Рет қаралды 8,394
#JAMBOTV
WANAOPINGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WAIBUA HOJA NZITO KWA WANAHABARI/ WAHOJI UKIMYA WA WANANCHI KWENYE 'KESI YAO'
VIDEO:
Wananchi watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya waliopeleka maombi Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam wakiomba kufungua kesi ya kupinga Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo, Jumamosi Septemba 07.2024 wamekutana na wanahabari ambapo pamoja na mambo mengine kwa pamoja wamejadiliana nafasi ya ushiriki wa wanahabari/vyombo vya habari na wananchi kwa ujumla kwenye shauri hilo linalotarajiwa kutolewa maamuzi Septemba 09.2024
..........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/