No video

Jinsi ya Kusafiri kwa Ndege

  Рет қаралды 7,574

Mazula Abund

Mazula Abund

Күн бұрын

Пікірлер: 63
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@jackcharles7218
@jackcharles7218 8 ай бұрын
Hahahahahah ahsante bro kwa mwongozo wako mzr
@aj-gw1rl
@aj-gw1rl Жыл бұрын
Asante kwa maelekezo mazuri
@rofinkitali3765
@rofinkitali3765 25 күн бұрын
Uwe unaongea kwa kutulia. Ikiwezekana andika orodha ya utaratibu halafu usome taratibu. Mfano 1. Pata tiketi ya kusafiri. 2.kama ni safari ya ndani uwe na kitambulisho chenye picha. 4..… Tumia maneno ya heshima. Usitumie 'atakupiga biti kali'
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 2 жыл бұрын
Safi sana ndugu kwa kutuelekeza
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Asante
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 6 ай бұрын
Airport watu huwa wanatupa Sana vitu Asa oman 😂😂😂😂😂 MI ndomaana natumaga cargo afu naondoka na mzigo wa kilo zinazotakiwa
@nditondilito2510
@nditondilito2510 Жыл бұрын
Safi
@deveralymgaya978
@deveralymgaya978 Жыл бұрын
Uko vizur
@macrinacaesar1564
@macrinacaesar1564 Жыл бұрын
Hi Chriss,asante kwa tips.ubarikiwe
@MazulaAbund
@MazulaAbund Жыл бұрын
Karibu, Like, Share na wengine wapata, pia Subscribe
@stevekdaniel
@stevekdaniel 2 жыл бұрын
Safi sana
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Karibu
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 жыл бұрын
Asante
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Karibu
@user-rc9xd9hu3m
@user-rc9xd9hu3m 2 ай бұрын
Nisaidie nataak kusafiri kwa ndege na sina kitambulisho chochote mpenziii 😢😢😢
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 ай бұрын
Tafuta kitambulisho kwanza
@user-rc9xd9hu3m
@user-rc9xd9hu3m 2 ай бұрын
@@MazulaAbund nakitambulisho Cha mpiga kura tyu jomni na natakiwa niende kesho kutwa ntafanyaj na naenda dar natokea dom
@user-vv2wn9qn4t
@user-vv2wn9qn4t 9 ай бұрын
Mimi kunamzingo nimetumua sas natuma pesa wanambia et pesa y tanzania ni ndog kwa kenya nifanye nini ili kupata mzingo wangu kaak😢
@Julie-bb6yt
@Julie-bb6yt 20 күн бұрын
Sio wale matapeli wew 😂😂
@user-vv2wn9qn4t
@user-vv2wn9qn4t 9 ай бұрын
Samahani kaka naomba kuhuzulia je ukiangiza mzingo kukufikiavinabidi ulipie shingapi
@MazulaAbund
@MazulaAbund 8 ай бұрын
Mzigo kutoka wap had wapi? Kwa njia gani? Wachek DHL,
@nellytsuma7519
@nellytsuma7519 Жыл бұрын
Thanks bro
@MazulaAbund
@MazulaAbund Жыл бұрын
👍👍Share na Subscribe plz
@nellytsuma7519
@nellytsuma7519 Жыл бұрын
@@MazulaAbund where is party 11 and 12
@rommysandra1276
@rommysandra1276 3 жыл бұрын
Mmmh
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Karibu
@hariethcostantine9777
@hariethcostantine9777 2 жыл бұрын
Kwaiyo auruhusiwi kusafiri na parefum ya aina yoyote
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Ndiyo
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Unaruhusiwa ina unaweka kwenye begi linaloingia sehem ya mizigo, kwenye sehem ya abiria kuna shart la ujazo ambao ni ndogo sana
@tumtumkhan3115
@tumtumkhan3115 3 жыл бұрын
Jee unaweza kubeba perfume kwenye begi la chini
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Unaweza
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Жыл бұрын
Unabeba
@ghaosalsalum
@ghaosalsalum Жыл бұрын
Ticket ya ndege wakesha kutumia unaenda kuitoa copy?
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 6 ай бұрын
Ndiyo
@lizzydiy4590
@lizzydiy4590 2 жыл бұрын
Kaka je unaweza pata ticketi hapo hapo airport ile siku ya safar?
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Inawezekana km ndege ipo au zipo pia kuwepo na nafasi ila mara nyingi siyo za nje ya nchi pia bei inakuwa kubwa kwa tiket ya siku hiyo hiyo na mda mfup tu safari
@Glorie711
@Glorie711 Жыл бұрын
Maybe fire ya kwenda Tanzania ni kama ngap ni kiwa kenya
@MazulaAbund
@MazulaAbund Жыл бұрын
check online ila siyo ghali sana
@Glorie711
@Glorie711 Жыл бұрын
@@MazulaAbund Asante kakangu 🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund Жыл бұрын
@@Glorie711 Karibu, Subscribe, Like and Share na wengine wapate kujua na kuona
@vitymteysemere4777
@vitymteysemere4777 Жыл бұрын
Kaka naomba no yako
@MazulaAbund
@MazulaAbund Жыл бұрын
Naandaa namba afu ntaweka hapo kwa ajir ya watu wote watakao hitaji
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 2 жыл бұрын
Kwa mfano kama uko kenya unataka kwenda Tanzania utafanya nn help me plz🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Unatakiwa uwe na hata ya kusafiria ya mda mrefu au mfupi( pasport) pia naul ya ndege au busi ukifika mpakan watagonga muhuli kwenye pasipot na kukujuza siku za kuka tz km jirani
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 2 жыл бұрын
Passport niko nayo nauli pia lakin hii hata inapatikana kama wap??
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
@@fatmahkhamis9510 sijaelewa? km una naul na pasport. Tz na kenya kuna ujiran mwema hivyo visa/ ruhusa ya kuingia tz unapewa mpakan sasa nenda kituo cha basi au online au kw wakala wa ndege then kata tiket kwenda Tz. unatakiwa uwe na tiket na pasport utakapofika mpakani( cheki pia masharti ya covid km yapo)
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 2 жыл бұрын
@@MazulaAbund Asante sana kwa kunieleweshua vizur 🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
@@fatmahkhamis9510 Karibu, Subscribe, share hizo video na wengine wafaham zaid nk
@tinapius6795
@tinapius6795 2 жыл бұрын
Mmmh nimeogopa nyie hakuna kusemeshana tunafka tumenuniana tu
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Usiogope ni tahadhari za kiusalama tu
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 2 жыл бұрын
Kuna watu wanao kuelekeza if you need support ukiwa upo airport na haujui utaratibu
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
kuna wafanyakaza mara nying wamevaa unifom unaweza wauliza, au kuna sehem( dawati) la maulizo nk
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 2 жыл бұрын
@@MazulaAbund but kuna ugumu kupata pass ya kusafiria na precess zipoje na ghArama kwa ujumla
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
@@LyonWalker_ kzbin.info/www/bejne/rKjMin2qja2kkLs
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Жыл бұрын
Me niliuliza palepale wakat nakaguliwa mabegi
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Жыл бұрын
hahah Kama mm wakat naenda Denmark kha nyie hapana🤣🤣
@kokubanzaedi9573
@kokubanzaedi9573 2 жыл бұрын
Ivi nauli ya kwenda Nigeria Sasa ivi nishingapi
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 жыл бұрын
Km dola mia tatu hiv ila ulizia kwenye hizo wakala wa safar z ndege au chek online kupitia ethiopian airways
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 32 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 33 МЛН
MAUNO YA ZUCHU YAMPAGAWISHA DIAMOND JUKWAANI ZANZIBAR
9:33
TANZANIA GOSSIP
Рет қаралды 322 М.
Vigezo ambavyo lazima uwe navyo ili uwe muhudumu wa Ndege
12:37
Millard Ayo
Рет қаралды 60 М.
4 AWFUL Habits That Make People Disrespect You | Stoic PHILOSOPHY
15:04
James The Stoic
Рет қаралды 555 М.
HARVARD negotiators explain: How to get what you want every time
11:31
LITTLE BIT BETTER
Рет қаралды 854 М.
UNACHOTAKIWA KUFANYA UKIPANDA NDEGE
5:20
Wasafi Media
Рет қаралды 3,8 М.
How To 10X Your Memory & Learning [New speech]
29:09
Nishant Kasibhatla
Рет қаралды 1,4 МЛН