Mpina Jelson Luhaga nakuombea uishi na mwenyezi mungu akushindie Waziri wa kilimo alipaswa kuwa jela mpaka muda huu!
@husseinjosephitocho67543 ай бұрын
waziri kilimo na wafedha ni majizi makubwa kwa kutumia gep sugar wamepiga bilioni tatu kwa kuagiza sukari nyingi kuliko inavyotakiwa na uwo ni mpango mkakati wa mama kupitia ccm ili wakiuza sukari wapate faida kubwa kama iyo niliyoitaja ili wapate pesa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa hiyo wenye uelewa tunajua nyinyi viwanda amna shida mpo sawa kabisa
@MagrethKatondo-qs9oz3 ай бұрын
Ee mungu tuhumie baba tumekuwa kondoo wasio na mchungaji. Mungu tuhurumie. Siku zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Mumgu wangu.
@hassanmitayo18753 ай бұрын
Msumari umekita sehemu husika, tangu waziri Tizeba na Kaijage mlikuwa wapi kujitokeza?, Sheria imeshapita mzee wangu zalisha sukari uuze bei ikipanda store inafunguliwa.
@mariammalale37293 ай бұрын
Hayasemeki wallahiii
@humphreymkony89153 ай бұрын
Kwa maelezo haya ya Balozi Mpungwe, Bashe anasemaje? Ni aibu aibu kwa Serikali. PCCB mko wapi?
@jumakizija8293 ай бұрын
Balozi naye ashindilia, bila kupepesa macho asema kuambiwa kuwa hawakuagiza sukari kuwa ni 'Uongo'. Sasa sijui ni nani atakuwa alisema uongo
@masterhptv40653 ай бұрын
Cha ajabu vyombo vya habari havitasambaza hii clip watanaki kutangaza udaku na uchawa. Sikihz waandishi hawasumbuki na uchunguzi wa taarifa wanazozitoa ukiwa na hela na cheo report inatoka tu hata kama ukiwa mwongo.
@gasparyephraimmwakatuma95423 ай бұрын
Kwa maelezo haya Mpina alikuwa sahihi na Waziri kadanganya! Waziri na Spika wajibu haya maelezo
@abdallahomary5153 ай бұрын
Kuna wakat au Kuna mambo ambayoi bunge linapaswa kuisimamia serikali. Ipasavyo kama katiba ya nchi inavyo wataka, pale bingeni wapo kwa niaba ya wananchi kila mbunge yuku pale kuwakiliaha wananchi wake na watanzania kwa ujumla, sasa mbunge akipeleka hoja ambayo inaibana serikali au kiongozi pale bingeni basi ajibiwe kwa hoja na serikali imjibu Kwa hoja sahihi, sasa kama mpina walimjibu Kwa mipasho na kumsimasha asihuzurie vikao kadhaa, kumbe bado kuna shida, hawa jamaa wasukari unaona kabisa kama walikua na matumaini na mpina alikua anahoja ya msingi kuhusu kulinda viwanda,, na kama mpina pia angewakosea pia hao jamaa wa sukari wangesema mpina alichosema sio kweli, mpina wamemtoa lakini hili jambo bado linawatafuna na sasa Kwa namna walivyo muajibisha mpina na inawezekana hoja yake ilikua na ukweli, sasa Kwa namna walivyo mfanya mpina inawza ikawaogopesha wabunge wengine kuibua madudu,
@MagrethKatondo-qs9oz3 ай бұрын
Bashe bashe mwigulu mwigulu.
@EvalineJonathan3 ай бұрын
Jamn media please crip hiz ziende viral
@EvalineJonathan3 ай бұрын
Mpina oyeee
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
Mpumpugwe mwenyewe alihujimu migodi ya mererani tunakujuwa
@EvalineJonathan3 ай бұрын
Jamn media please crip hiz ziende viral watu waffaham ukweli juu ya swala hili ....mpinaa oyeee
@albertinamichael61233 ай бұрын
Ukiona watoto wa simba ujue mama na baba hawako mbali. Sa waziri wa kilimo na wa fedha???.
@shabanipanya10333 ай бұрын
Dah-sasa mpina kwa nini anafukuzwa bungeni
@listerkongola68723 ай бұрын
Huwezi kuwa mzalishaji na wakati huohuo muagizaji wa sukari ya bei chini. Kwa conflict of interest, mzalishaji hawezi zalisha sukari kukidhi mahitaji ya sukari Tanzania!!
@PaulMsema3 ай бұрын
Sukari ni bidhaa nyeti ukifanya Kila mtu aingize utauwa wananchi wako pia hata Kodi hitapata kama nchi maana viongozi wakubwa watajipenyeza kwenye uagizaji ni utaratibu mzuri tuu ambao uliwekwa na serkali ya awamu ya 5
@mountketumbeine50793 ай бұрын
Hamkuwahi kueleza haya kabla mlivyoona kitumbua kinaingia mchanga mnaanza kupiga kelele, watanzania wanaogopa sana ushindani fanyeni kazi muda wa kubebwa umeisha
@raphaelondego77033 ай бұрын
Gen-z in the making 😊
@Chrishenryson-beats3 ай бұрын
Acha wale nchi si wanatuona mazuzu😅😅😅
@shabanihalfani97183 ай бұрын
Hakuna usahihi. Kila mtu anafahamu sukari ilifikia zaidi ya 5000 kwa kilo. Mlifanya nini kutoagiza ili mtengeneze gap then bei izidi kuumiza raia
@AhmedHassan-vl5zf3 ай бұрын
Nyinyi mnashindwa nini
@MohamedBlanker-jw9qy3 ай бұрын
Vyombo vya usalama isaidieni nchi mshaurini mhe rais ili twende vizuri
@khalidballeth59573 ай бұрын
HUYU MZEE APEWE ULINZI,,,,,,,au ATATEKWA
@henryndosi20023 ай бұрын
Mzee mwizi
@PaulMsema3 ай бұрын
Sio mwizi anaelezea vzr tuu
@EvalineJonathan3 ай бұрын
Inaonekana ww hufikirii mbali ...unawaza wizi tyuu Kam Bashe