Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
@mogrosso35002 ай бұрын
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
@SokoroboyNdend-iv1js2 ай бұрын
San@@mogrosso3500
@joycekisamo48962 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@AlikibaaCom2 ай бұрын
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
@MohamedAlly-y3r2 ай бұрын
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake @@joycekisamo4896
@JojyLuhasa3 ай бұрын
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
@officialbwoywalandlord18963 ай бұрын
Nimeona
@alphalungele-4793 ай бұрын
Nimeona pia
@hassantupa2 ай бұрын
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
@OlivierJustin-wl6dd2 ай бұрын
Congo na motema Crown ni nyumbani
@mogrosso35002 ай бұрын
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
@touches4lifeonlinetv462 ай бұрын
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
@MohdAli-fl2ef3 ай бұрын
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
@AmosItawa3 ай бұрын
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
@talibthetruth87092 ай бұрын
Haongelwi kwa chuki dat why
@jumakhamis2262 ай бұрын
Sns hawezi kuongolea hahaha
@shabaningaoga1643 ай бұрын
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
@joycekisamo48962 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajabumkoko39472 ай бұрын
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo@@joycekisamo4896
@rukiasekulu5022 ай бұрын
Only one king in Africa 🥰
@mohamedyally8162 ай бұрын
Akun kama yeye
@razakilipwelele55183 ай бұрын
Likes from East Africa 😂😂😂
@talibthetruth87092 ай бұрын
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
@joycekisamo48962 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@DambweRama3 ай бұрын
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
@EsperanceNamagajo3 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
@SuleimanAli-jv3lt3 ай бұрын
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
@rajimuashirafa82652 ай бұрын
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
@Lebabaz3 ай бұрын
King ni mmoja tu
@saxprince102 ай бұрын
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
@Peresi-t1d3 ай бұрын
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
@nickalreadyknows2 ай бұрын
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
@belitomanuel62402 ай бұрын
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
@abdullahkazungu40252 ай бұрын
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
@HenryChristophvtl-md1cz3 ай бұрын
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy3 ай бұрын
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
@barakayusuph46173 ай бұрын
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
@joycekisamo48962 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@Peresi-t1d3 ай бұрын
King always is king thank you king kiba
@omaryluambano34953 ай бұрын
Kingkiba salute
@Anwar_khan-2 ай бұрын
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
@Oficialkb3 ай бұрын
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
@Murisal3 ай бұрын
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
@PendoUrassa-xm7ru3 ай бұрын
Dj wa crownfm hyo
@abdullahabdulla96972 ай бұрын
@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
@RamadhaniBendera-j1s2 ай бұрын
Ndo dj wake uyo
@middoTv3 ай бұрын
THE INTERNATIONAL DJ
@TiliaAmedeus3 ай бұрын
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
@kelvinliheta97693 ай бұрын
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
@DullaAbdala-fk9ie2 ай бұрын
King 👑👑👑 y
@salimalaquimane30772 ай бұрын
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
@Bakarimhenga254sheikh2 ай бұрын
Lia basi😂😂@@salimalaquimane3077
@hendricksjohn62012 ай бұрын
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
@yusrairakoze39663 ай бұрын
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaffjeff69123 ай бұрын
Duuuh
@AbdallaMpambika-bp6ub2 ай бұрын
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
@Juliusantipas2 ай бұрын
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
@angelojuma78183 ай бұрын
King ni mmoja
@Erickwambra2 ай бұрын
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
@Saki9303 ай бұрын
Dj D Ommy bonge la hipe
@NemesMasawe3 ай бұрын
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
@Aziza-z4f2 ай бұрын
Mashaallah❤❤🎉🎉
@kgchippy3 ай бұрын
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
@alphamanoke61162 ай бұрын
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
@CantonaKunona3 ай бұрын
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@Kingjmtv19822 ай бұрын
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
@collinswambani89723 ай бұрын
Only one king❤❤👑
@edwardlesian93183 ай бұрын
King forever ❤
@SalinSultan3 ай бұрын
King kiba Atari sana❤
@ALLY_K613 ай бұрын
Kingkiba tunakukubalii sana
@uredipeter4122 ай бұрын
King 👑 on top
@msagatijackson3 ай бұрын
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
@VictorGosbert3 ай бұрын
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
@thomaskombe24303 ай бұрын
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
@deusdeditsanga96663 ай бұрын
King kiba🔥🔥🔥
@Muidumbe4502 ай бұрын
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
@AmuriUlimwengu2 ай бұрын
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
@MalikAssumani3 ай бұрын
The king himself 🔥🙄🙌
@pesaspy_tv3 ай бұрын
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
@gadafimuemede29853 ай бұрын
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@BoniphaceDonald3 ай бұрын
Show amazing king
@alvannykiba2812 ай бұрын
King Kaká we ni kiboko
@Perfect-migomigo3 ай бұрын
Mfalme wa music 👑👑
@iddyfourteen92522 ай бұрын
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
@idinshazimakashukwe2 ай бұрын
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
@BahatiPascal-t6i3 ай бұрын
King to the world 🎉
@LameckZakaria-qg9vv3 ай бұрын
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
@barakadaprince37423 ай бұрын
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
@Tanafa-j9q2 ай бұрын
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
@LameckZakaria-qg9vv2 ай бұрын
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
@AhjuceAqeeb2 ай бұрын
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
@SeifullahSady2 ай бұрын
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
@isayamsisika62552 ай бұрын
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
@baruthmussamuslim34342 ай бұрын
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
@adamhashimu44622 ай бұрын
King Kiba king of east Africa ❤
@Kyser2552 ай бұрын
The only one King 👑
@dinyoabeli90283 ай бұрын
King king🔥🔥🔥🔥
@FaithaAli-cy5nr3 ай бұрын
King ❤
@kelvinliheta97693 ай бұрын
Watu walipigishwa show asubuhi ureno na watu 10 tu😂😂😂 Kiba kiba kiba we ni mfalme 4 ever
@IqramNoman-gu3xr2 ай бұрын
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
@Igauf32 ай бұрын
Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.
@ZinganisaNova2 ай бұрын
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AmidoKasome2 ай бұрын
Congolese we’re there big up
@MuddyMigenge3 ай бұрын
King🎉🎉
@JojyLuhasa3 ай бұрын
Tu mérite être le roi
@swala_master3 ай бұрын
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
@vumiliamgendi1482 ай бұрын
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
@egbertrwiza92263 ай бұрын
Wakwanzaaa😂😂
@kennedymatiko68303 ай бұрын
#kingkiba
@RamdhnniAlee2 ай бұрын
King kiba🎉
@ZachariaIfande3 ай бұрын
King kiba
@omarymtotela37513 ай бұрын
Nakubali sana ❤
@bakarimajaliwa2472 ай бұрын
Dj d ommy anamjulia king kiba
@AlmasMbunde-ev2yq3 ай бұрын
DJ d ommy
@PmVictor-d3i2 ай бұрын
Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩
@WahuBoth3 ай бұрын
King ❤❤❤❤💪👑kibaaaaaà
@rainohazard24532 ай бұрын
Hakuna kama 👑 king hii ndo maana ya mfalme anaimba nyimbo za miaka 15 iliyopita na watu Wana vibe Kuna watu wameumbuka ureno na wamepiga nyimbo za juzi hata MWEZ azina daaa nmeamin Kuna msanii na mwanamuziki king noumaaaaa
@Jipendelee2552 ай бұрын
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
@Sampovoice80883 ай бұрын
Uyo ndio king
@gibronrugemela8533 ай бұрын
Great vibe🎉
@MajutoElliasi2 ай бұрын
King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤
@Saki9303 ай бұрын
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
@JosephMichael-z5y3 ай бұрын
Ninoma Sana 😂😂
@AlexGwambie-xr2hm3 ай бұрын
King ni mmoja2
@EsperanceNamagajo3 ай бұрын
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
@3kingsmusictv8732 ай бұрын
Unyaaaama ❤🎉
@mohamedyally8162 ай бұрын
No one like you bongo king kiba
@SwediSwedi-c6x2 ай бұрын
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani