Рет қаралды 1,152
Habari na @Fredrizzo Jambo Tv
Kufuatia Ziara ya mawaziri wawili May 30
Mhe. Mavunde waziri wa Madini na Mhe. Masauni waziri wa mambo ya ndani kutembelea kijiji cha nyamongo Tarime DC mkoani Maraambao walitarajiwa kuwasilisha katika viwanja vya shule ya Nyakabindi majira ya saa 4 asubuhi na wananchi kukusanyika na badala yake wakafika jioni majira ya saa 11 jambo ambalo lilionesha kuwakwaza wananchi waliyojikusanya tangu asubuhi,
Akipanda jukwaani na kuwasilimu wananchi wa nyamongo Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Ndg. Chandi Wananchi hao walionesha wazi hasira zao kwa kukataa salamu yake na kuzomea,..
"Kwani tumekosana lini?" alihoji Chandi M/kiti CCM Mara
Tazama video
#ccm #jambotv #trending #chandi