Рет қаралды 46,639
Katika sehemu hii ya pili ya mahojiano na Balozi Humphrey Polepole, mazungumzo haya yamejikita katika safari yake kutoka ubunge hadi ubalozi, sakata la Shule ya Uongozi aliyoanzisha kufungiwa na changamoto mbalimbali zinaoikabili Tanzania katika kutumia fursa zilizopo nje ya nchi ambazo zingeweza kuisadia nchi kupiga hatua.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.