MAZINGE VS NDACHA | JE YESU NI MUNGU? +254705602959
Пікірлер: 1 500
@nsubiraphael8514 Жыл бұрын
Dacha ubarikiwe ubarikiwe,unalifahamu neno la mungu,wafundishe
@FaithDoha Жыл бұрын
Tangu nianze kufwatilia maandiko haya na mafundisho haya akika nimejua ukiwa katika roho mtakatifu ndio utaelewa walakini kaa hauna roho mtakatifu uwezi elewa thanks mr Ndacha
@JustinaMalugu-pd6kf4 ай бұрын
mtumishi songa mbele
@Dominant974 ай бұрын
Hakika
@SurprisedBreadLoaf-bo3zeАй бұрын
I love christianity
@sammagesa81842 жыл бұрын
Ndacha kiboko ya mazinge..... ....alaf mazinge huna hoja ila unapiga kelele tu.... Pastor ndacha Mungu akubariki sana....
Anashinda akibweka na hana kitu ya kusema,,kupoteza mda tungekua tunasikiza Ndacha
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ujitambui mungu ana baba unajitambua nyie mungu akufananishwa na ki2 chochote jitambueni nyinyi yaan daah inalilah waina lilahi lajion
@FauziaMohammed-p4x9 ай бұрын
hahahaaa amumuezi Mazinge kiboko yao😅😅
@yassirswaleh71279 ай бұрын
Na unakaa unaamini mungu mfu. Mungu kafa msalabani na unakaa unapoteza mda kuabudu mungu ambae tayari alishakufa
@prosperniyongere74802 жыл бұрын
Bwana muchristo achana na huyu muislamu yeye anamujuwa Yesu kimwili tu. Na ukisema Roho Mtakatifu kwao unakuwa umegonga mwambwa.
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ujitambui Amin mungu anakufa na Amin yesu mungu mbwa ww
@ibrahimfarha3853 Жыл бұрын
Alhamdullillah kwa neemah ya u Islam ......Allah awahifadhi wahadhiri wetu
@MesaidiBambaulo6 ай бұрын
Amiin
@GameChumaTz Жыл бұрын
Akupe maisha marefu shekh wetu mazinge
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Amin yarabb
@edwinezawadi27368 ай бұрын
Barikiwa saana mtumishi wa Mungu Ndacha hao wamefichwa ya Roho ni naomba Mungu awafunulie ya rohoni
@mohabro9521 Жыл бұрын
Ustaadh mazinge MUNGU akubariki ndugu yangu akujalie kila la kheri
@naksphraits42378 ай бұрын
Mungu mgani unazungumzia?
@antonyndinga88906 ай бұрын
Hapa nimeelewa, Kuna mambo ktk roho na Kuna mambo ktk mwili. Inavyoonekana wakristo wanajua katika mwili na roho lakini waislamu wanajua ktk mwili
@fimboyamusadavy1804 ай бұрын
Asanti sana mwalimu Ndacha
@ClassicMsisili10 ай бұрын
Alhamdoulillah im Muslim Ya barriq barik shekh mazinge
@evanskhaoya566 Жыл бұрын
i love this, may ALLAH BLESS YOU ALL
@EvMichaelMwaura Жыл бұрын
God bless you Mwalimu Ndacha. I have come to know you lately and I love what you are doing in the body of Christ. You're a great inspiration in and to the body of Christ.
@ZenaNekesa-sx7qf Жыл бұрын
You are the false prophet that God said you will come during the end tyms
@MatanoMatandi6 ай бұрын
B4 supporting something read and understand it,cz you call your self born again Christians believing in Jesus,Most of you you're followers of Paulo and not Jesus,read warumi 11,mstari 13,Then tell me 10 countries that yesu alihubiri injili apert from israel
@JustinaMalugu-pd6kf4 ай бұрын
Mwalimu Ndacha Ubarikiwe na Songa mbele
@kilondajohn Жыл бұрын
Ndasha nalikua muslum kuanzia APA n'a amini Christ kuwa mungu
@orotancnelly3047 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@Utulivu444 Жыл бұрын
POINT
@nininahazwedonavine3349 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@wamorire204311 ай бұрын
@@nininahazwedonavine3349ACHA uongo
@HamadizoMadizo11 ай бұрын
Una akili ww sio muislamu ww unatuzuga tu
@saphinalutaha9077 Жыл бұрын
Mungu ampe afya njema maznge❤❤❤❤❤
@NxhfiNtjfifАй бұрын
Allahumma Amiiyn
@muznazahra4557 ай бұрын
Shukran Shekh wetu na wote walofanikishakikao hicho ,JAZAKUMULLAH KHAIR JAZAA.
@vascoaloycekihwele9724 Жыл бұрын
Ndacha unapoteza mda na mazinge... (1 Corinthians 2:11) Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mung. (1 Corinthians 2:12) Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na MUNGU. So mazinge ni wale wayahudi unategemea aelewe vip ingawaje Iko clear?
@africanking9004 Жыл бұрын
may God bless you ndacha for unvailing the gospel to them
@shabanindadaye4809 ай бұрын
Alihmundulilahi ya Allah mubark shekhe mazing mupanuliyekifuwacak azid kuwailimisha wadjawako
@harrisonodiwa72482 жыл бұрын
Hivyo Kwa akili ya Mazinge kipofu akisema kuku ni gari kipofu anauwezo kuliko mwenye macho. Yaani kipofu akisema Yesu ni nabii na mwenye macho aseme ni Mwana wa Mungu Mazinge ataegemea upande wa kipofu....balaa sana.
@benardpaul59712 жыл бұрын
you've made my day, nikama mtu akuambie I heard a voice na mwingine aseme i had a dream, utaamini nani...
@benedictfabian42092 жыл бұрын
Aah! Tusimlaumu sana. Ni vile upeo wake umeishia.
@yassirswaleh7127 Жыл бұрын
Shida mungu wenu katahiriwa ,hatuwezi abudu mtu aliyetahiriwa kama sisi
@daudilangat61239 ай бұрын
Ndacha mwalimu wa ulimwengu kuelekeza watu wote kwa yesu kristo😅😅😅😅😅
@mohamedyeslam5194 Жыл бұрын
Mashallah sheikh Mazinge
@tsumamartin68782 жыл бұрын
leo nishatambua ww Mazinge,hauna lolote na hujapitia hoja za Ndacha
@betteyandrew2912 жыл бұрын
Yesu ni yeye yule Jana na milele
@b.f.cburundifilmscompany3098 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana katika jina la yesu kristo
@omarizanda8 ай бұрын
Alhamdulillah, ustadh Mazinge and your colleagues spread the holy Quran and all books of God which mentioned only one God, I'm proud to be Muslim
@Andaybuidingworks6 ай бұрын
potea kabisa. 😂 uisilamu ya Muhammad
@amesaosman9907Ай бұрын
samahani unakusudia nini@@Andaybuidingworks
@SurprisedBreadLoaf-bo3zeАй бұрын
Kumbe wewe umepotea mzee
@RIO-jf9mo Жыл бұрын
Ati mjapani katengeza gari kwa mfano wake ....daaah balaa ..😑😑huyu jamaa yuaongea nini ...
@Utulivu444 Жыл бұрын
Mazinge wa mizaha kinoma anawapa motisha wenzake ila ukweli wanaelewa
@erickmaisha47732 жыл бұрын
Heee this a teacher bibilia sikukuwa naijuwa lkn nimeanza kuishika Kwa sababu ya ndacha
@josephmusembikyalo5580 Жыл бұрын
Kweli if you don't understand God is spirit you speak like this Muslim ,complete flesh and pilau
@bustedislam35782 жыл бұрын
Kwani huyu Mazinge ndiye anaye kubaliwa sana na waislamu? Yaani uislamu umekufa kabisa
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ndo umekufa wislamu utabaki mungu awez kufa na akafufuka je nikuulize swal mungu amekufa wakat mungu alikuwa amekufa je Dunia ilikuwa ya na nani
@bustedislam3578 Жыл бұрын
@@adamsaid-ze1jw Hahahaha 🤣😂. Kukuwa mfuasi wa marehemu Muhammad ni shida kabisa. Aliyekufa na kufufuka ni mwana wa Mungu. Mungu baba hawezi kufa. Kwani majini ndugu zenu wamekuchanga?
@karishs39562 жыл бұрын
Mazinge Kama uislamu unakutegemea wewe wameingia cha kike
@issackabdi70012 жыл бұрын
Waislamu hawategemei mzinge ..wanategemea mungu
@karishs39562 жыл бұрын
@@issackabdi7001 tangu lini???Kama hawakufuata vitabu vilivyo teremshwa na yeye tangu zamani ambazo hazina ushirika na majini na mashetani,,wanamtegemea kwa lipi sasa??
@rehemaabinelynyagawa28782 жыл бұрын
@@issackabdi7001 Mungu yupi mnae mwabudu?
@issackabdi70012 жыл бұрын
@@rehemaabinelynyagawa2878 ...yule mmoja hakuza wala kuzaliwa ... .hakuna anayefanan
@michaelkarisa5270 Жыл бұрын
Niukosefu wa ufunuo walikosa waislam
@Nolithajack122 жыл бұрын
Hamuna hoja yoyote mazigi Hana finishing 🤔🤔
@khalidkamanda8154 Жыл бұрын
Mungu gani anakufa ?, Na jiulize wakati alipokufa ulimwengu ulkuwa ukiongozwa na nan ?, Jiulze tena iv Mungu anazaliwa na la, kama kazaliwa yeye na Mariam nan mkubwa ? Fikiria kwa makini ujue ukweli wa dini ya kweli ndugu yangu.
@khalidabu52592 жыл бұрын
Mwalimu ndacha akuna need ya mafundisho na watu kama awa awajui yesu alikuja nduniani kimwili
@salimumbonyumukiza7032 Жыл бұрын
Ndacha wewe wacha uwongo tafazari mimi sizani uwongo wako kama wewe nimu somwi kwel dacha wewe muzehe mazinge muna fikiri wewe una jarimbu kweli hawuna elimu
@filexbenefits5612 Жыл бұрын
@@salimumbonyumukiza7032 mambo ya roho ayaitaji Elimu, soma hadi ulaya but you will never find spiritual teaching, it need prayerful and much committed man to God, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtapewa.
@filexbenefits5612 Жыл бұрын
Soma quran au biblia, not in vein to do this
@yassirswaleh7127 Жыл бұрын
@@filexbenefits5612 hatuwezi abudu mungu aliyetahiriwa
@suzanaagustinookelo4953 Жыл бұрын
@@salimumbonyumukiza7032we ndio ujui kusoma (musomwii) ndio nini!!!?
@RamadanPaul Жыл бұрын
Wakiristo cha kuzingatia. .. ndacha yupo kimasirahi analipwa kukufuru, nyie mnasema Mungu amweke kwa ajili yenu... Daah hakili ni nywere
@mwazanialiishehe1784 Жыл бұрын
Yohane 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
@zuhuramabd22552 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya makusud anajifanya haelewi ......hayuko sirious n mzaha2 ....haina haja kufanya mkutano na huyu mzee ..ameambiwa kila k2 lkn haelewi
@samwelrobeth77632 жыл бұрын
Roho ya mpinga kristo ndiyo inawasumbua hawana namna ya kujiyoa humo bila neema take Bwana
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Nyie mkizidiwa mnajidai roho au mwili. Wakristo bwana very funny!
@barakaelias1116 Жыл бұрын
Mtumish NDASHA Mungu akupe nguvu ya kuendelea kuutetea UKRISTO.
@Hussayn21 Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki
@nzizajovinpaul4955 Жыл бұрын
Utukufu na heshima bwana Yesu kristo nizako Milele na Milele Amen.
@mohamedyeslam5194 Жыл бұрын
Hana lolote huyo ndacha,Mazinge ndio kiboko Yao,Allah Ampe sheikh mazinge Umbri mrefu
@charlesmgonja8689 Жыл бұрын
Hivi huyu Mwalimu Mazinge munamuelewa mbona ajitekenya na kujichekesha mwenyewe?
@yusuphlule5254 Жыл бұрын
Daah! Kwakweli uislamu Ni msiba! Hivi haya Ni majibu ya swali aliloulizwa kweli? Asante yeah kwa kutufunulia haya.
@legend9805 Жыл бұрын
Wewe ndio una msiba pole sanaa. Yesu anaomba msaada kwa mungu alafu awe mungu loo
@RIO-jf9mo Жыл бұрын
@@legend9805 Aliomba msaada wapi..!?
@legend9805 Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo nenda kasome bibilia vizuri yesu aliomba mungu amnyanyuwe juu
@RIO-jf9mo Жыл бұрын
@@legend9805 hasa si alikuwa binadamu ...hasa ngoja nikuulize MUNGU ana uwezo wa kufanya lolote na anajua mbele kutafanyika nini ...hasa mbona asizuie hicho kitu kufanyika ingali ana uwezo ....jiulize ...wewe ...sababu ni kuwa yesu alifanyika mwili na ilimpasa afanye yote kufundisha watu kama nyinyi ....alikua na uwezo wa kufanya lolote ila alifwata utaratibu tu Kama binadamu ili mumuelwe ...
@legend9805 Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo yesu alizaliwa sasa mungu gani yuwazaliwa na binadamu
@rachealnazi9115 Жыл бұрын
Cjui kwanin pastor nilikupenda kwa maandiko yako ya kweli,,,,,lakini hao waislam hawapendi ukweli ju walikula kiapo cha majini
@YussufOmar-ff6dh Жыл бұрын
We subiri ukawe kuni huko
@ngagishow261411 ай бұрын
YESU nimtume wa Mollah
@joelrotich13069 ай бұрын
Wonderful conversations this making me to be achristian indeed, thanks to pastor Ndacha, God leading to inspire and spiritual grew more strong, Amen..
@majaliwamsigwa62062 жыл бұрын
Mazinge amkili tu Yesu mwana wa Mungu,ili am tangaze Duniani pote,hana vigezo vya kupinga habari za Yesu
@sirajiatibu3232 Жыл бұрын
Jesus is not a son of God but Marry Luke 1:29:30&31
@jacobmotegi9703 Жыл бұрын
Huku ni mjadhala kati ya mwili na roho. Ndacha Yuko kiroho na Mazinge Yu kimwili, hawataelewana hadi Ndacha ajadili naye mambo ya kimwili ambayo Mazinge anaongelea. Mazinge hajui mambo ya kiroho, hiyo ndio shida tu.
@robertmnyanyika5252 жыл бұрын
Ndacha ubarikiwe sana uwanja ni wako na Roho mtakatifu fanyeni yenu hapo Naona hawana jipya hao nikweli lazima tuwafahamishe kwa lazima huyu Yesu
@Hussayn21 Жыл бұрын
Tatizo lenu wakristo badala ya Kuzingatia Maandiko mwaleta ushabiki,mutawai jua ukweli lini kwa Namna Hii..?
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Mazinge kachoka hana hoja kabisa ila mgumu wa kuelewa kaweka pamba masikioni🤣🤣🤣🤣
@johnnandemu5605 Жыл бұрын
Kumbe umeona 😂😂😂
@Utulivu444 Жыл бұрын
Shekhe anajiita Professor ila anapwaya hatari 😂 anaforce Maandiko kwa maelezo (Utasikia Takbil😂) ya kutaka support kwa waumini Kiufupi Shekhe mazinge ushawishi ni mdogo sana UNAPIGA vijembe tu 😂😂😂
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ujitambui Soma sana usije ukafa ukawa mkristo
@khermisybonaya37412 жыл бұрын
Allah ampe Umri Mrefu wenye kheri hyo Mzee wetu *Mazinge* na ajaalie wawe wengi mfano wake🤲 khusuusan katka sisi vijana, ama kwa ndugu zetu ktka ubinadamu Allah awape hidaya ya kumtambua na kumuabudu yy🤲
@jamesombaso9493 Жыл бұрын
Yaaani bado mnaami uongo
@scofiotdangote7576 Жыл бұрын
Amin
@joasgeorge3710 Жыл бұрын
Kwa lipi mwaminini Yesu acheni Ujinga Hali mkijua Maalifa Yesu ni Mungu
@arabicgrammarchannel1162 Жыл бұрын
Dini ya uislamu ni dini ya ukweli
@yassirswaleh7127 Жыл бұрын
@@joasgeorge3710 hatuabudu mungu aliyetahiriwa
@TinaSyokau6 ай бұрын
Hamuwezi elewa kwa kuwa yessu ni roho na aliongea akiwa rohoni. Nyinyi waislamu mko tu kwa mwili. Kama baba zenu walimpinga sembuze nyinyi. Dacha achana nao hao wasindani. Waache waamini vile watakavyo amini. Walimkufuru. Wanafikiria ki mwili
@samhansie39642 жыл бұрын
Barikiwa sanaaaa mwalim ndacha Mungu akuweke sanaa kwa ajili yetuu 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@justinmguluka43852 жыл бұрын
Safi
@lucienmulenda5551 Жыл бұрын
Waislam chambuweni Vizuri iyi débat muta elewa kama uyu anaye wasimamiya yuko naji contredire sana 👀👀👀
@xaliimacabdullahi-lb8iz10 ай бұрын
MashaAllah ustadh Mazinge,,, wafunze Hawa waliopotea,,,
@SurprisedBreadLoaf-bo3zeАй бұрын
Mzee umepotea
@jei_Ibrahim2 жыл бұрын
unajua hii mambo ya roho hii ndio ina weka block kwa mambo mengi sana hapa mna dai sasa waislam hawana roho dats y hawaelewi uungu wa yesu i ifnd this kama sababu ya kuhepa ukweli juu why do u need roho to understand the bible hii ndio excuse yaku believe on mysties zenye hazina explanations you see bible has issues that they cant be explain na utaambiwa roho ndio unahitaji ili uelewe saa sijui mbona
@elizabethsidi5574 Жыл бұрын
Mungu ni roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli na usipoenenda katika roho huwezijua mambo ya rohoni ndo maana umesikia yesu alitahiriwa alienda harusini hio ni kimwili bt kiroho yesu ni mungu
@fanuelemanuel36232 жыл бұрын
Watu wanapenda vip ambavyo havoko hai yesu Ni mungu ukweli upo kwenye biblia
@AnuarMakame-iy2gy11 ай бұрын
Yesu ni mtume ukweli upo katika qurani
@jofreykabobe10 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gywakristo hatutumii Quran tunatumia Biblia ndomana sisi hatumjui Issa tunamjua Yesu
@saidichemasuet Жыл бұрын
Wakati Waibrahimu Waiziraili Hawakua Na Wayaudi
@yassirkhamis-kx1xk11 ай бұрын
Laailaaha illallah muhammadurrasuulullah
@Uzima-Tv Жыл бұрын
Waislamu wanaficha ukweli
@onesmusmusyoka766 Жыл бұрын
Waisilaham bila roho mtakatifu awazezi elewa maadiko
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ujitambui
@elizabethsidi5574 Жыл бұрын
Hivi waislamu mnajua kwa nn kuna mpinga kristo ??? Mbona hakuna mpinga Muhammad ??
@jacksonnzai15932 жыл бұрын
mazinge anaelewa alichofundicha Ndacha, shida n uma unaomwamini ndacha utamwonaje atakpkbali uhalali wa Yesu Mungu? kweli awa watu hawana Roho wanaongozwa 'na elmu 'na utashi tu. Ubabe fanyeni ila Yesu Bwana.
Ni vigumu Sana kumuelezea Muislam Utatu Mtakatifu. Wape Nondo Mwalimu Ndacha😅
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ujitambui
@barakacharo5967 Жыл бұрын
Ndacha amemchapa mazinge vizuri sana ,ingili inaendelea mbele amen 👏🙏🙏
@mwanahija968 Жыл бұрын
Amemchapa na nini nyinyi mtoni direct yesu io sku ataingia peponi bila kuwangalia
@saphinalutaha9077 Жыл бұрын
Hawez kumshnda maznge kwa hoja
@AnuarMakame-iy2gy11 ай бұрын
Siku ambayo nabii issa ataingia peponi naziona vile sura za wale walowakimwita mungu watakavyofedheheka mbele ya Allah 🤣😂😂😂😂
@jofreykabobe10 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gy Nyie waabudu mashetani na majini na wapinga kristo pepo mtaisikia tu kama ndugu zenu wayahudi waliomkataa Yesu
@EvaristeMigalos-z3jАй бұрын
Hakika wew ni mtumishi wa Mungu Mungu akulzidishie hekima na maarifa
@johnabamungu59842 жыл бұрын
Samahani sana kwa hili neno ila naomba tu niseme. Kwa sababu nime shangaa huyu anaye itwa mazinge .hajuwi lolote kabisa kwa sababu hoja za ndacha zina heshimu kichwa cha mada. Yeye kaenda inje na kukurupuka bure.tuna fataka walimu wakislamu lakini huyu ni oyvo kabisa. Mada ina ongeleya uungu wa yesu. Ina maana haitakiwi ku zungumziwa kimwili.
@benedictfabian42092 жыл бұрын
Amezidiwa mada ndio mana anahangaika. Ni wa kumuonea huruma tu kwa kukosa ufahamu. Vile anapotosha umati wa kiislamu.
@IbrahimMwinyi Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh pia
@IbrahimMwinyi Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@IbrahimMwinyi Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@suzanaagustinookelo4953 Жыл бұрын
@@IbrahimMwinyipole mjuwe Yesu uokokee
@NesphatykubePlEnosy-u6s9 ай бұрын
Nmeelewa kumbe mazinge nimtoto Hana uelewa
@alexramadhani66602 жыл бұрын
yani mazinge hoja zake zaking'ombeng'ombe🤔🤔🤔🤔
@passlinemedia6657 Жыл бұрын
😂
@abubakarymwinyi2026 Жыл бұрын
Msenge ww
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww Kuma 2 muamin yesu mungu Kuma ww
@khadijaali16569 ай бұрын
Haiwezekan kiumbe kilichoumbwa kma binaadamu wengine na kimezaliwa kma sisi binaadamu kuwa mungu ,hebu muogopeni Allah nyie wakristo, hivi kiumbe kimeumbwa baada ya kuumbwa viumbe vingi kabla yake halaf kiwe mungu,Allah ndie mfalme wa wafalme nyie hta mseme vipi cha kuzingatia ni kwamba aliyekuwepo mwanzo kabla ya ulimwengu ni ALLAH hivyo basi yeye ndo atabaki kuwa Mungu daima acheni kuleta unafiki nyny viumbe wa juzi tu . UISLAM ULIKUWEPO TOKEA ANAUMBWA ADAM NAE NI BINAADAM WA MWANZO. NA HUYO YESU ATABAKI KUWA MTUME TU HATA MSEME NN
@khadijaali16569 ай бұрын
NAIPENDA DINI YANGU YA UISLAM NAMPENDA MTUME WANGU PIA,NA nawaombea kwa Allah,wakristo mliozama kwenye giza Allah awaongoe ,Pia Allah awape nguvu wenye kuendeleza uislam .UISLAM ULIKUWEPO TOKEA DUNIA INAUMBWA NA UTABAKI MILELE MAANA NDIO DINI YA HAKI,HIZO dini nyengine ni uzushi tu
@ambeleikenda505411 ай бұрын
Mr Mazinge, may God open your eyes
@kamarhelo11 ай бұрын
Zz
@samuelmuhindosivamwanza49889 ай бұрын
AMEN
@CmankaCmanka9 ай бұрын
Ubarikiwe mazinge fundisha hao waliopotea😢😢😢
@thomasmuli9597 Жыл бұрын
Mimi ndimi njia ukweli na uzima......
@godfreyalex53194 ай бұрын
Wana masikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni; vinginevyo wangesikia na kuona wangelitubu na kuokoka
@RIO-jf9mo Жыл бұрын
Huyu mazinge hamna kitu ...kashambiwa kuna mwili na roho ....jamani lakini yeye ataongea kimwili...😑🚩
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww Amin yesu mungu yaan mungu ana baba yake unajitambua ww maipopo alikuwa mkristo mbwa yaan lakin na alikuwa anaongea kuhusu kristo Sasa ww Amin yesu mungu
@AnuarMakame-iy2gy11 ай бұрын
Wewe endelea kuamini kuwa yesu alizaliwa, anakunya, anakula, alikufa Halafu mnampaisha mnamwita mungu Ivo Ivo ONE DAY YESSSSSS
@jofreykabobe10 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gysasa kwan mwanadamu hali, halali, hanyi? Ona mlivyo majinga mnamjua Yesu kimwili tu kweli nyie elimu kwenu ni zero 🚮
@AbasiMussa-k1e10 ай бұрын
Rafikiangu ww mungu tungekua tunaishi nae mm nilivyokua sina pesa so tungemkaba ebu mujitambue jaman
@Lilian-xk5rw Жыл бұрын
Waislamu jamani mbona msiokoke
@annendegwa2375 Жыл бұрын
I'm happy to see you standing firm ndacha for christ.they want it to look like campaign, but you make them understand in a polite way.God bless you.
@Hussayn21 Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki! Ndacha hana jipya mungu yupi ywa tahiriwa wewe vipi. Majidiliano kusudi yake ni kuelimishwa chukueni maandiko
@mabascorcarpitow1819 Жыл бұрын
Do your research from what ndacha said,on both religions....you'll find that on Muslim side is actually not true and he doesn't finish the verses
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
Yupo vizuri saana .
@ArcadiusAndove-sp5dy8 ай бұрын
My God bless you mtumishi ndacha watoe kwenye upovu huo wajue akuna lisilo wesekana kwa mungu
@creverbee473 Жыл бұрын
Waislam kweli hawana roho, ndacha una kazi kweli usife moyo, hawamjui yesu kwa roho wanamjua kwa mwili tu.
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww huyo ndacha wako Kuma 2 Amin yesu mungu
@sallumkiranzunguye2242 Жыл бұрын
Yesu ni Mungu kweli kweli.
@IbrahimMwinyi Жыл бұрын
Mungu alotahiriwq
@IbrahimMwinyi Жыл бұрын
Mungu alotahiriwa
@kachagrill3204 Жыл бұрын
Hapo mazinge ujaelewa mtumishi aliongerea mungu kwa kiroho na Kim kimwili kwaiyo wewe umeongelea upande mmoja tu wa kimwili na sio kiroo so ujajibu swali Bali umepotosha shekhe wangu ungeongekea kwa pande zote alizo zungumza tungekuelewa
@kharifa-kf7nn Жыл бұрын
Toa Iman yako pendeni sikiliza kwa umakini maandiko ...mada nyingine aiitaj maandiko ni uelewa wako tyu utapata majibu ..jiulize sifa za mungu then fikiria matendo ya uyo issa ibn Mariam utapat jibu kamili
Jesus the Lord and king all praises and worship onto him
@bigmanfish634610 ай бұрын
Jesus told you to worship God. But you worship him instead. Jesus prayed in the mosques but you pray in churches. Jesus took oblution before prayers but you don’t and instead pray with shoes on
@Wpatrickwafula3432 Жыл бұрын
huna hoja mr mazinge tuongea juu ya hoja za uungu wa Yesu
@majaliwamsigwa62062 жыл бұрын
Aongozwe Sara ya toba huyo Mazinge,hana hoja kabisa,kakutana na upako wa kipekee
@benedictfabian42092 жыл бұрын
Hahahahahaaaa! Yani anaruka ruka kama mahindi kikaangoni. Hahahahahaaaa!
@rossarutasha9391 Жыл бұрын
Maxime unahangaika hata hawezi kukushinda wewe Ndacha ni hatari kwa.koroani n'a Biblia mazinge atajinyea tu
Just imagine anasema. .. mjapani katengeneza gari. .kwa mfano wake inaingia akilini kweli? ? Hawa waislam huwa wanatumia akili kweli? ?
@AliHassan-sj8cm Жыл бұрын
Wanatumia kuma ya mamako
@IsayaRubida Жыл бұрын
We ndacha,Safi Sana,kwanza unaroho wa mungu pili unamjua yesu vizr Sana,alafu unajiamini Kama yesu,shetani hakubabaishi hata kidogo wape injili hao Hadi waseme ndioo.wanakubali sema wakaidi tuu.
@vumiliawambula17162 жыл бұрын
mtumishi ndacha barikiwa Sana
@lucienmulenda5551 Жыл бұрын
Mazinge amesema eti alikuwepo kabla ya Ibrahim ila Ndacha alisema kwamba Yesu alikuwepo kabla ulimwengu uja umbwa siyo kabla ya Ibrahim wala Adamu na Eva bali kabra ya ulimwengu.
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww unajitambua kabla ya ulimwengu huyo yesu ajazaliwa mpak unaongea usenge ww Amin yesu mungu
@tomogutu73812 жыл бұрын
Ndacha dawa yao wametuthalalisha muda mrefu wacha yesu aitwe Mungu
@kodemamaloo5805 Жыл бұрын
Soma biblia .. inakataa kuwa Yesu ni Mungu... Mbn uelewa wa mtoto wa chekecheahuo
@AliMohamed-ng5ps8 ай бұрын
Ndacha uwezani na mazinge
@benedictfabian42092 жыл бұрын
Mazinge, wewe ni mtu mkubwa sana; unatakiwa kutumia akili kufikiri. Busara na hekima vitakuongoza. Usipindishe ukweli panapo ukweli.
@naomimbise-zp1xm Жыл бұрын
Hamjaelewa wenzetu hawajui mambo ya rohoni wapo kimwili so yakaisari mwachieni kaisari
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww amini unachoamin alafu hufe uwe mkristo
@theChristshow12 жыл бұрын
Jesus is king of king and lord of Lords
@janewangui6998 Жыл бұрын
Lord of lords**
@abdikafarabdullahi603 Жыл бұрын
If Jesus is lord who is lord of his mother
@orotancnelly3047 Жыл бұрын
AMEN 🙏
@yassirswaleh71279 ай бұрын
If Jesus is lord of lords who was he praying to? Who was the lord of his mother?. Why did the lord died?. Is jesus God or son of God? . Actually lots of confusion in this religion
@immaculataroeser9094 Жыл бұрын
Wee Maznge hujuikuwaYesu ana nafsi mboli Mungu na mtualiyafanya hayaili aukomboe ulimwengu kwa mateso .
@YussufOmar-ff6dh Жыл бұрын
Nafsi mbili na mwenzake nani
@YUSUFUKOMBOOMARY Жыл бұрын
Kwanin munguuu aje dunia kuukomboa ulimwengu, alaf ulimwengu kauumb yey, angekuw mungu kwel so angeuokoa hivyo kirohoo, ndamn kaja w2 wamemtundka msalaban, mungu gan anakubali kuadhibiwaa
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww Kuma nafsi mbili unajitambua ww Kuma ww yaan
@mirajisalehe742 Жыл бұрын
Ndacha umenyooka sana hukupindapinda nenda na ukweli huohuo ,mijadala hiyo ni njia nzuri sana ya kuihubiri lnjili
@Utulivu444 Жыл бұрын
kabisaaaa
@amanicarlumehabel757510 ай бұрын
Nimependezwa na hiyo kwamba "Tutawanywesha huyu yesu mpaka mmjue" hapa kweli waislamu waislamu ni wazi kuwa Biblia inawachanganya
@morriswambugu8292 Жыл бұрын
Mungu akubariki Ndacha,Hoja zako nzito sana. Halafu siri ya kuweka mafungu mingi hivo kwa kichwa ni gani?
@sawetito22 Жыл бұрын
Kafiri ndacha
@walugoivan Жыл бұрын
Mwalimu ndacha mungu akupe Barack
@filexbenefits5612 Жыл бұрын
Kafiri utasema tu lakini ukweli ndio mchugu, utameza tu
@SuheilShaffi2 ай бұрын
Mazinge masha Allah wee una elimu sana ❤
@harrisonodiwa72482 жыл бұрын
Kama huyu ndiye Mwalimu waislamu wanategea kama mwenye elimu zaidi basi uislamu ni utepetevu tu anajadili Yesu katika mwili toka mwanzo hadi mwisho vile Mwalimu Ndacha alimwekea mtego akaingia mzima mzima hata bila kujua amenasika.
@benedictfabian42092 жыл бұрын
Tatizo hana uelewa. Sio kosa lake. Sema tu anaupeleka vibaya uislamu.
@adamsaid-ze1jw Жыл бұрын
Ww ujitambui Kuma nyie yesu nani yaan anakubali m2 wa vita hivi huyu Kuma munamuelew huyu
@R.mkushi-vo2hn Жыл бұрын
Mazinge nakuhurumia neno hilo hilo litakuhukumu siku ya hukumu..
@RobinaSimeo-ow8sb11 ай бұрын
Hyo mazige hana ufaham
@pascalkaralo13672 жыл бұрын
Hiyo mazinge hawezi kuijibu hiyo hoja,atarukaruka na hoja za kimwili,na hataweza kuokolewa na huo mwili.
@majaliwamsigwa62062 жыл бұрын
Amezidiwa Mazinge jamani
@martinbarabara4370 Жыл бұрын
mchungaji umemmaliza mazishi atubu na aokoke yesu ndiye njia hakuna atakaefika kwa baba bila yeye
@YUSUFUKOMBOOMARY Жыл бұрын
Acha kuchekeshaa ww, bila yesu kakwambiaj Nan hatufki!!!!!, Ndoman mnaend kanisan kuruka badala ya kusali.
@gugainukaentertainment85 Жыл бұрын
YESU KRISTO NI MUNGU KWA WATU WOOOTE ISAYA 9:6-8 YOHANA 1:1-5 NA WAFILIPI 2:5-8 NI MUNGU PAMOJA NASI NI JINA LIPITALO MAJINA YOOOOOOOOTE
@sirajiatibu3232 Жыл бұрын
Jesus was sent to the house of Israel only Mathew 10 :5&6