#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZbin; / @qiblatainonline
Пікірлер: 168
@user-mx4wi8ic5e5 ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi na balaa zote fi dunia wal akheira...ulinitibu hasad na hivi niko sawa alhamdulilah
@leonardofaruk10773 ай бұрын
Ameen.
@allykipingu3 ай бұрын
Ëe 3:10
@user-xl1wx3mw9k4 ай бұрын
Ni kweli sheikh,Majini na Hasad ni vitu vibaya saana,kiukweli mimi naathiriwa sana na vitu hivyo..naomba msaada wako
@baaziabdul94396 ай бұрын
Am from Uganda and follow up your teachings but I understand swahili well
@HashimHussein-ps5yr2 ай бұрын
Shekh kweli kabisa watusaidiaje waumini wako
@gracemumbua93267 ай бұрын
Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen
@ShabanMusssa6 ай бұрын
shekh wangu hapo kwenye kukunja kanzu kama qor an sijaelewa
@GeorgeMulandi4 ай бұрын
Hapo kwa msala ni tatizo ama ni mkeka ju hapo sijaelewa
@kassimanzuan93673 ай бұрын
Amiin
@FaizaKabibi-tb2dj2 ай бұрын
Shekh mm dalili zote za hasad nakuomba unifanyie kisomo ju hata sai nko nko Oman juzi nilitaka kuliwa na boss nikapata nafasi nikakimbia sijielewi
@candiesalm89954 ай бұрын
Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu
@HakizimanaFiston4 ай бұрын
Shukran sana
@mwanakombomohamed67253 ай бұрын
Mbn ametaja quran
@mansoursabri43983 ай бұрын
Mashaallah
@user-qy7kf5me7u3 ай бұрын
Samahan sijaelewa , unapiga kufundo au unakunja tu ?
@candiesalm89953 ай бұрын
@@user-qy7kf5me7u kuja halaf tia kwenye maji badae kamua
@hassanibinhassa70582 ай бұрын
Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu
@zuberhamza78522 ай бұрын
Eeeh imeruka sjui tunafanyaje sasa
@zahramohammed32657 ай бұрын
jazakaAllah nimesoma mambo mengi alhamdhulillah
@user-nx1ti7bo3c3 ай бұрын
Assalamualaikum
@buhitexmohamed47854 ай бұрын
Mashallah mimi iweke jwa dua yte hyo nimo inshallah
@user-lu5vg9kc7y2 ай бұрын
Wajazakalah khaira shehk 🎉🎉 Shekh wetu ALLah akulipe badal dunianii na akhera ALLah akupe mwesho mwema
@allyvindili90993 ай бұрын
Umenigusa shekh kilichonikuta mm mungu ndo anajua ila bahadhi nawajua kabisa
@saidinyomela83874 ай бұрын
JazakaAllahu khaira.
@SuleAhmadiАй бұрын
Asante shekhe nimejifunza ishalla nitatekeleza ivo namim alla anifanyie wepesi 27:52
@abdurazakiabdukadiri99494 ай бұрын
Asante sheikh wetu kwa khutba nzuri
@maryam-ol8nh5 ай бұрын
Shukran sana sheikh Allah akuhifadhi.
@asianramadhani83154 ай бұрын
Shukran shekhe Allah akuzidishie
@RajabuKapunju2 ай бұрын
Asante Sana shekh
@omariuredi1552Ай бұрын
Alhamdulilah, Shekh allah aku ingize peponi
@user-rd1ix1hd3y5 ай бұрын
Shekh bindo la qur ani huja eleza vizur unakunja au nivipi tunataka kujiondosheya hasadi
@hannymasu7323 ай бұрын
Assalam Aleykum Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh. Jazak ALLAH Khair kwa ilmu Sheikh.
@user-lu5vg9kc7y8 ай бұрын
،jazakalah khaira shehk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🇹🇿
@hamzahussein8964 ай бұрын
Jazakallahu kheir sheikh
@user-so9id8rp3u3 ай бұрын
Masha Allah, shukran sheikh, nimejifunza
@anitaswai30533 ай бұрын
Jazakalahu khairu shekh
@iddykaundundwa51353 ай бұрын
Kwa hakika mimi ndio napamba nayo inshaallah kwa uwezo wa Allah nitafanikiwa
@allyrabbany45383 ай бұрын
الله يعطيك العافية شيخنا.
@user-ft4uy6vu1i2 ай бұрын
Daah mtihan sana wallah allah atuondolee iyo mitihani
@SumaAbduly6 ай бұрын
Shekhe,tunahitaji huduma zako Kwa uwezo wa Allah utakuja lini bukoba mkoa wa kagera
@ashahassan18776 ай бұрын
Shukuran Sana shekhe wetuu
@babanaso67432 ай бұрын
Ndugu yangu uko sawa kabisa sisi tumetokea famiria duni hivyo hapo ulipo ni miujiza ya mungu tu sikupingi ndugu
@mutabazihassan62916 ай бұрын
Ya sheikh na mimi pia nina hizo dalili na hali ni ni ngumu najitahidi kuswali,tahajud,istighfar na ndoto za utajiri na mafanikio nazipata kila siku Ya Allahu turehemu sisi ummati Muhammad S a w
@hawazainshah632 ай бұрын
Wallah shekh dalili zote ulizotaja mimi ninaz kam vile nimekusimulia shida zang,nilikuwa mfanyabiasha mzur san mtaji wang ulikuwa milion 15+lakin mpk ss aina hata mia nasubir kupewa kila nomachoshika au kifikir nifany mwili na moy hautak haswaaa inshallah Allah akulip kwa hilnaon umenipa ufunguo wa maisha yang shekh
@user-xc3ik1hu3q2 ай бұрын
Asante sana sheik
@salvatakiseo33592 ай бұрын
Mungu akanifanyie wepesi 🤲
@DirectorFonga2 ай бұрын
Shekhe mungu akueke inshaalah
@WazirJuma-gd5oo5 ай бұрын
Shukurn sheikhe allaah akulpe baadala
@zainabfaraj7902Ай бұрын
Allah akujaze kheri
@USDisdoomed2 ай бұрын
Shukran Sheikh Baraka llahu,,,,,ila kuna mahali ulikua unaelezea video ikaruka hapo kwa upinde wakanzu
@zuberhamza78522 ай бұрын
asa sjui tunafanyaje
@user-sp8hl2dy6i4 ай бұрын
Masha allah
@user-sn9ip6qr3lАй бұрын
Jaman mbona dalili zote ninazo😢😢yarab niondoshee kwakwel,vip jinsi gan naweza kuepukana au kujitibu?
@user-hu3sc4kg1f3 ай бұрын
Shekh allah akupe umre mrefu Yani maneno Yako yanafaida
@JumaSaid-rw3dq2 ай бұрын
nimeskiza utba namimi aro tatizo ninaro nakupataje soma komenti uniombee mungu
@user-hk4vl6ic2i3 ай бұрын
Asante Sana Sheikh, sasa tufanye nini ilikuepukana na hizo roho chafu majin
@mauamwalimu81425 ай бұрын
Alhamdulillah
@rmdhnhmz5123 ай бұрын
Mashaallah
@user-nz9xy2lm3w3 ай бұрын
Maashallah
@machanohajji72096 ай бұрын
Mashallah
@user-sh3dw6bk8x3 ай бұрын
As alkm, sheikh ahsante Kwa kutupa ziada katika kheir.naomba utuambie ni wanyama wapi ktk hao wenye hasadi au ni wote .km mijusi kafir?
@HakizimanaFiston4 ай бұрын
Uislam ulimalizaga Shukran Sheih wetu
@selealli9903 ай бұрын
shekhe niombee mimi ally athumani
@user-vv7km5fc5x2 ай бұрын
MashaAllah
@FatumaBegamu-cy6ue6 ай бұрын
Shukran Sheikh.
@user-xm2rm7wn6h3 ай бұрын
Subuhannallah❤❤❤❤❤
@LisaYona-wx3kb3 ай бұрын
😢dalili ZTE ninazo ehh yarab
@MuhammadHassan-rg7ch2 ай бұрын
Kwelii sheikh mm nimmoja wapo naomba dual naphtha tangamoto
@yasminmduda16163 ай бұрын
Asalaam alyekum shekhe umenigusa sana.
@zulekhasaeed60463 ай бұрын
Umenigusa kwenye hasadi mimi ninayo
@bahatib44863 ай бұрын
Asalam alekum shekh ,mm naumwa sana na mwili ,chini ya kitovu napia kuota ndoto ya kupeperuka kama ambae nàfukuzwa na kitu kibaya sijui utanisaidia vipi mm niko Saudia na fanya kazi
@ReynaRayyan-vd9cb3 ай бұрын
Asalam aleykum hapo kwa pindo mimi sijaelewa
@user-id6fk9hr9q6 ай бұрын
Hebu naomba usaidiziii nisaidikeee😢😢😢😢😢😢😢😢😢 walai nitabadili dini nikiona mambo yangu yanaenda vizuri naitwa Mariam
@user-hf1qk6fv9v5 ай бұрын
Usibadili dini kwajili ya mali badili kwajili ya Allah
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Sheikh shukran sana ila hapo kwenye upindo wa nguo sijafahamu.
@mwanazuber39683 ай бұрын
Hata me hapa sijaelewa kwenye upindo
@salmaalkyumi60308 ай бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@fatmahussein122 ай бұрын
Waooo nalibu
@user-wy7wq7pm8s4 ай бұрын
Hapo Kwa qurani imeruka sikusikia vizuri alie elewa tafadhali naomba kuelekezwa Sasa Niko na ndogo inaweza pia
@JohnMasatu-wb3ct3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-qu9vw5xi5l3 ай бұрын
Eeh Mungu nimekwisha mbona ninavyo vyote 😢😢😢😢😢
@fahmedharoub21393 ай бұрын
Unakunja pindo la nguo yako kw chini unalowanisha kwny yale maji ikisha unakamua nguo.
@EddyRajab2 ай бұрын
Hii sehemu clip inakata wakata wallah nimesikitika sana😢
Baraka Allahu fiiQ, ila kwenye nguo hukutuelekeza vizuri.
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@abouassifmabrouk5 ай бұрын
Kisha cha mwisho unachukua nguo unakucha fundo, Quraan! Hapo sikuelewa pamefahamishwa nini aliefahamu anisaidie kunielewesha alichosema
@hamzahussein8964 ай бұрын
Naam pia sijaelewa hapo insh Allah tujuzane atae kua ameelewa bi idhnillah
@fahmedharoub21393 ай бұрын
Unakunja nguo kw chni unalowanisha kwny hayo maji ikisha unaikamua ,unaenda kuyaoga
@Ibraah3 ай бұрын
Tuko pamoja ktk hili
@billylovebillybillylovebil5803 ай бұрын
Nami sija elewa 😢 hapo kukunja fundo nguwo Quaraan shekh please tuele weshe hapo
@user-id6fk9hr9q6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazurii mm ni mkrsto napenda mafundisho yakooo mimi sasa sijui kuomba nitasaidika vip
@hajimkopa18225 ай бұрын
Kwanz ingia ktk uislamu ndilo jambo la kwanza
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Weye omba tu. MMungu anainua Nia Yako. Na karibu katika Uislam ili ufaidi mengi mazuri.
@aishabory96492 ай бұрын
ALLAH akulipe kheri lkn hapo kwenye pindo ndio sijaelewa utuelekeze tena
@zahraabdul96523 ай бұрын
Sheikh me naja unifanyie inshallah maisha yangu yamejaa fitna sana hadi natamani niishi peke yangu nisione watu .😢😢🤲🤲🤲🙏 Yarabby nijalie nipe subra nifunguloe nami na wengine walio kiwa na imani Yarabby nakuomba 😢.
@hemedjr99683 ай бұрын
Asalaam aleikum sheikh...mm mwili wangu wacheza hata mwezi huu wa Ramadan waliofungwa mashetani
@user-si3nn4xq1nАй бұрын
Asante sana.nataka.namba.yako.baba
@aymanabdallah92254 ай бұрын
Asalam alyqum shekhe.samahani hapo kwenye fundo kukunya quraan sijaelewa
@hijamaulidi73823 ай бұрын
Shekhe mm kitu kikitaka kutokea kuna maono napata na kinatokea serious ni jini au 😮
@user-dg8dt5bg7q3 ай бұрын
Assalam alaikum sheikh athman; naomba nielewe hapo kwenye ukisha OSHA Hilo fundo ukilipiga wasoma Nini maana sijfahamu hapo pliz, shukran
@anithasimbeye32564 ай бұрын
Vyote hivyo nilikua navyo
@bakarimwaguluwe-yh2dn3 ай бұрын
MashaAllah ya ustadhi
@user-he2yw2il7d3 ай бұрын
Asalam Alaykum samahan je hayo maji hukogei mwili mzma
@RehemaWereАй бұрын
Aki sijaelewa Imenipita
@umutoniwaboshakilla97146 ай бұрын
Assàlam alayikum Walah màtululah wavalakatuh kama hauna mwEnye munaidhi pamonja unapashwa tengeneza ile Manji WE mwenyewe?
@mamyto_aziza51572 ай бұрын
Jamani sheikh kasema mtu kujejuje kazu Mara gapi
@zuberhamza78522 ай бұрын
Naona video imeruka pale
@FatmaMohamed-re5tb2 ай бұрын
Naamini sheikh ndo yangu niliyo nayo sasa
@zakiahamid30423 ай бұрын
Asalam alaykumu shekh mm nimeelewa lkn kufanya siwezi nifanye ill unisaidie
@user-bp4wv4jo2i3 ай бұрын
nikweli zinaa ina adhari baya kwa mafanikio la kila mtu dhambi baya sana nilikuwa hivo lakini nilipoasha zinaaa sheikh ziliniondokea kabisa
@binamun49442 ай бұрын
Hayo yote niyangu hakuna hata moja alilosema ambalo halinitokei nikisoma dua usiku kulalaa nasinzia hapohapo😂
@ismailkidege3 ай бұрын
Hapo kwenye hatua ya mwisho ya pindo ndo sijaelewa
@saidanoor7653Ай бұрын
Assalam aleikum...hapo aliposema kunja nguo yako kipande kimeruka una ikunja nguo alafu una fanya nn ndo ukaogee maji hayo?
@user-xl1wx3mw9k4 ай бұрын
Assallam ALLAYQUM WARRAHMATULLAH, je kunguni wakiingia nyumbani inaweza kua hasadi???
@saumbliz89833 ай бұрын
Uchafu huo fua nguo kama una mtoto akojoa asubui toa godoro inje
@mngwalijuma5972 ай бұрын
Alhamdulilag@@saumbliz8983
@mwanakombomohamed67253 ай бұрын
Assalam alaykum,tiba Yake nini
@user-lp5zw6bb5d3 ай бұрын
Mimi nina dalili ya kuumwa na mwili joint na mm ni daktari wa kienyeji watu wanapona mm mwenyewe mgonjwa kila mara
@Nailaty564Ай бұрын
Hapo kwenye kukunja pindo la nguo mbona mmekata
@user-lu5vg9kc7y2 ай бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💕🇹🇿
@husseinkadawa28467 ай бұрын
Shekh nilifanya dawa hii nlipiga miayo siku nzima na kuteuka yaan kutoa ges tumbon
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Tifahamishe kuhusu nguo
@PirfaImanipirfa-vj3oz6 ай бұрын
Aya mambo yanatisha, asa sheikh wng kama mtu amekusifu kwamba ah bwana umekuwa na unapendeza iyo nayo ni asidi??