Umetufungua macho 😂wanawake wengi wanaishi bila kupendwa ,ila wanaishi kwa sababu wamewekeza nguvu zao katika kujenga nyumba na hao wanaume,na wengine umri umeenda wanaona bora wamalizie maisha yao hapo hapo,
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@Tatufadhili-ud6se4 ай бұрын
Mashallah somo zur nashukur nipo maali sahihi mungu akuongoze uzid kutufunza mengi
@mbekitv6934 ай бұрын
Amina mpendwa😊🙏
@LightnessMnyanga-uj4yx3 ай бұрын
Ananijali zaidi mimi, kwakwwli yote uliyosema ananifanyia asante Mungu, naomba Mungu azidishe upendo wetu
@mbekitv6933 ай бұрын
@@LightnessMnyanga-uj4yx amina🙏😊
@aminatanzanya74757 ай бұрын
Umesem kweli matendo yanaongea kuliko maneno naaam 😍😍
@mbekitv6937 ай бұрын
Hakika
@DevothaDomican9 ай бұрын
Daaah Kaka mungu akubariki umenifungua masikio yangu laiti ningelijua mapema Ningeachana nae kabla atujakaa mda mrefu lakn nimeachana nae xio mda mrefu ni ngumu kumsahau
@mbekitv6939 ай бұрын
Kumsahau sio lazima wala mateso, muhimu umejikumbuka mwenyewe. Cos kama now umejikumbuka na kuelewa unachostahiri basi haijalishi ata kama utamkumbuka cos ata ukimkumbuka bado utakumbuka hakuwa mtu sahihi so kumkumbuka kwako hakutaathiri kujikumbuka kwako.
@GlorySamwel-b7e11 күн бұрын
Asante sana broo nmejifunza na nmeweza kumove on
@Bintmwafurani11 ай бұрын
Jamani Asante sana kaka balikiwa mno mpenzi wangu kalibu dalili kadhaa yupo nazo na nimefurahi Kupata ufumbuzi wa maswali niliyokuwa nikijiuliza kuhusu yeye ni wakati wangu sasa wa kuzidisha upendo zaidi ili ifike lengo 🎉🎉🎉
@mbekitv69311 ай бұрын
Woow hongera sana😀👏
@rayhans-h9b7 ай бұрын
jamani mafundisho mazuri sana Ahsante ❤
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu saana
@OptimisticStar-yz1yn5 ай бұрын
Mimi wangu tulipokua tunaanza nilimkuta anasoma kwaio tukawa tunaongea mda wote lkn alipokuja kupata kz yani amebadilika kumtafta mpk nianze mm na nikianza kumtafta kujibu km nilimtafta asubui atanijibu mchana na nikimuuliza kwann anasema yuko bize sana na anachoka sana na kuna wakt namuona online anasema uwa azimi data na kuna wakt nikimlalamikia kuusu kubadilika kwake kuna mda mwengne ajibu au mda mwengn ananijibu kunambia yuko bize sana na niwe na subra kila kitu kitakua sawa
@mbekitv6935 ай бұрын
Pole sn. Kuna somo nimeongelea Kwanini watu upunguza hamu ya mahusiano Ebu litafute lipo hapa katika video zangu. Litakusaidia sana.
@maryamChumas2 ай бұрын
Pole sana dear❤
@JasminiNkusa2 ай бұрын
Naomba no za kujiunga na darasa lako kaka
@JasminiNkusa2 ай бұрын
@@mbekitv693Naomba no za kujiunga na darasa lako kaka
@mbekitv6932 ай бұрын
@@JasminiNkusa 0659152333
@ShkaChibu4 ай бұрын
Mmmh namshukuru mungu wangu ananipenda jaman jap sikai nae hila Ana bahabat ya kwel Kansas namuomba mungu azidishe upnd zaid
@mbekitv6933 ай бұрын
@@ShkaChibu amina 😀🙏
@LuciaPhinias-wy3do6 ай бұрын
Hongera❤❤unafundisha vizuri
@mbekitv6936 ай бұрын
Asante sn mpendwa
@JudithiFerdinand3 сағат бұрын
Asant kwa ushauri 🤗
@ZahraYahya-lh2lb10 ай бұрын
Nice brother i get thing through your saying
@mbekitv69310 ай бұрын
Good👍
@BurureMarwa2 ай бұрын
Asante sana sasa nimejua niko katika penzi gani
@mbekitv6932 ай бұрын
@@BurureMarwa good
@abbymalima96094 ай бұрын
Mungu nisaidie nimpate mtu wa namna hiii🙌🙌🙌
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@MarySalama-l2i6 ай бұрын
Asante sana kaka yng ila mm nina swali je ikiwa kama mpnz wako anakupenda ndio tena sana lkn anashindwa kutokuongea na baadhi ya marafiki zako ambao washawai kukusema ww vby mbele yake japokuwa alikasilika lkn bado anaongea nao je huyo ni sahihi 😔
@mbekitv6936 ай бұрын
Yes sio mbaya
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@irinekadzo65792 ай бұрын
Ubarikiwe kaka kwa somo zuri
@mbekitv6932 ай бұрын
@@irinekadzo6579 amina amina
@SaraMsawila6 ай бұрын
Axant xana brother mungu akupe maisha malefu zaidi uzidi ku2fungua zaidi wanawake mungu akubaliki xana nimejifuza ki2❤❤
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@RichardMustafa-v1i5 ай бұрын
Asante San kak angu mwenyez muu akubalik san
@mbekitv6934 ай бұрын
Amina amina
@silviafurah91727 ай бұрын
Asante kwa mafundisho be blessed
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sn mpendwa 🙏
@Jokha1Jokha2 ай бұрын
Alhamdulilah mume wangu ananipenda
@mbekitv6932 ай бұрын
@@Jokha1Jokha mungu awabariki😊🙏
@Komdomhando597 ай бұрын
Kwel kabisa kaka
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@FarajaFighter5 ай бұрын
Ahsante kaka umenifunz kitu
@mbekitv6934 ай бұрын
Good
@maryamChumas2 ай бұрын
Shukran sanaaaa ❤❤
@mbekitv6932 ай бұрын
@@maryamChumas karibu tena
@MailatiHatibu3 ай бұрын
Nipe ushauli jaman.mm mwanaume wangu nampenda sana lakini yeyeyupobize sana anijali kabisa kunitafuta tuu mtihani
@mbekitv6933 ай бұрын
@@MailatiHatibu pole sn
@mbekitv6933 ай бұрын
@@MailatiHatibu ni mumeo?
@MariamCalyx-ju7jv5 ай бұрын
Thanks dear🎉👏👍
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu
@NancyKadzo-jn9ws5 ай бұрын
❤wow wajua kufunza wallahy
@mbekitv6934 ай бұрын
Asante sn😊😰
@UpendoLangasani-v6uАй бұрын
Somo zuri sana
@GladysWanzala-jh6ig7 ай бұрын
Asante kaka,❤❤❤❤❤
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu👏
@ZASTAMWE9 ай бұрын
😅😅asante kaka kumbe na mimi nipo kwenye mahusiano ambayo yanaeleweka yanahusiana na nini😅😂❤ waoooo asanteee kaka
@mbekitv6939 ай бұрын
Karibu sn😀
@BalqeesSaif-s7b8 ай бұрын
Assalam aleykum @@mbekitv693
@BalqeesSaif-s7b8 ай бұрын
Naomb unixaidie mie ninampenz Wang Niko nae MBL xan lakn naon xmuelew kwa xax coz 2napendn
@mbekitv6938 ай бұрын
@@BalqeesSaif-s7b Afrika hatuwezi mapenzi ya mbali mpendwa nyie endeleeni na mahusiano achaneni na mambo ya mapenzi huo ni uongo tu, endeleeni na mahusiano muda ukifika wote mkamaliza mambo yenu mkaja kukutana mtaendelea na mapenzi
@BalqeesSaif-s7b8 ай бұрын
Et kak IV mpenz anaekupend anawez ikafk wiki ajakutaft ap kun mapenz yakwer
@SaraFurahisha9 ай бұрын
heee kaka jaman apo kutambulishw umenigusa jaman me natambulishwa sana ad naogop
@mbekitv6939 ай бұрын
Mmefikia wp
@TeddyKombe-u8u7 ай бұрын
❤
@mbekitv6937 ай бұрын
❤️❤️
@HalimaOmari-x8e4 ай бұрын
Kweli na mshukuru mungu jamani wakwangu anavo vote vizur ulivo visema
@mbekitv6934 ай бұрын
Oh Mungu awabariki 😀🙏
@Marialadslausmetsela9 ай бұрын
Kaka mimi kuna mwanaume anaonyesha dalili za kunipenda lakini kila nikimwambia atafute muda tukae mahali tuongee anasema yuko bize lakini kulingana na kazi yake yuko bize nifanyeje ili awe karibu na mimi
@mbekitv6939 ай бұрын
Usifanye lolote acha muda uamue cos muda ni jambo mihimu sana katika mahusiano so heshimu muda, ukitaka kwenda nnje na muda utalazimisha na itakugalimu. So relax kama anakupenda atatafuta njia ya kukufikia
@JoyceWilliam-ee4em9 ай бұрын
@@mbekitv693Asante
@aishaignatus24757 ай бұрын
Wangu anisaidii adi nimeamua nimuache nipo sahihi
@doctersalmini97047 ай бұрын
Hello assalaamu ghalaykum kaka mm nilifunga ndoa na mume wangu,ila ajawahi kunitambuliza kwao,,mm ni mkenya tulifunga ndoa lakini sijui ndugu yake at moyo.tulienda tz na yy ila tunayizi nyumba ya kunda,jee nifanye ajee@@mbekitv693
@maryamChumas2 ай бұрын
Je kama mmeanzisha mahusiano lakin mpo mbl nchi tofaut itamjuajee mtu huyu❤❤please help me kaka❤❤❤
@levajob33264 ай бұрын
Asante 🙏💒💃💃💃💃💃
@mbekitv6933 ай бұрын
@@levajob3326 karibu sn
@HadijaKidunda10 ай бұрын
Daaah!my future husband ❤❤❤
@mbekitv69310 ай бұрын
Mungu awabariki🥰🙏🏼
@Khadijah-eq2oe10 ай бұрын
❤❤❤❤❤ nmjifunza
@mbekitv69310 ай бұрын
Good🤝
@ernestaalphonce19527 ай бұрын
Kaka nashukur sana balikiwa
@mbekitv6937 ай бұрын
Amina🙏
@AngelShedrack-q4u6 ай бұрын
Ulikuwa wap siku zotee broo
@mbekitv6935 ай бұрын
😀 Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@vivianfransis24732 жыл бұрын
Asante San kwasomo zuri
@mbekitv6932 жыл бұрын
Karibu sn vivian😊🤝
@mbekitv693 Жыл бұрын
nitext
@fatumakale70047 ай бұрын
Thanks so much
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sana
@NsabimanaAnge-lj4qp5 ай бұрын
Mbona kama sipendwi 😢
@GracePendo-nc1el4 ай бұрын
😂😂😂😂😂subiri wakati wa mungu ukifika hautakuwa na wasiwasi 😢😢😢😢😢jitoe apo
@Kipepeocheusi4 ай бұрын
😂
@GracePalangyo2 ай бұрын
Tupo wengi dia..
@davidnjile49952 ай бұрын
😂😂😂
@MayasaJuma-kk1zi3 ай бұрын
Hilo la4 acha nicheke mie😂😂
@mbekitv6933 ай бұрын
@@MayasaJuma-kk1zi eeh😀
@greacembwnwilibati8197Ай бұрын
Mpenzi wangu mm simulewi yaani unatumia msg ajibu Kwa alaka adi YY atakapo jisikia kujibu ukimwambia anakwambia ww unawsisi gani mm nakupenda lakini mm Moyo wangu unauma sana 😢😢😢😢
@mbekitv693Ай бұрын
@@greacembwnwilibati8197 tafuta somo hapa linaitwa lugha 5 za mapenzi.. litakufaa sana.
@SubiraLuhanga3 ай бұрын
😂😂😂😂eti mbona kama hupendwi umenichekesha jamani
@ChristineMwasaru8 ай бұрын
Na Je mwanaume akikwambia bado ujani jua vizuri au kumelewa vizuri utafanyaje
@mbekitv6938 ай бұрын
inategemea na sababu ya kukwambia haujamjua, cos sio kila kitu utajua kuhusu yeye lakini pia sio kila kitu hautojua kuhusu yeye, hivyo itategemea na nini kimetokea hadi anakwambia hivyo kisha link hiyo sababu na namna unavyomuelewa-
@JudithNgela6 ай бұрын
Nikauli inayofanya akufikilishe kwenye uongo wake hakuna chakumjua vizuri hapo
@MarimSali5 ай бұрын
Wangu aliniowa aswa na watoto tumezaa watano mmoja mola akamchukua lkn mm apenda sana akiwa aribu yangu atakama atuna kitu lkn ujickia furaha sana lkn akapata kaz mjini kujakwake nyumbani ni baada ya miezi mitatu na ucku saa nne ndio yuaingia na pia atokaa atatoka akaruguruke mpaka saa sita ucku na aligajiri yuaondoka akidai kuwa anakazi zawatu naapo akija ata zawadi ama lada cm kamauma kaunayo bc akuna zawadi na ukijarbu kumwambia Ana sema vtu vyenu viko gali sio kama zetu kila cku nguo zetu ziko gali na ukikaa nae anasema nikipata mke mm naowa mke wapili sasa unashindwa mm moja zikogali je tukiwa wawili na watoto wakike pia itakuaje na mm cke wakukaa tu la napenda sana kufanya biashara ndogo ndogo lkn badae ananifelisha koz nikifanya biashara bc pesa ya matumizi autoiona tena itskua kila kitu tumia izo mpaka atoendelea tena ushauri wangu akipate pesa autaki ukifate wake atuendelei kila cku chanza upya nimeomba talaka nimechoka nikimwambia kuhusu talaka animbia umeshapata mwengine na pia umenichoka umasikini wangu nanikianga lia mm nimempenda koz ni masikini pakulala pia Ana nashidwa cjui ni mwanaume ainagani mpaka nikaamua kuondoka nikaenda saudi kutafuta nikamuacha ajifunze vizuri mm ni nani nanina umuimu gani nilipofika saudi nikamtumia makosa yote na nika mwambia ctokuamini tena pesa zangu cmpi tena cm yake ikaaribika ckumnunulia mpka akaniambi nisamehe nilikuchiti lkn kilicho nikuta ata ctakitena najipanga sasa namaisha yangu na bado niko saudi yy alisharudi kijijini tuliko kua tuna kaa sasa sijui ni vp ebu ni fumbulie uyu mwanaume niwaaina ngani pz naomba jibu
@shedy_marie7 ай бұрын
Mm wangu ni muhuni sugu nimejua juz nataka kuachana nae polepole
@mbekitv6936 ай бұрын
Mmh
@veronicamrukwamba90946 ай бұрын
Ex Wangu tuliachana akaanza mahusiano mengine ila kila siku ananitfuta huyu nimuache kwa njia gani
@shedy_marie6 ай бұрын
@@veronicamrukwamba9094 sikushauri umwache km anakupenda atabadilika tu mpenz la moto
@mbekitv6936 ай бұрын
@@veronicamrukwamba9094 Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@PaulinaMeshaki3 ай бұрын
Duh an hap cjui me nifanyaje sasa
@Devotha-h5m7 ай бұрын
Mie wangu nimkali sana kunawakati adi namuogopa asa linapokuja swala la kazi nimkali pia anawivu sana adi celewi je ananipenda au ananiitaji
@mbekitv6937 ай бұрын
Kuna video nimeweka hapa inaitwa mambo 5 ya kuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano hiyo inakufaa sana ukiitazama itakusaidia sana
@StellaKugomwa3 ай бұрын
Je anayependa kuongea vi2 bila vitendo inakuwajee ivooo
@mbekitv6933 ай бұрын
@@StellaKugomwa fata matendo zaidi na sio maneno.
@frida-oi6kw28 күн бұрын
@@mbekitv693mfano wa matendo je ni kama yapi
@glorymlawa70787 ай бұрын
Jamani wakwangu mwongo mpaka nukta😂😂
@mbekitv6936 ай бұрын
Then jibu umepata hapo
@NasmaKaunga5 ай бұрын
❤❤ wow...
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu kutazama video yangu mpya
@DinahPeles28 күн бұрын
Mbona mwanaume anaoa bibi wawili ama watatu.
@CelineCharles-m4r8 ай бұрын
Mm anasema kua ataki wanijie ili wasiseme ety iyo imekaaje japo kua kanitambulisha kwawatu kadhaa
@mbekitv6937 ай бұрын
Kuna video Yangu inaitwa Mambo 5 yakuyajua kabla haujaingia katika mahusiano, itafute hiyo video ipo hapa hapa hiyo itakusaidia sana.
@AnnaMushi-d3g7 ай бұрын
Kaka mm na kijan kwenye mahusian lakin yupo mbali ila hanataka kua haribu lakin hajali ukimuomba kitu hawez nisaidia kam nipesa anasema sina. Ila ananiqmbia ananipenda saaaan naomba nishaury kaka
@mbekitv6937 ай бұрын
Watanzania wengi hatuwezi mapenzi ya mbali so hivyo ndivyo yatakavyokuwa, so ni juu yako sasa if utapendezwa na namna hiyo basi Sawa but usitegemee tofauti na hivyo
@HalimaOmari-x8e4 ай бұрын
Ilaminaona mwanaume akikukuta bikra yeye ndowakwanza kukuacha ningum sana
@wemakalamu35386 ай бұрын
Ubariikiwe
@mbekitv6935 ай бұрын
Amina🙏. Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@AaAa-s5k2g8 ай бұрын
Mm katikahayoyote amewahitu kunitiamoyo kwamba ntafanikiwa lakini hayomengineyote cjafanyiwa na kwakweli nampendasana sijui hanipendi yani hana stori cmtuwakuongea
@mbekitv6938 ай бұрын
Sawa
@RehemaIsingo-zb5gk6 ай бұрын
Asante kaka
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@salmakiti151710 ай бұрын
Asante sana kaka
@mbekitv69310 ай бұрын
Karibu sn
@venahonwonga7104 ай бұрын
X wangu ndio naona unifanyie hayo yote
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Naam Asante sana
@mbekitv6932 жыл бұрын
Karibu sn Arafa 😊🤝
@adrianysway3577 ай бұрын
Kaka mm mpenz wang anasema ananipenda na mm nampenda lkn kila napo jarib kumjulia hali anajifanya kuwa bize yan anakuwa bize na kaz zake mara ajal kuhusu ww nitafanyj
@aishaabdahh19577 ай бұрын
Nasubiri majibu maana suali lake linaendana na la kwangu
@kamarhelo7 ай бұрын
Hakupendi kwa kifupi
@hafidhsalim5786 ай бұрын
mie wangu namuona tu na dalili za kunipenda ila hawezi kunitamkia huu mwaka tena nifanyeje
@mbekitv6936 ай бұрын
Sijakuelewa
@annahdamascus4 ай бұрын
❤❤❤❤
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@ernestaalphonce19527 ай бұрын
Ww ni mwema sana
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sn🙏
@GraciousSP5 ай бұрын
Wangu nko nae mda mref lakini mamb yake hanishirikish ,pia sometimes hantft lbda awe na ham na mm na mm siko available nfany mm nktk
@mbekitv6934 ай бұрын
Mmh mtihani huo😰
@TiffanyCherotich5 ай бұрын
💝💝wow
@mbekitv6934 ай бұрын
🥰
@annamarybenjamin57544 ай бұрын
Yani mimi ndio niko ivyo kwa mwanaume wangu mimi ndio napenda mpka natamani nipate dawa ya kupunguza atukai pamoja naweza kuonana nae leo tukakaa masaa ata 7 kesho yake tu jamani nakua nimmiss kama tunamwaka mzima atujaonana 😢
@mbekitv6934 ай бұрын
Ahahaha
@BekaNyapala5 ай бұрын
Np nae mwez mmoj na nusu lkn anatk niend kwao kwa mama akee vp hp
@mbekitv6934 ай бұрын
Sio mbaya ila na Yeye ndio aje kwenu ww ndio unaeolewa sio unaeoa.
@safiasuliman51369 ай бұрын
Daah yamenikuta ayo jmn ataman tena
@mbekitv6939 ай бұрын
Eeh
@NaisoSimon8 ай бұрын
Kaka naomba namba pliz nataka kuongee na wewe zaidi
@mbekitv6938 ай бұрын
0659162333
@JoyceMartin-co3fu6 ай бұрын
Kaka Mimi wakwangu ukimpigia sm hapokei sms hajibu lkni moyo wangu hauna waswas nabado nampenda nikiacha nguo yngu kwake aliniambia niache lkn namwambia anirudishie hataki nikipata tatizo anapatwa na huruma namimi yn ananihurumia naanaumia kbsa lkn kinachonishangaza kwann sm zangu hapokei Wala cm hajibu? Nahana mke nisaidie kwa ushaur simuelew naaliniweka waz kwakila kitu narafikiyake mmoja ananijua anakujaga nae ofisini kwetu msaada kk
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@cecyjohn47462 жыл бұрын
💥💥💥
@mbekitv693 Жыл бұрын
asante
@EfrahimMwambande3 ай бұрын
Yan me Wang atasimuelew
@mbekitv6933 ай бұрын
@@EfrahimMwambande muelewe sasa
@Hashim-p4d5 ай бұрын
I really miss my man 😢😢😢😢
@mbekitv6935 ай бұрын
Yuko wpi?
@emilykwingwa23610 ай бұрын
Ahsante kaka
@mbekitv69310 ай бұрын
Karibu sn
@emilykwingwa23610 ай бұрын
Ahsante
@nchandzessaid6805 ай бұрын
N kama mwanaume una date nae lkn hawez kukueka wazi Kwa Maisha yke
@mbekitv6934 ай бұрын
Kuna somo jipya ishara ya mwaume anaetaka kukuoa ebu litazame hili litakusaidia
@HusnaSalvatory2 ай бұрын
Kaka naomba nitumie Whatsap
@mbekitv6932 ай бұрын
@@HusnaSalvatory nicheki whatsap
@FatmaHassan-gq9sh4 ай бұрын
Mimi wangu hata haeleweki
@mbekitv6933 ай бұрын
@@FatmaHassan-gq9sh muelewe sasa
@Devotha-h5m7 ай бұрын
Kwakweli mie sijui km ananipenda au la
@mbekitv6937 ай бұрын
Hadi umetazama hii video bado haujui nani anakupenda na nani hana upendo?
@ShubiraCostac7 ай бұрын
Unajua kinachoendelea ila unajitoa ufahamu❤
@NemaEmmanuely-ch6ez10 ай бұрын
Ahsant kipenz
@mbekitv69310 ай бұрын
Karibu sna 🥰🙏
@siprinadamas46738 ай бұрын
Kaka mwanume wangu mim nilikuwa nae kwenye mahusiano lakini cha ajabu ananimbia sasivi tuwe marafiki sasivi ataki mapenzi wala mahusino lakini akitaka sex ananitafuta anitafuti mpka nimtafute mim nisipo mtafuta yeye anapiga kimya alafu mim nampenda nifanyeje
@mbekitv6938 ай бұрын
dah pole sana, nadhani sasa hapo umeshaelewa wewe nani kwake [chombo cha starehe] hivyo akiwa nashida ya kukutumia lazima akutafuta ila shida zake zikiisha hana sababu ya kukutafuta. so maamuzi ni yako uendelee kutumika au ukatae-
@RachelEmmanuel-ff2el6 ай бұрын
Kwan inamaana lazima hayo yote yawepo!!
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@NepayaMayombe8 ай бұрын
Sasa Kama yupo mbali?
@mbekitv6938 ай бұрын
Africa hatuna mapenzi ya mbali tuna mahusiano ya mbali
@ScholahMarco6 ай бұрын
😢😢😢😢
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@RahelLwanzali7 ай бұрын
Kaka mm naomba nsaidie mpenz wangu kanitambulisha kwao lakn hanisaidii kabsaa ata nimwambie nashda nimzito hapo napata mtihani kimtambua ni mtu wa aina gan huyu
@RahelLwanzali7 ай бұрын
Naomba namb yako tafadhar nashda unishauli sana
@mbekitv6937 ай бұрын
0659152333
@Munahi-999 ай бұрын
anasema yuko bizy Kil wakt
@mbekitv6939 ай бұрын
Then hayupo tayari kuwa katika mahusiano ya namna yako kwa sasa
@hanifamasudi973211 ай бұрын
Asant kaka😭
@mbekitv69311 ай бұрын
Karibu sn mpendwa🤝
@AngelKitomari-h9w10 ай бұрын
Kaka me nishauri kitu nna mpenz wangu atanipigia sm tutachat ataitaji kampani kula na kunywa tutukutana tupige atori ila ikitokea namisis kuwa nae faragha anakua hana mda na hicho kitu ata tukikaa miezi mi2 ye anaona sawa tu kwanini
@mbekitv6939 ай бұрын
Yeye anasemaje kuhusu unavyofikilia
@ingabireshakira96314 ай бұрын
Huyo shoga😂
@DelilaKazamaso-bq4hy Жыл бұрын
Kaka ntumie hii watsap🙏🙏
@mbekitv693 Жыл бұрын
nitext
@deboramayaya4 ай бұрын
Wanaume wa hivyo walikufa na corona
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.