Shekhe Omar anajua vitu vingi sana vinatusaidia kujua siri za Shetani. Asante Yesu!
@user-fu6fx8if6w16 күн бұрын
Tunakupenda sana shekhe wetu ,acha Jehova Akulinde na familia yako.
@johnbaraka37433 жыл бұрын
Karibu sana Mnyeshani thanks for coming back
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Namfuatilia na namkubalu sana Mtumishi Omary
@geofreypaul1633 жыл бұрын
Huyu Bwana ninakupenda sana...natamani siku moja...nionane naye ..MUNGU ambariki sana
@koperawasona9551 Жыл бұрын
Nakuja Tanzania 🇹🇿 from USA 🇺🇸 kuwaona weye na yohana Ramathani,yohana kibavu na ule dada msomalia nawapenda sana nitumiye namba za simu tuongeye live
@user-fu6fx8if6w16 күн бұрын
Uliwahi pata nambari zao?Nina nambari ya Moja wao
@thb95613 жыл бұрын
😷🤙Nawatakia Eid Mubarak.. follows wote Wa davistar..
@pilimusa77703 жыл бұрын
Asante. Nawe pia
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Welcome back Sheikh Omar we missed u
@upendoluv71973 жыл бұрын
Leo Rangi nzuri sijui camera mpya... All in All I'm happy 2 see mnyeshani again
@user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno. WAGALATIA 3 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. 27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. 28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi. Amen !!!
@sallo27.703 жыл бұрын
Waooo....! Karibu Sana Shekhe.
@ole_larusai5873 жыл бұрын
Ewaaaaa. Davistar nashukuru. Mungu ni mwema
@alicekarimi61683 жыл бұрын
God bless you man of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@olphamoraa66833 жыл бұрын
Mhh mungu nifundishe kunyamanza kila mtu na mungu wake🇰🇪
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Amen 🙏
@jossyayielo75763 жыл бұрын
Hapo SASA asante Mr everything 🇰🇪🇰🇪
@moussashamba7193 жыл бұрын
MM NI MMOJA YA WATU WALIOKUWA WANAMUULIZIA SHEKHE OMMAR KIUKWELI NASHUKURU SANA..SOMO LAKE TUNAENDELEA NALO KUJIFUNZA 🙏🙏🙏
@nhlnaturehumanbeingsandlif9780 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@utafitiimanitv66413 жыл бұрын
Hongereni kwa kaz nzuri
@heritier51193 жыл бұрын
Mnyeshani na Latino ni wazungumzaji Big up sana
@geofreypaul1633 жыл бұрын
Niandikie hiyo ya Latino niisikilize
@bartazarideogratius5611 Жыл бұрын
Mwenye Namba za shehe Omary mnyeshani naomba anisaidia
@KariukiRoysambu3 жыл бұрын
Shukrani kaka tunakuelewa tu kazi nzuri unayoifanya tena kwa utaratibu
@bensonryoba59683 жыл бұрын
She mnyeshan namuelewaga sana kwa kweli anafundisha anaelimisha.
@florachuwa3013 жыл бұрын
Daaah afadhali umemrudisha Uyu Bwana....big up
@heritier51193 жыл бұрын
Mungu utumia watu kutufunulia ya gizani kupitia mitandao
@kahindiwanje903 жыл бұрын
Safi Sana broo
@lamerckmsuya55132 жыл бұрын
Halleluya, God bless you
@shizaarfred40593 жыл бұрын
Wallah umejua kunifurahisha dav
@seasonepisode33283 жыл бұрын
😭😭😭😭😢😢😢binadamu sisi ni chakula cha majini..jamani akuna jini zuri woteeeee ni maadui zetu wanakuja kwa njia tofauti ya uongo 😢😢😢😢😢😢
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@seasonepisode33283 жыл бұрын
@@josephemmanuel3175 nasikia uchungu kweli aiseee
@michaelmikemike4673 жыл бұрын
Hakuna jini nzuri bro,majini ni malaika waliomuasi mungu
@seasonepisode33283 жыл бұрын
@@michaelmikemike467 😭😭😭😭😭😭
@eldkibeh3 жыл бұрын
Tafathali Tafathali shehe naomba sana unieleze pale uliachia Yani mamma sita Shetani anavyomjua Yesu!!
@faizamohamed69933 жыл бұрын
Nice story
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Ni moja kati ya waalim ninaowafuatilia mno na nimejifunza mengi toka kwa huyu Mtumishi.
@venantmshema10003 жыл бұрын
Big up Mr fact!!!!!
@kakajoss24643 жыл бұрын
Asante sana davista kwa kumrejesha shekhe tena. Then I request you to start working on kuanzisha mahojiano ya live ili nasi tuwe tukiuliza mhusika maswali live pia
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Pamoja dav endelea kutuelimisha 🙏
@Dutchez3 жыл бұрын
Safi sana subira huvuta heri na ndio yamefika
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
dav apo sawa twaeza tekwa
@angelbenjamin73263 жыл бұрын
Am so happy
@agnesmwaizinga54013 жыл бұрын
Hii ni part 1, tungonje part 2345.........
@starbizyousuf83703 жыл бұрын
Inna lilahi wa iyna ilayhi rajiun
@josephmungai5443 жыл бұрын
Hapo sawa!
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Hapo sawa tulimmisii mnyeshani
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Jamaani nimefurahi sana mnyeshani yaàani siwezi kuelezea
@aliceondeko34553 жыл бұрын
Yess
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Story nzuri sana ✨
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Kwa sababu ya shekhe nimebonyeza kengere
@evalineawary36043 жыл бұрын
Mambo ndo kama haya Sasa mr everything
@straightkonect16133 жыл бұрын
Shekheeee sasa hapo ndipo but Davistar bado umrudishe na jamaa Wa BAKORA ZA KIMKAKATI
@reyyathu89783 жыл бұрын
Haha liked his story too
@straightkonect16133 жыл бұрын
@@reyyathu8978 😀
@heritier51193 жыл бұрын
Yupo Radio Free Afrika anatiririka KILA jumapili kipindi cha sintofahamu
@straightkonect16133 жыл бұрын
@@heritier5119 nipo kenya haifiki huku nilitoka border
@heritier51193 жыл бұрын
@@straightkonect1613 sikiliza online inafika
@ramayasly45843 жыл бұрын
Nawasalim sana kakangu zangu
@videozaaj10693 жыл бұрын
Hapo kwenye baiskeli angekuwa bwana zablon angeeleza in details kwanza angeitaja jina la baiskeli,angesema alinunua wapi,lini na shilingi ngapi hahahahaha
Daaa nmekumbuka zabron bwana misosi ndo maaana ananenepeana sana
@upendoluv71973 жыл бұрын
😂😂😂😂Angekuambia kama ilikuwa phonex Au ya gia
@jamalshabani12933 жыл бұрын
Hauna dini
@rahaisacl99543 жыл бұрын
Jmn sijui nikubebe kunirudishia mnyeshani
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
Davi hapa mic yako iko far sana
@raphaelmassawe79403 жыл бұрын
Nimekubali
@ijuekwelitv31502 жыл бұрын
Samahani huu ushuhuda ni wa muda mrefu ila nina ombi moja ndo nimeuona Kuna mahala alisema kuwa alimpakaa dawa binti akapotea akawa haonekani Sasa hajatupa jibu je baada ya kuokoka alimuombea binti na kumrudisha au alimuacha apotee hivyo??
@brenda10833 жыл бұрын
Tuendelee Sasa
@babyboss28863 жыл бұрын
Mr DM kipenzi asante ku leta Bwana Omari
@meckylucy2153 жыл бұрын
Nimefurahi sna kukuona tena Mnyeshani
@aminsalimali7933 жыл бұрын
SAFI KABISA DAVISTAR MATA MTU MAKINI KABISA
@lauriantemba79393 жыл бұрын
Hatuna udin sis
@credo78373 жыл бұрын
Nilikuwa namsubiri sana
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kumbee🤣
@IGL-x1d3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤝🤝🤝
@davidochieng70553 жыл бұрын
Pamoja sana
@omarimziya3903 жыл бұрын
Diamondi vs stamina
@wilsonwilson24173 жыл бұрын
Vizuri kabisa,atueleze yule jini wake alienda wapi?
@nazfatyabdallah10413 жыл бұрын
Kaka mpemawazo afunguw chanli yake atowe mafuzo
@erikimethod62463 жыл бұрын
Nataman neema ya wokovu inishukie
@neemameshack2758 Жыл бұрын
Ikushukie katika Jina la Yesu kristo alie hai
@ulayaz Жыл бұрын
Mung atunusuru na njaa, maan inatufanya tuseme uwongo.
