JAMVI LA LUGHA :UFASAHA WA KISWAHILI

  Рет қаралды 51,015

KBC Classics Channel

KBC Classics Channel

Күн бұрын

GURU WALLAH BIN WALLAH NA KAKA JOYOOS

Пікірлер: 57
@user-hu2uw9hy1f
@user-hu2uw9hy1f 2 ай бұрын
Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah
@jibabealhadjy1637
@jibabealhadjy1637 7 жыл бұрын
Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa
@Mwituyi
@Mwituyi 9 жыл бұрын
The best teacher in the country
@ErimaEric
@ErimaEric 5 жыл бұрын
Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha
@kipkuruinicholas7130
@kipkuruinicholas7130 8 жыл бұрын
kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia
@umbopaday
@umbopaday 5 жыл бұрын
Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana
@MwalimuRichardMwangi.7202
@MwalimuRichardMwangi.7202 4 жыл бұрын
Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo
@AllyHilal
@AllyHilal 7 жыл бұрын
Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla
@martowawesh1769
@martowawesh1769 8 жыл бұрын
hongera ustadhi walla
@cynthiaadika7981
@cynthiaadika7981 5 жыл бұрын
Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.
@mshihirimweusi7986
@mshihirimweusi7986 5 жыл бұрын
Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.
@vincentokiyah4806
@vincentokiyah4806 3 жыл бұрын
Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele
@icon761
@icon761 5 жыл бұрын
Mjuzi
@swotchege3160
@swotchege3160 2 жыл бұрын
Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?
@mwanaahagostine2357
@mwanaahagostine2357 4 жыл бұрын
Nakubali kiswahili kitamu
@melimeli9232
@melimeli9232 11 жыл бұрын
Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.
@simonphabiano9050
@simonphabiano9050 4 ай бұрын
Safi sana Mwalimu
@MwalimuRichardMwangi.7202
@MwalimuRichardMwangi.7202 4 жыл бұрын
Nimefurahi sana kwa ajili ya guru
@aggreyokulo1755
@aggreyokulo1755 8 жыл бұрын
Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..
@KevinMongoni
@KevinMongoni 4 күн бұрын
Kiswahili Mufti,mwalimu kavyandika vitabu vingi
@lobaalfred1220
@lobaalfred1220 4 жыл бұрын
Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.
@festusmuia5006
@festusmuia5006 11 ай бұрын
Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili
@leahmunji8781
@leahmunji8781 Жыл бұрын
Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.
@Blackisbuty5
@Blackisbuty5 11 жыл бұрын
Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku
@evansodikor2343
@evansodikor2343 3 жыл бұрын
hongera zidi kutuelimisha
@AhmedOmar-no1ci
@AhmedOmar-no1ci 4 жыл бұрын
Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.
@jackowuor4016
@jackowuor4016 11 жыл бұрын
aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili
@Okwash1
@Okwash1 9 жыл бұрын
Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.
@MichaelTonga101
@MichaelTonga101 4 ай бұрын
@jamboaerobicsandfitness2000
@jamboaerobicsandfitness2000 5 жыл бұрын
Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..
@mugokiberenge8818
@mugokiberenge8818 3 жыл бұрын
Kipindi wapi tena?
@asilclub
@asilclub 7 жыл бұрын
ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA
@abubakarrahim8482
@abubakarrahim8482 7 жыл бұрын
sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.
@davidngwesa
@davidngwesa 5 жыл бұрын
Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!
@AhmedOmar-no1ci
@AhmedOmar-no1ci 4 жыл бұрын
umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.
@abubakarrahim8482
@abubakarrahim8482 4 жыл бұрын
@@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.
@abubakarrahim8482
@abubakarrahim8482 4 жыл бұрын
@ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.
@abubakarrahim8482
@abubakarrahim8482 4 жыл бұрын
@@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.
@Mwituyi
@Mwituyi 9 жыл бұрын
You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.
@maryanmahad6615
@maryanmahad6615 6 жыл бұрын
Ooh Stephen mukangai !
@hamadamaani2516
@hamadamaani2516 4 жыл бұрын
Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha
@ramyali6347
@ramyali6347 2 жыл бұрын
Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 23 күн бұрын
​​@@ramyali6347Mimi ni Mkenya lakini nimeshangaa Sana kauli yake. TZ ina waalimu wengi Sana waliotukuza Sisi Wakenya Kiswahili. Said A. Mohammad, Shaaban Robert, John Simbamwene, Euphrase Kezilahabi na wengine wengi Tu.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН
WASTA: SAUTI ZA UFASAHA NA BUSARA - SAID AHMED MOHAMED
14:11
RAMADHAN KHAMIS
Рет қаралды 19 М.
Wako Wapi: Jack Oyoo Sylvester aliyekuwa mtangazaji wa kandanda KBC
27:24
Nasaha: Usiishi bila malengo
3:45
Durusu Kiswahili
Рет қаралды 1,6 М.
Nasaha za Wallah Bin Wallah
29:51
Online Solution Tv
Рет қаралды 766
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.
19:42
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 55 М.
MSWAHILI NI NANI #3 | ABDURAHIM ALI BAKATHIR
30:57
Mawali Media
Рет қаралды 33 М.
Ali Mazrui, Ngugi, Kiswahili, Kikikuyu ( African Languages)
6:27
Nasaha za Guru Ustadh Wallah Bin Wallah
10:00
Radio 47
Рет қаралды 1,5 М.
MRISHO MPOTO -TUZO ZA WASTA-2015 NA WALLAH BIN WALLAH
56:57
Victor Wetende
Рет қаралды 29 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН