Jinsi yakujibu maswali utakayoulizwa airport CANADA

  Рет қаралды 7,630

Jesse Vlog Swahili

Jesse Vlog Swahili

Күн бұрын

Пікірлер: 67
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 9 ай бұрын
Elimu ya bure jamn shukran sana dada etu
@nduwimanaenock2040
@nduwimanaenock2040 3 ай бұрын
umeongea Point sana Dada Angu
@raymondmsigwa4821
@raymondmsigwa4821 9 ай бұрын
Hello dada nimekuelewa vizuri sana ubarikiwe sana nitumie nmba yako unisaidie kitu katika safari za nje
@shallykaim
@shallykaim 2 ай бұрын
mekumis,,,dadaa,lkni saa hii. niko nawwe,,,,god blesss,,,,
@emanuelngaila4229
@emanuelngaila4229 Жыл бұрын
Umetisha Dada 🔥, ubarikiwe sana
@josenyambeo3587
@josenyambeo3587 4 ай бұрын
Hongera sana dadake push vijanawetu watoke
@christophermsangi8671
@christophermsangi8671 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana , naomba nitafute nahitaji uniandalie safari
@nasrinairi9556
@nasrinairi9556 7 ай бұрын
Umetisha sana Dada, Nimekupenda Elimu nzuri sana. 🙏
@DGvaluemedia
@DGvaluemedia 8 ай бұрын
Asante dada yetu
@NassourSalim
@NassourSalim 5 ай бұрын
Km cna English inakuaje ruhusa kuonqea kiswahili
@victorianambololo5718
@victorianambololo5718 11 ай бұрын
Kama hutojali dear, how can I get you, out of this forum?
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Mashaallah Alhamdulillah jmn safi sana
@JoseBoazy
@JoseBoazy 8 ай бұрын
Pamoja sana
@OnesmoMasima
@OnesmoMasima 15 күн бұрын
Please nataka Mawasiliano na ww, kuna inshue ya canada au German
@yoezamndeme
@yoezamndeme 3 ай бұрын
Habari dada upo Goba sahem gan?
@NgelejaCharles-ng7bh
@NgelejaCharles-ng7bh Жыл бұрын
Asante
@kisagentabirage6693
@kisagentabirage6693 11 ай бұрын
Dada Jesse napenda kuja huko Canada naomba unisaidie nieze kuja huko tafadhali sana mungu akubariki sana
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 9 ай бұрын
@GodfreyMdemu-uw2lv
@GodfreyMdemu-uw2lv 8 ай бұрын
Dada upo goba kwa hawazi hatuwezi kuonana pls Nina mazungumzo na wewe ya safari
@godwinaxwesso8726
@godwinaxwesso8726 11 ай бұрын
Hello Dada Jesse , nashukuru sana kunifahamisha na kupata hii elimu muhimu sana ya maswali ukiwa airport. Niliomba kujua ofisi yako iko wapi nije
@ebenezerykimendo-oe2mx
@ebenezerykimendo-oe2mx Жыл бұрын
maelezo ni mazuri na magumu hasa mimi naye sahau sahau
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 11 ай бұрын
Shukrani sana Dada
@6elim12
@6elim12 6 ай бұрын
Sasa kama hujui English itakuwaje naomba munijib please
@classicmediaenter10ment44
@classicmediaenter10ment44 4 ай бұрын
Elimu kubwa Naenda kujifunza
@obinakakuba2384
@obinakakuba2384 10 ай бұрын
Nakama unategemea ndugu yako ndo akukatie ticket yakurudi hapo watakuelewa au hujakata ticket yakurudia naunategemea kukata pale siku yakurudi imewadia?
@mgaxy6973
@mgaxy6973 3 ай бұрын
sasa hayo mbona ni maswali ya kawaida sana, kwani kabla hujaondoka huwa lazima uyapate ubalozini na yapo kwenye visa
@happinessmchome9101
@happinessmchome9101 4 ай бұрын
Jamani nineingia juzi tu ila hawajaniuliza maswali yote hayo, ila wakiuliza maswali wanakujazia macho adi unaogopa.
@happinessmchome9101
@happinessmchome9101 4 ай бұрын
Umejitaidi sana kueleza aisee! Mimi mpaka nilitoa peda zangu zote nikaweka mezani akahesabu aiseee acha kabisa..
@ZayZaham
@ZayZaham 11 ай бұрын
❤❤
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Жыл бұрын
Dada nimekupenda bure maana unanyoosha zitawafaa wengi sana
@babamunah5768
@babamunah5768 Жыл бұрын
Dada mie ninashida na namba yako ya Whatsapp kuna mengi nataka kuyajua kutoka kwako
@yoezamndeme
@yoezamndeme 3 ай бұрын
Mimi naishi Goba pia naomba nkutembelee ofini kwako
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili 3 ай бұрын
Karibu ila nasafiri Jumatano iwe 31
@EvvieRobbie182
@EvvieRobbie182 11 ай бұрын
Nisaidie kupata Akira nipo Dar es salaam.
@NIMFASHADieudonne-cy1fx
@NIMFASHADieudonne-cy1fx 9 ай бұрын
Thanks so mimi ni mtoto wa Burundi,naweza kufika huko canada?
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili 9 ай бұрын
Karibu
@samrineprogramme1977
@samrineprogramme1977 8 ай бұрын
SHUKRANI ELIMU UMETUPA
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 Жыл бұрын
Mbna sion sehm ya kulike
@geraldwilliam2822
@geraldwilliam2822 Жыл бұрын
Nakupataje
@JosephZaharani
@JosephZaharani Жыл бұрын
Naomba namba dada mm nimepeta pasipoti naomba.namba tuwasiliane
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Sawa tuma email jessesarro85@gmail.com halafu usitumie email nitakupa namba yangu usijali
@ahmadgrujic9297
@ahmadgrujic9297 6 ай бұрын
Je unaweza kupita airport bila kuhojiwa
@tatumzelela5515
@tatumzelela5515 6 ай бұрын
😂😂😂
@JeanBaraka-pu5xo
@JeanBaraka-pu5xo 15 күн бұрын
tupenamba
@chavdagrande2379
@chavdagrande2379 Жыл бұрын
😘👏👏👏
@LeilaIddy-s5k
@LeilaIddy-s5k Ай бұрын
Hivi kuna uwezekano wa kwenda canada kufanya kazi na hujui kuongea english
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Жыл бұрын
Nina mzungu kutoka czech republic vp visa ya nchi dada unaweza idadavua kwa kina urahisi wake wa kuipata ktk video yako ijayo
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Sawa usijali
@awardenock7173
@awardenock7173 Жыл бұрын
Tunakushukuru kwa kutufungua akili
@mbarakkhamisali
@mbarakkhamisali Жыл бұрын
Hi dada❤
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Habari ya siku
@roncemnoma5077
@roncemnoma5077 9 ай бұрын
Kama sijui kiingereza inakuaje kwenye hayo ma swali
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 ай бұрын
Jifunze lugha ata kidogo ili ukurahisishie kwenye fursa Zaid na maisha kwa ujumla
@mbarakkhamisali
@mbarakkhamisali Жыл бұрын
Sasa kama haujui kiingereza itakuaje sasa
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Kama hujui Kingereza ni shida na hata kama unajua unatakiwa kusikiliza kwa makini maana Kingereza cha wakanada ni kile chenyewe cha ndani kabisa sio kama Kingereza cha Wajerumani au wadutch ila kuna upande mwengine wanaongea kifaransa
@MichaelYohana-hv9cm
@MichaelYohana-hv9cm 11 ай бұрын
Dada habari naitwa michael nawezaje kupata visa kuja canada
@MichaelYohana-hv9cm
@MichaelYohana-hv9cm 11 ай бұрын
​@@jessevlogswahilihabari dada
@AbdenegoMasha
@AbdenegoMasha 11 ай бұрын
Wengi waingia humu na hawaijui lugha ndugu yangu ni kujiamini tu Kikubwa makaratasi yapo sahihi kikubwa ni wewe kuingia jameni
@mkingageorge2641
@mkingageorge2641 Жыл бұрын
But sister nina swali hizi kaz za usd15 marekani na ghalama za maisha kuwa juu unaweza ku save money kweli maana wengine wanasema cost ziko nyingi kweli
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Mbona watu hawakimbii Marekani unaweza kuishi watu wengine wanakimbia Canada kwa ajili ya cost of living sio Marekani huwezi kushindwa kukaa marekani
@mkingageorge2641
@mkingageorge2641 Жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa tuombeane hyo kaz ipatikane maana naisubil kwa hamu nina hasira na maisha dada sunajua family zetu huku vijijin ukiwa mt wa kujitoa mzigo wote kwako😀😀
@jessevlogswahili
@jessevlogswahili Жыл бұрын
Mungu atakusaidia na uendelee kutafuta fursa za kuingia kule
@AbdallahMillah
@AbdallahMillah 9 ай бұрын
Hello dada je vipi mtu anaeza apply visa ya Canada??​@@jessevlogswahili
@kalundemiraji1862
@kalundemiraji1862 6 ай бұрын
Sasa ukitaka kua mkimbizi kule hayo maswali utajibu nini
@vivamtahoya9609
@vivamtahoya9609 Жыл бұрын
No Yako ya Whatsapp dada
@vivamtahoya9609
@vivamtahoya9609 Жыл бұрын
No Yako ya Whatsapp dada
NCHI KUMI ZA ULAYA AMBAZO NI RAHISI KUPATA VISA
14:33
Jesse Vlog Swahili
Рет қаралды 4,7 М.
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 22 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 269 #shorts
00:26
Wait for it 😂
00:19
ILYA BORZOV
Рет қаралды 7 МЛН
Epuka haya 2024 ili usinyimwe visa
17:59
Jesse Vlog Swahili
Рет қаралды 2 М.
Jinsi yakuingia Canada nakupata ukazi wa kudumu
12:49
Jesse Vlog Swahili
Рет қаралды 2,8 М.
Fursa nyingi zipo Canada, ila angalia MATAPELI kuwa makini
8:32
EBM SWAHILI
Рет қаралды 19 М.
Jinsi yakusafiri visa free countries document zinazotakiwa
12:40
Jesse Vlog Swahili
Рет қаралды 1,1 М.
NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI
1:22:20
Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini
13:24
EBM SWAHILI
Рет қаралды 20 М.