From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa❤❤🎉
@PierreHeriIlungu-ks1mr27 күн бұрын
Naipenda Vibaya iyo Baba full Maraha Kweli 🇨🇩🇨🇩
@user-eg1ee7kv5k27 күн бұрын
Kazi njema, ubarikiwe sana 🇨🇩🇨🇩💪
@nyabadeux27 күн бұрын
Kaluta alikuwa na besoin ya kumbaka lakini akaona amtongize zuuh😂😂😂siojaribu ni mapenzi tu na mlengwa anasababu yakupenda kaluta umetupa raha
@j...87626 күн бұрын
Kaluta alitaka Ku kubaka akahona akutongoze je una mupenda???😅😅😅😂😂
@ZezetaKaluta-zh5ve25 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙏🙏
@alfredkamililwindi634227 күн бұрын
Big up saana vijana wa nyumbani ❤🎉
@GMAGerardmulindjaAroni27 күн бұрын
Big up sn kaka , nipeni like zangu
@tebawilondja77727 күн бұрын
Kazi nzuri wazee naipenda
@Kashindijohn27 күн бұрын
Iyi ndo yangu the best movie in camp 😂😂😂😂😂kaluta nimekubali sana nilikuwa na bezwe nikubake 😂😂😂😂
@ebondemwanueramadhan760027 күн бұрын
Hii ni shiiiiiida kweli Kabisa duuuh
@consolateurmgeni677227 күн бұрын
Big UP sana fizi is home❤💪💪💪
@BABAKO12327 күн бұрын
Nikulume meno 😂😂😂
@wilondjadjuma27 күн бұрын
Wakwanza kutoka baraka DRC 🇨🇩 Nimepata kbs kitu moto moto
@OseaDjafarimuzaliwa27 күн бұрын
Nipeni likes zangu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@EkyociSilasmmongelwa-sb5xe27 күн бұрын
Kazi nzuri san
@user-tq5op2rp1e27 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@famouslumumba786327 күн бұрын
Nice🎉🎉🎉 by FAMOUS
@FreddymongaAsendemonga27 күн бұрын
Hiii mmehuwa
@annayambayamba861427 күн бұрын
Uwalisiha alisi kbs Mungu leta Amani ktk nchi yetu 🇨🇩 🎉🎉🎉🎉 Ongereni saaan Jackson and kaluta🤝🫂
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr26 күн бұрын
Asante sana ndugu yangu 👏👏👏
@BIGSTAROGTZ27 күн бұрын
Nice❤❤
@Hellyclever12327 күн бұрын
Qaliii mnoo 👍👍
@Kib-jsanley27 күн бұрын
Watu wa fizi tupane like apa🎉🎉
@leonardwilondja743327 күн бұрын
Wakwanza jamani like zangu
@AminaMossi-sq6em27 күн бұрын
Napenda sana❤❤❤
@user-ye2km1lk9y26 күн бұрын
😂😂jamani wanaokubali nafasiyakaluta zezeta alivyoifanyiya haki anipe like zangu uyumwamba nafasiyake ameifanya inavyotakiwa kuwa ❤❤
@ZezetaKaluta-zh5ve25 күн бұрын
Asante sana ndugu
@EbambeWakilongo27 күн бұрын
Hatari sana hiyo 😂😂😂😂😂😂
@Byondorujulika1723 күн бұрын
Hongereni sana, safari moja huanzisha nyingine, wenu KILAMBAMAWE YANGA-ZEZO From Cedar Rapids Iowa state USA
@makutampesa-26 күн бұрын
Wa dogo zangu courage vraiment 😂😂😂
@jumalumumba7626 күн бұрын
Mkimbizi Good movie ❤ aujawai amjawai kutuangusha nyinyi wawili mungu awabariki sana🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@Kib-jsanley27 күн бұрын
Egwe😂😂😂wakizazi kipya
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr27 күн бұрын
Egwe😊
@chaboyeboy852927 күн бұрын
King 🎉😂 sana 😂😂Jackson
@FIZIEMPIRE27 күн бұрын
KALI NA NUSU ❤
@UjusMukandama27 күн бұрын
Nakubali 🔥🔥🔥
@ZezetaKaluta-zh5ve27 күн бұрын
See by KALUTA ZEZETA comédien
@Perfect-migomigo26 күн бұрын
Dah mhavu zangu jmn kaluta Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@TelvoMorisi27 күн бұрын
Jamani telvo apa shabiki mkubwa wa Jackson nipeni link zangu
@ERGHOENGOTE-ni3pe11 күн бұрын
Nikyô oba na'wacha úbé manga mwene ombè aúhelèle
@stefanomasolwa897924 күн бұрын
NYARUGUSU CAMP REFUGE HAPO NJO Nyumbani kabisaa naipenda sana NYARUGUSU
@AmisiSaidi-jc8ix21 күн бұрын
Kazi Nzuri sana nimependa sana hacha na kuimba nyimbo kuhingiza ndo vinzuri sana niko nyuma yako sawa kijana
@RoonywabyakePro27 күн бұрын
Kali kweli 🎉🎉🎉🎉
@DedeboraIrakoze27 күн бұрын
Nzuri lakini fupi
@piscasassa291526 күн бұрын
Big up sana les gars from🇰🇾
@MusikanaAkili22 күн бұрын
Safi sana watu wengi wameyapitia hayoo😂😂😂😂 unanikumbusha bali sana kweli daaaah
@user-yz3ej4ef2k25 күн бұрын
Niko pale naumimina mtima rahaa kutoka kwa Jacskon na kaluta tafhazali mauwayenu haya apa🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂👌👌✌✌✌
@HusseinUwezokashindi-vq6bd25 күн бұрын
Big up sana wana Fizi nawakubali sana. Congratulations, really I fancy it. Nawapa kila la heri katika kazi zenu za uigizaji
@user-yc4ky4xt2q27 күн бұрын
Kazi Mzuri sana brother ❤❤❤
@shabanisikuzani658818 күн бұрын
Nakubal sana ndugu zangu mungu awe nanyi ❤ nawakubal sana ✊
@OLyBlooD-jn6gk25 күн бұрын
O.B: Hongera San Kak ❤🎉 Hata Mimi Ni Mkimbizi pia ❤
@JBMUSICUGANDA27 күн бұрын
Nikulume meno ? Nikulume menoooh ?😂😂😂😂
@Mr.brokeog27 күн бұрын
Kweli mkimbizi nimtu anaye nyanya sika kila wakati duuuuh ila poleni sana kwaiyo history 😢😢😢 12:08 call zaga boy🎉🎉
@Father.boy.the.programme27 күн бұрын
Kiukweli sina nyongo na haya mapishi... nasubr namba2 big up sna bro
@TullejiboKenya17 күн бұрын
Kazi muziri sana kaka edeleya na kazi🙏
@HBJKamanda26 күн бұрын
Jac na kaluta na msazi espoir wabazimu kitu tulichokuwa nakingoja kutoka kwenu tumekiona Asante sana
@sosafryog922925 күн бұрын
Leta nyingine 😂iyi moja ni tamu ❤😂😂 nilikuwa na besoin nikubake ila nikaona Siyo sawa nikahona nikutongoze 😂😂
@itabeloramazani794226 күн бұрын
Shukrani sana kwa kazi nzuri ndugu yang 😂😂😂
@GatekaNene24 күн бұрын
Jamani Jackson wa Kizazi kipyia mbona unakawiza kutupa comedy jamani usifanye hivo tunakupenda sana zoweya ku post mara kwa mara tuna ku ❤❤❤❤❤❤ sana from Burundi 🇧🇮 Bujumbura na kaluta zezeta tunampenda sana uyo jamaa anajuwa alafu anajuwa tena 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr24 күн бұрын
Asante sana tunakupenda Pia 🎉🎉 Ndugu ❤❤
@NabiiYakobo25 күн бұрын
Imenigusa saana kweli ila kilicho n'a mwanzo kina mwisho kama unakubali msemwa huuu nipe lake Zang jamani
@Yusufu94027 күн бұрын
Ongereni
@djfingertip25427 күн бұрын
🔥
@user-yz1vr9cw6i22 күн бұрын
Wabembe siyo wenzenu😊😊😊mBondo 🌟
@John_janja16 күн бұрын
Nimehipenda sana, kutukumbusha sisi watu wa Tz 🇹🇿🇺🇲
@directorsebastin26 күн бұрын
Sb clever brand seen 🎉🎉
@shilakodeni285326 күн бұрын
Safi sana jackson mkimbizi tupo nayo atuwa kwa atuwa mpaka mwisho ❤
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr26 күн бұрын
Asante sana ndugu yangu 👏👏
@BeatriceBwisemene-fq6ik27 күн бұрын
Kazi nzuri part 2 sasa
@RaisiEnyonyi27 күн бұрын
Good job bro
@patientrashidiali911623 күн бұрын
Hongera Sana kukazi Mzuri iyi Vipaji vyetu ❤
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr23 күн бұрын
Asante sana kihogozi wangu
@FULLPLANFILM-ix1pb23 күн бұрын
Kazi nzuri kbs pamoja sana
@EnockMwibelchamandama21 күн бұрын
Courage sana kabisa wakizazi kipya
@user-sq9zb7gc7v25 күн бұрын
Nice 👌 👍 👏 👌 👍 mwamba mtata
@AkiliBahomeLOBIKO-rz6ji25 күн бұрын
Anybody watching this from USA?🇺🇸 one love
@Chamusic84526 күн бұрын
By cha music nice job 🎉🎉🎉
@ManenoAlexander25 күн бұрын
Good job ,from 🇺🇸
@user-ri5ep8xm4o26 күн бұрын
Namimi na washukuru sana na mungu hawe nanyi
@esterabonga794725 күн бұрын
Yani nimecheka sn kweli nitakuluma meno 😂😂😂
@AlingoVumahOrgOFFICIAL24 күн бұрын
See by dj AlingoVumah🎉🎉🎉
@brotherIdi-rp4tx26 күн бұрын
😂😂😂 Jackson kazi nzuri sana wetù mwana
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr26 күн бұрын
Asante sana ndugu yangu 👏
@Staphanoruvub27 күн бұрын
Good job guys
@user-xe1bs1iv6w26 күн бұрын
Kazi njema imetukosha moyo kweli! Tafadhali hiendelee
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr26 күн бұрын
Ndio mwendolezo ipo 😊😊
@user-hf7ri9ci8i18 күн бұрын
thanks my friend in Congolese
@SafiAimerance26 күн бұрын
Eti nilikuwa napenda niku bake😂😂😂kaluta🤣🤣🤣🤣
@brotherbenety21 күн бұрын
Kazi kubwa sana kaka
@BlackEagles-sc7zv26 күн бұрын
Sema mki kutana mna fanya kazi nzuri sana ❤
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr26 күн бұрын
Nikweli 😂😂
@user-mk6pz2kt9m27 күн бұрын
Yes
@shilakodeni285326 күн бұрын
Yani kaluta sijuwi sehem Hipi awezikucheza❤
@user-qn1yy5mc7c27 күн бұрын
Mr rama❤❤❤
@BagumaJanvier-d8r9 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤na penda tu sana
@DominiqueBymungu24 күн бұрын
Nakumbali movie 🎬 🎞 king Jackson 🤴 👑 🦁 🤴 👑
@JacksonwaKizazikipya-wh8sr24 күн бұрын
Asante sana 🎉🎉🎉
@MaikoMakandja-tz9wy27 күн бұрын
See by director El mika
@stefanomlondani267525 күн бұрын
Namba ya kaluta pliz
@agathajuma482727 күн бұрын
na wow nasubiri episode nyinne tu but i like the outcoming
@SamsonMuzunguMunguiko27 күн бұрын
Bien sana courage
@AlphaniMichel17 күн бұрын
Njomana Niko napenda ni owe😢😢
@h.akarim26 күн бұрын
Kazi Kubwa ☝️ message 🖊️📋
@sadatteloway27 күн бұрын
Nisiwe mnafki bhana 💐 Kazi nzuri san myamba
@Femactors27 күн бұрын
Good job 😂😂
@paulsonomar193324 күн бұрын
Nimependa sana❤🎉
@congoboymbeyas244026 күн бұрын
Kaluta brought me here 😂😂
@DouceDemsambya23 күн бұрын
Bien vraiment 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ic6cv5vx2sWahise24 күн бұрын
Cool bro 😎 😂😂😂
@OFFICIALTHEBOSSOG100voice26 күн бұрын
Umekumbusha mbali kweli 😢
@user-vx8wi4xh4n22 күн бұрын
Tunangoja Kwa makini part 2 Janani mtatuhuwa na kungojea