awaongezee umrymasheikh wetu naawaoe hatmaa njema yarrabh soteni.
@maymgaya419210 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah Azzah wa Jallah
@IbrahimMohamed-et3yy10 ай бұрын
My biggest fan
@a.85610 ай бұрын
Jazakallah khayran
@Aishaa-s4w7 ай бұрын
Je yafaakunga ndoa ikiea uko mbali na mke au mbali na mume