Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah
@jibabealhadjy16377 жыл бұрын
Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa
@Mwituyi9 жыл бұрын
The best teacher in the country
@ErimaEric5 жыл бұрын
Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha
@kipkuruinicholas71308 жыл бұрын
kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia
@umbopaday5 жыл бұрын
Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana
@MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын
Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo
@AllyHilal7 жыл бұрын
Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla
@martowawesh17698 жыл бұрын
hongera ustadhi walla
@cynthiaadika79815 жыл бұрын
Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.
@mshihirimweusi79865 жыл бұрын
Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.
@vincentokiyah48063 жыл бұрын
Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele
@icon7615 жыл бұрын
Mjuzi
@swotchege31602 жыл бұрын
Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?
@mwanaahagostine23574 жыл бұрын
Nakubali kiswahili kitamu
@melimeli923211 жыл бұрын
Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.
@simonphabiano90504 ай бұрын
Safi sana Mwalimu
@MwalimuRichardMwangi.72024 жыл бұрын
Nimefurahi sana kwa ajili ya guru
@aggreyokulo17558 жыл бұрын
Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..
@KevinMongoni4 күн бұрын
Kiswahili Mufti,mwalimu kavyandika vitabu vingi
@lobaalfred12204 жыл бұрын
Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.
@festusmuia500611 ай бұрын
Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili
@leahmunji8781 Жыл бұрын
Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.
@Blackisbuty511 жыл бұрын
Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku
@evansodikor23433 жыл бұрын
hongera zidi kutuelimisha
@AhmedOmar-no1ci4 жыл бұрын
Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.
@jackowuor401611 жыл бұрын
aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili
@Okwash19 жыл бұрын
Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.
@MichaelTonga1014 ай бұрын
❤
@jamboaerobicsandfitness20005 жыл бұрын
Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..
@mugokiberenge88183 жыл бұрын
Kipindi wapi tena?
@asilclub7 жыл бұрын
ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA
@abubakarrahim84827 жыл бұрын
sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.
@davidngwesa5 жыл бұрын
Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!
@AhmedOmar-no1ci4 жыл бұрын
umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.
@abubakarrahim84824 жыл бұрын
@@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.
@abubakarrahim84824 жыл бұрын
@ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.
@abubakarrahim84824 жыл бұрын
@@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.
@Mwituyi9 жыл бұрын
You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.
@maryanmahad66156 жыл бұрын
Ooh Stephen mukangai !
@hamadamaani25164 жыл бұрын
Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha
@ramyali63472 жыл бұрын
Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.
@felixmakinda768923 күн бұрын
@@ramyali6347Mimi ni Mkenya lakini nimeshangaa Sana kauli yake. TZ ina waalimu wengi Sana waliotukuza Sisi Wakenya Kiswahili. Said A. Mohammad, Shaaban Robert, John Simbamwene, Euphrase Kezilahabi na wengine wengi Tu.