Amen ...namshukuru Mungu sana nimeanza leo maombi haya naona Ukuu wa Mungu ....nimejifunza Mengi Mungu akubariki mchungaji...Karibu Iringa
@nyangiboke3 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@OctavinaTarimo2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi.
@harrietkiden78083 ай бұрын
Hallelujah 🙌🏼 Mungu MKUU
@mkalma-i4q3 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@KateWinslet-j8q3 ай бұрын
Naomba ukombozi juu maisha yangu juu naota sana Sana nimevaa sare ya shule either ya upili ama misingi na pia kupewa pesa ama naokota pesa
@Shalom20182 ай бұрын
Bwana Yesu Kristo asifiwe Mtumishi wa Mungu,mie niliwahi kusikia ushuhuda kuwa wakati mwengine wachawi au majini wanaweza kuvaa sura ya mtu mwengine ili kwenda kufanya mabaya,sasa kama ni kweli wakitumia sura yako na kwenda kuzini na mtu itakuwaje?itabidi tusikuamini?naomba utufahamishe vizuri kuhusu hilo jambo.
@mwajumasakina95993 ай бұрын
Niliomba number ya mtumishi kwenye live sukuiona tafadhali naomba kuzungumza naye,asante kwa usikilivu mwema
@YAUSHATV3 ай бұрын
Chukua namba ya watu wa Promover Tv watakupatia namba ya mtumishi kuitoa public haipendezi
@helenalosi75383 ай бұрын
Sawa MUNGU yupo
@PendoNyambita3 ай бұрын
BWANA Yesu Apewe sifa mchungaji naomba muniombee ninashida ya Nyota nawezaje kukuona naomba namba
@annkim26903 ай бұрын
Yani watu wako na matatizo kweli poleni ndio maana yamekimbilia wengi kwa maji na mafuta
@PendoNyambita3 ай бұрын
Mimi nimeachana mme naota ninalala na mwanamme nilie achana naye na hayupo kwangu
@subirasenyamle717322 күн бұрын
Huwa nawaota ndugu zangu waliokufa. Kila mara. Mara ya mwisho nimemuota kaka marehe amekasirika akagomba san