@heritier51193 жыл бұрын
Funua Siri za wachawi
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Nmefrahi kumuona Mr Omary,,,lkn naomba mr #Dm muulize how comes yeye ameokoka na wakati huo huo Appearance inaoneshe he is muslim kuanzia mavazi na vingne,,au kazoea kuvaa kanzu,,,I'm sory kama ntamkera mtu🙏
@Laila-lz4ij3 жыл бұрын
Hata Mimi nilikuwa najiuliza hilo. Na sana anatumia lafidhi za ki Islam. Ananichanganya
@tabithakigongo78013 жыл бұрын
Mavazi na kuitwa shekh sio tatizo..!! Yote HAYANA ubaya ktk dini yoyote.. vazi la kanzu ni vazi la waarabu na watu walio na asili ya kuvaa ivo.. ambapo Pia lilivaliwa tangu enzi za karne ya 1. Sheikh maana yake MZEE.. - mtu aliezidi miaka 50 au anaejua mambo meengi ya ukuu hata kama ni mdogo. Hata kwenye bibilia neno sheikh ipo.. so sijaona kosa kwa OMARY apo
@presenttruthloudcryforthel53382 жыл бұрын
Davista tuandalie Kanyerere na shekhe omari watuambie zaidi kama walijuana wakiwa humo au vpi
@elephasadalamaimaadante71153 жыл бұрын
God is great
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Afadhal umempata tumalizie story yetu
@djbullah25563 жыл бұрын
Nilikua nimeisubilia sana hii
@shaabanrobertwapili80453 жыл бұрын
Njia ya mrongo ni fupi
@ghatynyantebu5923 жыл бұрын
Faida nyingi za mbaazi tunaomba tuambiwe jamani.
@shaadenshaduni77553 жыл бұрын
Mnavyo pepesa macho utasema kuna maaskali wanakuja kuwakamata
@puritykibe30992 жыл бұрын
Mbaazi ni mti upi jameni?
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Iyo heading inamaanishann
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Ndo mana napendaga interview ya davista yan penye manufaa anapauliza hasa
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
Sahihii
@namanga97863 жыл бұрын
Njaaa itakufanya usemee owomgoo
@scholamwasi27823 жыл бұрын
Mjilani zangu mpo
@IGL-x1d3 жыл бұрын
Hujambo wngu😘😘😘🇪🇭🇪🇭
@matridalule64773 жыл бұрын
Duh
@salumabdi31272 жыл бұрын
wakiristo wa saiv bwan wte ni watakstifu na wana bahat sana mn mpka saiv wao wanapata manabii na mitume wapya kila siku na kila anaeokoka anakutana au anafatwa na mungu chakusikitisha hii miujiza ya kushukiwa na mungu ni wao tu lkn kwa waislam hakuna icho kitu sio kwa mashekhe wala waumin wa kawaida hamn alieshukiwa na mungu....kwa mtazamo wangu hawa wanafatwa na mashetan wao wanasema mungu ndio hapo wanapoanza kupotea na kunza kutuletea maigizo hawajamaa ni wajuz wa maigizo ,,, haya huyu nae ametengua kifo duh huu mtihan sn istoshe huyu jamaa alipotea kwa kwnda kukamilisha hii story yake saiv ashatunga tyr amerud tna yaaan hawa wakiristo kirahis rahis tu wao wanaonana na mungu duh
@denizamahongo85573 жыл бұрын
Amerudi aisee
@masoudkatiba14843 жыл бұрын
Jamaa alienda wapi3?
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Shehe kadanganya nashetani
@charlesmapunda590511 ай бұрын
Hii stori meamua kurudia kusikiliza upya, ila kila comment ya Muislam humu zimejaa chuki kwa huyu Mtumishi. Kiukweli kama kufunikwa ufahamu Waislam wamatia huruma, hasa wa huku Afrika. Waarabu wa bara Arabu walipigwa marufuku wasisome Biblia wala kuikalibia ili tu wasijue ukweli, sasa kutokana na muingiliano wa kusafiri na mitandao ya kijamii kujaa imefungua Waarabu wengi na wamempokea Yesu sasa hawa Maamuma wa huku hawajui kitu ila ndo vigego vya ubishi eti wamadai wanaweka misimamo bila kujitambua kama Majini ndio yanawafanya wawe hivyo.
@lenardkenedy54210 ай бұрын
Safi 🙏
@laurineasira71953 жыл бұрын
Elimu haikamiliki when still living
@makame35243 жыл бұрын
Mimi niwashaur tu kwamba mbali na kuskilza hiz stry tunatakiwa tujue pia mbinu au mipango anayoitumia shetan kumtoa mtu katika reli
@TITOtz3 жыл бұрын
@Mussa Salum Kiwango unachompimia ndicho utakachopimiwa
@makame35243 жыл бұрын
@@TITOtz kwa maana gani
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@sumamelody61973 жыл бұрын
Ata watoa wasio kuwa na elimu ya dini na wale wanao babaishwa na miujiza
@saidessry99423 жыл бұрын
shekhe omari muogope mola wako hapa tunasikiliza ushuhuda wa ukweli mimi ndio naanza kukusikiliza part ya kwanza hii lakini maneno yako yamejaa uongo hili sijambozuri sisi tunaifatilia channel ya davister kwasababu ya uaminifu wake na ufuatiliaji wake wewe shekhe lakini hata dua hujui hata quran hujui muislamu gani wewe tena sheke
@upendoluv71973 жыл бұрын
Season one uliiona? Mana huu Ni muendelezo
@saidessry99423 жыл бұрын
@@upendoluv7197 hapana sikuiona
@fidelbarutwanayo40683 жыл бұрын
Ulikuwa na mashetani ndio maana ulimuacha mkeo mrudie mkeo
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo ugomvi ssa wa ngumi
@mustafahmansoorchapu5603 жыл бұрын
Mweke live siku moja
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
hayanikuti mimi kabisa
@saidsaleem17323 жыл бұрын
Shetani kazidi kumpoteza kwenye giza
@abbyadams86913 жыл бұрын
Nyie jamaa akili zenu mnazijua wenyewe
@makame35243 жыл бұрын
Kumbe unamjua vizur shetani
@heritier51193 жыл бұрын
Ngoja awaaumbue
@aboubakarhidad28863 жыл бұрын
@@heritier5119 labda akuumbue ww huyo hajaokoka kazid kupotezwa na hao mashetan wake
@aboubakarhidad28863 жыл бұрын
@@ikabako2454 nenda kasome hyo bibilia yko yesu mwenyewe kaingia mskitini bibilia ina sema hivi "yesu alipo fika mji mtakatifu alivua viatu vyake aka tawadha na akaingia kwenye sina gogi (msikiti wa wayahudi) fungua bibilia yoyote agano jipya au agano la kale fungua nyuma kwenye neno maana utakuta maana ya sinagogi kua ni msikiti sasa kama sis waisilamu tunapotezwa msikitini basi na yesu wenu kapotea maana kaingia msikitini au pinga hyo aya ubishane na bibilia yko wa mwanz kupotea ni yesu maana ndio kaingia mwanzo msikitini
@saadiaali56093 жыл бұрын
Sasa inamaanisha m'baazi hatakumbuka kana unaweza akasahau
@goldylinda3 жыл бұрын
Nataka no ya davista
@yustakipenya62313 жыл бұрын
Nilimsubir kwa hamu
@harerimanadaniel72022 жыл бұрын
Anatu saidia kwel
@alibell52463 жыл бұрын
Inaaailah wainaailaih raajiwun yaan ww ni njaa tuu inakusumbua nakuombea kwa allah akuzndue akili yako mapastor wachungaj wote sasa wanaingia ktk din ya haki huku kenya kwetu tushajua ni ipi din ya hak ww upo unaweweseka na njaa yako
@medardissa62533 жыл бұрын
We umekazana na dini mpaka Leo badala ya kutafuta wokovu
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
Hakuna alie okoka duniani mpaka kiyama tukihukumiqa ndo ukihukumiwa peponi ndo utasema wewe umeokoka kwa sasa huyo shekh kaangamia umelitadi
@user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын
Acha kujidanganya mwenyewe Quran 46 : 9 mohammed hajuwi kitakachofanyika juu yake au weye Islam ilianzishwa 610-632 AD afu unasema ni dini ya haki Wokovu ni kwa Yesu Kristo pekee hakuna mwingine
@8pistons19415 күн бұрын
Your allah is not alive how can he save someone😂
@ahmadisaid7318 Жыл бұрын
Kati ya watu wajanja wajanja ni walokole huyu anataka kusema yeye ni nabii Mungu anawasiliana na mtu kama huyo kweli huyu anatafuta hela kama mtu una akili msikilize 1 paka mwisho utagundua hataukimuangalia mdomoni au usoni stori yake niyaujanjaujanja kama yeye anavyoonekana
@ngombegeorge357710 ай бұрын
Tupe kanuni
@katerelomkuyati67643 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 HUYU JAMAA NI MUONGO SANA, ANAONEKANA ALIANDALIWA KWAAJILI YA KUJIFANYA MUISLAM, NDIYO MAANA ANASEMA KUNA VITU AMESAHAU, YAANI HANA REKODI YA KUMFANYA KUWA ALIKUWA MUISLAM NAMSHAURI ATAFUTE KIKI YA NYINGINE