We are tired, nchi ni yetu sote...kila kiumbe kitauonja umauti....hivyo we have to unite together! This is what we call democracy.....a rule of people, for the people and by the people! From god father Abrahim Lincoln
@athumanhassani8055 күн бұрын
Ila ifike wakati ukiwa kiongozi wanchi kuna maisha baada yauongozi tujitambue tusipende madalaka mpaka kupiliza hii mbaya
@FrankMwakatundu-cu6bd4 күн бұрын
Ni kweli cheo ni kizuri ukikipata kwa haki. mpaka uue kisa madaraka!!!!? Heri kufa ni kiwa na cheo cha mkuu wa wasafisha vyoo bila ya kudaiwa na Mungu damu ya mtu yeyote mikononi mwangu.
@ezekielmirambo87044 күн бұрын
Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, we have nowhere else to live except in our lovely country Tz
@edisonsanga52885 күн бұрын
Ni kweli kabisa nami niliona siyo kweli polisi hawahawa watanzania ndiyo wafanye uchunguzi naona wanalindana
@JamesLyatuu-y5s4 күн бұрын
Samia must go😮
@TM-zs3rm4 күн бұрын
Watu wengi walio negarive,kazi zao kumkosoa Lisu, Mboweau Chadema. Ukiwasikiliza wanajisifu wao kwa Kutembea Eti mara tatu. Wamesahau mchango wa Lisu toka akiwa mwanafunzi, kiranja, kuwa tetra wa kulima, madini na raslimali zetu, kapigania ndege, wamasai, bungeni eti kajitu kanajitokeza kanajitamba tu Lisu alipigwa rızası nyingi sana. Huwezi kumdharalisha mtu kama huyu unaonyesha udhoofu wa fikra na ubinafsi na kukosa heshima. Unamdharau Mbowe aliyejitoa, kafilidiwa, kafungwa Kaitwa gaidi na huyu aliyejipachika uraisi kupitia katiba anayoiita kijitabu. Hana hadhi ya uraisi hata. Mna kuja mnamvua nguo Mbowe. Unavidikiliza hivi vijitu ni vidogo sana. Hapo ndo unagungundua utashi na uelewa wao ni zero. Acha Kunze’s watu, jiulize una mchango gani wa kuongelea kile Lisu na Mbowe wanakipigania. Nitoe Nawe kwa hali na mali acha maneno matupu yasiyo jenga watu na nchi na Taifa letu. Unagawa watu badala ya kulinganisha juhudi.Mungu atuangazie kwa hili.
@allymohamed27244 күн бұрын
MTAKUBALIANA NA WALINZI WA TAIFA MTAKE MSITAKE. TANZANIA AMANI AMANI AMANI DAIMAAAAAA.
@jovinbikongoro346910 сағат бұрын
Kwakweli raisi Samia afai kataka nchi hii afai kabasa
@MuhojaMalicho4 күн бұрын
Siyo mtanganyika huyo
@alexmduma62784 күн бұрын
Nawashauri vijana wenzangu Raisi wetu ameagiza uchunguzi ufanyike,niwaombe tusubiri riport aliogiza Raisi wetu.Raisi hafurahishwi na utekaji na mauaji ya watu.
@EzekiaMtwale2 күн бұрын
uchunguz wa kina Ben sanane hatujawahi pata majibu, LISSU kupgiwa Risa's hatujawahi pewa report ya uchunguz wao Leo hili la marehemu Kibao ndo tutapewa report?! au ndo uchunguz utakamilika baada ya miaka mia?!!!
@abdull_hafidh5 күн бұрын
Hapo ulipo wewe mwenyewe huna ata uhakika na maisha yako unaogopa ata kucoment kukosoa serekali
@GraceDeo-g1n5 күн бұрын
Mungu atangulie mbele ushindi upo
@mwajumaadam60685 күн бұрын
Alooo mjue na nyie mtatekwa au hamuogopi????
@matalo05515 күн бұрын
Tunaogopa, lakini tutaogopa mpaka lini? Ikiwa hatima yetu imemezwa, je kunahaja ya kuendelea kuogopa?
@issaal-busaidi44795 күн бұрын
hali ikiendelea hivi sote hatuko salama,bora kujitetea na kufa hadharan kuliko kufiaa gizani
@deniccgabriel61535 күн бұрын
Daudi angemuopa goliati tusingesikia historia yake, Samson angewaogopa wafilisti tusingesikia Habari zake,,Mungu anaweza kusimama na wew ikiamua kusimama nae nakumshinda falao zidi ya mauaji na watu wasiojulikana😮😮😮😮
@saleemadhiyabalkhatri78004 күн бұрын
Kweli tutakua waoga mpakalini nduguzetu wanateketea wanaacha watoto wake watatizamwa nanani viongozi wamekaa kimya wanakula bata wanalindwa hawanashida njoo kwetu wakina hakunaga tunachinjwa kama kuku kwahiyo tufunge vibwebwe tuingie kazini tukaandamane tutajua mbele kwa mbele kufa au kupona namani tutaonewa sisi wanyonge mpaka lini ukitazama wabakaji wanaachiwa kwadhamana nakesi inaishia hapo utekaji wanasema nidrama sasa tukamshitakie nani bora tujitose kwakweli ishallah mungu atatufanyia wepesi amin amin amin tumechokaaaaaaaa 14:46
@Mosmwampa4 күн бұрын
Hata tukiogopa Bado wanatuua, Sasa tutaendelea kuogopa nin
@SakinaHassan-xc2in5 күн бұрын
Ma Shaa Allah nawaombea kheri ktk kheri Allah akawaongoze ili Tanzania tunayoitaka irudi hatuwezi kuburuzwa hivi tuna Haki ya kuishi kwanini mnaua Kwa ajili ya madaraka people's power msiogope Allah yupo nanyi
@laurianmodest73725 күн бұрын
ENDELEA KUPIGA MAKELELE. MNAONGEA UJINGA. TUKUTANE KWENYE MAANDAMANO TAR. 23 MUONE MNAPENDA KUVURUGA AMANI YA NCHI HII. TUNAOMBA POLISI NA VYOMBO VYA DOLA WASHUGHULIKIWE. CHADEMA WASITUPANGIE SERIKALI WANAYOTAKA
ngoja na wew ifike siku yako ya kutekwa au familia yako ndio utajua, watu wanatekwa tunakaa kimya , bora kufa kutetea haki kuliko kufa gizani
@baselinoelimwasi47715 күн бұрын
Time tell ucjal fikiria baba yako kauawa utakuwaje
@tanzaniadealers4 күн бұрын
ujitambui ww acha ushambaaaa
@emanuelymichael97594 күн бұрын
Huyo jamaa ndio mtekaji ndio maana
@SaidiJuma-j3z5 күн бұрын
Raisi samia naimba chadema wote wekandani
@tanzaniadealers4 күн бұрын
😂😂😂😂
@OSWARDPANJA5 күн бұрын
Hivyondivyo inavyo takiwa ongela Sana chadema huusiowakati wa kuogopa haki lazima ipatikane
@omarybakunda25544 күн бұрын
Nasikia hata mbowe anahusika kifo cha Chacha Wangwe. Halafu mjue hatuko tayari kuchunguzwa na wakoloni.
@ahmedalkiyum75924 күн бұрын
Umesikia je upo na ushahidi tahazari jambo la kusikia hupashwi kulisemea bila ushahidi hio tahadhar unapewa
@HASSANWAZIRIGAO4 күн бұрын
KIJANA YULE ALIMUUA CHACHA WANGWE JINA LAKE ANAITWA MAALIYA YUKO WAPI MLIMTUMIA KUFANYA MAAUWAJI KW NJIA YA AJALI
@issakazi27584 күн бұрын
Tanzania huru hatupo chini ya mamlaka yawaingereza
@carlosditram20694 күн бұрын
hamza angekuwepo angetangulizwa mbele na SMG
@AkidaDaudi5 күн бұрын
Mauwaji ya viongozi wa ccm mbona mlikuwa hamuyasemi je na mauwaji ya chacha wangwe yaliosababishwa na mbowe mbona hamjasema,chunguzeni nyinyi vibaraka was ichi za magharibi,awajibiki mtu,hamna mamlaka ..
@hassandaisa71575 күн бұрын
Nyie wapuuzi pumbavu mmekosa hoja wajinga nyie
@matalo05515 күн бұрын
Death is for all....vijana tunapaswa tambua hili.....Leo kwao kesho kwetu....hivo ni suala la muda! Tunakosa ajira tulio na ufaulu mkubwa, lakini tunashuhudia wale waliokuwa wanasapp kila semister ndio wameshikiria vitengo nyeti vya serikali! Hamna haki kabisa! We are tired of this bull sheet!
@MohamedIbrahim-bn1gz4 күн бұрын
HAMNA CHAMA HAPA UPUUZI MTUPU
@GeorgeKivuyo-po6qn5 күн бұрын
Ununio ni wap jmn
@Werema37604 күн бұрын
■Dam ya watu ni nzito na hii ITATHIBITIKA MWAKA KESHO 2025.🇹🇿.
HAYA NIMAPAMBAMBANO ZIDI YA RAIS ANAEPINGWA KWAKUWA TU NIMWIISLAAM WAISLAAM ZINDUKENI NAWAOMBA MSISHIRIKI WAACHIENI WAKRISTO ALLY KIBAO HAKUJUA KATOLEWA KAFARA
@omarybakunda25544 күн бұрын
We nae acha ujinga hata magufuli alipingwa. Na hakuwa muislamu. Sema hivi vi chadema vinatamani nchi ivurugike.
@user-hy4zb3eg1z5 күн бұрын
Nchi hii ni yetu sote.....msilete siasa kwenye usalama....eti kijana wenu....kwan mlimtuma achome picha......be fair... Be realistic
@user-rf5jg2xd6t5 күн бұрын
Mbona magazeti Yana picha za RAIS tunafungia vitumbua na tuwashia moto, hio ni hoja ya kitoto
@deniccgabriel61535 күн бұрын
Kuma nyamaza
@FrankMwakatundu-cu6bd4 күн бұрын
Udini ni dhambi.
@FrankMwakatundu-cu6bd4 күн бұрын
Mdini humtetea MTU mwovu kisa ni wa IMANI sawa na yeye!!! Mwana dini humpinga MTU mwovu hata kama ni wa IMANI sawa na yeye.