Najikuta machozi yananibubujika Kila nikisikiliza nyimbo hizi, inanifanya nimkumbuke mama yangu kipenzi, Shelida, Rebeka, na Rahel walipenda sana hizi nyimbo hawa watu Wa Mungu, Pumzikeni Kwa Amani mama zangu 🥰🥰😭😭💔💔
@jameswachira638017 күн бұрын
Wenye kutengeneza na kuandaa hizi kanda miaka hiyo waliziweka kwa kiwango,na kumbukumbu za radio ya BIBILIA HUSEMA KIJABE.
@ruthjohn43173 жыл бұрын
Wanaimba moja kwa moja kutoka katika mistari ya kweny Bilblia.
@raymondkipipi5164 жыл бұрын
Mungu Awabariki waimbaji hawa nakumbuka miaka y 1990-1995 ilikuwa ikipigwa hata kama hujaokoka unasisimuka ila mpaka sasa zipo vizur Sana Mungu azid kuwabariki
@franciskimuyu-k5y29 күн бұрын
Love it!!this was when gospel was real
@deogratiusmgute5983 Жыл бұрын
Those days when gospel was real , all songs from Bible verses 🍎♥️. Iam listening 31-01-2023🍎♥️ . GOD GIVE ME STRENGTH
@edwardbakana12884 жыл бұрын
Waiimabji wa sasa jitahidini kuomba sana kabla ya kurekodi ili nyimbo zenu zisichuje ziwe kama hizi
@emmanuelraymondsalema31108 жыл бұрын
pia zinanikumbusha mbali na inaonyesha mazingira ya arusha mjini na viunga vyake inakumbusha Bali sana kipindi icho uamsho ukiingia Tanzania
@wilsondaudjackson7996 Жыл бұрын
Hiyo ni Tabora mjini
@eteekisanga21028 жыл бұрын
Nazipenda sana hizi nyimbo za ulyankulu ni nzuri vyombo standadi yake na hukundiko kumwimbia mungu tofauti na sasa biashara