SIYO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU•KWA SASA MIUJIZA NA UPAKO VINAUZWA MADUKANI 20M | Mch.Amiel Katekela

  Рет қаралды 64,298

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 251
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 ай бұрын
Ilikuwa mwezi wa11 nikiwa nimejifungua kwa opp na mwanagu nikampoteza yule nabii alinambia mpaka mwezi wa1 utakuwa umebeba mimba nayo itakuua sasa tuma sadaka nikukomboe walah alivonambia vile nikakata sim sikumtafuta tena ila mpaka sasa nipo na mimba haijawahi ingia namtukuza Mwenyezi Mungu tangu siku hiyo niliacha kusikiliza hawa wanajiita manabii
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 ай бұрын
Ukisikia tu neno tuma pesa nikuombee basiiiii kimbiaaaaa maombi hayauzwi. Sadaka ni hiari ya moyo. Kama ni Roho Mtakatifu anamuongoza mtumishi kusema utoe Huwa haiwi kama lazima. Manabii wa kweli wapo ila wachache sio kwamba hawapo. Lakin kuwajua LAZIMA uwe na Roho Mtakatifu ndani yako . Bila hivyo hutatofautisha. Ubarikiwe ulikata simu kabisa ndugu v
@sarahmaro215
@sarahmaro215 3 ай бұрын
Ubarikiwe, YESU akutunze na Huyo mtoto aje awe mtumishi wa MUNGU.
@LatiphaMwanga
@LatiphaMwanga 3 ай бұрын
Nafuu ulisanuka mapema maana alikuwa anataka kukufanya wewe kitega uchumi
@idrisajaphary8275
@idrisajaphary8275 2 ай бұрын
Unafikiri kwa nn manabii watu wanawapenda ni ule upako wa uponyjaji kufufua misekure na unajua hatima sasa uwezi sikia nabii ana mzungumza vibaya mchungaji
@JAMESMUTUNGI-o3b
@JAMESMUTUNGI-o3b Ай бұрын
Asante kwa kumfafanua kristo..utukufu umrudie yesu wa nazareti.Amina
@RachelEmid-jq6eo
@RachelEmid-jq6eo 2 ай бұрын
Sichokagi kumskiliza huyu mchungaji jmn hakika ww umetumwa na Mungu uokoe kondoo waliopotea Mungu akubarik sana🙏🙏
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 2 ай бұрын
Yesu alisema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel je wewe nimuisrael??? Au haya maneno aliyo sema yesu niuongo ?? Alidanganya kwamba yeye hakutumwa Bali kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel???
@lilyg2134
@lilyg2134 2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 WE NAE TUPISHE SIE, KWANI HUO UISLAM WA BABAKO HUKO MAGWEPANDE? SI LIMUNGU LA KIARABU...NENO LINASEMA WAGALATIA 3:13-14 "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho Kwa njia ya aman"....... SISI TUPO BUSY TUNASKILIZA NENO WE UNACHOWAZA UFALA WAKO KUTAKA KUBISHANA, ILI MRADI TU KUTUVURUGA USHINDWE KWA JINA LA YESU...KACHEZE UNAKO CHEZAGA
@SylvesterMakenzie
@SylvesterMakenzie Ай бұрын
​@@zaidiissa3714uislamu na ukristo wapi na wapi?kasubiri kuzimu wanawake wenye matako makubwa na macho kama kikombe 😅😅😅😅😅😅
@MeryNaftali
@MeryNaftali 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor katekela wewe ni mtumishi wa kweli na Mungu amekutuma ili utufungue kwenye uteka wa kuzimu
@YudatadeyMassawe
@YudatadeyMassawe 2 ай бұрын
Mungu akubariki,injili kama hii kwa nyakati zetu inahitajika ili kurudisha waliopote,,
@sarahmaro215
@sarahmaro215 3 ай бұрын
Bendera chuma mlingoti chuma. Nimependa hiyo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@prosperousbuildingconstruc3500
@prosperousbuildingconstruc3500 2 ай бұрын
Nakubariana ne waw 100% from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@israelimarco6465
@israelimarco6465 2 ай бұрын
mlete Mungu wa kweli mi naona kama haumleti Mungu wa kweli na kuonysha kwa watu m naona unawapromote
@leticiamakoye4871
@leticiamakoye4871 3 ай бұрын
Mnaompinga amieli kaeni kimya na BWANA wetu YESU kiristo wa nazaleti awakemee.
@SabinaOchami
@SabinaOchami 16 күн бұрын
Nishaa shirikishwa kuweka chumvi majini niganyake ndani miguu mara saba mtoto wangu akasmbiwa na mwingine akiwa na mimba ya wasiwasi akaambiwa aoge maji ya chumvi na awake penye barabara zinakutanika
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 17 күн бұрын
Miujiza yote inayofanyika sasa ni nguvu ya upotovu, hakuna kanisa Sasa, kanisa halisi linajengwa na, Mjumbe wa agano pekee, wengine wote ni waongo na watendakazi wa shetani.
@SabinaOchami
@SabinaOchami 16 күн бұрын
Hata nasikia kuna wenye kutoa watu vitu mwilini mfano sindani
@ReubenMbanga
@ReubenMbanga 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi katekela, watu wamevutwa na upako wa Shetani.
@teyllalugazia
@teyllalugazia 17 күн бұрын
Sauti ya mtu aliyenyikani, itengenezeni njia ya Bwana yanyoosheni mapito yake
@NesiasJastin
@NesiasJastin 6 күн бұрын
Edelea kusema mwenyekusikia apone.
@faithe4063
@faithe4063 3 ай бұрын
Najaribu kushare huu ujumbe kwa mamangu ila aelewi amefungwa na awa manabii adi kuomba siku izi anaomba hivi Mungu wa nabii 😢yani jina la Yesu limetoeka kinywani mwake kabisa, sijui ni lini neema ya Mwenyezi Mungu litaokoa mamangu
@annkim2690
@annkim2690 3 ай бұрын
Mungu amsaidie mjulishe kuhusu hii channel ya promoverTV
@IbrahimMgimba
@IbrahimMgimba 3 ай бұрын
Amini kua wewe ni daraja lake kumwamini Mungu aliye hai kama mama yangu pia alivyoanza kubadilika.. Mungu amsaidie Amina
@myself4128
@myself4128 3 ай бұрын
Ukishasikia Mkristo anaongelea Madhabahu za manabii anajiungamanisha ujue basi ni Msukule,Mitume na manabii wote waongo sababu Nabii hajawahi Kuongoza Kanisa,Neno la Mungu linayoaha kuponya hauhitaji Mafuta wala maji wewe uendelee kumuombea tu ipo siku atakombolewa!
@faithe4063
@faithe4063 3 ай бұрын
@@myself4128 yeah sitakata tamaa nitaomba ata kufunga Mam wangu ndio alinifanya nimjue Yesu kwa hiyo sipendi apoteswe na awa waongo
@faithe4063
@faithe4063 3 ай бұрын
@@annkim2690 ata uwa na share ili azikilize mwenyewe ila unajua awa manabii sijui wakona na kifumba macho asikii kweli atakubali leo kesho unasikia ameenda uko 😭neema ya Yesu imkumbuke tu
@SabinaOchami
@SabinaOchami 16 күн бұрын
Roho wanehema anipe ufunuo wa kujua zaidi
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 14 күн бұрын
Watu wote hawezi kua na elimu elimu ni galama
@EliasHamisi-uy7qo
@EliasHamisi-uy7qo 2 ай бұрын
MTUMISHI UBARIKIWE SANA KWAKUFANYA LISAJI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NA KUWAUMBUA WATOTO WA SHETANI
@Esendi56
@Esendi56 18 күн бұрын
Yes upako mwingine ni wa kubuy lkn mungu dio kila kitu
@Bénigne-k4x
@Bénigne-k4x 2 ай бұрын
Mch,Katekela mimi nakupata sana nikiwa Burundi,MUNGU akutumie zaidi hakika ww ninabiii wanyati zamwisho,Ee Tanzania mumebarikiw kuwapata watumishi kama katekela,karibu kwetu Burundi kabisa,Tanzania mumepata neema kuwapata watumishi wazuri kama hao na msipo pokea hiyo neema mtakuw mumelogwa sisi huku burundi tutaipokea tu!Katekelaaaaa YESU KRISTO abarikiw ndani yako,na penda hiyo mtu mzima hatishiwi nyauuu
@IBRAHIMSOKONI
@IBRAHIMSOKONI 16 күн бұрын
Mungu azidi kukupigania kamanda wa yesu piga injili ya yesu katekela
@beatricemortensen8533
@beatricemortensen8533 3 ай бұрын
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE, ASANTE MUNGU KWA NENO HILI.
@StevenMutale-xt9yj
@StevenMutale-xt9yj 3 ай бұрын
Mungu wa isaka na yakobo akuinue sema sana mara sabin
@leticiamakoye4871
@leticiamakoye4871 3 ай бұрын
Sema kweli mchungaji wenye masikio wasikie . Wenye macho waone wenye akili watatambua. Wabishi wataangamizwa tumepewa kuchagua uzima na mauti
@serapionmnenuka
@serapionmnenuka 2 ай бұрын
Asante sana Mchunqaji
@LucasLagos-dq4mh
@LucasLagos-dq4mh Ай бұрын
Ubalikiwe sana simamia kweli
@peninahndinda2874
@peninahndinda2874 Ай бұрын
Ameen mchungaji katekela na Mungu azidi kukuwezesha kufumbua huu ukweli kwa ulimwengu wote
@naomicharles5444
@naomicharles5444 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakupeleke tuwajue by names bendera chuma mlingoti chuma
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 2 ай бұрын
mtumishi wa Bwana yesu asifiwe sana umeubiri vizuri sana kazamwendo baba
@israelimarco6465
@israelimarco6465 2 ай бұрын
wananchi na WA Tanzania wenzangu ngoje nikwambie kitu hebu tufuatilie vzr injili ya kristo. injili ya kristo ilitembea na nguvu na miujiza Sasa hebu katikela watu wengi wanahitaji misaada ya mwili mpe mtu miujiza ya kweli na watu watakifuata wenyewe watanzania wanahitaji msaada
@ruthmwamburi756
@ruthmwamburi756 22 күн бұрын
Tuambie Kenya maduka yako wapi? Mtumishi wa Mungu wataje bila uoga ndio ukomboe nafsi mingi kutokana na mauti.
@markmwau8387
@markmwau8387 11 күн бұрын
Swali langu ni... Mungu aliye wa kweli huwa anafanya ninii kwa sababu karibu kila kitu chanzo chake ni shetani😢😢😢
@samwelndaki201
@samwelndaki201 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana sijui uko wapi?
@SamsonSilayo
@SamsonSilayo Ай бұрын
Tutaamini vipi maana Lila anaecmama jukwaani anamkandia mwingine ? We utakuwa umekimbizwa hujamializa chuo ungekua miongoni
@carolinemrosso9006
@carolinemrosso9006 3 ай бұрын
Sasa mtumishi wa Mungu kwa wale ambao tayari wameshakanyaga hizo madhabahu zao na kutoa sadaka zao pale wakiamini pana Mungu,, na mafuta wakakanyaga na kuyanywa na maji ya upako na keki ya upako wakala je watafanyaje wajiengue na hilo agano??
@bobutingababayo5047
@bobutingababayo5047 2 ай бұрын
Hakuna kinachoshindikana kwenye Toba Waombe toba ya kweli na kuacha kuendelea nayo kabisa na damu ya Yesu itamsafisha na kumuondolea vyote viliokuwa vimeingia ndani
@Majaliwa-ov3vk
@Majaliwa-ov3vk 2 ай бұрын
Inawezekana kwa yesu
@AnnaLwanda-oj4jn
@AnnaLwanda-oj4jn 18 күн бұрын
Ameen chuma Cha YESU kristo
@EricMaingi-f8b
@EricMaingi-f8b 2 ай бұрын
Amina, mchungaji Amiel, Mungu amekupa Neema kuu.
@naomicharles5444
@naomicharles5444 Ай бұрын
Ngoja wamamq wa mwamposa waje huku 😅😅😅😅😅😅😅
@agnethapaul6057
@agnethapaul6057 2 ай бұрын
Amina , Damu ya Yesu ikufiche .
@SelestinaHamis-dw1gs
@SelestinaHamis-dw1gs 2 ай бұрын
Amina Amina Mtumish injili isonge mbele kwa jina la YESU
@lusajomwakibinga6912
@lusajomwakibinga6912 3 ай бұрын
Huwa nabarikiwa Sana kukusikiza kaka God bless you
@beatricekasolo
@beatricekasolo 2 ай бұрын
Bendera chuma mlingoti chuma napenda sana hiyo ward Yako Huwa maumbiri Yako yanitia nguvu sana
@makoti77
@makoti77 2 ай бұрын
Huyu ndo katekela tunayemjua sisi sasa,Wuuuuuh Hatari sana.. piga baba MUNGU yuko pamoja na wewe, na sisi tunakuombea.. maana hapa katikati ulianza kuwa na hekima flani unapozesha maneno, ila hii ndiyo dawa yenyewe imeingia...🙌🙌🙌🙌
@patrickwasesa4495
@patrickwasesa4495 3 ай бұрын
kweli mwalimu nimeloweka kweli kwaujumbe yaani umenifungua akili kweli!
@ntakirutimanaetienne592
@ntakirutimanaetienne592 2 ай бұрын
fungukeni
@EliasMoyo-g3p
@EliasMoyo-g3p Ай бұрын
Waaambie ukweli bro waache kutapeliwa unakuta mama yuko tayari watoto walale njaa na kuwateza watoto ili tu apate pesa ya kuwapelekea hao matapeli wasio muogopa mungu wajinga wao
@waleedbahar5275
@waleedbahar5275 Ай бұрын
MUNGU akulinde mtumishi uzidi kutuelewesha maana watu wengi wanapotea kws manabii wa uongo
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 3 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu unayosema ni ya kweli, ila mateso ya magonjwa watu wanayopitia ndio yanayowafanya waende huko.Mfano mimi nina imani sana, ila nateseka sana na magonjwa,niombee niponye,nimechoka na hospitali.Unadhani ukiniombea nikapona nitafikiria au kuwaza kwenda huko.Nimeombewa wee wapi siponi,mwishowe naambiwa sina imani hee.Hapana ile kwenda kukubali kuombewa tayari ni kama chembe ya haladari,vipi siponi? Tena nasali TAG nikitokea Lutheran nikiaminishwa kuwa kule hakuna nguvu za Mungu,nisaidie mtumishi nina magonjwa kama yote.Mimi nitatuma hata nauli uje kwangu uniombee.Naomba wee kwa Imani ila wapi.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 ай бұрын
Pole Maria Mimi ni mkristo kama wewe 2020 niliugua vidonda vya tumbo nilikuwa na hali mbaya sana ikizingatiwa nimesikia haviponagi. Niliamua kukiri neno la uzima katika biblia mfululizo ndani ya siku tatu tu sikujua ugonjwa ulipotelea wapi Hadi Leo mimi ni mzima
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 ай бұрын
​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee.Ruben nateseka sio mchezo.
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 ай бұрын
Ruben ningekupa mateso ninayopita usingewexa
@anna19805974
@anna19805974 2 ай бұрын
Pole sana Maria. Katika Biblia kuna mwanamke ambae alishika vazi la Yesu akapona, Mama huyu aliugua kwa muda mrefu kwa kutoka damu akamaliza waganga lakini hakupona alijiambia nikishika vazi la Yesu nitapona. Ile imani ilimgusa hadi Yesu akagundua kuna mtu amemgusa akapona saa ile ile. Mimi nina imani yakuwa simama na hilo andiko weka imani vazi la Yesu iwe damu ya Yesu ikakuponye tafuta mafungu ya uponyaji katika biblia uyafanye yawe yako omba yakalete miujiza na ukapone ikawe shuhuda tukamtukuze Mungu. Mungu akuponye na magonjwa yote
@RahelSalumu-pm9qx
@RahelSalumu-pm9qx 2 ай бұрын
Ezekiel 13:1 ( tusome tuelewe) mchungaji katekela ubarikiwe sana pamoja na promover Tv
@mosesmagehema615
@mosesmagehema615 2 ай бұрын
Rahel
@LovenessHango
@LovenessHango 2 ай бұрын
Amen mtumshi wa Mungu,,
@eliasilwimba187
@eliasilwimba187 2 ай бұрын
Nabarikiwa Babaa,maelfu ya watu wanaenda kuzimu kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi.
@utawalarecordstudiosnairob5929
@utawalarecordstudiosnairob5929 Ай бұрын
Kweli kabisaa MUNGU akubariki 🙏🙏🙏🙏
@angelamvaa2229
@angelamvaa2229 Ай бұрын
Amen, Mungu turehemu
@costofamily4861
@costofamily4861 Ай бұрын
Hii ndo injili jamani
@joycekaje8755
@joycekaje8755 3 ай бұрын
Ubarikiwe mno baba Mchungaji, nabarikiwa na mahubiri yako .Nakufuatilia kutoka Uholanzi.
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 2 ай бұрын
Mungu amekuokowa.
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t Ай бұрын
Claverhead paster
@ruthmwamburi756
@ruthmwamburi756 22 күн бұрын
Nilienda pahali nikapewa nikahisi harufu ya kuoza.
@ndeletwakidin8717
@ndeletwakidin8717 2 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@dericksteven6455
@dericksteven6455 2 ай бұрын
Elisha aliombea chumvi ikatibu maji yaliyokua yanazaa mapooza Yesu alitumia tope kumponya kipofu Ukisoma yakobo 5:14 kuna maelekezo ya kutumia, lakin pia hata samweli alimpaka daud mafuta, mafuta sio upako ila uthibitisho kwa ishara Kama maji yanatumiwa kubatiza lakin hayo hayo unayasema hayafai zitakua hazimtoshi Sisemi kua manabii wa uongo hawapo ila sometimes pia kila mtu anaposimama kusema jambo hua anakua na interest zake
@nurukasebele5433
@nurukasebele5433 2 ай бұрын
Ni kweli ila haikuwa kanuni Kila Mmoja aliponywa Kwa kadri ya tatizo lako
@BelithaFedrick
@BelithaFedrick Ай бұрын
Balikiwa sana kwa mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤❤
@MsafiriCharange
@MsafiriCharange Ай бұрын
Tusaidie mtumishi
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
TATIZO NI KWAMBA Mtu ambaye alikuwa mchawi akiokoka anafikiri wote ni wachawi kwasababu MIUJIZA YA MUNGU KWAKE NI KITU KIPYA .UNATAKIWA KUJIFUNZA ZAIDI NENO LA MUNGU NA KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU.
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 2 ай бұрын
Hongela mtumishi bendera chuma mulingoti chuma
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 3 ай бұрын
Bwana YESU ATUSAIDIE TUU ni ukweli wanatoa watu sacrifice sana sana
@RahelSalumu-pm9qx
@RahelSalumu-pm9qx 2 ай бұрын
Kama Paulo alivyohubiri mpaka krete🙏🏽
@StellaPaul-et9df
@StellaPaul-et9df 3 ай бұрын
Haya ndo mahubir
@lydiabenjaminmgalula6189
@lydiabenjaminmgalula6189 2 ай бұрын
Mungu atuhurumie sana 😔
@MoiseMutarami
@MoiseMutarami Ай бұрын
Hata siku MOJA sijasikia mtu mmoja anasema huyu ni nabii WA kweli, isipokuwa yeye ndo WA kweli.anajua yeye tu wengine waongo.angalia babangu ole itakuhusu.kumbuka serikali ipo tajaa hao WATU wapone usipotaja na wewe mmoja wao
@karimmveyange280
@karimmveyange280 2 ай бұрын
Bonney alikamatwa kit miaka wa nchi fulani akiwa na Madawa ya kulevya kit Yale maspika yake maziiito aliyo Tim Is kuhubiria. Ilikuwa no mzigo wa nguvu wa mabillion ya USD Akiwa Anatolia Malawi mwaka fulani alinikuta Mimi nikiwa nampitisha kama Customs Officer On duty miaka hiyo.Akaeeka kitu Jangwani Dar. Akaunguruma . Aliniachia zawadi yamakalenda yakeee. MIAKA 3 baadae nikasikia habari yake kukamatwa. Shida no MTAWALA WA DUNIA HOI NI SHETANI, NA HAL WANAO FANYA BIASHARA HIZO MBOVU NO MASHETANI WAKIBINADAMU, HAWA WEZI MUHUKUMU MUG KAMA MCHUNGAJI BNKEY
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q Ай бұрын
Miujiza tangu zamani ilikuwapo. Wakati wa Musa miujiza ya mungu na miujiza ya shetani ilfanyika
@MariaMdemu-xt5cv
@MariaMdemu-xt5cv 3 ай бұрын
Kwakweli ulikuja kutuokiloa wengi ...mimi nimewahi kunywa mafuta ya upako ya nabii mmoja mpaka tulikua tunamwekea kaka etu kwa chakula ili kiu ya pombe na sigara ikate lakini haikukata....lakini namshukuru Mungu sana baada ya kukufahamu mch katekela alinifanya niokoke baada ya kusikia shuhuda zake kwa muda mrefu na alipokua matemela songea niliona analia na kusema mnakataa kuokoka ninyi aaah nililia na nikaokoka japo ilikua ngumu sana ...mpaka leo nimeokoka na namuona Mungu kwa viwango vya juu sana......Nasema mch katelela Mungu amekutuma kwaajiri yetu.....Naubarikiwe na Bwana kwa huduma
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 ай бұрын
Mungu akutunze
@SodioNyunga
@SodioNyunga 2 ай бұрын
Mafundisho hayo ya mchungaji Katekela ni ya uongo kwa sababu watumishi hao wanakuambia uchukue maji yako ya nyumbani kwako unaomba nao na matokeo yanaonekana. Halafu toa mfano wako wewe wala sio watu waliokufa. Tunataka na wewe ufanye miujiza. Mbona unarukaruka tu?. Umesema miujiza ya Mungu haina formula, mbona unataka wote wafuate akina Moses kulola walivyokuwa wanafanya? Hata mkipiga MANENO hamuwezi. Mbona wagonjwa wenu wanakwenda kuponea kwao? Kinachofanya watu waende kwao ni kwa sababu ninyi hamna upako. Watu wanakaa kwenu na mizigo kama utasa hawapati matokeo. Rudini kwa Mungu Ili awape UPAKO. KULIKO kushambulia. Baada ya Kuwa mmekosa upako, Mungu amegeukia upande wao.
@JosephChilemile
@JosephChilemile 2 ай бұрын
Mungu akutunze sana. Ushuhuda wako umenigusa....sana ..Yesu akukuze katika wokovu...
@mutabebwa-bm6pm
@mutabebwa-bm6pm Ай бұрын
Wote MATAPELI
@ShazilMohamedi
@ShazilMohamedi 2 ай бұрын
Fact
@NephiapiusiMbwelwa
@NephiapiusiMbwelwa Ай бұрын
Mungu atusaidie
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 Ай бұрын
Ameeeeeeeeeeen
@lilyg2134
@lilyg2134 2 ай бұрын
HALAFU KWANINI UNAKATA BAADHI YA MANENO YA MCHUNGAJI LENGO NI NIN??....UPLOADER UNATUKOSEA STOP THE NONSENSE
@upendokikwelele620
@upendokikwelele620 2 ай бұрын
Napenda mafundisho yake. Anapatikana wapi
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 ай бұрын
Anapatikana Geita Tanzania
@FelixMwinuka-p3z
@FelixMwinuka-p3z 2 ай бұрын
Simama Imara usirudi nyuma Katekela
@lulungunda354
@lulungunda354 3 ай бұрын
Namufatilia sana sana ,ulinivusha mahali,.promover Yesu akutunze na timu nzima,
@BeniMsokile
@BeniMsokile 2 ай бұрын
Amieli anasema ukweli kabisa
@LudovikLudovika
@LudovikLudovika 2 ай бұрын
Ameen,Mtumishi,ni kweli tupu tunayaona
@AusyNkone
@AusyNkone 3 ай бұрын
Amen
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 2 ай бұрын
Hauwezi pata number yake mimi ninateswa na kufanya tendo la ndowa usiku kukabwa usiku, kujiona niko cooni kukanyaga kwenye kinyesi, kula nyama mbichi. Nimezikosa
@MaaDii-iz3ur
@MaaDii-iz3ur 3 ай бұрын
Mtu mmoja anipee namba ya huyu mtumish tafadhali sana naomba kuogea nae ju ya maradhi yasio na tiba
@mwaminimwangaza
@mwaminimwangaza 3 ай бұрын
Unawezapata namba yake ukifuatilia zile ushuhuda zake promover TV na hata ukimwita kumpata ni shida sana maana watu ni wengi sana wanao mtafuta
@carolinemrosso9006
@carolinemrosso9006 3 ай бұрын
Jaman tupeni namba zake uwiiiii mafuta na maji na keki tumezila saana na sadaka tukatoa lakin tupo vile vile na zaidi sana tumezidi kupoteza na kuharibika
@Shadiasemdami
@Shadiasemdami 2 ай бұрын
Ubarikiwe. Mtumishi. Kunifu gua. Mana,
@Baba-JJ
@Baba-JJ 2 ай бұрын
Miujiza ni ya MUNGU, hiyo ambayo si ya MUNGU inaitwa MAZINGAOMBWE.
@mariamibrahim6544
@mariamibrahim6544 2 ай бұрын
Majini kila mahali, hatuko salamaa,
@nasolodiomba
@nasolodiomba 2 ай бұрын
Wa kwanza ni kiboko ya wachawi..tapeli mtupu amna kitu mle..Ualikiwe Mchungaji
@Rukundo-z4k
@Rukundo-z4k 3 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji karibu kwetu burundi ❤
@andreasemoja-yn6pz
@andreasemoja-yn6pz 2 ай бұрын
Mungu wa mbiguni akuzidishe Sana yaani. Hii ya wa totowachanga niliijua siku nyingi Sana huku Chuga
@rishyatuni
@rishyatuni 2 ай бұрын
Nabii, Bw Yesu asifiwe. Nimependa kipindi chako. Naomba msaada wako kwa familia yangu Baba
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 2 ай бұрын
Yesu alisema Mimi yesu skutumwa bali wa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel jee haya maneno ya yesu kusema Mimi sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel niyauongo???
@faithe4063
@faithe4063 2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 umejipu vyema
@annambembela6661
@annambembela6661 2 ай бұрын
Amen
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 2 ай бұрын
Jamani kwa nini wajitwishe thambi yakudanganya watu? Mungu atawalaani
@AlexTadeo-c8p
@AlexTadeo-c8p 2 ай бұрын
Kwer
@Elizabethmuronji
@Elizabethmuronji 3 ай бұрын
AMEEEN
@davidurasa6360
@davidurasa6360 2 ай бұрын
Amen
@samwelgetocho6913
@samwelgetocho6913 2 ай бұрын
Umewaponda wenzako tu bado wanaokusikiliza wanadhani kuna injili kumbe unamhubiri shetani huyo huyo. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@JosephChilemile
@JosephChilemile 2 ай бұрын
02 Wakorintho 2: (2 Corinthians) 11. Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake. --------------- lest Satan should take advantage of us; for we are not ignorant of his devices.
@tausimwinuka
@tausimwinuka 3 ай бұрын
Nimepona Baba🙏
@BoazRambo
@BoazRambo Ай бұрын
Mungu atusaidie sana. Mungu akubariki sana.mtumishi wa Mungu.
@DannyIssaya-z3h
@DannyIssaya-z3h 2 ай бұрын
BADO MOJA TU KAMANDA UJUE MHURI WA MUNGU(SABATO).
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 2 ай бұрын
Mimi naomba yinyi wakristo mnijibu ili nijifunze yesu aloposema sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel jee haya maneno niyauongu yesu kadanganya nakama kasema kweli nyinyi ni wana wa Israel????plz mwenye elimu anijubu nakama wewe sio muisraeli kwanini ufuate yesu natayali yeye kasha sema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel nawewe sio muisilaeli???? Je unafuata kwanjia gani au wapi alikuambia umfuate au nikujipendekeza mahali hujulijani
@teyllalugazia
@teyllalugazia 17 күн бұрын
Nimelipenda swali lako ila kama unauliza kwa lengo la kutaka kujua zaidi maana ya andiko hili tafuta kanisa lililo karibu nawe upate mchungaji akuelekeze vizuri, natamani ungekuwa karibu nikuelekeze vizuri
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 25 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 107 МЛН
SIKIA KINACHOTOKEA HUKO KUZIMU PALE WALOKOLE WANAPO OMBA.
1:12:16
UKWELI KUHUSU MAJI,MAFUTA YA #UPAKO HUU KAPA !!
17:19
Issack Mzava
Рет қаралды 10 М.