Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him
@amaniomar17559 күн бұрын
It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.
@JumaMigezo9 күн бұрын
Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like
@zuberimohamed438 күн бұрын
Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚
@athmanimkangara92907 күн бұрын
Mkude & Chama political signing
@hajimnubi45817 күн бұрын
First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua
@abdallahidrisa7109 күн бұрын
Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.
@issaselemani4917 күн бұрын
Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.
@makabemwita48438 күн бұрын
Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.
@BennBenn-es5fi9 күн бұрын
Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.
@user-eu6gl4vs1o7 күн бұрын
Haikuhusu tulia Namungo
@vertasmtenga29828 күн бұрын
Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi
@djnyosoofficial3059 күн бұрын
Zahera juuu
@joshuamwambene28749 күн бұрын
Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu
@marcobulili43419 күн бұрын
Kweli kocha!
@makabemwita48438 күн бұрын
Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.
@thomasdimme78997 күн бұрын
Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga
@boscomalangalila7 күн бұрын
Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda
@Kabeya4108 күн бұрын
Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi
@amosicommedy69178 күн бұрын
Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine
@ErnestJosephat8 күн бұрын
😂daaah
@mussandikumana35619 күн бұрын
Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani
@jamesbernad16458 күн бұрын
Kolo bhana😂😂
@amaniomar17559 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉
@user-iz3hs8jl5p8 күн бұрын
safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana o
@speciallvoice80919 күн бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali
@husseinshabani95228 күн бұрын
Ni kweli kabisa Uyasemayo
@muhamedjaffar56539 күн бұрын
Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko