Habari ya asubuhi, Asante sana kwa maubili kwa ushuja wa mungu ,naulisa Sasa huyu mtoto anakua Kama binadamu ama anakua njini kwa maisha yake yote jamani niambie hapo
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Anakuwa anaonekana kama mtu wa kawaida tu,na hata yeye hatajua kama si mtu halisi
@carendeborah56872 жыл бұрын
Roho yake ndo tofauti but yeye ni binadamu
@jotafungo4622 Жыл бұрын
Niko na Wachina hapa wanakusikiliza kwa makini
@sospetermasanja32245 жыл бұрын
Kwa elimu ya huyu shehe ni halali aokoke! Sio unaokoka hujawahi hata kupata tatizo lolote. Mungu akutetee!
@samuelnduati97925 жыл бұрын
Asante Mungu kwa somo hili.
@angelique102 жыл бұрын
Nimecheka hapo kwny kuhama 😃 😀 kwahyo yy ni kuhama tu yani ilimradi amehama 😃 shetani msumbufu sn jmn
@matildamartin73945 жыл бұрын
Mbona imeabzia ya tano
@feristerkumbuka18375 жыл бұрын
Mi siend kwa mganga mtoto ni zawad toka kwa mungu awa wengine ni wakina sinduna
@bishopdr.abrahamjonathanmu905 жыл бұрын
She he, unachokifanya kutufundisha juu ya majini no mwelekeo mwema sababu wengine wetu hatukujua majini mpaka tuelezwe
@lubatikoseme14465 жыл бұрын
Wa kwanza ku coment na ku like 👏👏👏
@maryammaryam57895 жыл бұрын
Shukran ubarikiwe
@bishopdr.abrahamjonathanmu905 жыл бұрын
Naomba shehe acktan tafafhali uzungumzie vile mimi kaa mchungaji naeza kuombea kutoa majini mahaba na vile naeza kuyaangamiza kabisa yasiwai rudia huyo ninayemwombea kabisa maishani
@allyawadh84923 жыл бұрын
Dar! Jamaa nimuongo sana mtu gani mwenye uhai harafu hafi ikiwa hao majini wenyewe huishi harafu ikifika muda wake atakufa tu,lkn kwasababu wakristo elimu zao ni ndogo za kumjua mungu na hapo wanamuona kama jamaa ana elimu kubwa kumbe hakuna kitu.
@madetetv65762 жыл бұрын
Wewe mfuga majini kwani jini wako aliwahi kufa?
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
Unadhani unamkuta Kwa elim yako huyu?, kafundisha mengi likufaalo chukua lisilokufaa liache mwingine litamfaa ndivyo maisha yalivyo
@servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын
Kwani nyie waislamu mnamjua MUNGU?nyie mungu mnaemuabudu ni shetani
@barick5 жыл бұрын
Kuna mtu nimewahi kumwona nikadhan labda n mim wasiwasi wangu
@allyawadh84923 жыл бұрын
Sijajua huyu jamaa ni mganga au ni mchungaji?maana mada zake nyingi yeye haongelei kabisa mambo ya mungu bali hupenda sana kuzungumzia mambo ya uchawi au mambo ya majini,Ushauri wangu kwa hao waumini wake msije kuwa mnafundisha kuwa wachawi au waganga ila mafundisho ya mungu yakawa mbali nanyi toka nianze kumsikiliza mbaka sasa sijaona hata mara moja akimtaja mungu.
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Yani huyu baba mimi nahis uchawi umetoa akili kumuamtu si kitu kidogo ameongopa yeye shekhe ajuwi hata juzuu mojo wala aya yoyote sasa kaingia uchungaji haujuwi nao anafundisha uchawi mimi naona hata hao wanao kwenda kanisani kwake ni wachawi wenziwe
@PauloMaona-in4qh11 ай бұрын
ya kumi alisha iongelea askofu moses kulola ako sawa
@chumachadollar59175 жыл бұрын
Hakika Mutumishi wa Mungu unasema kweli kabisa na funguka macho kabisa nahisi tunalo lijini kwenye familiya yetu🤦♀️
@HappyJohn-w1z10 ай бұрын
😂😂😂😂
@richardonderi42883 жыл бұрын
Siku zote kumshinda adui lasima kwanza umjue vizuri yeye ni nani,ananguvu zipi ziko upande gani na anasipata kivipi na mapunguvu ni yapi,atapigwa vita saa ngapi na salaha gani na mbinu ya vita ni ipi pora,la sivyo usipojumjua adui na malegevu yake utakua unatwanga maji kwa kinu...
@bishopdr.abrahamjonathanmu905 жыл бұрын
Jambo la tatu shehe Jacktan naomba ueleze vile ninaweza kuombea MTU akiwa amenyanganywa pesa zake na Mali yake kuhukuliwa na mashetani na majini ya ukoo (ancestors) ili niweze kumrudishia MTU alopokonywa Mali yake wakitumia uchawi. Tafafhali zungumza niweze kuelewa ama unbie uko Arusha wapi nikuje mafundisho kamili ndugu yangu. Asante, Askofu Abraham +254738819122
@rafikindugu46745 жыл бұрын
una weza kuzipanga videos hizi in order
@PromovertvTz5 жыл бұрын
Angazia kwenye playlist
@jubethraphael99094 жыл бұрын
Ukimuoa mwanamke mwenye tabia hizo unatakiwa kufanyaje