Na ushuhuda huu lakini waislamu bado wabishi Mungu anawaona
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Karibu kwa YESU Kuna nafasi teleeeeee,your freeeeeeeee...
@bonifasiemanueli27083 жыл бұрын
Hongera kwa kukomborewa
@bonniebaraka4 жыл бұрын
Mtumishi JACTAN asante kwa kumleta huyu Rashid. Alishatoa ushuhuda miaka minngi sana enzi za VHS Tape. Ebu tupate story yote sasa asiruke kile kipengere walitaka kummaliza jamaa zake
@vj83134 жыл бұрын
Muwe mnaonyesha na video kbs tuwe tunaona mahojiano mana mpo ana kwa ana why mnatuwekea sauti tu. By the way big u kwa shuhuda hizi zinatujenga.
@jeanmjimmy4 жыл бұрын
Na huhu ndiho uislamu ambao umefunga wengi ni kuwaweka mikononi mwamashetani na unapofanya mdahalo hupinga sana na ukweli waujuwa.
@mr.jasonfxsignals48734 жыл бұрын
Unaeka advertise mingi sana ...mpaka utafanya kuangalia izi video ngumu
@ellykibale1904 жыл бұрын
@Jacktan Msafiri, huyu ndugu alikuwa na majini 4,004 naye pia kawaita Ni vitendea Kazi, Ila naona tena Kazi alikuwa akizifanya kwa nguvu zake na siyo kwa msaada wa hayo majini,Kama Kazi ya kuteketeza bucha za nguruwe? Nini Maana ya kuwaita hayo majini vitendea Kazi? Nionavyo,amesoma,amehatarisha maisha yake Hadi kufuzu na kuishia kupewa majini yasiyo na msaada wowote...
@bonniebaraka4 жыл бұрын
Rashid kumbe upo . Mungu akubariki. Ana story kali sana huyu mtumishi.
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Tanga zito usipime,,nilitamani Yesu afanye makao mji ule
@leonardjuniorndarusanze5843 жыл бұрын
Tafadhali nahitaji namba ya mcungaji huyu ili niwasiliane nae
@MteuleMabuku4 жыл бұрын
Niulizie kma huyu walikuwa pamoja wkt wa kuvunja mabucha na Mchungaji Daniel Daudi. Zamani ustadhi muhidin dauda wa tanga kwa msisi, yeye Yesu alimtoa gerezani na kumponya ukimwi.
@wardawarda34274 жыл бұрын
Subhanaallah. Tena ni msambaa Ama kweli shetani hana haya wala hajui vibaya lo!
@veronicacharles99934 жыл бұрын
Shetani wapi amesema ukweli ?? Iv kweli dini ilio njema na ni mtu wa dini hasa majini wasomea nini , uchawi wa nini kwa watu wanaomwabudu Mungu jmn ...
@husseingabo54972 жыл бұрын
@@veronicacharles9993 mtu wa din ndio nini huyo alikuwa mchawi tu na mshirikina kama angekuawa saudia lazima angekatwa kichwa chake hiyo ndio hukumu ya watu kama hao katika nchi zinazoomgozwa kidin
@husseingabo54972 жыл бұрын
Huyo muongo eti watu 80 walikufa nyie hamuon kama mnadanganywa hakuna mambo ya namna hiyo hiyo kusema watu 80 walikufa hapo lazima tuwe na mashaka na hiyo story lazima itakuwa ya uongo tu
@husseingabo54972 жыл бұрын
@@inesstibenda2832 Kwa hiyo majini ni viumbe au sio viumbe na kama ni viumbe vilivyoumbwa na mungu shida Iko wapi Kwa wao kumuabudu aliewaumba au ndio wivu
@husseingabo54972 жыл бұрын
@@inesstibenda2832 Kwa hiyo wewe ulitaka Dunia nzima wamwite yesu Kwa kiswahili we vip na mbona hushangai kuitwa jisus Kwa kiingereza au bebeto Kwa kireno
@pesamingi2752 жыл бұрын
Huyu alisomea kuwa mganga sio dini ya kislamu hawafunzi hivi mnapotosha watu..
@kings51724 жыл бұрын
thankyou jacktan
@lazarontandu83084 жыл бұрын
Uliahidi hautoweka picha za kutisha naona umeshasahau mtumishi
@carolinetalam58324 жыл бұрын
Waiting for the next part am tuned
@paulokweba71864 жыл бұрын
jambo usilolijua NI SAWA NA USIKU WA GIZA
@louisejean58463 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mary.matullu82794 жыл бұрын
♥️
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Je kuna muendelezo part 3?
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mimi nafikiri vitabu vyote vya mungu vimekataza mambo ya uchawi na kuabudu vitu vingine zaidi ya mungu.sasa watu wengine huwa huabudu vilivyokatazwa na mungu.
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Mariam kitabu cha Mungu ni biblia tu.
@magdalenemaya30965 ай бұрын
Video at least ,Muslims keep denying and defending a false religion bt the truth is out , God have mercy on ur pple😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@phineruge34804 жыл бұрын
Ahsante Kaka Joctan kwa shuhuda unazotuletea, Ila vp kuhusu ule Ushuhuda wa akuyekuwa Msukule kule gambosh akatoroka Imeishia WAP jamani?
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Huo ushuhuda ulishafika mwisho siku nyingi tu,bonyeza hii link utazame sehemu zote kzbin.info/aero/PLXTmPgeqbJ0n_qJQ0de-oMri8438vbse5 lakini pia hakikisha una subscribe ili usiwe unapitwa
Shida mnajua kubisha lkn Mungu awasaidie tu yan uislam ni uchawi na ndo mana qruan imeielezea vizuri ..na kila shekh anao na majini yao nando mana akikusomea dua ata kama yakufa unakufa si uvhawi huu jmn
@abuumaryam19224 жыл бұрын
Uongo wa waz kabisa
@enuelabunimkali95294 жыл бұрын
Huaga tunasema majini ni ngugu zetu kiimani ndipo kujiroga kabixa
@susynjambi4 жыл бұрын
Tuned
@everlineandeso8224 жыл бұрын
Sija chelewa sana
@barakamungure8304 жыл бұрын
acha kumuuliza maswali unamtoa kwenyw maelezo yenye mpangilio
@leonardjuniorndarusanze5843 жыл бұрын
Namba yangu ya what's app ni +25779600473
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Angalia part 2 ametaja mawasiliano yake kzbin.info/www/bejne/jKmsZauQi55kbLM
@selemanichambo29444 жыл бұрын
Uislam umetakasika na uchafu unaongelewa hapa wewe ulienda chuo cha uchawi siyo cha uislam. Uislam ndiyo dini inayokataza uchawi, Quran ni kiboko kwa kufukuza majini, imekuaje ukashindwa kutumia quran..Mwogopeni Mwenyezi Mungu Moto wa Jahanamu upo kwa wazushi
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Bila majini hakuna uislam.
@nswilayella32954 жыл бұрын
Unamfikuzaje jini wakati amesilimu kuwa muislam mwenzio au hujasoma surat jini
@selemanichambo29444 жыл бұрын
Wenye akili wanajua Quran ninini , ndiyo maana uislam unakuwa kwa kasi hata ulaya kuliko dini nyingine Yoyote ...Mashirika yautafiti yametangaza pamoja na CNN, Wewe utakochambiwa utafuata...ila hukatazwi kuaminishwa uongo kwasababu kina limitation za uelewa
@chancelinechuchu73334 жыл бұрын
Ukweli unaumaga
@selemanichambo29444 жыл бұрын
@@chancelinechuchu7333 hukatazwi kuamini unavyotaka wala sina haja na malumbano
@abuumaryam19224 жыл бұрын
Hukuwa muislam we nkafir tokea kitambo Ila umebadilisha mfumo wa ukafiri wako Uislaam haufundish uchawi ushrkina nk uislam uko mbali na mambo ya hovyo hukuwa muisla kabla na hata sasa we nkafir kitambotuu
@salmamohammed56234 жыл бұрын
Abuu Maryam hakuwa muislam alikuwa mchawi mshirikina na nina uhakika kafanya uovu mwingi sana. Na itakuwa bado anatumikia mashetani huyu.
@seifhamad98174 жыл бұрын
Usiite mtu kafiri hata ww nikafir pia
@chuggapjt37824 жыл бұрын
@@salmamohammed5623 uchawi kafundishwa tokea Ana miaka 3 alipoanza madrasa
@truetohim33664 жыл бұрын
Alipoanza madrassa ndipo yalimuingia. Uislamu si dini ya Mungu, allah si Mungu ni jiungi, waislamu mnaabudu shetani aliyejifanya malaika, msidanganyike, kuna Yule aitwaye Yeah mwana WA Mungu ambaye ndiye Mungu aliyetufia Sisi site, na yeyote anayemkubalia Rohoni ataokolewa. Mohammed kadanganywa na shetani, Qur'an kaibwa kutoka maandishi ya biblia Sana Sana Torah, ATA kuna mahali mnaambiwa waulizeni watu WA INJIL , injili ni agano jipya ambayo yatufunza kuhusu Yesu wokovu wetu