Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
@mckobatz58614 күн бұрын
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
@shaameshaame28373 күн бұрын
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
@deniseliuter30023 күн бұрын
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha@@shaameshaame2837
@bone1023 күн бұрын
Wakati mayele anaondoka Yanga hakuna mtu aliyesema wachezaji wanaangalia timu ambayo ipo club bingwa tena Yanga haikuwa club bingwa kwa miaka 25 ila leo Chama katoka Simba eti wanaangalia club bingwa tena baada ya simba kutokuwepo club bingwa kwa mwaka 1 na tena baada ya kukusanya point nyng kupeleka timu mbili club bingwa hii nchi watu mnaichukia Simba kisa mafanikio yake huu ni ushamba sana 😂 @@shaameshaame2837
@mashambaelectronicsworksho4953 күн бұрын
@@shaameshaame2837kwamba man u saiv haivutii wachezaji wakubwa?😅😅 Newcastle ni kama mtibwa ti
@mussakidabu42324 күн бұрын
Saleh jembe ww ni jembe unajua mzee ww sio mchambuzi mandazi napenda unaongeaga ukweli piga kazi mzee
@kamazimamuganyizi69324 күн бұрын
Kwa vile kamsifia chama apo unaona huyu ni mtu mzuri, angekua kamwongelea tofauti ungeshusha matusi
@emmanuelnkwabi86104 күн бұрын
Mm huwa nakukubali kaka
@praygodmmari58503 күн бұрын
Wee utaona tu ,Chama atakupa challenge mpaka utajuta
@praygodmmari58503 күн бұрын
Mchambuzi muongo huyu duuh, mbona alihisi kama yanga hawaja msajili duuuh saleh ni mchambuzi mwongo mwongo sana.
@saidalhinai1131Күн бұрын
@@praygodmmari5850 usiseme muongo yy alitaka uthibitisho sio maneno ya mitandaoni basi kila neno la mitandaoni ni kweli sio hivyo ni lazima uthibitishe sio ukurupuke yy anajua taaluma yake
@shukurumgaya59503 күн бұрын
Leo umeongea point
@user-pj4mx2ro4h4 күн бұрын
Mzee saleh jembe ulipaswa kuwepo CROWN SPORT MEDIA.lakin kwa wale looohhh kazi ipo
@FaustineTango4 күн бұрын
Kaka Saleh sijajua ushabiki wake ila ningetaman sana kumwona kwenye board ya wakurugenzi ya simba
@GibsonNtamamilo3 күн бұрын
Nakuunga Mkono asilomia 💯
@saidalhinai11313 күн бұрын
Alikua anafanya mgomo wakati yuko simba hata magoli matano yy na inonga na golikipa basi ni bora aende
@stanastana31993 күн бұрын
Chama,aziz ki yanga itachukua ubingwa tena
@thehustlerafrica43683 күн бұрын
Ameenda kustaafu😂😂😂
@julianajeremiah43533 күн бұрын
Hahaha wanaandamana kweli kweli maandamano kwa Chama Simba Morson ahamia Simba Wala hakuna aliyeandamana uwiiii
@Amonationtv45514 күн бұрын
🎉
@RashidiSaidi-p5t4 күн бұрын
Hiz swaga za chama watu wasishi kuhusu huyu mwamba twangalie usajili wetu pamoja na huyu kocha mbona hawamtangazi
@user-qo1sg1zd7c4 күн бұрын
Hamna kitu hapo yeye ni shabiki wa simba😢😢
@elimbotoraphael39403 күн бұрын
Shida ipo wapi akiwa simba
@nasseraljahwri63103 күн бұрын
Wewe ndio hamnazo, Saleh Jembe huwa anaongea facts.......😂 Unaleta ushabiki ndezi
@user-ip6xg6jx3g3 күн бұрын
Unataka awe mshabiki wa yanga.
@jofreymwampamba12363 күн бұрын
Yaan mlichopost na kinachoongelewa ni tofaut
@menhardmathias2033 күн бұрын
Natamani uwe CEO wa simba
@abumuhammad96153 күн бұрын
Nakukubali Salehe ..wewe ndiye mwandishi bora wa michezo wa muda wote hapa Tanzania