Sheria unatungia ww pangu pakavu. Haya mambo ya kishetani. Sheria ni zile za mmiliki wa mbingi na ardhi wasomi mnachanganywa. Ufalme wa Mungu usimame. Amin.
@ThwahasopayiikajiАй бұрын
Kigugumizi nikati ya eliminate? Au kudeka?
@Kassim-o6mАй бұрын
Hawa hawajui kuchambua
@paschalcosmas6093Ай бұрын
Mchambuz upo sahihi, kwa cc tuliosoma international relations kuna kitu kinaitwa" Sovereign immunity".. hii ni kinga inayowalinda viongozi wa nchi wanapokuw nje ya nchi zao. Kuna immunity pia kama 2.Diplomatic immunity, ambayo huwalinda Wanadiplomasia wanapokuw nje ya nchi zao.
@MusaJastini-po8hmАй бұрын
Amjui kuchambua Mambo ebu tulizenu vishundu mbwa nyie
@HbhoolaАй бұрын
Broo idibabaishee huna kigugumiz Sema wazi Hakuna WA Kumkata Raisi WA Urusi Unamjuwa Warusi wanavyo mkubali Raisi wao? Kutana nao uwasikie Wanavyo mpenda Usifananishe na Viuchwars vya kirafika Afrika Kuna vibaraka Si Raisi Kakojowe Ulale usidanganye watu
@ppemperweringpeople7183Ай бұрын
Putin Mwamba Aliye Andikisha Historia Ya Kuhua Watu Wengi Zaidi Duniani Katika Karna Hii
@johnsindayigaya948518 күн бұрын
Poutine nindiye mwanaume naye mwamini,yani Mungu akitoka)kwangu ninaye mwamini ni Vladimir poutine ❤
@IshipalemyPaskoАй бұрын
Nani sasa wakumkamata kwa dunia hii. Hawawezi na hawatawezi . Ndugu yenu marekan si mnamuaminia aende sasa akamkamate
@amsiabbas380925 күн бұрын
Hii mahakama iliundwa kwaajili ya Waafrika na Waarabu tu alafu hivi kwaakili tu yakawaida kunataifa lakumkamata Putin hapa Duniani!!? Hao Nato wenyewe siwananguvu zakutosha tu Wamkate wenyewe tusije kusababishiana Matatizo kilamtu aishi maisha yake sisi Africa hatuna shida na Mzee Putin pamoja na Urusi yake Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Africa
@alhajjwaupe4593Ай бұрын
Kukamtwe kwanza w bush alie uea watu iraq
@brownsimchimba76777 сағат бұрын
Utaheshimje sheria za umoja wa mataifa wakt umoja wenyewe hauna meno?. Umoja wa mataifa ni chombo cha mmarekani tu.kwa dunia ya leo hivi vyombo vyote vinatakiwa kuvunjwa na kuundwa upya. Kwa sasa havina maana yoyote kabisa.
@IshipalemyPaskoАй бұрын
Mifumo ya kidunia ya kishetani inanufaisha watu fulani fulan hasa ni mmarekani na washirika wake wa magharibi watu wamechoka nayo. Na putin anaandaa dunia mpya. New word order
@kazinaimwishehe-ec3xuАй бұрын
Uyu mchambuzi akuna kitu unasemaje kuwa akuna aliye shindwa kumkamata wakati ajakamata ivyo vyombo nivya kwenu waafrika tu wala sio vyao
@danielmwandenga5369Ай бұрын
Mchambuzi , kwanza hii mahakam n ya afrika tu , napia urus sio mwanachama utamshikaje ??? Na pia kuna sheria kuwa ukiwa mwanacham unaweza mshika mtuhumiwa lakini nawew kwa akili yako tu unaweza mshika putin ??? Hata akienda marekan hawawezi kumkamata labda mwafrika hatuna nguvu ya kijeshi wanaenda kumchukua makomandoo wake , achana na mwenye nguvu bhana
@ProsperMwakasunguraАй бұрын
Yaani huyu mchambuzi akili hana. Ila elimu anayo tunayofundishwa na wakoloni wetu wa magharibi. Kwa hii elimu ya magharibi inatuathiri SANA. Eti nyooo umoja wa mataifa, kipumbavu sana hiki. Hiyo ICC ndio na umoja wa mataifa ndio ukoloni mambo leo kwa sisi wanyonge. Kila siku watu wanauawa na haohao pumbavu kabisa. PUTIN endelea kupiga hao mashetani. GOD, always bless Putin.
@NASSORMUYUGUMBIАй бұрын
PUTI HAWEZEKANI KWA HAO WAMAGHARIBI, TUSEME HADI SASA HAMJUI KAMA WAMAGHARIBI WAMESHAKAA KWA MBABE PUTIN!!!?? AAAH ACHENI BHANA
@Chw_Kdmn83Ай бұрын
"Imeshindikana kumkamata" Kwani wali attemp wakashindwa? Kushindwa ni kuwa n nia ya kufanya jambo halafu ukazidiwa nguvu physically au impliedly. Wao walimualika makusudi aende n hawakua n nia ya kumkamata. Neno kushindwa Halifax kutumika.
@LubamboMrishoАй бұрын
Acha uzezeta WEWE unamfananisha Putin na ruto,Putin ana makombora ya Nyuklia Dunia inaweza kufikia mwisho,zezeta wewe
@OmariJuma-su6fzАй бұрын
Wahende sasa kumkamata kwani walikuwawanangoja atoke inje yahinchi ninyi sisi afrika ndo washenzi magaribi wanadili namanufaha yao sisi tunajitahidi kuwanufaisha wao sisi kuma kabisa tena kuma sana nandomana njaa inatuhuwa kabisa