Рет қаралды 5,086
Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya afya ya akili duniani, Mwananchi Digital imezungumza na daktari wa afya ya akili kutoka hospitali ya taifa ya Mirembe Dk Ninaeli Urio ambaye anatueleza namna ambavyo unaweza kumtambua mgonjwa wa afya akili na kumpatia matibabu huku akieleza namna ambavyo mitandao a kijamii imekuwa kichocheo kikubwa ya ugonjwa wa afya ya akili.