Kama bado haujatazama sehemu ya kwanza bonyeza video uliyopita. Usasahau KU SUBSCRIBE.
Пікірлер: 250
@NasurAli-sx3bbАй бұрын
Brother Mungu Akuzidishie hekima zaaaaidi, Shukran saana
@mbekitv69314 күн бұрын
@@NasurAli-sx3bb asante sn mpendwa😊🙏
@dorothymalambughi2122 ай бұрын
Elimu nzuri Sana hii, wanawake wenzangu tubadilike, tutunze mahusiano yetu jaman.
@mbekitv6932 ай бұрын
Shukrani
@princessleonard95226 ай бұрын
Kaka asante sana jaman ila kwa upande wangu namshukuru Mungu mie sio mchafu kuanzia mwili wangu, ndani ya nyumba yangu na hata eneo nafanyia kazi pana usafi wa kutosha. Kingine mie sijawahi kunywa pombe tangu nimezaliwa na hata sina shauku nayo na kwenye mapishi nimpe sifa Mungu amenipa uelewa wa kutosha na kama kuna ninachoshindwa huwa nawauliza wamama wenye hekima na wananisaidia. Cha mwisho namshukuru Mungu mie sio mtu wa kuongea hata kama kitu kimeniumiza sana na siwezi kukiuliza huwa nachukua muda napiga magoti namweleza Mwenyezi Mungu vile naumia na yeye ni mwaminifu huwa anaondoa kile kinaniumiza na kunipa furaha ya kipekee. Ila kiukweli kuna baadhi ya wanawake wanawaumiza sana wanaume wao na hata mie nilikuwa na rafiki alikuwa na hiyo tabia nilimkanya akashupaza shingo nikaachana nae na ni mkubwa sana kwa umri na mpaka sahivi hajapata mtu kwasababu anamdomo wa kulaumu sana wanaume 😢 😢😢
@mbekitv6936 ай бұрын
Wooooow😀👏👏👏
@mbekitv6936 ай бұрын
Vizuri sana mpendwa huko vizuri kwakweli
@user-zl5mt6lk4n4 ай бұрын
tupe no ya mume wako tumuulze 😂 na majirani kwahyo wewe huna mapungufu😅😅
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@princessleonard95224 ай бұрын
@@mbekitv693 wooow nakutumia text now uniunge
@SelinaSelinal6 ай бұрын
Kweli mafundisho Yako ni mazuri sana hongera
@mbekitv6936 ай бұрын
Asante sana mpemdwa, usisahau ku subscribe
@SarahStanford-do2wj2 ай бұрын
umeongea ukweli sana aiseee
@mbekitv6932 ай бұрын
Asante sn
@mayaashassan39184 ай бұрын
Shukran sana kaka ila kuna baadhi yatu wanawake tunajitahidi kwa kla jambo ttz tumeangukia pua mwanaume ajali wala huruma na mkewe hana 😢😢tunafnya kla ktu wanachotaka ama tunachokijua kitamfnya mwanaume awemwenye upendo na mkewe ila waap tunajinunulisha ata vizawadi ili akirudi apate mabadiliko lkn bdo ssa uyu cio wakuoneshwa tena kakangu maana hanatoa ata hisani ya mtu anaye fnya hayo yote mwanaume ananuna mwez mzma ata iwe kosa ni lake yaani amesikia mwanaume ndo kichwa cha familia bc anajifanya Mungumtu wallah wanawake tunavumilia mengi mengine ni siri za wanandoa c vzr kutoa inje😢😢
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@mbekitv6932 ай бұрын
Nakuunga mkono 💯 Ndio maana kuna somo hapo linasema mambo 5 yakuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano. Huko sasa ndio wengi mnafeli hadi mnaangukia pua. Litafute ilo somo nzuri sn lipo hapa hapa
@elinazuberi2689Ай бұрын
😂😂 mbona midomo kweli wanawake midomo tupunguze 😂
@mbekitv69314 күн бұрын
@@elinazuberi2689 😀
@owandjanoella99216 ай бұрын
Kweli 💯 asante saaana mwalimu
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu
@AnishaEmmanuelKananda10 күн бұрын
Asante sana baba yangu hakika umenielimisha sana
@mbekitv6932 күн бұрын
@@AnishaEmmanuelKananda oh vizuri sna kama umeelimika😊🙏
@IreneLeonard-cw3xp5 ай бұрын
Thank you Soo much for the lesson, watching from kenya
@Neydanieldaniel22 күн бұрын
Nashukuru kwa ushaur naomb no yako tafadhali
@mbekitv69314 күн бұрын
@@Neydanieldaniel 0659152333
@bonifasimasanja11316 ай бұрын
Thanks so much sister, my life changed so much after I started to follow and listern to your teachings, Iam learning everyday...❤❤🙏
@mbekitv6936 ай бұрын
Sister🤔 are you talking to me?
@africa74795 ай бұрын
@@mbekitv693 😂😂😂😂😂😂 nilishtuka pia
@user-pj1el7us5x6 ай бұрын
Napenda kujifunza kupitia ww Najiandaa kua mke bora
@mbekitv6936 ай бұрын
Wooow hiyo ni habari njema😀👏👏
@user-pj1el7us5x6 ай бұрын
@@mbekitv693 😊
@user-pj1el7us5x6 ай бұрын
Can I get your number for connection 😉plz
@ZainabAyoub-hv1zo6 ай бұрын
Mimi pia vingi alivozungumza huwa nafanya lkn ckujuwa km ni vya muhimu kwa mume
@user-qp4bj2pt7m6 ай бұрын
Kweli kabisaa
@Neydanieldaniel22 күн бұрын
Naomb no tafadhali
@mbekitv69314 күн бұрын
@@Neydanieldaniel 0659152333
@elikamoses1044 ай бұрын
Sema basi na mwanaume ambae sisi wanawake hatuwezi kumpenda usilalie upande mmoja tu
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@happynescostat74205 ай бұрын
Mafundsho mazuri sana,MUNGU akufikishe mbali sana❤
😀 Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@luselose99446 ай бұрын
Napenda mafundisho yako watching from Saudi Arabia
@mbekitv6936 ай бұрын
Ooh asante sana wape salaam👋
@gracemgeni7215 ай бұрын
Asante sana kwa ushauri mzuri, lakini tunaomba za wanaume wasiopendwa na wanawake.
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu sn mpendwa, Zinakuja soon😅
@user-gn3wd1us4b5 ай бұрын
Sijaolewa na ukoo mie sitaki nichanganyikiweeeeee😂😂😂😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Yaani🤣
@alimatambwe34023 ай бұрын
Big up for your lessons Bruh unatufunza vyema🙌
@mbekitv6933 ай бұрын
Asante sn
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu kutazama video yangu mpya
@LuccyMgaya-ex4dn5 ай бұрын
Nimazuri sana hakika asante
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu saaana
@silviafurah91726 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ubarikiwe sana ntarekebsha
@mbekitv6936 ай бұрын
Good Mpendwa Mungu akubariki sn
@patiencesamba94675 ай бұрын
Ushauri mzuri kabisaa
@mbekitv6935 ай бұрын
Kabisa mpendwa
@patiencesamba94675 ай бұрын
@@mbekitv693 Nikuulize mtu akikwambia muachane kwanza eti mtafute maisha kwanza ndio mruadiane akuoe hio ni kweli ama ananicheza kwa sababu anasema anatafutia mtoto kwanza ndio ndoa ikuje
@user-nt8jj6bs4v5 ай бұрын
Noma sana
@mbekitv6935 ай бұрын
Yaani acha tu
@user-bl3te8zp3q4 ай бұрын
Iyo nikweli kaka ang kutokuwa na heshima inatukost sana wanawake sema hatujui na ukiwwa na sifa hizi mwanaume atakupenda sana
Sawa ila nawao wnatakiwa wajue wake zao tabia gani awapendi kwa waume maana akuna mkamilifu chini ya jua kuna watu wanishi kwa vizur tu na waume lakini hao waume wanakuja kuyahalibu wenyewe wao ndo waanzilishi wao ndo wanakua chanzo mda mwingine
@mbekitv6936 ай бұрын
Sawa tutaongea nao pia..
@user-bs6et9vy4q6 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu hii najianda kuwa mke bora zaidi
@mbekitv6936 ай бұрын
@@user-bs6et9vy4q Gooooood
@user-dc2km2kz3j5 ай бұрын
Wakora waituu
@mbekitv6935 ай бұрын
😀
@esthermakelemo28643 ай бұрын
Komaaa kabisa,Wasukuma ni wastaatabu na tunaheshima,futa kauli Yako chafu
@mbekitv6932 ай бұрын
🙏
@EdinaInnocent4 ай бұрын
,🤣🤣🤣nmefurah san hapo kweny gubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haloooo nmefurah san😂😂😂😂
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@neemajumbe58024 ай бұрын
❤❤❤❤
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@adyeeribeatrice81363 ай бұрын
Wanaume wako waivio
@mbekitv69314 күн бұрын
@@adyeeribeatrice8136 wavipi
@adammkondya58965 ай бұрын
Umenisaidia asante
@mbekitv6935 ай бұрын
Wooh 😊. Sasa usiache kusubscribe ili uendelee kupokea mafundisho mengi zaidi
@user-zp8gp2uq1v5 ай бұрын
Ushaur wako mzur sana asante ila tunaomba nayawanaume
@mbekitv6935 ай бұрын
Soon itakuja😀
@mbekitv6936 ай бұрын
JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA?
@owandjanoella99216 ай бұрын
Ndio mwalimu imetusaidia saaana mungu akubariki🙏
@mbekitv6936 ай бұрын
@@owandjanoella9921 Ameen🙏🏼
@user-wl5wb5dj6d6 ай бұрын
Imenisaidia Sana kwakweli Mungu akubariki asante
@mbekitv6936 ай бұрын
@@user-wl5wb5dj6d Ameen🙏
@LinderMassawe-vp3bt6 ай бұрын
Nice
@user-ec4br4pd3o6 ай бұрын
Asante kwa somo Asante sana
@mbekitv6936 ай бұрын
Karirbu maana
@mbekitv6936 ай бұрын
Usisahau Ku Subscribe🙂
@ireneinniss10485 ай бұрын
Sana tena sana nimekulibali
@mbekitv6935 ай бұрын
😀
@user-fx7vt9wq2k6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu sn mpendwa Usiache Kusubscribe
@magdalenew.mwanyota59016 ай бұрын
Sijaolewa na ukooo mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤aki ww unaongea kama ukona mmoja huwa unamuona ama ni wife😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤭🤭🤭🤭😷😷😷😷😷😷🙈🙈🙈🙈🙈
@mbekitv6935 ай бұрын
🤣
@MegaNasri-bv7tc3 ай бұрын
apo kwenye mdomo sasa ndio mana nimeachwa 😂😂😂😂
@MegaNasri-bv7tc3 ай бұрын
Kama atarudi najilekebisha😢asante Kaka May God bless you Amen
@gracepius11024 ай бұрын
Wanaopendwa wenzangu hapo kuna jirani yangu kila siku saa saanane anapomfungulia mmewake,yaani anaanza kumchamba dirishani😅😅😅😅
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@mbekitv6933 ай бұрын
Ahaahahah🤣
@NeseriaMungay5 ай бұрын
😂😂😂😂😂umenichekesha umenielimisha siku nikimpata wakwangu ntajua pakuanzia
@janety19335 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂😂😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Vizuri sana😀
@mbekitv6935 ай бұрын
@@janety1933 😀
@user-ml6sc9cq1h5 ай бұрын
❤❤❤ nakubali sana kaka
@mbekitv6935 ай бұрын
Asante sna sna mpendwa
@user-fi9gm2et5r6 ай бұрын
Asante kwa ukumbusho ila nmecheka kifala kwel kusikia Kulthum ndio nan 😂😂😂😂
@mbekitv6936 ай бұрын
😂 Ni vita🙌
@user-fp5tn9cw7y6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kumbe kuna wanawake wanategemewa kwenda kusuta watu nimecheka kama mazuri
@mbekitv6936 ай бұрын
Aaah wapo hao😀
@user-rg4ov7sf5h5 ай бұрын
Ansate 🎉🎉🎉🙏🙏🙏
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibuu sana
@user-bq7zh6vd5v5 ай бұрын
Nimefurahi mafundisho yako nimejifunza mengi Allah akulipe
@mbekitv6935 ай бұрын
Amen🙏
@adammkondya58965 ай бұрын
Mungu akubariki sana umeniamsha kwenye ndoa yangu
@mbekitv6935 ай бұрын
Wooow vizuri sana. Sasa subscribe ili uendelee kupokea masomo mazuri zaidi
@rahmamohammed77076 ай бұрын
Umalaya katika dini yetu uwa ni deni, mkeo analupa bila ye kujua, au mwanao au dada au mama,kama upendi kusalitiwa usisaliti, ukimfanyia wa mwenzio na wako atafanyiwa, kujua tabia ya mme ata awe vp angalia ndugu zake wa kike au mkewe basi uampata
@mbekitv6936 ай бұрын
😰
@JulianaMbeyu5 ай бұрын
Nimesaidika haki from samburu
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂
@witnessrobert5 ай бұрын
Vip kwa wale wanao kublock wakiwa na hasira unapta ata mwezi hakutafti,,,,,,iv mwanaume kma uyo utaendelea nae ,,,,naomb nishauri
@mbekitv6935 ай бұрын
Hiyo ni kesi tofauti cos kila mtu ana namna yake yakutatua matatizo yako, so wewe ndio unapaswa umfahamu zaidi ili ujue nini ufanye kulingana na unavyomjua
@DiannaJumanne-de1kk25 күн бұрын
Me kwenye kununa jamani mmh ndo tabia angu nmeacha kuanzia leo
@mbekitv69314 күн бұрын
@@DiannaJumanne-de1kk 😀
@maureensunguya87796 ай бұрын
Hapa nilipo naitikia mhh mhh utadhani nimeolewa😂
@mbekitv6936 ай бұрын
Maandalizi ni mazuri kabla ya tukio so endelea kujifunza
@LeahMuganyizi5 ай бұрын
Umenichekesha muelimishaji ety sjaolewa na ukoo!!😅😅😅mbavu zangu mimi
@mbekitv6935 ай бұрын
Ahahahah😅
@emmymwaitebele6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri ,mimi nimepona kwa sehemu
@mbekitv6936 ай бұрын
Good👏👏 basi usiache ku subscribe mpendwa ili tuendelee kuwa pamoja na kujifunza pamoja.