No video

USHUHUDA WA ALIYEKUWA KICHAA ANAYEISHI MAKABURINI

  Рет қаралды 15,575

PROMOVER TV

PROMOVER TV

3 жыл бұрын

JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 60
@re.emmanuelmdoe3345
@re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын
Yesu Kristo ni mwema Sana nashukuru Mungu kwaajili Yako.
@christinmulongo8483
@christinmulongo8483 3 жыл бұрын
I am watching from Bahrain country my name christin mulongo mimi ni m kenya glory to Jesus Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💯
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
Christine mlongo???????mb jina langu?????
@nancyisoyi8164
@nancyisoyi8164 11 ай бұрын
AMEN MUNGU AKUFUNGULIYE NEEMA YAKE
@CherieDeDieu
@CherieDeDieu 2 ай бұрын
Halleluyah! Mungu wetu anaishi na anaweza kutenda mambo makubwa. Asifiwe milele!
@jaynen6243
@jaynen6243 3 жыл бұрын
Asante sana kwa ushuhuda wako. Very powerful. Only God can do such great miracles. May the Lord continue to open doors for you and protect you under his own mighty hand. Mungu akubariki sana Ndugu..
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 жыл бұрын
Mungu ni mweza ya yote,sifa na utukufu nizake,Barikiwa sana mwinjilisti🙏🙏
@hapinessobeth4131
@hapinessobeth4131 3 жыл бұрын
Mungu anawajua walio wake hata tukipita kwenye magumu tutatoka salama
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 3 жыл бұрын
Mungu ni Mwema hakuna jambo lililogumu lakumshiinda Mungu Baba. Endelea kumtumikia Mungu. Barikiweni sana. Jactan Barikiwa sana
@margretokuku8220
@margretokuku8220 2 жыл бұрын
Mungu.ni.wa.neema.na.mungu.akulinde..mungu.akuongoze
@salomeparmena1779
@salomeparmena1779 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na mawazo ya Mungu ni tofauti na mawazo yetu na tunajifunza kuwa hata watumishi wengi hawana maelekezo ya roho mtakatifu ndy maana maelekezo tunayotoa kwa watu yanakuwa kinyume na kuwakatisha tamaa badala ya kufunguliwa, Mungu atusaidie sana
@enuelabunimkali9529
@enuelabunimkali9529 3 жыл бұрын
Utukufu kwa mungu baba aliyeziumba mbingu na nchi na kwa yesu masihi mkombozi Wetu amini
@oprahsalum8185
@oprahsalum8185 3 жыл бұрын
Mh Bwana ni mwema sana nimeguswa sana na ushuhuda huu sana tena na kama unachosema kuwakusanya vichaa Mungu wangu nimeguswa sana na ninamuomba Mungu aniwezeshe ili na mimi nichangie huduma hiyo kwa upana sana Mungu akubariki
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
So greatfully testmony may God continue to lift you up
@mawazobayndulwa1909
@mawazobayndulwa1909 3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu sifa na utukufu nivya Mungu na Mungu hakulinde kwa jina la Yesu Kristo haliye mwamba na mokozi wa maisha yetu Amen na Asant sana bwana Msafiri na Mungu hakulinde hakupe afya jema Amen
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Amen Hallelujah hakika Mungu ni mwaminifu sana hakuna lisilo wezekana kwake endelea kumtumikia Mungu naye atakufanyia mambo makuu zaidi
@noelswai2660
@noelswai2660 2 жыл бұрын
Ushuhuda huu umenibariki saana, tafadhali naomba mawasiliano ya huyu mchungaji 🙏🙏🙏
@janegacheru9287
@janegacheru9287 2 жыл бұрын
Thanks alot fr that testimony,,ave learned not to take for granted when i dream,,beyond all,JESUS IS LORD,,TO HIM B GLORY EVER N EVER AMEN
@Shalom2018
@Shalom2018 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukupigania mtumishi wa Mungu,kuna mwaka mmoja niliwahi kulifikiria hilo jambo kuhusu hawa vichaa naamini wengi wao ni nguvu za giza ingawa sisi tunaona ni ugonjwa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Yes huu NDO ukweli
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Huyo mchungaji wa kwanza alikuwa anti Christ. 666.Mpinga kristo ndio maana amekukatisha kwa sababu ulikuwa na roho ya utumishi wa Mungu ndani yako,hivyo shetani alitaka kubadilisha mpango wa Mungu maishani mwako,Jina la BWANA YESU lihimidiwe
@gracerendi6148
@gracerendi6148 3 жыл бұрын
Yesu ana nguvu Sana.Amini usiamini amekuwa suluhisho la matatizo ya watu wengi.Mkaribishe maishani mwako.
@marryclavely2509
@marryclavely2509 3 жыл бұрын
Amina mungu ni kilakitu kwenye maisha yetu
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
Mara nyingi Mungu akikupenda umfanyie kazi yake, basi huwa unapata mitihani kabla. ila Mungu atazidi kukubariki na huduma yako itasaidia watu wengi.
@swaumabdul2968
@swaumabdul2968 3 жыл бұрын
Ameen mungu wetu anaokoa kila wakati katika jina la yesu kristo
