Ni mwanzo wa semina ya mtumishi wa Mungu shehe Omary,ambaye kwenye video hii yupo katika kansa la ufufuo na uzima-Tabora.Somo ni mtoto wa dawa na jinsi anavyopatikana,endelea kufatilia nina hakika utabarikiwa.
Пікірлер: 127
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Damu ya Yesu itusaidie,Asante kwa ushuhuda huu nmebarikiwa saaana 🙏🙏
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Yesu mwana wa Mungu uturehemu wanawake na vizazi vyetu
@babumrishaАй бұрын
kuna kitu nimejifunza, kumbe ili jini litokee linahitaji maandalizi sahihi, hio inamaanisha ili Mungu wa kweli akutembelee unahitaji kumfanyia maandalizi sahihi.
@carolinetalam58324 жыл бұрын
Thanks for uploading
@nicholausmushi444 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu wangu kwakuwa mganga hajawahi kugusa mwili wangu
@erickykifaru1923 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@lucasgasper52354 жыл бұрын
Duuuh!!!! Ni kweli kabisa nilishachanjwa ivo ivo
@joycehojes83314 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@briansancedo93363 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kweli wengi wanawatoto walio wapata kwa njia hii kweli sio watoto harali ni vipepo vya kimajini
@noelashaoona4 жыл бұрын
Mungu anilinde
@samuelnduati97924 жыл бұрын
Nasubiri mwendelezo 🙏🙏🙏
@zlfamz35403 жыл бұрын
Kwa mungu kuna raha sana
@faridashaban88534 жыл бұрын
Amina
@tulialembao67183 жыл бұрын
Sarawa
@feristerkumbuka18374 жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana
@devothabishagazi23114 жыл бұрын
Huyu shehe ana madini mengi,Jacktan mshauri aandike vitabu na atoe DVD na CD
@EngLex-vo7te6 ай бұрын
Hivyo ndivyo wale malaika waasi walivyozaa na binadamu
@frankbella4271 Жыл бұрын
Yesu anatupenda
@chamwinoduka74464 жыл бұрын
huyu anawafndxha ili tucpende kwnda kwa waganga maan anatuelimisha ili tujue huko hakufai
@gullaalex65904 жыл бұрын
Mmmh nasikiliza Lakin naogop!
@andersonchongoma1723 Жыл бұрын
Mahali ambapo biblia haitumiki hapo ukriasto HAUPO ....na aina hii ya wafuasi hawatakuwa waislamu wala wakristo bali waganga wa JADI....sasa wanaobarikiwa ,nn kinawabariki...
@samuelnduati97924 жыл бұрын
Hakika shetani anajua kutuchezea kweli.
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17184 жыл бұрын
Ushuhuda NI JINSI gani aliokoka, tafuteni clip ya kwanza zimo himuhumu ndani.
@fadhili22934 жыл бұрын
Hayo mambo hata uislam hauyakubali, Sema ulikuwa mchawi tu na sio sahihi kuweka uislam kundi moja na uchawi.
@lusekelomwinsasu3184 жыл бұрын
Unacho kiongea umekifanyia uchunguzi usije sema kitu usichokijua mbona sisi tunajua kama usitake ushirikiane toa vitabu hivi kitabu cha majini sura ya 72 na albadili pia itoe usipovitoa hivyo lazima uislamu usalimike maana hawawezi majini wakawa waislamu na waislamu wasiwe wachawi maana wanashirikiana na majini
@ramadhanwilbard81962 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318 Ww ndoo hauna Elimu na hata uelewa hauna!
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mungu tutetee na hawa watu wabaya,tulinde na utupe imani.
@benwater49574 жыл бұрын
Balaa duniani 😣
@nicholausmushi444 жыл бұрын
Kanisani siku hizi mnafundishwa uganga tena!!!
@trophywilson72112 жыл бұрын
Hii miaka ndo Injili,kila anayeokoka toka uchawi anakuja kutoa sera zake
@richardkaogo34334 жыл бұрын
Alikutana na nn mbaka anaokoka?
@adamgobega19464 жыл бұрын
Kweli mola atupiganie
@yustakipenyakipenya91174 жыл бұрын
Binam yangu alienda kwa mganga akaambiwa aoge maji yanayotembea yaani aogee hapohapo anunue sufulia mpya na hela ya sarafu aviache kwenye maji nilimsindikiza mtoni je kunamadhara naweza kuyapata mimi niliyemsindkiza kuoga japo sikujua anatatzo gani mpaka kwenda kwa mganga
@festokapela48334 жыл бұрын
tatizo lipo maana umeshiriki kumsindikza. soma hesabu 25:1-7
@maryammaryam57894 жыл бұрын
Jacktan tunaomba Nmber za shehe
@PromovertvTz4 жыл бұрын
0755 025 821
@leonardkadete66034 жыл бұрын
@@PromovertvTz nitumie namba za huyo mtumish kwa kwenye namba zangu hizi 0687292762
@PromovertvTz4 жыл бұрын
@@leonardkadete6603 0755025821
@mchopaluka43194 жыл бұрын
Mimi nashangaa mtu eti anajivunia kuwa muislamu kwa kweli shetani kajipatia
@trophywilson72112 жыл бұрын
Eee Ameshaichagua hiyo njia inamfaa
@alikhamisog34224 жыл бұрын
innalillahi wa innalillahi rajiun
@daudmaikomwakapoma2134 жыл бұрын
Huyu mtu nimemfuatilia saana lakini hajawahi sema sababu iliyompelekea KUOKOKA Naomba siku nijue kutoka kwake
Alisema, walienda kufanya ushindani wa uchawi, lakini jina la Yesu ikitajwa, hanapata shida sana, (angalia video ya ufufuo na uzima kwa KZbin) utapata ushuhuda wake
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Tafuta ktk account ya gwajma utamuelewa kipindi iko yupo kijana mdogo
Ama kweli waisilam wanatakiwa waokoke, Duuu! Kumbe dua same time wanaitaga majin
@allyawadh84924 жыл бұрын
Sasa kama mafundisho yenyewe ndio hayo ya kichawi hatagwi mungu hata kidogo kweli kuna mwislamu yoyote atatamani kuwa mkristo kweli? kwasababu ninachokiona hapo huyo jamaa anachofundisha ni uchawi tu lkn kwa upande wa wakristo wanaona huyo jamaa kazungumza mambo makubwa sana harafu nyie wakisto mnaonekana mnaabudu sana mambo ya kichawi kila unayemskia hata wale wanaejiita mitume na manabii feki ni mambo yanayohusiana na mambo ya majini mambo ya kichawi mnaonekana wakristo wengi mnamatatizo ya mashetani nahawa jamaa wamejua kusoma nyakati hizi tulionazo ndomana kila. mkristo anatoa mapepo wanamafuta ya upako maji ya baraka wanatoa utajiri tena walivyo waongo wanasema mambo hayo wanayafanya kwanguvu ya yesu kumbe wanaingia maagano na mikataba ya shetani yaani wanakwenda kununua uchawi kwagrama yoyote harafu anafungua kanisa baada muda mfupi tu utamuona kashakuwa tajiri, yaani wakristo mnatapeliwa sana bila ya kujijua kwa sababu ya tamaa.
@shaloboy38613 жыл бұрын
Sio kweli huo ni uzushi musijue ukweli fanya utafiti wako binafsi utajua ukweli wacha kuskiza hawa wezi
@gladnesssidiu49223 жыл бұрын
@@allyawadh8492 Vita vyetu si vya damu wala nyama Tumepewa jukumu la kupigana na hila za shetani kwahiyo uchawi na uganga ni moja ya hila za shetani ndo maana tunapigana nazo Waislamu ndo wengi wamevamiwa na hizi mambo na mnaona sawa tu
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Uyo hana ushekhe wowote arikuwa mchawi kachaa sasa kamuwa atafute kiki aongope yeye shekhe kaokoka hajuwi haya atamoja hapo alipo shekhe gani huyo mchawituu acha awatapeli wakirisoto wasilamu hawaburuzw wange mpiga maswali tena yatoki kwenye kitabu
@gressjoseph56153 жыл бұрын
@@MishiPapalan haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anajua zote hizo aya sema ujamfatilia toka mwanzo
@davidwambura59154 жыл бұрын
Haya mafundisho yanamsaada gani kwa washirika.
@WinWilly41624 жыл бұрын
Ndo ushangae badala afundishe neno la Mungu anafundisha mbinu wanazotumia waganga,anapromote uchawi
@lilianluhasi76854 жыл бұрын
@@WinWilly4162 huyu anafundisha uchawi aliokuwa anafanya halafu anafundisha jinsi ya kuepuka na kupiga kwa jina LA Yesu Kristo kama umeshadhurika
@lusekelomwinsasu3184 жыл бұрын
@@WinWilly4162 huyo anacho kiongea kinamaana sana kwa mtu mwenye kutafakari maana kuna watumishi wa Mungu wengi sana wanapenda kwenda huko kwa waganga wa kienyeji ukiwaambia mbona mnaenda huko watumishi wa Mungu utaambia Mungu amesema jisaidie nami nitakusaidia ko siyo dhambi kwenda kwa waganga wa kienyeji ko unafundishwa usiende huko Ahsante sana
@estasage55063 жыл бұрын
Maneno haya haina maana. I'm extremely disappointed. I can't believe people think this is a testimony.
@estasage55063 жыл бұрын
Should have stayed with pastor Gwajima in order to grow spiritually and give a quality testimony
@trophywilson72112 жыл бұрын
Huyu Bado hajaacha kabisa,Msibweteke Wakristo,
@estasage55063 жыл бұрын
Mtumishi went to unnecessary details za kuchanja instead of going straight to the point. May be he needs a mentor to explain how to give testimonies. Should have just summarize of how getting a child from witch doctors is evil, a hassle and a mistake. But all the details are not a part of a spiritual. breakthrough.
Huyu. Ni. Msanii anaongopa. Kua. Yeye shee. Ili wakristo wamuamini.
@devothabishagazi23114 жыл бұрын
Fanya utafiti ndo uje uongee pumba zako hapa
@ramadhanwilbard81962 жыл бұрын
@@devothabishagazi2311 Tafiti gani?
@chancelinechuchu73334 жыл бұрын
nivizur mtupe ushuhuda wake kusema aokoke
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Ushuhuda utakuja
@susynjambi4 жыл бұрын
@@PromovertvTz ndio tunangoja.ungetupea hio kwanza ndio tuelewe kule ametoka
@PromovertvTz4 жыл бұрын
@@susynjambi Haya mafundisho yamejitegemea kabisa hayahusiani ya ushuhuda wake japo kuna kufanana.
@chumachadollar59174 жыл бұрын
Jitahidi uwe naweka number maana video zinachanganya
@PromovertvTz4 жыл бұрын
tazama kwenye playlist
@khamisrajab66634 жыл бұрын
Futa jina shekhe
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Huyu in sheikh omari alietoa ushuhuda kwa Gwajima miala hy io au
@PromovertvTz4 жыл бұрын
ndiye
@shaloboy38613 жыл бұрын
Huyu c sheikh ni mganga
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@shaloboy3861 alikuwa shekh na mganga wengi ni wale wale maana Dini inaruhusu haimtengi akiwa mganga au mchawi na hasa mchukia Mkristo
@marykibwana94134 жыл бұрын
Kumbe wewe umeokoka? sijaelewa!!!
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Shehe mnyeshani kumbe una kanisa yako
@gressjoseph56153 жыл бұрын
Sio shehe tena ni mchungaji
@sosom144 жыл бұрын
Twambiyeni alivo okoka please
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Subiri ushuhuda wake
@hairesellasie16674 жыл бұрын
@@PromovertvTz Kaka umeshaupload ushuhuda wake?
@PromovertvTz4 жыл бұрын
@@hairesellasie1667 bado
@hairesellasie16674 жыл бұрын
@@PromovertvTz nashukuru kaka, pia ilikuwa vizuri kama ungekuwa unazipa shuhuda namba ili kuturahisishia kujua mpangilio wake, Mungu akubariki na kukufungulia milango kwa kuifanya kazi yake, Amen.
@PromovertvTz4 жыл бұрын
@@hairesellasie1667 Shuhuda zote zina namba,angalia kupitia playlists ndo utapata mtiririko mzuri
@frauleinbergerjaneaika48724 жыл бұрын
Halijuaje yote ayaaaaaaaa? Eh!
@marykibwana94133 жыл бұрын
Alitoa Ushuhuda kwa Askofu Gwajima search shehe Omary kwa Gwajima " KZbin"
@briansancedo93363 жыл бұрын
Nenda you Tube Andika Ostadhi Omary utajua jinsi alivyo okoka maka sasa
@annamaryladislaus63774 жыл бұрын
Uyu mi ata simuamini niporojo tu ajui ata kutumia bibilia uyu
@Baba-JJ4 жыл бұрын
Anajua ila nafikiri anachokielezea hapo hakina au kina nukuu chache sana kwenye biblia. Mfuatilie vizuri kwenye ushuhuda wake. Ameokoka siku nyingi sana nafikiri zaidi ya miaka kumi iliyopita na anafanya huduma.
@lusekelomwinsasu3184 жыл бұрын
Usitake umuelewe kilazima maana kuna watu hawatamwelewa na kuna wengine watamwelewa atakaye muelewa atajifunza mengi sana na kuanzia hapo atasimama na Mungu kisawasawa Mimi nitakuibia kidogo maana yake acha kumtegemea mganga wa kienyeji maana mganga hana msaada wowote kwako mnadanganywa na waganga bali mtegemee Mungu tu huyo ndo yote Katina yote Ahsante kwa yote Mungu awe anakupa ufahamu wa kuyaelewa maneno kama anavyo kupa ufahamu WA kusoma biblia na kuielewa mistari yake
@annamaryladislaus63774 жыл бұрын
Atakama alikuwa anaabudu na gwajima gwajima mwenyewe anamapungufu yake sio malaika adi akamilike hivo hivo uwezi jua yaliyo mpaka yeye aliyeko sirini mungu mwenyezi ndiye anamajibu yote ya maswali yetu
@estasage55063 жыл бұрын
@@Baba-JJ Kweli. Anazungumziya details hazihitajike wakati za kutowa ushuhuda. Ndiyo mana maombi ni ya lazma kabla ya ushuhuda
@estasage55063 жыл бұрын
@@annamaryladislaus6377 Gwajima wetu ni muombaji
@blessedlovedandfavoured41294 жыл бұрын
Nashangaa shetani ni mchafu.... Very disgusting.. Haya Maisha bila yesu unarisk tu
@abdullatifshambe2804 жыл бұрын
Without holiness no one can see God ZION DAUGHTER hivi na akili yenu mganga wa kienyeji mnamwita shehe huyu ni mshirikina tu na uislamu unafundisha kila mshirikina makazi yake motoni
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Sasa ndio mnaabudu hapo mana kanisani hahahaaaaa au kilingeni hapo