SALEH JEMBE AMCHAMBUA KIUNGO MSHAMBULIAJI SIMBA/USAJILI WA CHAMA YANGA/

  Рет қаралды 70,650

JEMBESPORTS

JEMBESPORTS

5 күн бұрын

Пікірлер: 33
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 4 күн бұрын
Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 4 күн бұрын
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 3 күн бұрын
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
@deniseliuter3002
@deniseliuter3002 3 күн бұрын
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha​@@shaameshaame2837
@bone102
@bone102 3 күн бұрын
Wakati mayele anaondoka Yanga hakuna mtu aliyesema wachezaji wanaangalia timu ambayo ipo club bingwa tena Yanga haikuwa club bingwa kwa miaka 25 ila leo Chama katoka Simba eti wanaangalia club bingwa tena baada ya simba kutokuwepo club bingwa kwa mwaka 1 na tena baada ya kukusanya point nyng kupeleka timu mbili club bingwa hii nchi watu mnaichukia Simba kisa mafanikio yake huu ni ushamba sana 😂 ​@@shaameshaame2837
@mashambaelectronicsworksho495
@mashambaelectronicsworksho495 3 күн бұрын
​@@shaameshaame2837kwamba man u saiv haivutii wachezaji wakubwa?😅😅 Newcastle ni kama mtibwa ti
@mussakidabu4232
@mussakidabu4232 4 күн бұрын
Saleh jembe ww ni jembe unajua mzee ww sio mchambuzi mandazi napenda unaongeaga ukweli piga kazi mzee
@kamazimamuganyizi6932
@kamazimamuganyizi6932 4 күн бұрын
Kwa vile kamsifia chama apo unaona huyu ni mtu mzuri, angekua kamwongelea tofauti ungeshusha matusi
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 4 күн бұрын
Mm huwa nakukubali kaka
@praygodmmari5850
@praygodmmari5850 3 күн бұрын
Wee utaona tu ,Chama atakupa challenge mpaka utajuta
@praygodmmari5850
@praygodmmari5850 3 күн бұрын
Mchambuzi muongo huyu duuh, mbona alihisi kama yanga hawaja msajili duuuh saleh ni mchambuzi mwongo mwongo sana.
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 Күн бұрын
@@praygodmmari5850 usiseme muongo yy alitaka uthibitisho sio maneno ya mitandaoni basi kila neno la mitandaoni ni kweli sio hivyo ni lazima uthibitishe sio ukurupuke yy anajua taaluma yake
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 3 күн бұрын
Leo umeongea point
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h 4 күн бұрын
Mzee saleh jembe ulipaswa kuwepo CROWN SPORT MEDIA.lakin kwa wale looohhh kazi ipo
@FaustineTango
@FaustineTango 4 күн бұрын
Kaka Saleh sijajua ushabiki wake ila ningetaman sana kumwona kwenye board ya wakurugenzi ya simba
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 күн бұрын
Nakuunga Mkono asilomia 💯
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 күн бұрын
Alikua anafanya mgomo wakati yuko simba hata magoli matano yy na inonga na golikipa basi ni bora aende
@stanastana3199
@stanastana3199 3 күн бұрын
Chama,aziz ki yanga itachukua ubingwa tena
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 3 күн бұрын
Ameenda kustaafu😂😂😂
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 3 күн бұрын
Hahaha wanaandamana kweli kweli maandamano kwa Chama Simba Morson ahamia Simba Wala hakuna aliyeandamana uwiiii
@Amonationtv4551
@Amonationtv4551 4 күн бұрын
🎉
@RashidiSaidi-p5t
@RashidiSaidi-p5t 4 күн бұрын
Hiz swaga za chama watu wasishi kuhusu huyu mwamba twangalie usajili wetu pamoja na huyu kocha mbona hawamtangazi
@user-qo1sg1zd7c
@user-qo1sg1zd7c 4 күн бұрын
Hamna kitu hapo yeye ni shabiki wa simba😢😢
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 3 күн бұрын
Shida ipo wapi akiwa simba
@nasseraljahwri6310
@nasseraljahwri6310 3 күн бұрын
Wewe ndio hamnazo, Saleh Jembe huwa anaongea facts.......😂 Unaleta ushabiki ndezi
@user-ip6xg6jx3g
@user-ip6xg6jx3g 3 күн бұрын
Unataka awe mshabiki wa yanga.
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 3 күн бұрын
Yaan mlichopost na kinachoongelewa ni tofaut
@menhardmathias203
@menhardmathias203 3 күн бұрын
Natamani uwe CEO wa simba
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 күн бұрын
Nakukubali Salehe ..wewe ndiye mwandishi bora wa michezo wa muda wote hapa Tanzania
@peterjohnbahhi1565
@peterjohnbahhi1565 3 күн бұрын
Interview yote chama.mwandishi bwege
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 3 күн бұрын
jembe huwa ni jembe kabisa
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 104 МЛН
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 10 МЛН
Русский ДЕБЮТИРОВАЛ В ЛИГУ ДАНЫ УАЙТА #shorts
0:35
Segurança do Messi 😬 #shorts #futebol
0:34
VPHD
Рет қаралды 17 МЛН
the product🗑️
0:19
FireBall
Рет қаралды 23 МЛН
Это самый УМНЫЙ вратарь в МИРЕ #shorts
0:29
Быстро воспитала бешеную девушку!
0:56
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 1,5 МЛН