@haikajohn7580
@haikajohn7580 3 жыл бұрын
Biblia inasema tumkaribie mungu.naeatatukaribia hivyo nivema kuakaribu namungu iliatuepushe nahayo kabla yatufikie pole sana ndugu yangu mbisse
@Shalom2018
@Shalom2018 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo
@donaldhaulemamboyamunguhay7214
@donaldhaulemamboyamunguhay7214 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana,zidi kumtumikia Mungu.
@angelalaizer3895
@angelalaizer3895 3 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
@blessedmama5367
@blessedmama5367 3 жыл бұрын
What a great testimony! Dreams dreams dreams !
@fraicheawanamegabe1787
@fraicheawanamegabe1787 3 жыл бұрын
Jambo ndugu. Una weza nipa namba ya Huyu mutumishi wa Mungu ?
@joramchangala3790
@joramchangala3790 3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi njema
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Powerful ushuhuda aseh ubarikiwe sana
@alexamutawa3832
@alexamutawa3832 3 жыл бұрын
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu
@nicolemulonda8984
@nicolemulonda8984 3 жыл бұрын
Mungu wetu anatupenda sana
@christinmulongo8483
@christinmulongo8483 3 жыл бұрын
Ushuhuda wako uko na nguvu Kabisaaaa
@winniemartin7647
@winniemartin7647 2 жыл бұрын
Ushuhuda unagusa sana, Lakini huyu mtumishi wa Mungu hana cm ? Tunahitaji kwa ushauri zaidi
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
Psalm 91:1
@masungwasalumu1278
@masungwasalumu1278 3 жыл бұрын
Nina ndugu zangu hapo Morogoro wawili wanamatatizo kama yako na mwingine mdogo wangu haoni vizuri
@aysherkitoi1845
@aysherkitoi1845 3 жыл бұрын
Kujikabidhi mikononi mwa bwana kabla ya kulala ni muhimu
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 жыл бұрын
JINA LABWANA LIHIMIDIWE..KWA KWELI HAKUNA LILE LIGUMU KWA MUNGU.
@ivanf.lekule5618
@ivanf.lekule5618 Жыл бұрын
Yuko Morogoro sehemu gani
@nikitalucas2323
@nikitalucas2323 3 жыл бұрын
Damu ya Yesu ikurinde
@mayaalmahrooqi1345
@mayaalmahrooqi1345 3 жыл бұрын
Na mm pia nilikya nataka kuuliza vp mtu mwehu akumbuke alio kua akiyafanya .ndio na ww umemuliza
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Ufahamu alikuwa nao,ndio maana amekumbuka,
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Na mengine ameadithiwa na watu wa karibu walio muona
@tabithajeremiah2657
@tabithajeremiah2657 3 жыл бұрын
Amen,Shetani alijua kuwa wewe ni chombo cha Bwana Yesu Yesu ndiyo maana alikuvamia ili ajaribu kuliharibu kusudi la Mungu katika maisha yako,lakini Mungu ni mwaminifu akakufungua na sasa unatumika katika ufalme wake, Akisema ndiyo hakuna wa kuzuia.Jina la Bwana libarikiwe.
@janemakemo5635
@janemakemo5635 3 жыл бұрын
@@tabithajeremiah2657 jamani yoooote anayoyasema ni kwli jani na Mimi ninaye was ivyo tafadhali naomba namba zako tafadhali
@ijueimanikatoliki980
@ijueimanikatoliki980 3 жыл бұрын
Erick SHIGONGO huwa anasimuliwa na nani! Si ni kipaji tu KWA nini hapo anaposimulia hajaja na ndugu zake?
@oscanyakunga9674
@oscanyakunga9674 3 жыл бұрын
Mungu yumwema kwakweli kwanza ameanza nandoto mbaya zinazotutokea lakin Mungu yumwema kumwokoa Mimi ninasikiliza ila Mungu yumwema tuu kwakweli
@klo8580
@klo8580 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema na hakuna jambo gumu kwake
@fraicheawanamegabe1787
@fraicheawanamegabe1787 3 жыл бұрын
Jambo ndugu Je unaweza kunitumiya namba ya Huyu mtumishi wa Mungu ?
@costavalenci7699
@costavalenci7699 3 жыл бұрын
Kwa hiyo ukifanya hayo yote ulikuwa unajijua?
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Ameshasema alkuwa hajijui
@mamavero4004
@mamavero4004 3 жыл бұрын
Mungu mwema ashukuriwe
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
😭
@ijueimanikatoliki980
@ijueimanikatoliki980 3 жыл бұрын
Erick SHIGONGO
@beatricedonald2710
@beatricedonald2710 3 жыл бұрын
Shallom Jacktan. Namba yake ya simu tunaipateje?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Nitafte ntakutumia
@sakisfidmasho6393
@sakisfidmasho6393 3 жыл бұрын
Mwazoni nirifikiri ni picha (arikuwa ameturia)
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 24 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 8 МЛН
USHUHUDA:NI KATOTO KADOGO TU!KUMBE ALIKUWA MKUU WA WACHAWI KAGERA
27:15
27-year-old died from malnutrition due to severe ME, inquest finds
9:50
PARTY.1.MAPITO YA MTUMISHI WA MUNGU ADAM HAJI NA MKE WAKE
15:29
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 24 МЛН