JEMEDARI WA VITA- Boaz Danken ft Gwamaka Mwakalinga

  Рет қаралды 638,360

BOAZ DANKEN

BOAZ DANKEN

2 жыл бұрын

Karibu Sana Kumwabudu MUNGU pamoja nasi MUNGU Pamoja huu wimbo Ni Ibada pia ni Maombi naamini Utafunguliwa utapata Neema ya kuomba itakujaa sana na Kumtaka Bwana kwa namna amabayo hujawa kupata. Mungu akutane na haja ya moyo wako katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Amen
JEMEDARI WA VITA means Mighty Man Of War
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama kwa Sadaka zao kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hii Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
JEMEDARI WA VITA Recorded at Rock City Mall parking Area, Mwanza, TANZANIA.
Music Arranged & Directed by Jimmy Kimtuo
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Baraka Ngowi
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Amani Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati

Пікірлер: 672
@ambweneobadiamwasongwe
@ambweneobadiamwasongwe 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu, kazi kubwa yenye Baraka sana ndani ya mioyo yetu
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Utukufu na heshima kwa Yesu
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
@@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU
@dorcusamubi577
@dorcusamubi577 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Umeniibariki sana... Naskia kunyenyekea ninaposkia wimbo huu ubarikiwe sana
@christinme4573
@christinme4573 Жыл бұрын
@@lukapastory lijue neno uwe huru☺️
@IsraelCiza-eq1ot
@IsraelCiza-eq1ot 5 ай бұрын
Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye
@boazdanken
@boazdanken Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
@ab71210
@ab71210 2 жыл бұрын
God gave me this song when i needed it "Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe
@jacklinemwongeli8365
@jacklinemwongeli8365 2 жыл бұрын
Hakuna mlima waeza stahimili sauti yako.l'm really blessed by this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@worshiplibrary7157
@worshiplibrary7157 Жыл бұрын
My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!
@speranzakiragu3491
@speranzakiragu3491 Жыл бұрын
Ameeeeeen🙏
@judithabdallah4594
@judithabdallah4594 Жыл бұрын
I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!
@brianmuriuki9271
@brianmuriuki9271 Жыл бұрын
JUSUS IS GOING TO DOMIT TRUST HIM TU...MAY HE DO MORE THAN U EXPECT
@naomiwangari4794
@naomiwangari4794 Жыл бұрын
Amen.neema iwatoshee.keep the faith
@zafaraniduguza4950
@zafaraniduguza4950 Жыл бұрын
May God come through for you
@CeciliaJoel-ty5eb
@CeciliaJoel-ty5eb 3 күн бұрын
Mungu akubariki sana Fanya kazi ya Mungu kwa kuisikia sauti ya Mungu binafs kuna sauti zingine zipo kwa ajili ya kunyamanzisha huduma
@fredmutuma1594
@fredmutuma1594 Жыл бұрын
Boaz boaz ,🙏🙌 nzambe apambola yo!! Hata nikaskia sauti ya kinanda ,yanipasha upenyo wa mungu Ngai akurathime muno ,saana ,Ntuku cionthe Much 💘 love from ameru republic ❤❤
@jeffrweza4089
@jeffrweza4089 2 жыл бұрын
Trully speaking I was waiting for these....nlitamani saana collaboo yako na Gwamaka...and God has done it.....barikiwa Boaz
@eunicedan
@eunicedan 2 жыл бұрын
Powerful combination 💪.....love of God kutoka hapa Kenya 🇰🇪 hallelujah 🙌
@njerujohnson
@njerujohnson Жыл бұрын
This son elevates my spirit to another level @ Boaz God has used you to lift the spirit of worship in me may Good lord increase you bro🇰🇪🇰🇪
@nandwarobai7149
@nandwarobai7149 2 жыл бұрын
Kuna uhai wa Mungu kwa huu wimbo,, May God lift you to another level, you're highly anointed great servants of God
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@P.W.I.P.I_MINISTRIES
@P.W.I.P.I_MINISTRIES 7 ай бұрын
Mighty Man of War Jemedari wa Vita hakuna kama wewe🙌🙌🙌🙌
@akimjoseph2818
@akimjoseph2818 Жыл бұрын
As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying humble and blessed.
@newboy1995
@newboy1995 Жыл бұрын
Congratulation ! thats a testimony of Humble Heart ! Praise the living GOD !📯 YESU ! 📯
@lydiaabel-uo1qn
@lydiaabel-uo1qn Жыл бұрын
e
@emmanuelmtwanamanjama2265
@emmanuelmtwanamanjama2265 2 жыл бұрын
Wow🔥🔥🔥Milima kwa Kwelii Mtumishi Ya Yeyuka katika Jina la Yesu. Magonjwa si Sehemu yetu (Isaiah 33:24),Madeni yotee Yameyeyuka.
@patricianyawira9553
@patricianyawira9553 2 жыл бұрын
Wimbo una Nguvu sana. Mungu awazidishie Neema yake. Twa waenzi sana hapa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.To God be the glory!
@Betty__Sankale__Muzik
@Betty__Sankale__Muzik 2 жыл бұрын
Nyimbo zako zanibariki kila siku❤️❤️ Barikiwa mtumishi wa Mungu wetu 🙌
@jonathankeya854
@jonathankeya854 Жыл бұрын
Kwakweli
@winniemwangi1610
@winniemwangi1610 Жыл бұрын
This is such a powerful song🙏🔥 He is indeed a powerful God He is melting down all situations Am Blessed from Kenya 🇰🇪
@paulotieno2223
@paulotieno2223 2 жыл бұрын
Asante Tanzania kwa umbali. Ni kweli Mungu wetu anajibu..iwas waiting for this.God bless you all and take you another level 🙏 🙌
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@mercyprecious98
@mercyprecious98 2 жыл бұрын
Jesus Christ you're really "JEMEDARI WA VITA" Lord the battles you have fought for me ,I personally couldn't fight for myself,I honor and exalt your Holy name,Yeshua, Messiah,you deserve the sweet names ever.Thank you Jesus,bless Tanzania,Kenya , Africa and world at large.@Boaz Duncan,may God keep you to continue blessing generations.AMEN🙏
@davidkalinga5580
@davidkalinga5580 Жыл бұрын
Jemedari wa vita
@user-uh2we9ec3p
@user-uh2we9ec3p 4 ай бұрын
Wacha Mungu azidii kuinuwa man of God u bless me with all Ur song so powerful man of God
@johnanyandwile8947
@johnanyandwile8947 2 жыл бұрын
We bless You God for your anointing and for the power of the holy Spirit within these men of God, BOAZ DANKEN & GWAMAKA MWAKALINGA.
@slyviajared6214
@slyviajared6214 Жыл бұрын
Bcvvvbvbvv
@adv.elishaserikali1015
@adv.elishaserikali1015 2 жыл бұрын
My brother Boaz, Mungu na azidishe neema aliyoweka kwako.. you are a blessing of our generation 🙏🏾🙏🏾
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@floziekiriinya9889
@floziekiriinya9889 Жыл бұрын
Napenda vile boaz uimba akimanisha God bless you
@ntulikapologwe6162
@ntulikapologwe6162 Жыл бұрын
what a combination of my two lovely brothers ! Such a powerful worship song, Mungu azidi kuwainua watumishi
@mwendwa_m
@mwendwa_m 19 күн бұрын
Thank you, Jesus, for fighting against my enemies who were too strong for me.
@PriscusCosmas
@PriscusCosmas Күн бұрын
Barikiwa Sanaa mtumishi wa MUNGU
@mercyprecious98
@mercyprecious98 Жыл бұрын
God is real 🙏🙌🙌Jemedari wa vita,amenipigania mahali kwingi ,siku zote nashukuru from Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@isaacsimalif6185
@isaacsimalif6185 Жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe nyanyi watumishi Kwa kazi nzuri katika ufalume wa mbingu
@chrispingibson7200
@chrispingibson7200 2 жыл бұрын
Anointing over anointing, God is wonderful, he is who he say he is. Be blessed man of God
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share kwa wengi ukiweza
@favouriteswangechi9697
@favouriteswangechi9697 Жыл бұрын
Jehovah Thankyou for raising true worshippers in these last days😭😭😭. My heart spirit body is edified. The Lord uplift you more servant of the Lord as you continue yielding 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@Mwavipa_stev2514
@Mwavipa_stev2514 2 жыл бұрын
Huyu Yesu hatokuja tokea mwingine kama yeye I'm speechless of him I LOVE YOU JESUS ❣️
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza
@vumiliabaraka3326
@vumiliabaraka3326 6 ай бұрын
​@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️
@user-sx9wb7nq3b
@user-sx9wb7nq3b 10 күн бұрын
It's been a year since this song was released, I've listened to it severally but today every word of it is bringing me to my knees..God is so real...Mungu anayeyusha milima
@janethnarsis188
@janethnarsis188 Жыл бұрын
Naenda kupata hii kazi kwa jina la Yesu Jemedari wa vita zangu zote. Nitarudi kushuhudia kwa jina la Yesu
@janethnarsis188
@janethnarsis188 Жыл бұрын
I got it kwa hakika. Mungu amenishindia Mengi. Leo 31.12.2022 ninamshukuru haikuwa rahisi@2022
@FLOH9876
@FLOH9876 4 ай бұрын
Jemedari wa Vita🎉 Hallelujah 🙌 He will also give me A Job And I will come to testify like you have
@mankamacha4383
@mankamacha4383 Жыл бұрын
Vidonda vya tumbo vinavyonisumbua vinayeyuka mbele zako BWANA,madeni yote yayeyuka mbele zako BWANA.UTUKUKUZWE MILELE 🙏,AMEN
@mwende4420
@mwende4420 2 жыл бұрын
Milima ya maisha inayeyuka hallelujah 🙌...it's indeed the song of the season. Uwepo wa bwana hata ofisini jameni.
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@hopezawadida
@hopezawadida 2 жыл бұрын
Hallelujah, Jemedari wa vita hakuna kama Wewe Milima yayeyuka kwa sauti Yako tu.... Barikiweni MoG .Im deeply soaked in this song.
@violetvinaywa4921
@violetvinaywa4921 Күн бұрын
Kwa hakika ni Jemedari wa vita 🙏🙏
@user-ex7es6fe3c
@user-ex7es6fe3c 6 ай бұрын
Jemedar wa vita hakuna kama wewe na Jehovah ndilo jina lako🔥
@rachelmalimbwi1748
@rachelmalimbwi1748 Жыл бұрын
Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana
@drgee4736
@drgee4736 2 жыл бұрын
He is the Great King Might Man of war! 💪🏾
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen utukufu na heshima kwa Yesu
@evakatani636
@evakatani636 2 жыл бұрын
Hallelujah, Jemedari wa vita hakuna Kama wewe, milima yayeyuka kwa sauti yako🙏 such a powerful song, be blessed abundantly 🙏
@goodluck6936
@goodluck6936 3 ай бұрын
How I'm i coming across this song a year later,aaah Jeeesus😭😭🙏❤️
@jyn3439
@jyn3439 2 жыл бұрын
Oh my.....powerful worship to Him The Most High... To be honest this brother is annointed..Keep going....Blessed in Kenya
@rehemamercy1134
@rehemamercy1134 2 жыл бұрын
Hallelujah. Milima yayeyuka kwa sauti yako tu, jemedari wa vita🙌🙌
@user-gu7mw8zs6c
@user-gu7mw8zs6c 21 күн бұрын
Amen San naamin hakuna mlima utakao baki umesimama ktk maishaa yangu napokea kwa jina la YESU👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@bridgetngendo8494
@bridgetngendo8494 Жыл бұрын
Jemedari wa vita.......pigania dada yangu na mama yangu,: acha wakuone ewe Jehovah Rapha kwa maisha yao. Amen
@speranzakiragu3491
@speranzakiragu3491 Жыл бұрын
Wooooooow this is great..... He's the mighty man of War.... More Grace bros .... God has won for Kenyans already🙏, he has heard our cry for the past 5years😭😭😭😭
@lydiagathuru242
@lydiagathuru242 Жыл бұрын
May God continue pouring His oil apon you search a blessing to us🇰🇪
@DrSarahKmusic
@DrSarahKmusic Жыл бұрын
Yesu ndiye jemedari wa vita..
@MikeONYII_
@MikeONYII_ 2 жыл бұрын
Hakuna kinachomshinda Jemedari wa vita🙌🙌 Listening from Kenya, blessed as we Trust God awaiting elections in 2days time
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
Along awaited worship #jemedari wa vita@ With this great Giants of the most high God more blessings to you
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@leadleaders4130
@leadleaders4130 10 ай бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu na Mungu azidi kuwatunza na kuwaonekania na kuwainua na kuwatumia
@Geo_88
@Geo_88 2 жыл бұрын
He's a Winning God Indeed🔥🔥👌 God Bless you Brother Boaz🌟🌟 You're a gift from Heaven! Blessings from Kenya🇰🇪
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@Geo_88
@Geo_88 Жыл бұрын
I'm spreading it widely😊❤
@salomemjema8242
@salomemjema8242 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Asanteni sana Watumishi wa Mungu Boaz Danken na Gwamaka Mwakalinga. Jemedari wa vita Hakuna kama Yeye Aliye Mfalme Mkuu, Hallelujah 🙏🏾
@prophetevans7418
@prophetevans7418 Жыл бұрын
This song has touched me Every mountains in my life has be melted , Glory to God
@patrickmbau5760
@patrickmbau5760 3 күн бұрын
God bless you sir for allowing His spirit to lead you in writing songs.
@jofreybenjamini8805
@jofreybenjamini8805 Жыл бұрын
Am touched with this kind of worship May the Lord Christ hold your ministry in Jesus Name BlessBless
@rizikipyuzza3411
@rizikipyuzza3411 Жыл бұрын
Might man of war I worship you🙌🙌🙌🙌
@dennisadala787
@dennisadala787 Ай бұрын
Jemedari wa vita hakuna kama wewe milima ya yeyuka kwa sauti😭😭😭
@carolyneakal4966
@carolyneakal4966 2 жыл бұрын
Milima yayeyuka kwa sauti yako Yesu🙌🙌🙇‍♀️🙇‍♀️🇰🇪
@JohnTilya
@JohnTilya 11 ай бұрын
E mungu wa mbingun wainue watumishi na uwape maono katika huduma yao
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
You never disappoint man of God Yesu azidi kukuinuia zaidi kwa viwango vya juu 🔥🔥
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
Much welcome man of God can't wait to see you soon at our church we really love your song indeed it has really change many hearts Welcome to Kenya 🇰🇪
@user-lm3nj4ld3v
@user-lm3nj4ld3v 8 күн бұрын
God bless you man of god mei God continue I using you and yo team thank gou
@jofreygrace9665
@jofreygrace9665 Жыл бұрын
Ainuliwe yesu zaidi ndani ya nchi yetu
@godfreybala4704
@godfreybala4704 2 жыл бұрын
God much bless Tanzania for our artist of gospel.we get victory through this song God continue BLess and win any situation we through. AMEN
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Is not us Is Jesus in us Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@godfreybala4704
@godfreybala4704 2 жыл бұрын
Thanks you
@user-mp1ep1en5q
@user-mp1ep1en5q 4 ай бұрын
Wimbo huu unazidi kua mpya kila siku maishani mwangu kama bd tunausikiliza 2024 tuzidi kutiana moyo
@alyssa-blessed
@alyssa-blessed 2 жыл бұрын
The song is on replay. God bless you Brother Boaz, Brother Gwamaka and the whole team.
@gaudenceponera6123
@gaudenceponera6123 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana Minister Boaz Danken
@JoseLittoh-
@JoseLittoh- 2 жыл бұрын
Powerful song. Listening from 🇰🇪 🇰🇪 and being blessed
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
@@boazdanken safi, lakn Boaz usisahau kuwa mapambo kwa wadada nywele bandia ,hereni n k ni dhambi
@edibilym.manyaga8314
@edibilym.manyaga8314 2 жыл бұрын
@@lukapastory duh kaka hapa umezidisha...! Sitaki kusema sana...! Ila shika ulichonacho tu baba ikutoshe, wenzio tunabarikiwa na muonekano wao...! Tena wamependeza sana kwa utukufu wa Mungu
@mathewmwasangwale4205
@mathewmwasangwale4205 2 жыл бұрын
Ipo Nguvu ya uponyaji inatembea ndani ya uwepo wa Mungu
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@nsikanyigwinshimpinga9132
@nsikanyigwinshimpinga9132 Жыл бұрын
Yes . Ni Jemedali wa vita nauona Mkono wa Bwana
@e-star454
@e-star454 Жыл бұрын
Milima yayeyuka kwa sauti Yako.... powerful.
@deboramalakasuka5396
@deboramalakasuka5396 Жыл бұрын
Hakika nimemwona MUNGU akifanya kazi na milima yote iki yeyuka katika familia yangu 😭😭😭 hakika unastahili sifa za moyo wangu eeh MUNGU uketie anzini 😭😭😭😭
@pelecymsemwa8107
@pelecymsemwa8107 Жыл бұрын
Yesu ni jemedari wa vita siku zetu zote ashukuriwe Mungu akutumiaye kudhihirisha utukufu wake na ukuu wake. Utukufu wa Mungu uwe we siku zote mtumishi wake
@amonkaranja2695
@amonkaranja2695 2 жыл бұрын
Amen 😭🙌daima na milele tumuabudu huyu Mungu 🙌🙏nabarikiwa sana na wimbo huu 💯💯
@helinahenry2363
@helinahenry2363 11 ай бұрын
Mlima wa kutojenga uyeyuke kwa jina la Yesu, na mmi nikajenge , nipate kibali Cha kumiliki nyumba nisingoje Tena Hallelujah
@mercytsuma3551
@mercytsuma3551 Жыл бұрын
This worship is powerful.Mungu awabariki Watumishi for ministering to me 🙌🙌🙏🙏
@joelmosho802
@joelmosho802 2 жыл бұрын
Am Tabtha from Mombasa I love your songs, they are very powerful, God bless you
@amonkaranja2695
@amonkaranja2695 Жыл бұрын
😭😭wimbo huu, Milima yayeyuka 😭😭asante Yesu kwa wimbo huu na mtumishi wako Boaz 🙏
@golavujoseph5703
@golavujoseph5703 2 жыл бұрын
We bless your name Lord in higher barikiwa sana brother Boaz GOD keep you hadi uuone ufalme wa MUNGU
@stephenmuikamba7166
@stephenmuikamba7166 4 ай бұрын
Yuko jemedari wa vita...,Kila milima iliyo mbele yangu yayayuka kwa jina Takatifu la Yesu Kristo...... Amen 🙏🙏🙏
@christinetusu9926
@christinetusu9926 Жыл бұрын
Amen Jemedari wa vita yeyusha milima yote inayozunguka nchi yangu Kenya sasa hivi kwa kina la Yesu.
@myalanity5207
@myalanity5207 Жыл бұрын
Huwa unanifanya moyo wangu kujiskia kuomba na kuabudu kila naposikiliza nyimbo zako.ubarikiwe saana mtumishi
@careendeni6580
@careendeni6580 2 жыл бұрын
Utukuzwe BWANA kwa jambo linalofanywa na watumishi wako kwa jina la Mwanao Mpendwa. Barikiwa Sana watumishi.
@favour7152
@favour7152 2 жыл бұрын
Woooow 💕💕 Such a blessing song For sure He is a mighty worrior
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@bonifacemsigwa2007
@bonifacemsigwa2007 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mwalimu wangu
@shimonperez6589
@shimonperez6589 Жыл бұрын
This song has a special anointing. Kila napouskiza nahisi mguso wa kipekee. Barikiweni sana watumishi wa Mungu.
@pstphronesis4179
@pstphronesis4179 Жыл бұрын
Love You Sana Servants of God. Thank You So Much for your Powerful Ministration...
@josiacharles2778
@josiacharles2778 10 ай бұрын
Mungu akuzidishie unyenyekevu ili uduma yako ikuwe zaidi, usitafute kuonekana kama waimbaji wengine acha Mungu wako aonekane Kwa watu, Mungu atakuzidisha.
@paulosmbena2834
@paulosmbena2834 Жыл бұрын
Balikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mkuu mno kwa sauti nzuri kbisa Toka kwako iliyowekwa na mungu kwa makusud maalum,mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake.
@allenmushema5844
@allenmushema5844 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🏾
@marymatenga4038
@marymatenga4038 Жыл бұрын
Hawa watu wawili ni zawadi ya Mungu kwetu..nambariki Mungu kwa ajili ya hawa watu..wabeba uwepo wa Mungu.. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu!
@bethwelebei699
@bethwelebei699 2 жыл бұрын
We Kenyan we love you Boaz....tembea adi TURKANA LODWAR leta ministry uku.
@bettykilonzo3805
@bettykilonzo3805 2 жыл бұрын
Indeed HE is a Mighty Man of war🙌🙌
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@reginagachara4363
@reginagachara4363 Жыл бұрын
Anayeyusha milima. He makes a way where there is no way. Tuyeyushue milima katika maisha yetu Yesu. Tunaliita jina lako tunakuwa salama. Am blessed from Mombasa, Kenya
@eglahelenkikuli8354
@eglahelenkikuli8354 Жыл бұрын
Wewe ni Jemedari wa Vita,umetukuka Bwana Kila pembe,dunia yote na inyamaze kimya mbele zako...Adonai Mungu mwenye Enzi ni wewe Bwana,Milima yayeyuka mbele zako kwa sauti yako.....ooooh hallelujah hallelujah
@apphiaamani124
@apphiaamani124 Жыл бұрын
Mungu akubariki kakaangu.....ni furaha kuu na baraka kua na watumishi wa Mungu kama wewe! Mungu azidi kukupa neema, akufiche, akuinue zaidi. Mungu ainue wengi kama wewe mtumishi wa Mungu.
@jojalove07
@jojalove07 27 күн бұрын
May God bless you servants of God The sound of heaven is in every lyric and melody ❤
@mariumngusa571
@mariumngusa571 Жыл бұрын
Jemedari wa vita hakuna Kam wewe milima yayeyuka Kwa sauti yako tuuu, ubarikiwe sana kaka Boaz hakika nabarikiwa na kazi yako ni njema sana sana
@cpaannwanjau6044
@cpaannwanjau6044 Жыл бұрын
Oh Lord Jesus we trust in you for a peaceful transition of power in Kenya
@christabibukenya4097
@christabibukenya4097 Жыл бұрын
Do what only You can do God...vita ni vyako,utukufu na nguvu ni zako Yesu.
@abelmeliu2522
@abelmeliu2522 2 жыл бұрын
Nyimbo zako mtumishi wa Mungu ni za baraka sana katika mwili wa kristo. Hizi ndizo tenzi za rohoni za wakati huu na wakati ujao.
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu sio zangu ni za Yesu kwajili ya Kanisa. Utukufu na heshima kwa Yesu. Please share kwa wengi ukiweza
@wilkisterlusuli7084
@wilkisterlusuli7084 Жыл бұрын
@@boazdanken may God continue using you servant of God.am blessed
@shaibumbwilo9938
@shaibumbwilo9938 2 жыл бұрын
Mwaimba vema kwa utukufu wa Mungu,wasaidieni na kuwaonya walionyoa denge /panki,walioweka mawigi/nywele bandia vichwani mwao,mambo hayo ni machukizo kwa Bwana,na pia wasilinajisi kundi la Bwana.kama hawajaokoka wasaidieni wamjue Mungu wa kweli. Maana Mungu yule ni mwenye wivu .
@joshuakamwela4095
@joshuakamwela4095 2 жыл бұрын
MUNGU awabariki kwa huduma nzuri neema ya YESU KRISTO iendelee kuwabariki na kuwainua kihuduma .
MUNGU KAMA WEWE HAYUPO - BOAZ DANKEN FT DORCUS AUGUSTINO
26:37
BOAZ DANKEN
Рет қаралды 279 М.
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
Essence Of Worship ft Joe Mettle | Paul Clement | Naomi Wasonga-Ninakuabudu Worship Medley
20:12
UWEPONI MWAKO KUNA AMANI
16:32
D'VINE WORSHIP MINISTRIES - CHURCH
Рет қаралды 1,4 МЛН
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Dj Marita
Рет қаралды 2,1 МЛН
Boaz Danken at Rhema Feast Nairobi Day 2 #GloryandHonortoJESUS
29:51
Patrick Kubuya - Sitakuacha (Live Recording )
15:53
Patrick Kubuya
Рет қаралды 875 М.
BEST OF BOAZ DANKEN MIX BEST SWAHILI WORSHIP
27:30
GOOD CONVERSATIONS KENYA
Рет қаралды 29 М.
Essence of Worship - Ninapenda Nikuabudu (Official Video) skiza Codes (7636499)
19:28
Essence Of Worship Ministries
Рет қаралды 6 МЛН
Жандос ҚАРЖАУБАЙ - Ауылымды сағындым (official video) 2024
4:25
BYTANAT - ҚЫЗҒАЛДАҒЫМ
2:24
BYTANAT
Рет қаралды 58 М.
R-ONE - SENSIZ / СЕНСІЗ (Official Audio)
2:51
R-ONE MUSIC
Рет қаралды 37 М.
Jaloliddin Ahmadaliyev - Kuydurgi (Official Music Video)
4:49
NevoMusic
Рет қаралды 10 МЛН
Alisher Konysbaev - Suie ala ma? | Official Music Video
2:24
Alisher Konysbaev
Рет қаралды 1,2 МЛН