Je Kuna Mahusiano Gani Ya UBANI Katika DUA, Ni Kweli Ni Shirki Kutumia Ubani Katika Dua - Sh Mwaita

  Рет қаралды 35,570

QIBLATEIN ONLINE

QIBLATEIN ONLINE

Күн бұрын

Пікірлер: 196
@kifandenabil
@kifandenabil 5 күн бұрын
Good job sheikh. Jazaka LLAHU kheir.
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 28 күн бұрын
Ustadh eleza kwa njia nzuri .....Kuna watu wakifanya jambo huambatisha na Dua.... Kwanza SI lazima eti ukisoma khitma utie ubani ama ni lazima kuwa na Haqq kwa kuzungumza
@tabutabu8900
@tabutabu8900 26 күн бұрын
Nisha kuelewa sheikh ALLAH akuhifadhi inshallah 🤲
@Shuaibukandage
@Shuaibukandage Ай бұрын
Allah akulipe kheir na akuongzee uahamu ktk din
@ESHAMWAKIVUMBA
@ESHAMWAKIVUMBA Ай бұрын
Katika vitu umeongea yaani umeongea mambo ya msingi sana aliye na akili ataelewa mungu akuzidishie kher inshaallah
@AmynerNeph
@AmynerNeph 25 күн бұрын
Yarabii akuondolee kila Shari na utuombee duaa daima
@MalikAbdul-w2w
@MalikAbdul-w2w 25 күн бұрын
Nimekuelewa vzr shekhe
@HajiKabacalaf-kv7fd
@HajiKabacalaf-kv7fd Ай бұрын
Barakallahu fikum sheikh
@ramadhaninyamwelu5772
@ramadhaninyamwelu5772 27 күн бұрын
Asalaam aleykum Shekhe. Hapo nimekuelewa
@mikidadikipingu3782
@mikidadikipingu3782 20 күн бұрын
Tumekuelewa
@buheroKozi
@buheroKozi Ай бұрын
Sheikh Shukran
@SuleymAlly
@SuleymAlly 18 күн бұрын
Ni vizuri wakaulizwa wafanyaji wa dua na ubani pengine litapatikana jibu zuri kuliko akijibu mtu asietimia ubani mana kila jambo lina watu wake
@ramanizanyumba3015
@ramanizanyumba3015 2 күн бұрын
kweli akhy
@AbdunnoorSulyman
@AbdunnoorSulyman 27 күн бұрын
Ahsante sana sheikh
@MohammedMohammed-gp9xq
@MohammedMohammed-gp9xq Ай бұрын
MASHAALLAH ustadh absolutely right ALLAH BARIIK.
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@azubatissa2489
@azubatissa2489 Ай бұрын
MASHAALLAH
@salamabakari8384
@salamabakari8384 5 күн бұрын
Ubani unaondoa harufu mbaya pale umaposoma dua
@Hussein-l6v
@Hussein-l6v Ай бұрын
saaf sana shekh nakukubali hebu waambie tatizo watu hatk kusoma
@AbubakarallyRajab
@AbubakarallyRajab 27 күн бұрын
Shekh umeeleka sana Allah atuhifadhi awahifadhi mashekh zetu kama nyie
@AnifaBrahim-tb1nd
@AnifaBrahim-tb1nd Ай бұрын
Alhamdulillah
@bamdogokiki1486
@bamdogokiki1486 26 күн бұрын
Nxhi inauhuru mwingi sana. Hivi Dua ya mmoja na Dua ya wengi ipi bora?
@OfficialA83640
@OfficialA83640 29 күн бұрын
KIAMA KIMEFIKA KILA LEO MABADILIKO KWENYE DINI YAMEZIDI EEH MWENYEZI MUNGU TUSAMEHE WAJA WAKO KILA TUNAPOENDA KUSOMA DINI KILA MWALIMU ANA MAFUNDISHO YAKE HATUELEWI TUSHIKE LIPI SUBHANNALLAH 😢
@NadhiraNa-vm5hs
@NadhiraNa-vm5hs 26 күн бұрын
Wewe unaelimu ya kiasi gani kama ujui kaa kimya utakufuru kwa ajili ya Allah lkn
@mikidadikipingu3782
@mikidadikipingu3782 20 күн бұрын
Hakuna kinacho badilika. Ni sisi atujasoma dini. Ila tumekalilishwa
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 4 күн бұрын
Ukiwa bado ni mwanafunz usiwe mwepesi kuharamishq walq kuhalalisha wasikilize wàjuzi wenye kuongea kwa dalili,,, KUMBUKA Msingi wa dini ni dalili!! fanya matendo na qauli zenye dalili TU utasalimika!!
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 2 күн бұрын
Kila jambo lina elimu yake wakati mwengine suali nalo linapelekwa pahala pasipo sahihi labda tu kwa vile Sheikh hakubali mambo fulani kwahiyo moja kwa moja atapinga tu
@kassimumikdad1611
@kassimumikdad1611 Ай бұрын
Wewe unaye laumu na kwamba sheikh, kakosea hebu toa maelezo yenye ushahidi kuhusu ubani na dua, kweli hizi niza ambazo muongo husadikiswa na mkweli hupingwa, hatari sana hii.
@nurumohamed5523
@nurumohamed5523 26 күн бұрын
@@kassimumikdad1611 na hatari zaidi ukileta ushahidi kuwa dini haina you tube. Ndio maana tunaishi au WOTE TUMESHIRIKI KUONGEA AU SHIRK KWA WOTE NA YEYE KIONGOZI
@AnswarYussuf
@AnswarYussuf Ай бұрын
Dua zetu hazibebwi na moto na ubani.
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 28 күн бұрын
Hiyo kutia ubani na kuambatanisha na hiyo Dua ya Alfatiha....umeelewa kwa njia isiyo ya Haqq
@TaadudTaadud
@TaadudTaadud 23 күн бұрын
ubani sio shirki ubani ni mazhebu tu na mila ila unavoutaka uwe shirki itakua hukutaka wala haitokua shirki ila ubani hauna tatizio lolote jamani
@WadimuharamiAlly
@WadimuharamiAlly 29 күн бұрын
Wengine sheh hawajui kusoma pia hata wewe unaweza kuomba dua isifike hiy ni siri ya mungu toa elimu vizuri sheh
@kifandenabil
@kifandenabil 5 күн бұрын
Haha pambana na hali yako ndugu,kakae chini usome dini,la si hivyo utachomewa ubani urushiwe na mchele au hujayaona hayo yakifanywa ndugu.
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
HAKUNA UBAYA KUMUOMBEA MTU DUA HATA MTUME ALIOMBEA WATU DUA
@SaidSeif-d4y
@SaidSeif-d4y Ай бұрын
upuuzii. na UPUMBAVU.. innamalamalu binniyat .. ifuteni hii qauli...
@ZakiaJumashaaban
@ZakiaJumashaaban 24 күн бұрын
Dua ya pekeyako nibora zaidi
@DhahabuAlly-u3l
@DhahabuAlly-u3l 9 күн бұрын
Uongo
@hamisikeneth2332
@hamisikeneth2332 Ай бұрын
Ubani autumnal masharifu
@saidimurisa4600
@saidimurisa4600 21 күн бұрын
Kasome tena mzee sitwajua lengo lenu
@mikidadikipingu3782
@mikidadikipingu3782 20 күн бұрын
Mche allah
@mikidadikipingu3782
@mikidadikipingu3782 20 күн бұрын
Anasema kweli
@kifandenabil
@kifandenabil 5 күн бұрын
Haha kwaiyo unataka tuendelee kuchoma ubani kama kawaida au vp tuelezee vzr hapo ndugu.
@malikjumaa-i1h
@malikjumaa-i1h 20 күн бұрын
Kiukweli hata ktk akili tu ya kawaida bila hata ya kutafuta dalili hili swala la ubani na moto ndio usome dua halipo sawa na wengi ktk waislamu tunaendelea kulifamya na hata ukiuliza jibu hulipati.
@RaimamomedSaide
@RaimamomedSaide 3 күн бұрын
Itikadi izo ubani ,nawasojuwa nini maana yake ,na maranyingi wanaotumia ubani niwaganga wakishirikina.
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Ай бұрын
Kwenye duwa hakuhitaji ubani wala udi hizo ni mila za kishetani wale mafrimason au kule itali makanisa makubwa au wanaowabudu masanamu ndio wanatumia hayo kwa ajili ya kuwapa heshima mashetani
@RajabJr-r6y
@RajabJr-r6y Ай бұрын
Usiseme jambo bila kuwa na elimu nalo ili ucje ukawa na fikra za kilikole ama kisalafi atakuja kujikuta unaharamisha mpaka matumizi ya dawa za homa utasema ni ushirikina maana Mungu yuko sasa kwnn usienue mikono kumuomba yy badala yke unakula dawa inamaana humuamini 😂😂😂 kumbe sio ivyo bali uzuri ama ubaya wa jambo huzingatia nia iliyomo moyoni mwako na ndio maana Nabii Zakaria wakati anamuomba Mungu amruzuku mtoto alitumia moja kati hivyo vitu ..soma vitabu vya kale utaona
@OdongoAhmed
@OdongoAhmed Ай бұрын
Ah santesana jazakumllah
@brysonbryte3717
@brysonbryte3717 Ай бұрын
Acha uongo wew shetani na harufu nzuri wapi na wapiwakt shetani makzi yake ni chooni. Tatizo hamtaki kusoma ndo mtajaziwa na yasiofaa kwasasa hiyo ni dini mpya haina tofauti na walokole
@AminaNdayizeye
@AminaNdayizeye Ай бұрын
😂😂😂nimecheka sana ibilisi anatawala sehemu ambako kuna uchafu alafu ubani uko aina nyingi sasa vitu vingine tumuachie Allah sio mtu kutoa mafunzo ambayo hayana dalili yoyote ubani maka unafaida gani?
@OmaryBakariOmary-ts3mf
@OmaryBakariOmary-ts3mf Ай бұрын
Swadakta
@azaomar9302
@azaomar9302 26 күн бұрын
Naaam shem wangu majibu yko yamenikosha shana
@Aed126
@Aed126 29 күн бұрын
😮
@mrcembo7473
@mrcembo7473 Ай бұрын
Aahj kwahiyo kuweka ubani ni sawa ila ttzo Alfatiha si ndo ivo
@b.truthful
@b.truthful 28 күн бұрын
Sikiza vyema utaelewa
@suleimandaudsuleiman
@suleimandaudsuleiman Ай бұрын
Shirki
@JumaSalmu
@JumaSalmu Ай бұрын
Anae juwa zaidi atujibu basi
@MamboYes
@MamboYes Ай бұрын
Nenda kwa masheikh wa maulidi ndio mmezoea kuweka ubani
@OfficialA83640
@OfficialA83640 29 күн бұрын
​@@MamboYesSio Uislamu huo mbona mnapenda kuyumbisha maamuma nyie
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 Ай бұрын
Shkh qias yako ni battil... Fikiria sana.
@ahmedhassan2619
@ahmedhassan2619 Ай бұрын
We yakwako ina usahihi gani , mnajikuta mna eliiiimu kumbe hata robo ya unaempinga hujafika
@memaclaudi-qz4tq
@memaclaudi-qz4tq 16 күн бұрын
MMEKOSA SHEKH HUMO HAMNA SHEKH TAFUTENI SHEKH BADO MAPEMA KABLA HAKUJACHA MTAUMBUKA AIYO AHUKUMU YEYE ASEME HAJUI
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc Ай бұрын
Mmmh hapo kwenye kulipana hapo nishida hapo sasa kamaposho sindomalipo shieikh mana kunamajambo mengine yanaukumiwa kutokana na wakti tulio nao kwani uyo anaesoma dua akapea pesa sio rizki sijaelewa sheikh wangu nieleweshe vizuri.
@mohamedkeref9589
@mohamedkeref9589 Ай бұрын
Shekh soma kwanza kuna vitu vingi humu unaongopea watu hivyo jitahidi usome na kisha ujibu maswali ki ilmu na si kwakutumia utashi hapa unatumia utashi
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 Ай бұрын
Toa dalili na wewe
@omariaman7818
@omariaman7818 Ай бұрын
Huyu sheikh ni mwanasheria wa kiislam huenda hata robo ya elimu yake huna
@ahmedhassan2619
@ahmedhassan2619 Ай бұрын
Mkishasoma elimu ya kuweza kuchamba chooni basi mnadharau kila mtu acheni upuuzi
@RahmaYusuph-y1m
@RahmaYusuph-y1m 29 күн бұрын
Ukweli ni mchungu hua mkiambiwa ukweli hamtaki kukubali nenda kasome kwanza kabla ya kumwambia shekh akasome.
@abdallaabdalla4416
@abdallaabdalla4416 Ай бұрын
As alkm sk hujaweka wazi kabisa. LKN NAULIZA Haina shaka kuwaombea Dua marhum pia kusoma Quran unapata daraja wewe msomaji LAKINI KUWA thawabu nilizopata nampelekea Fulani hapa si sawa MIMI napeleka vipi na huulizwa mnampa AUmumempelekea tena ni mwisho hebu tupe usawa
@abdallaabdalla4416
@abdallaabdalla4416 Ай бұрын
Kwa Nini mashekhe wetu munapojibu hamuelezi kile kiini hasa na watu wanapinga AU wanakubali Nini na ukweli ni upi Kwa ushahidi upi mnapita juu juu na kutuacha tusijua tusijua zaidi
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Ай бұрын
MAJIBU YA THAWABU ZAKO KUMPA ALIOTANGALIA KUNA HOJA NYINGI, NI SAWA KABISA KUMPA ALIOTANGULIA THAWABU ZA HIJJA YAKO AU THAWABU ZA SADAQA UNAYO ITOA YOTE YANAMFIKA KWA DALILI SAHIHI, KINACHOMFIKA SIO SADAQA ULIOMPA MTU BALI KINACHO MFAA NA KUMFIKA NI THAWABU ZAKO ULIOMPA MTU SADAQA ANAPEWA YEYE IWAPO ULIMTILINIA NIA KWASABABU MTUME SAW AMESEMA KILA KITENDO UWAMBATANISHE NA NIA NA ITAKAYO POKELEWA NI ILE NIA YAKO. NDIO KATIKA JAMBO LOLOTE TUNASHINDWA KUHUKUMU MPAKA UJUE NIA YA MTU SIO KUKURUPUKA. MTU ANATIA NIA AKISHA MALIZA ANASEMA UFUMBUZI YAANI FAATIHA KUANZA KISOMO KINACHOKUSUDIWA KWA JAMBO HUSIKA NA UBANI UNAWEKWA KWA MAANA TUMEFUNGUA DUA YETU NA MANUKATO HAYA KUHUSU TASHKHISI WENGI NI WEHU WANAPOKOSA ELIMU HAWAJUI WANAANZA KUPONDA NA WANAONA HAYA KUULIZA KWA KIBRI CHAO, YAANI DUA KWA VITENDO NA ISHARA BAADA YA NIA, UBANI NI MANUKATO NA ISHARA PIA YA UFUNGUZI ATA KATIKATI YA DUA HUONGEZWA ILA MFUNGUZI WA DUA AFAA KUFUNGUA KILA KITU MWANZO NDIO ADABU, SIO UBANI UNAFUNGUA KUTIA WEYE HIO SIO ADABU NA KUKOSA ADABU HUYO MWENYEZIMUNGU SW AWEZA AKAKUPUUZA PIA. NA KILA MANUKATO YANA ISHARA ZAKE KIROHO ، MTU HAJUI ANAONA AINGIE U TU BE AROPOKWE TU SIO KATIKA ADABU ZA WAISLAMU.
@MatelefoneMustafaMatelefone
@MatelefoneMustafaMatelefone Ай бұрын
Mashallah
@allymanyika3502
@allymanyika3502 Ай бұрын
Kwa wale wapenda maulid na mahitima nawaona vile wanavyokuja na mapovu utadhani wanayo ilimu ya kumshinda huyu sheikh mwenye madigrii ya dini ya uislamu
@mohamedkeref9589
@mohamedkeref9589 Ай бұрын
@@allymanyika3502 😂😂😂😂madigree ya elim umempa wewe wakati mtu mwenyewe mweupe huyo shekh anajibu hoja kwa hisia badala ya kujibu kiilmu mbona ajibu pasina msingi wa dalili kwa mjibu yake halafu unasema ana elmu
@AusiKindumbo
@AusiKindumbo Ай бұрын
Ubani bila moto hauwaki toa aya au hadithi sahihi uharam wa ubani na moto jibu unatakiwa kujibu suali kielimu sio kwa fikra na utashi wako toa aya au hadithi shekh toa jibu.
@lusupi
@lusupi Ай бұрын
Wewe tunaomba aya au hadithi inayoongelea ubani
@nevermind4789
@nevermind4789 Ай бұрын
Sasa atoe hadithi kwani mtume alitumia ubani kwenye dua?
@AyzalRicco-mi6iu
@AyzalRicco-mi6iu Ай бұрын
Akili zako zipo matakoni baada ya kichwqni 🤔
@abuu-hafsahsaleh-wx1su
@abuu-hafsahsaleh-wx1su Ай бұрын
Wewe unaushahidi wa kua unafaaa unayo aya au hadithi
@SaidJuma-y1v
@SaidJuma-y1v 25 күн бұрын
Na wewe toa aya na hadithi ni wapi moto na ubani unaruhusiwa
@SophiaJumbee
@SophiaJumbee Ай бұрын
Wewe kidogo unashida ktk uelewa wako wa kielimu
@ahmedhassan2619
@ahmedhassan2619 Ай бұрын
Wew unaelewa vp hebu tupe uislamu mpya ukoje
@nellyhortensia2407
@nellyhortensia2407 28 күн бұрын
@@ahmedhassan2619😂
@hurulaainmalkiaaisha1508
@hurulaainmalkiaaisha1508 27 күн бұрын
Kila kitendo kinatokana naa nia
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o 29 күн бұрын
Sio kuchoma ubani
@rashidkhaflan4080
@rashidkhaflan4080 29 күн бұрын
HOYO MAMBO UNAYO YASEMA MBONA HAUTOWI AYA YA QARAN AWO HADISI YA MTUME MTUME HAKUFANYA WALA MASWAHABA
@mixhacute1375
@mixhacute1375 28 күн бұрын
Iyo simu unayotumia kutype wewe mbona hutupi aya na hadith kama ilithibit mtume alitumia
@brysonbryte3717
@brysonbryte3717 Ай бұрын
Sheikh hapo unapotosha watu coz hata Mtume wetu alipenda harufu nzuri sasa ubani inakuaje usiwe na harufu nzuri kuchima ubani sio kwaajili ya kutoa harufu mbaya kwenye miili ya watu bali wakti wa kusoma dua huwa malaika na maruhani huwa wanahudhuria ktk ibada yenu na ndo maana ukaambiwa piga mswaki kbla ya kusali ikimaanisha haitakiwi harufu mbaya yyote
@MusaYusuphu-y2l
@MusaYusuphu-y2l Ай бұрын
Suala ni kwamba kwa ujumla moto na ubani hauna mahusiano yoyote na dua.wewe mwenye kukoment kwamba sheikh amekuchanganya. wewe ndio umechanganyikiwa.lakini yeye amejibu vizuri.wewe unataka akujibu unavyo taka?.au unataka akujibu moja kwa moja kwamba ni bidaa?
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 5 күн бұрын
Ubanni Unaweza Kutumika ktk Kukafini Maiti/Wafu Kuondosha Harufu na si ktk Dua 🙌
@RamadhaniMwachonje
@RamadhaniMwachonje Ай бұрын
Wee pia ni walewale wenye ilim isio na faida kwa watu bali ni mawaaidha yenye kupondana
@MariamjodiwaMsuma
@MariamjodiwaMsuma 27 күн бұрын
WATU WA KHITMA NA AROBAINI WANATOA POVU SANA ILI KULINDA WANAYOYATAKA
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Ай бұрын
Kama Sheikh Au Kiongozi Unapoulizwa Swali Silazima Ujue Namna Yakujibu Laa Haujui Nibora Kutokujibu. WALLAH AALAM. Kwasababu Hakuna Ulazima Wakujibu Kila Unaloulizwa.
@Jamalkishangu
@Jamalkishangu Ай бұрын
Kukaa kimya ni bora kuliko kujibu swala lisilo kuwa na maana.
@badrudiniabdulkarim1059
@badrudiniabdulkarim1059 28 күн бұрын
Mimi ni mwanafunzi nasoma kwa watu wa twariqa mpaka hivi ila kuna mambo yanafanywa na watu wa twariqa siyakubali tena kwa vitabu hivyohivyo nilivyosomeshwa na walimu wa kitwariqa miongoni mwalo ni hili la ubani silikubali kattwwu
@samorajama8833
@samorajama8833 Ай бұрын
Hizi ni IBAADA zan kimajusi za moto. Yooote haya ni njaaaa
@brysonbryte3717
@brysonbryte3717 Ай бұрын
Kama wameweza kupinga maulidi ya kuzaliwa kwa MTUME (S)itakuwa ubani mii naona kila mtu afuate imani yake
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o 29 күн бұрын
Ubani ni harufu tu...kunukie
@mohamedguveti5372
@mohamedguveti5372 Ай бұрын
Vipi kwa nabii Ibrahim,,yaani sheikh ubani una maana yake,,hata makanisani hutumika mimi najuwa hata mtume alitumia,,rudi kwenye kitabu 😂😂😂😮
@abuhanifa5114
@abuhanifa5114 Ай бұрын
Kitabu Gani?
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Ай бұрын
Yani kila kitu ushikikina hizi habari ???? Mimi nina swali langu ila natafuta sheikh tukutane sura kwa macho
@AllyKiduka
@AllyKiduka Ай бұрын
Kasome kwanza hujui
@azizaali8506
@azizaali8506 Ай бұрын
We unajua tufundishe eboo
@ahmedhassan2619
@ahmedhassan2619 Ай бұрын
We umesoma wap mwenzetu,
@samorajama8833
@samorajama8833 Ай бұрын
Dua kuambatanishwa na dua dalili ni ipiiiiiiiii
@TangaboyMadiny
@TangaboyMadiny 21 күн бұрын
Shekh ametoa elimu, na ww unaye ona sisawa, naww kasome uje utuupe elimu siouna kossowa wakati hujuwi chochote wahabi?
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
SK UBANI SIO SHIRKI NI KUONDOA HARUFU MBAYA YA MKUSANYIKO WA WATU NA HATA MSKITI WA MADINA WANAFUKIZA NA SIO MBAYA
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 Ай бұрын
Kwn pafyum hazipo..!
@hajjisanga789
@hajjisanga789 20 күн бұрын
Ubani kashasema ni kuondoa harufu mbaya ktk mkusanyiko sawa na hakuna kitabu kinacho sema tunaingiza itikadi lazima tujue ubani ni sawa ktk dua haina shida kama nimkusanyiko kuondoa harufu mbaya ktk maulidi au harusi ila sio shirki kama jamaa zetu wanavyo sema pia dua ya kuombea maiti zetu kusomwa kurani sio bidaa inafaa kama shekh alivyo Sema hayo ni maneno lazuri ktk elim sio mtu anakaa anasema shiki bidaa Hakuna tusome tuelewe sheria sio upande mmoja tu wanavyo taka iwe ndio hivyo hivyo
@nurumohamed5523
@nurumohamed5523 29 күн бұрын
Chakula kinapikwa na moto. Sijui wanadamu wote majusi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 27 күн бұрын
Sasa kupika ndo dua?
@nurumohamed5523
@nurumohamed5523 26 күн бұрын
@MB-yq3ty hata kikishapikwa na moto sili mpaka niombe dua. Sasa sijui pia dua ikiwa nikiweka chakula kisha nikaomba dua kutakuwa na mahusiano au tutaita shirk
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 26 күн бұрын
@@nurumohamed5523 Ugali unahusiana nini na maelezo ya Ubani
@abdulswamadukhamis3877
@abdulswamadukhamis3877 22 күн бұрын
Shekh kaeleza vizuri tu sema wewe umetanguliza ubishi
@nurumohamed5523
@nurumohamed5523 22 күн бұрын
@@abdulswamadukhamis3877 Bila ubishi Unatoa mawaidha msikitini na waumini wako sio shirk. kuwa katika you tube bila ubishi ni shirk
@AbdalaPelly
@AbdalaPelly Ай бұрын
Shekh anashindwa kunyooka sema hayo mambo ni bida'a, kuchoma uban kwa wakati wa kuomba dua ni uzushi na kuna shirki ndani yake, hitima ni uzuahi, Quran ni kwa ajili ya walio hai sio maiti. Watu wanaangamia na shirki.
@mohdhilaly7900
@mohdhilaly7900 Ай бұрын
Dua zimo ndani ya qurani sasa tunafanyaje hapo ?
@mohamedkeref9589
@mohamedkeref9589 Ай бұрын
@@AbdalaPelly ndio maana nasema msome ili muache kuyumbishwa shirk ni nini na nani na mwenye sifa ipi anaweza fanya shirki? lakin jeee kunia ubani ni shirk na jeee wakti wa duaa ili mtu aonekane amefanya .ibada ya Moto anapaswa aitikadi nini na jee pale anapo tumia moto kuchoma ubani jeee anaitikadi Moto ndiye Mungu anaye Muomba au nia na dhamiri yake anamuomba Mungu aliye hai asie na sifa ya kulala kusinzia wala kuzaa wala kuzaliwa ikiwa itikadi yake iko hivi vip awe amefanya shiriki?
@SHEIKHABOUBAKARY
@SHEIKHABOUBAKARY Ай бұрын
Mawahabi mtuache mbona mnatufatilia muda wote sahiv hmna mada zozote zile Zaid yakupinga mambo AMBAYO hamyajui
@osmanmongo9546
@osmanmongo9546 Ай бұрын
Ndo mana maimamu na walimu wengi wa madrasa ni maskini
@mrcembo7473
@mrcembo7473 Ай бұрын
kila palipo namjuzi bc kuna mjuzi zaid
@AbubakarallyRajab
@AbubakarallyRajab 27 күн бұрын
Watu wa bidaaa wanaharibu dini na uzushi wa ubani
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o 29 күн бұрын
Dua ni ile Quran..tunao soma
@irtshisekedikhamis5648
@irtshisekedikhamis5648 Ай бұрын
Anae kusudia harufu?
@lusupi
@lusupi Ай бұрын
Anaekusudia harufu hakuna ubaya ila ubaya upo unaweka itikadi/imani kuwa dua hazikubaliki bila ubani au wengine wanaitikadi kuwa ubani moshi wake ni chakula cha marehemu apo ndo ubaya ulipo ndugu
@rajabmpamwa9051
@rajabmpamwa9051 Ай бұрын
Hii channel ipo azam tv ?
@azizaali8506
@azizaali8506 Ай бұрын
Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh hii channel yetu pendwa ya Africa TV 2 swahili in Azam tv
@ramanzota1227
@ramanzota1227 Ай бұрын
Ukiona mtu anampinga huyu shekhe kuhusu masihala ya ubani ujue huyo atakua mganga wakienyeji
@azizaali8506
@azizaali8506 Ай бұрын
Ni kweli ndugu yanguu Allah amnusuru
@ramanzota1227
@ramanzota1227 26 күн бұрын
@@azizaali8506 inshaallah
@shafikakrabi8490
@shafikakrabi8490 Ай бұрын
Wewe ni mwongo nani kakuambia kuweka ubani ni haramu hakuna mwenye itikadi bora rudi ukasome rena
@asyahassan2656
@asyahassan2656 26 күн бұрын
Ubani kazi yake ni nini?
@musarashid7873
@musarashid7873 Ай бұрын
Sheikh kwamba walimu woote wanaofanya hivyo aidha chuoni au kwenye khitma maana yke hawajui wanachokifanya ila ww ndo mjuzi 😂
@OmarAbeid-wu5ur
@OmarAbeid-wu5ur Ай бұрын
Hao mashekhe zako hawajui lolote kawaulize wamepata wapi moto na ubani kwenye dua
@musarashid7873
@musarashid7873 Ай бұрын
@@OmarAbeid-wu5ur sawa hao masheikh zko ndio wenye kila dalili nzr ,,anaetumia udi na ubani ktk visomo na wasiotumia wte sawa na hakuna dhambi yyte hautumiki moto kupaa angani na ungo pale
@OmarAbeid-wu5ur
@OmarAbeid-wu5ur Ай бұрын
@musarashid7873 sio sawq wanotumia udi na uvumba wazushi wakubwa
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
Sk watu hawaelewi hata mihadhara ni dili
@mikidadikipingu3782
@mikidadikipingu3782 20 күн бұрын
Biashara za watu izo
@MJbendera
@MJbendera Ай бұрын
Ubani unaleta manukato na pia unafukuza majini mabaya na kukaribisha malaika ambao ndiyo wanapeleka hizo dua moja kwa moja kwa Mwenyezi Mungu.
@thehajjzantourssafaricampa8756
@thehajjzantourssafaricampa8756 Ай бұрын
Ubani haufukuzi majini walahauleti malaika wema, kusoma qurian na na sunna za mtume s.w kwahakika hayo ndomambo yatakayo pelekea malaika wema wawepo kwajili ya mambo mema, siyo ubani ,ukija kwenye swala la maji, jini hafukuzwi kwa ubani, jini anafukuzwa kwa visomo vya rukia (qurian) tuache itikadi na ushirikina asalam alaikum
@sheehamadnganzi8317
@sheehamadnganzi8317 Ай бұрын
Wewe wacha ushirikina eti unapeleka Dua Moja kwa Moja uliisoma wapi
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf Ай бұрын
😂😂😂😂 ubani ni shirk bwana na sio unapeleka Dua kasome Tena alakhy bendera
@thehajjzantourssafaricampa8756
@thehajjzantourssafaricampa8756 Ай бұрын
Baba ubani unatoka na utomvu wa miti wala hauna uwezo wakupeleka dua anaepeleka dua nimalaika siyo ubani ubani nimoshi, haufiki hata kwenye jua au mwezi, unaishia kwenye mawingu hebu kasome au nenda kaisome Aya ya arubaini ya surati yasini,
@thehajjzantourssafaricampa8756
@thehajjzantourssafaricampa8756 Ай бұрын
Nenda kwenye msikiti ulipo karibu na wewe hafu mtafute sheh aliesoma mulize kwamba eti moshi wa ubani wakuchukuwa dua na. Kupeleka kwa mungu
@SelemaniAmiri-f4b
@SelemaniAmiri-f4b Ай бұрын
Tujitaidi kuondoa tofauti ya madhehebu ndio chanzo alufu hizo dalili sio za uhalali tu hata kuharamisha initaji dalili haramu zote zikowaz kuhusu wamajusi utajuaje nia yamtu vp alokusudia manukato wewe akamhukumu banafata wamajusi?
@HusseinHassan-p7g
@HusseinHassan-p7g Ай бұрын
Mtume akuwahi kuchoma ubani akiomba dua izo ni ibada zamajusi alijathibiti jambo ilo kwamte wala maswahaba
@musarashid7873
@musarashid7873 Ай бұрын
@@HusseinHassan-p7g mtume hakupanda bodaboda au mwendokasi ,lakini sio dhambi ukipanda hata ww leo hupati dhambi
@khitamcaptainveca5045
@khitamcaptainveca5045 Ай бұрын
Huna inlm yoyote kuhusu manukato kwa ubani
@azizaali8506
@azizaali8506 Ай бұрын
Usimpe sifa mbaya
@ghostreaper9486
@ghostreaper9486 Ай бұрын
Kwa maoni yangu Ubani kwa moto ni turathi za Kimaajoosi, Baniani, na Manasara
@HussainMaula-f9b
@HussainMaula-f9b Ай бұрын
Kumeibuka mashekhe wapumbavu sana kwani itikadi ni nini we unajua kwamba wakichoma wanaitakidi kua moto na moshi ndio mungu wao wanaemuomba bal insanu ala nafsihi basira wewe huwezi kujua nafsi za watu zinakusudia nini au zinaitakidi nini.
@shabanjuma2447
@shabanjuma2447 Ай бұрын
Mpumbavu ni wewe haya kama sio mpumbavu tupe dalili ya kuchoma ubani
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Ай бұрын
​@@shabanjuma2447 wewe acha ujinga wa hawa vijana wehu maana hawana sifa ata moja ya kuitwa Shekh. HIVI KUABUDU MOTO KWA MAJUSI KUNAHUSIANA VIPI NA WAISLAMU WANAOWEKA MANUKATO YA UDI AU UBANI KATIKA KANZU ZAO AU VIKAO VYAO?! . NI UPUMBAVU TU ATA AIBU MUISLAMU AKAHUTUBIA WAISLAMU KUACHA KUTIA UDI MAJUMBANI MWAO, AKAMUULIZE MKEWE AKIRUDI CHUMBANI INGEMTOSHELEZA KUJUA FAIDA YA UBANI NA UDI KWA WAISLAMU . AFAA AKASOMESHWE NA MKEWE MAANA ASILO LIJUA AULIZE KWA WANAOJUA. HAKUNA FAIDA YA UBANI NA UDI YOYOTE NA POPOTE KIKAO CHOCHOTE ILA KAMA VILE MKEWE AKITAKA KUMVUA NGUO NA AKAMUEKA UCHI WA MNYAMA HUYU ANOJIFANYA SHEKH AKASIKIA HARUFU NZURI, BASI MWENYEZIMUNGU SW ALITUAMRISHA KATIKA JAMBO TUKUFU LA SWALA YA IJUMAA TUCHUKUE MAPAMBO NA KUNUKIA, VIPI VIKAO VYA KUMTAJA MWENYEZIMUNGU SW VIKINUKIA UNAO DALILI YA KUKHARAMISHA?
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Ай бұрын
​@@shabanjuma2447 NA HUYU MPUUZI ALETE DALILI, HIO SHIRKI INAKUWA VIPI HAPO?. MWISHO MAWAHABI MPAKA KUNYA MTASEMA SHIRKI MAANA WATU WANATEGEMEA CHOO ILI WAENDDE HAJA ZAO BADALA YA KUMTEGEMEA MWENYEZIMUNGU SW 😂, MAWAHABI MNA UKHANISI MNACHOSHA NYIEEEEE!!!
@zureashomari2408
@zureashomari2408 Ай бұрын
​@@hilalkhalfan1452jiheshimu
@HussainMaula-f9b
@HussainMaula-f9b Ай бұрын
Sio kila kitu katika uislamu mawahabi mnataka dalili lakad kana kum fi rasuli lahi usuwat khasana mtume ndio kigezo chetu haya mtume Alipanda ngamia wewe mbona unapanda gari ngamia hawapo na nipe dalili kwanini unaacha kupanda ngamia ambo ndio suna ya mtume unapanda gari ujue mawahabi jambo kama hamna elmu nalo bora mukae kimya au muulize wanaojua.
@ShabaniMustafa-n8h
@ShabaniMustafa-n8h Ай бұрын
Una ELIMU lakini huna akili
@KasalamaAlly
@KasalamaAlly Ай бұрын
Sheikh hapo unatuchanganya hebu kasome tena au ungenyamaza tuu
@shabanjuma2447
@shabanjuma2447 Ай бұрын
Wewe una comment na sheikh nani ana elimu kama wewe umemzidi elimu sheikh tupe fatwa ya ubani kwa dalili
@haisamseif2744
@haisamseif2744 Ай бұрын
Kuna wakati mashekh wetu mnapoulizwa swali ikawa hujui jibu lake ni bora kuwa muwazi kwa kusema sina elimu nalo swali lako kuliko kuboronga mnapotosha watu.
@MgazaMhina
@MgazaMhina Ай бұрын
Sasa hapo hujaelewa wap
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf Ай бұрын
Na ajibu yeye mwenyewe elimu maana shekh kaeleza vizur
@jumabeja956
@jumabeja956 Ай бұрын
Unatakiwa ujibu wewe kama kakosea Usilaume wakati wewe mwenyewe hujui
@mwaitaidrisa3804
@mwaitaidrisa3804 Ай бұрын
watanzania wamezoea mashekhe zao wasio na elimu huyo anaejibu hapa tanzania nitishio kubwa kwamashekh seme huyo shekh hajitangazi wala sio tapeli kama hao mashekh zao
@sheikhfirdaus6491
@sheikhfirdaus6491 Ай бұрын
Mh mshamba.wewe
@AliyYasi
@AliyYasi Ай бұрын
Shekh jinga wewe maana sasa usipike kutumia moto kwa vile ibada ya majusi ilikua moto yaaani wakuchapwa viboko kuwafunza watu waache moto ilihali wwe nyumbani kwako kuna jiko.
@mussabendera1751
@mussabendera1751 Ай бұрын
Elewa mada kwanza
@azizaali8506
@azizaali8506 Ай бұрын
Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh kaka hivi umemwambia Shekha ni ujinga subhan Allah
@AliyYasi
@AliyYasi Ай бұрын
@@azizaali8506 walaykum salam ee moto unashida gani kwwnye maisha bna Adam
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 Ай бұрын
Toa ushahidi.. Wewe ndio jinga
@IbrahimSeleman-i9c
@IbrahimSeleman-i9c Ай бұрын
Nakuusia ndugu , usiwatukane wanachuoni ilihali wewe hata madrassa hujaa japo mwaka mmoja, Sasa kwa nn unatukana ?
@MusaYusuphu-y2l
@MusaYusuphu-y2l Ай бұрын
Halafu akisha kujibu kuwa ni bidaa,ww umkatie kwamba huyu sheikh ni wahabii?
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 28 күн бұрын
Hiyo kutia ubani na kuambatanisha na hiyo Dua ya Alfatiha....umeelewa kwa njia isiyo ya Haqq
@mohamedkeref9589
@mohamedkeref9589 Ай бұрын
Shekh soma kwanza kuna vitu vingi humu unaongopea watu hivyo jitahidi usome na kisha ujibu maswali ki ilmu na si kwakutumia utashi hapa unatumia utashi
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
MUME KUWA MTUNDU KWA MKEO-SHEIKH NYUNDO
25:32
HAJI ONLINE TV.
Рет қаралды 45 М.
MIUJIZA YA WADUDU HAWA  // SHEIKH IZUDINI ALAWY
35:36
arkas online tv
Рет қаралды 61 М.