mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri
@martinhinda52339 ай бұрын
Mungu aendelee kuitia nguvu family ya mzee wetu
@graceannah84527 ай бұрын
Chapa kazi mama kazi Yako ni nzuri wanawake oyeeeeee
@Aziz-p6s9 ай бұрын
Jeska amekua mashaalah
@stanleymhozi75907 ай бұрын
Mungu muinue jeska kwa viwango vywajuu
@dominicamwacha8 ай бұрын
Happybirthday Mama Yetu Mpendwa Mungu akuongezee miaka mia moja zaidi tunakupenda mama kazi iendelee❤❤
@davidmpiluka52248 ай бұрын
Jesca, uwe mzalendo kama alivyokuwa mtumishi wa Mungu, mpendwa wetu JPM.
@SuleAmber-lw2tx9 ай бұрын
Aseeh mtoto mrefu na ninavopenda wadada warefu 😂❤
@fridageorge28098 ай бұрын
😂😂😂😂
@nabosedward48368 ай бұрын
Itakua nae yumo kwenye system mbona kaenda kiulaini tu
@mwanduelizabeth22827 ай бұрын
Jesca anafanana na mama yake Janeth Magufuli
@joshuamwambene28748 ай бұрын
Magu wetu bwana..machinga tunamkumbuka sana
@halimamasai22348 ай бұрын
Mtoto wa jembe kila la kheri na maisha marefu uwe jembe kama baba yako
@fj83175 ай бұрын
Hicho kichwa magu mtupu
@LodrickNgendwa8 ай бұрын
Mheshimiwa rais tumekuelewa
@ashamohamed32328 ай бұрын
Nataka nikulipiee fomu ya ulaisi mama yangu
@Mobigo2tigoTogogo8 ай бұрын
Afya njema jescar
@Shadia5449 ай бұрын
Namtaka anaempaka wanja samia ajitokeze 😂😂😂😂
@khadjamhozya8 ай бұрын
Kwanini🤔😊
@Officialjidaa-sn9cs9 ай бұрын
Magufuriiiii ni nomaaaa badoo
@sabihaibrahim1439 ай бұрын
asingeweza kumfikia kirahisi hivo kama maji kama sio yeye
@ShafiiSoud-b3w9 ай бұрын
sahih kabisa...n kwa sababu t baba yake alikua somebody wa hii nchi
@allahisone63868 ай бұрын
@@ShafiiSoud-b3w 😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️
@HappyWillfred8 ай бұрын
Habari mama mi naitwa happy nipo dar nakuomba unisaidie mwanao ela ya mtaj baba angu anatakiwa kufanyiwa upasuaji hatuna ela nakuomba ela ya mtaji
@blandinamwarabu50257 ай бұрын
Makushauri uende moja kwa moja kwa mkuu wa Mkoa utapata msaada na baba yako kama ana zaidi ya miaka 60 atahudumiwa buree lakini hata kama hajafikia umri huoa bado atasidiwa tu. Humu kwenye mitandao labda weka namba ya simu atakayekuwa nacho atachangia
@itikamlagalila19118 ай бұрын
❤❤
@MtsoMusa8 ай бұрын
Asnte mama
@franciscomasungulwa38208 ай бұрын
AMINA
@gasarabwepatrick6598 ай бұрын
😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
@imanmodern9 ай бұрын
Waongo ninyi 😅😅😅😅
@OfficialA836409 ай бұрын
Uongo huo vp wakati Jesca JPM ndy huyo 😂😂
@khamismohammed16509 ай бұрын
Haoni hata kusachiwa hajasachiwa
@bundalahamza89029 ай бұрын
Kafanana na Mama yake.
@OfficialA836409 ай бұрын
@@khamismohammed1650 We yaani lazima aangaliwe ndy aruhusiwe kumfikia Rais unafikiri kakurupuka tu kumfata hapo
@khamismohammed16509 ай бұрын
@@OfficialA83640 hata kama kaangaliwa kisitarabu hata camera hazijamuonesha
@farajakwilasa4719 ай бұрын
mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri