JEE MAMA AKIKUKATAZA KUMUOA MWANAMKE YALAZIMU KUMSIKILIZA

  Рет қаралды 83,461

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 86
@nasrimbaraka341
@nasrimbaraka341 7 ай бұрын
Alhamdulillah maana jambo hilo ndo limenikuta sasa nahitaji dua zenu mashekh
@afric01
@afric01 3 жыл бұрын
Aslm alkm wtw.... Ukioa aliye jitolea, atakudharau na amdharau na yule mkeo wa kwanza, huko siko kuoa. Oeni kwa makini, kwa mpango nzuri, bila kutu aibisha. Shukran sanaaa Sheikh kwa darsa.
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 5 жыл бұрын
Naomba kuonana na huyu sheikh sjui ntampataje kuna mambo muhim ntaka niongee nae plz kwa wale wanaojua anapopatikana wanieleze apa mungu atawabarik
@habyalmary8132
@habyalmary8132 5 жыл бұрын
@Nafisa Muhamad. Ukitaka kumuona ustadh Izudin Alwy Ahmed nenda Mombasa Msikiti wa Shibu ulioko mwembekuku. Ilikua hapo msikitini time atakayo patikana. Good luck
@asyaluay5787
@asyaluay5787 4 жыл бұрын
Wanaume hua mwadanganyana sana ati uoe mwanamke akuangalie ww. Hicho hua n chambo 2 oa uangalie kazi kama hutoki kiara kabla siku zako
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 жыл бұрын
Swadakta shekhe kisa nimekipenda cha juha Allah akuhifadhi
@asiaimamu3435
@asiaimamu3435 6 жыл бұрын
Mashaallah Jazakallahu kheri
@snaidahjimwani7257
@snaidahjimwani7257 Жыл бұрын
Itabidi nihame uku Sasa 2023🎉
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 жыл бұрын
Sheikh Izudin kunywa soda kwa bill yangu 🙏😂😂😂
@hissanntemba9198
@hissanntemba9198 6 жыл бұрын
Mungu akubariki kW darasa hii
@hasunaally9581
@hasunaally9581 5 жыл бұрын
Salaam Aleykum shekhe tunapenda vipindi vyako vinaelimisha ila tunaomba unapoulizwa swali na sisi tusikie maswali unapoulizwa shekhe jazakallaahu kheir
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Huyu uwa hajibu maswali hata siku moja sijui ni kwa nini
@مشعلالجهني-ع6د
@مشعلالجهني-ع6د 5 жыл бұрын
Asalam alkum shekh na yule aliweza kumuamrisha mwana we kwa vitisho vyakumuambia achana naee mke yule mimi simtaki na kama usikii utakosa radhi yangu ni mzazi haina gani na atapataadhaba gani
@tototundu2179
@tototundu2179 Жыл бұрын
Yananikuta haya pia naomba jibu
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 5 жыл бұрын
Masha Allah upo vzr sana sheikh
@amalchetro3604
@amalchetro3604 5 жыл бұрын
pilau
@wyckliffeamaasa5739
@wyckliffeamaasa5739 6 жыл бұрын
ukweli mtupu Sheikh
@rifatisingano9893
@rifatisingano9893 6 жыл бұрын
Sheh je nimuoa apendwa nawazaz kisha nikaoa ule nimpendae
@realman3397
@realman3397 6 жыл бұрын
Hahahaha ustadh hio yko Kali mke kuwa tayari kuoa ksha akusimamie ww n.a. mkeo hahahha eti ukiacha hio nafasi sifai
@mamrashid7257
@mamrashid7257 5 жыл бұрын
Dua gani nimfanyie au nifanye.nn.nisaidie (nafatilia sana mawaidha yak
@abdulrahmanrahzan3565
@abdulrahmanrahzan3565 6 жыл бұрын
walay kweli yako ustadh
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 3 жыл бұрын
MASHA ALLAH ALEIK
@kassimally1803
@kassimally1803 5 жыл бұрын
Sheikh naelewa sana mafundisho yako
@amourseif5016
@amourseif5016 2 жыл бұрын
Mashalllah
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 Жыл бұрын
Je yafaa sheikh kuoa mke bila ya kumpa taarifa wazazi
@abdulmajidomar9174
@abdulmajidomar9174 5 жыл бұрын
Jazakallahulkheir
@dadijamoahmed5287
@dadijamoahmed5287 3 жыл бұрын
Mashaallah
@sikandarsuleiman3345
@sikandarsuleiman3345 5 жыл бұрын
Masha Allah
@NURUNGOMA
@NURUNGOMA 3 күн бұрын
Daah tusaidie ni nipo wakati mgumu
@zuweynabakary1622
@zuweynabakary1622 5 жыл бұрын
Je yafaa kujipamba nakujitia manukatokisha ukatoka na mume pamoja
@halimasaid4977
@halimasaid4977 5 жыл бұрын
Walah nafaidika
@rufismgonza4183
@rufismgonza4183 5 жыл бұрын
Halima Said!Halima vipi????
@mamrashid7257
@mamrashid7257 5 жыл бұрын
A alykum shekhe mie naomba namba yako nnashida kubwa nataka kukuelezea kuhusu huyu mtt wangu nakata tamaa dijui nifanye nn
@msovuramadhani4977
@msovuramadhani4977 4 жыл бұрын
,xmñ
@jafarihassan1675
@jafarihassan1675 3 жыл бұрын
Mashaallah
@halimasaid4977
@halimasaid4977 5 жыл бұрын
Shukrani sana
@salmaiddi1934
@salmaiddi1934 6 жыл бұрын
nakuomba uniunge na group la watsap no 0684273767
@sayfllahsayf7513
@sayfllahsayf7513 4 жыл бұрын
Hhhhhh. M nimependa kisa cha juha
@gloryfatu6751
@gloryfatu6751 7 жыл бұрын
Asalam aleikum sheikh, naomba kujua kama si lazma kumtaarifu mzazi, je walii ni nan /au atakua nani?
@muhammadkhatwab
@muhammadkhatwab 6 жыл бұрын
glory fatu Tuma SMS uungwe group la sheikh Izuddin Uliza ujibiwe ya whatsap +254 701 662152
@meymahally8674
@meymahally8674 4 жыл бұрын
@@muhammadkhatwab na mm nahitaji Hilo grup la uliza ujibiwe
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 4 жыл бұрын
Mume hana walii ana mashahidi tuu
@sayyidtawaqal1754
@sayyidtawaqal1754 5 жыл бұрын
Shekh mm nimetaka kuowa sehem ila mama na mjomba wamenikatalia ila hakuna sababu yeyote yakidini je unanisaidiaje
@mwanaidyibrahimu8861
@mwanaidyibrahimu8861 4 жыл бұрын
Yamenikuta na Mimi dah....
@safinairakoze3740
@safinairakoze3740 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄
@abudially2978
@abudially2978 2 жыл бұрын
Mmi nataka number yako usithedh nataka kuliza swali
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 2 жыл бұрын
+254772611120
@haniasalim8921
@haniasalim8921 5 жыл бұрын
Swadakta
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 5 жыл бұрын
Kabsa hata mm pia yalinikuta hayo hayo sasa nina miaka 6 katka ndoa yangu na wala sina raha kabsa yan kweli moyo wangu haujaridhika na huyo mume hadi sasa, na hua nikipata mitihani katka ndoa yangu nawalaumu wazazi wangu nkisema yote ni wao lau wangekataa mm kuolewa na huyo mume yasingenikuta matatizo hayo, nimejaribu kuishi nae kwa kuvumilia lkni kila nkijaribu moyo wangu wazidi kuumia na iv pia nimejaliwa kuzaa nae watto wawili, ndoa yetu haina amani Kila nnapomwambia mume aniache hataki,ikawa naomba mungu anieke mbali nae ili nieze kumsahau nimtoe moyoni mwangu na sasa niko saudia nafanya kaz sina mawasiliano yoyote nae tunaelekea miaka miwili sasa, nasubiria nkirudi nikadai talaka yangu kwa kadhi maana ni miaka hii toka nianze kumdai talaka na hataki kuitoa.
@daprince7545
@daprince7545 5 жыл бұрын
Pole sana dadangu uko saudia upande gani pia mimi niko ughaibuni
@daprince7545
@daprince7545 5 жыл бұрын
Pole sana uko saudia upande gani pia mimi niko ughaibuni
@kassikzubery9474
@kassikzubery9474 5 жыл бұрын
Njoo kwangu utatulia sana Shida nyie wanawake mnapenda kuolewa mke mmoja kumbe Mnasahau ndoa in utulivu sio idadi Ila utakua mke wa nne Wa kwanza katulia sana huu mwaka wa kumi Wa pili katulia mwaka sita Wa tatu katulia mwaka wa NNE Na alikua mke wa MTU wakaachana nimemuoa Nitumie picha yako
@ssmmasoud8556
@ssmmasoud8556 5 жыл бұрын
Waruhusiwa kujitoa katika ndoa ikiwa mume hataki kukupa talaka. Kuna taratibu zake ukiziweza basi unatoka
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
@@kassikzubery9474 ,wewe mkali na nusu 🤣🤣🤣
@hassanallyally3592
@hassanallyally3592 6 жыл бұрын
Kunaa mashekhe wanasemaa mzazi wako akikataa usioe mwanamke unaemtaka basi inabidi uwatii wazazi Sasa naonaa mnatuchanganya ipi kauli yenye nguvu shekhe
@almeidhalu3238
@almeidhalu3238 3 жыл бұрын
Amesema madhebu hapo utalifikhiana wengeni wasema kubali wengeni wamekataza
@yasminabdi3251
@yasminabdi3251 5 жыл бұрын
Mwanamke akikuoa ww na mke wako atakunyanyasa
@husseinyhassany5696
@husseinyhassany5696 5 жыл бұрын
Sijakufahamu yasmin
@husseinjongo7588
@husseinjongo7588 5 жыл бұрын
Lkn sheikh , ukitaka kuoa mke wa pili, si ni lazima uombe ruhusa kwa wakwanza jmn...
@algwiji
@algwiji 5 жыл бұрын
Si lazma haipo kwenye dini,
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 4 жыл бұрын
Sio lazima
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 4 жыл бұрын
Mke hatoi ruhusa
@nfatmanabila7829
@nfatmanabila7829 6 жыл бұрын
pamoja
@simaiommy7005
@simaiommy7005 4 жыл бұрын
Jamani huyu shekhe anaitwaje?
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 3 ай бұрын
Izudin
@mohdali7612
@mohdali7612 5 жыл бұрын
OK kwasasa yupo tanga
@abdullahadullaj3848
@abdullahadullaj3848 6 жыл бұрын
Shekh jee ni wanawake gani hawatolewi mshauri????
@muhammadkhatwab
@muhammadkhatwab 6 жыл бұрын
Abdullah A Dullaj Tuma SMS uungwe group la sheikh Izuddin Uliza ujibiwe ya whatsap +254 701 662152
@abeidchanga465
@abeidchanga465 6 жыл бұрын
Naomba uniumge kwenye group 0655112212
@alexmamti5022
@alexmamti5022 5 жыл бұрын
Unganisha no 0752146467
@hasanalihasani3236
@hasanalihasani3236 5 жыл бұрын
Nami naomba kuumgwa group 0683828488
@faridahsaid8936
@faridahsaid8936 2 жыл бұрын
Je pale mama anaposema amekutolea radhi sababu hutaki kuoa mtu uloekewa na uende ukaoe yule unaempenda?
@faridahsaid8936
@faridahsaid8936 2 жыл бұрын
Kuna hukmu gani kwa mama mwenye ametumia kua atamtolea radhi mtoto wake akioa mtu ambae hakumchagulia yeye?
@yasminabdi3251
@yasminabdi3251 5 жыл бұрын
Wanaume wanaotegemea mali ya mwanamke ni majangaa
@husseinyhassany5696
@husseinyhassany5696 5 жыл бұрын
Kkkkkkkkkkk
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Mtihani mana kaolewa huyo eti!!
@ghalimahassan7869
@ghalimahassan7869 6 жыл бұрын
Mashaallah Jazakallah khayraa
@shadyamasoud2480
@shadyamasoud2480 5 жыл бұрын
Mashallah
KHUTBA YA IJUMAA MASJID SHAMSIYA ALAWIYA
19:14
MADRASATU SHAMSIYA TV
Рет қаралды 8
KUKAA TAHIYATU
13:08
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 1 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 2,7 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
MUME KUSEMA HAJAOA NA AMEOA
16:53
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 93 М.
JE YAFAA KUMROGA ANAE KUHARIBIA NYUMBA YAKO
16:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 149 М.
JE TALAKA TATU KWA PAMOJA ZAPITA
10:12
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 123 М.
KWANINI KUWE NA NDOA ZA SIRI
12:51
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 13 М.
JE MWANAMKE HUTOKWA NA MANII
10:26
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 152 М.
JE WAWEZA KUMUACHA MKE ASIYE PENDA IBADA
9:54
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 26 М.
KISA CHA MAYATIMA WAWILI SHEIKH OTHMAN MAALIM
26:14
arkas online tv
Рет қаралды 61 М.
NIMDA GANI MUME ARUHUSIWA KUA MBALI NA MKEWE ?
16:44
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 96 М.