JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA.

  Рет қаралды 46,975

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Alikiba

Пікірлер: 349
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 3 ай бұрын
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
@mogrosso3500
@mogrosso3500 2 ай бұрын
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
@SokoroboyNdend-iv1js
@SokoroboyNdend-iv1js 2 ай бұрын
San​@@mogrosso3500
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 2 ай бұрын
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
@MohamedAlly-y3r
@MohamedAlly-y3r 2 ай бұрын
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake ​@@joycekisamo4896
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 3 ай бұрын
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
@officialbwoywalandlord1896
@officialbwoywalandlord1896 3 ай бұрын
Nimeona
@alphalungele-479
@alphalungele-479 3 ай бұрын
Nimeona pia
@hassantupa
@hassantupa 2 ай бұрын
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
@OlivierJustin-wl6dd
@OlivierJustin-wl6dd 2 ай бұрын
Congo na motema Crown ni nyumbani
@mogrosso3500
@mogrosso3500 2 ай бұрын
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 2 ай бұрын
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 3 ай бұрын
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
@AmosItawa
@AmosItawa 3 ай бұрын
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 2 ай бұрын
Haongelwi kwa chuki dat why
@jumakhamis226
@jumakhamis226 2 ай бұрын
Sns hawezi kuongolea hahaha
@shabaningaoga164
@shabaningaoga164 3 ай бұрын
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajabumkoko3947
@rajabumkoko3947 2 ай бұрын
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo​@@joycekisamo4896
@rukiasekulu502
@rukiasekulu502 2 ай бұрын
Only one king in Africa 🥰
@mohamedyally816
@mohamedyally816 2 ай бұрын
Akun kama yeye
@razakilipwelele5518
@razakilipwelele5518 3 ай бұрын
Likes from East Africa 😂😂😂
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 2 ай бұрын
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@DambweRama
@DambweRama 3 ай бұрын
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
@EsperanceNamagajo
@EsperanceNamagajo 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
@SuleimanAli-jv3lt
@SuleimanAli-jv3lt 3 ай бұрын
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
@rajimuashirafa8265
@rajimuashirafa8265 2 ай бұрын
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
@Lebabaz
@Lebabaz 3 ай бұрын
King ni mmoja tu
@saxprince10
@saxprince10 2 ай бұрын
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 3 ай бұрын
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 2 ай бұрын
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 2 ай бұрын
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 2 ай бұрын
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
@HenryChristophvtl-md1cz
@HenryChristophvtl-md1cz 3 ай бұрын
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy 3 ай бұрын
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
@barakayusuph4617
@barakayusuph4617 3 ай бұрын
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 3 ай бұрын
King always is king thank you king kiba
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 3 ай бұрын
Kingkiba salute
@Anwar_khan-
@Anwar_khan- 2 ай бұрын
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
@Oficialkb
@Oficialkb 3 ай бұрын
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
@Murisal
@Murisal 3 ай бұрын
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru 3 ай бұрын
Dj wa crownfm hyo
@abdullahabdulla9697
@abdullahabdulla9697 2 ай бұрын
​@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
@RamadhaniBendera-j1s
@RamadhaniBendera-j1s 2 ай бұрын
Ndo dj wake uyo
@middoTv
@middoTv 3 ай бұрын
THE INTERNATIONAL DJ
@TiliaAmedeus
@TiliaAmedeus 3 ай бұрын
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 3 ай бұрын
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
@DullaAbdala-fk9ie
@DullaAbdala-fk9ie 2 ай бұрын
King 👑👑👑 y
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 2 ай бұрын
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
@Bakarimhenga254sheikh
@Bakarimhenga254sheikh 2 ай бұрын
Lia basi😂😂​@@salimalaquimane3077
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 2 ай бұрын
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 3 ай бұрын
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 3 ай бұрын
Duuuh
@AbdallaMpambika-bp6ub
@AbdallaMpambika-bp6ub 2 ай бұрын
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
@Juliusantipas
@Juliusantipas 2 ай бұрын
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
@angelojuma7818
@angelojuma7818 3 ай бұрын
King ni mmoja
@Erickwambra
@Erickwambra 2 ай бұрын
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
@Saki930
@Saki930 3 ай бұрын
Dj D Ommy bonge la hipe
@NemesMasawe
@NemesMasawe 3 ай бұрын
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
@Aziza-z4f
@Aziza-z4f 2 ай бұрын
Mashaallah❤❤🎉🎉
@kgchippy
@kgchippy 3 ай бұрын
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
@alphamanoke6116
@alphamanoke6116 2 ай бұрын
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
@CantonaKunona
@CantonaKunona 3 ай бұрын
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@Kingjmtv1982
@Kingjmtv1982 2 ай бұрын
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
@collinswambani8972
@collinswambani8972 3 ай бұрын
Only one king❤❤👑
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 3 ай бұрын
King forever ❤
@SalinSultan
@SalinSultan 3 ай бұрын
King kiba Atari sana❤
@ALLY_K61
@ALLY_K61 3 ай бұрын
Kingkiba tunakukubalii sana
@uredipeter412
@uredipeter412 2 ай бұрын
King 👑 on top
@msagatijackson
@msagatijackson 3 ай бұрын
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
@VictorGosbert
@VictorGosbert 3 ай бұрын
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
@thomaskombe2430
@thomaskombe2430 3 ай бұрын
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
@deusdeditsanga9666
@deusdeditsanga9666 3 ай бұрын
King kiba🔥🔥🔥
@Muidumbe450
@Muidumbe450 2 ай бұрын
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
@AmuriUlimwengu
@AmuriUlimwengu 2 ай бұрын
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
@MalikAssumani
@MalikAssumani 3 ай бұрын
The king himself 🔥🙄🙌
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv 3 ай бұрын
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 3 ай бұрын
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@BoniphaceDonald
@BoniphaceDonald 3 ай бұрын
Show amazing king
@alvannykiba281
@alvannykiba281 2 ай бұрын
King Kaká we ni kiboko
@Perfect-migomigo
@Perfect-migomigo 3 ай бұрын
Mfalme wa music 👑👑
@iddyfourteen9252
@iddyfourteen9252 2 ай бұрын
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
@idinshazimakashukwe
@idinshazimakashukwe 2 ай бұрын
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
@BahatiPascal-t6i
@BahatiPascal-t6i 3 ай бұрын
King to the world 🎉
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 3 ай бұрын
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 3 ай бұрын
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
@Tanafa-j9q
@Tanafa-j9q 2 ай бұрын
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 2 ай бұрын
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
@AhjuceAqeeb
@AhjuceAqeeb 2 ай бұрын
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
@SeifullahSady
@SeifullahSady 2 ай бұрын
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 2 ай бұрын
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
@baruthmussamuslim3434
@baruthmussamuslim3434 2 ай бұрын
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 ай бұрын
King Kiba king of east Africa ❤
@Kyser255
@Kyser255 2 ай бұрын
The only one King 👑
@dinyoabeli9028
@dinyoabeli9028 3 ай бұрын
King king🔥🔥🔥🔥
@FaithaAli-cy5nr
@FaithaAli-cy5nr 3 ай бұрын
King ❤
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 3 ай бұрын
Watu walipigishwa show asubuhi ureno na watu 10 tu😂😂😂 Kiba kiba kiba we ni mfalme 4 ever
@IqramNoman-gu3xr
@IqramNoman-gu3xr 2 ай бұрын
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
@Igauf3
@Igauf3 2 ай бұрын
Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.
@ZinganisaNova
@ZinganisaNova 2 ай бұрын
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AmidoKasome
@AmidoKasome 2 ай бұрын
Congolese we’re there big up
@MuddyMigenge
@MuddyMigenge 3 ай бұрын
King🎉🎉
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 3 ай бұрын
Tu mérite être le roi
@swala_master
@swala_master 3 ай бұрын
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 2 ай бұрын
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
@egbertrwiza9226
@egbertrwiza9226 3 ай бұрын
Wakwanzaaa😂😂
@kennedymatiko6830
@kennedymatiko6830 3 ай бұрын
#kingkiba
@RamdhnniAlee
@RamdhnniAlee 2 ай бұрын
King kiba🎉
@ZachariaIfande
@ZachariaIfande 3 ай бұрын
King kiba
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 3 ай бұрын
Nakubali sana ❤
@bakarimajaliwa247
@bakarimajaliwa247 2 ай бұрын
Dj d ommy anamjulia king kiba
@AlmasMbunde-ev2yq
@AlmasMbunde-ev2yq 3 ай бұрын
DJ d ommy
@PmVictor-d3i
@PmVictor-d3i 2 ай бұрын
Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩
@WahuBoth
@WahuBoth 3 ай бұрын
King ❤❤❤❤💪👑kibaaaaaà
@rainohazard2453
@rainohazard2453 2 ай бұрын
Hakuna kama 👑 king hii ndo maana ya mfalme anaimba nyimbo za miaka 15 iliyopita na watu Wana vibe Kuna watu wameumbuka ureno na wamepiga nyimbo za juzi hata MWEZ azina daaa nmeamin Kuna msanii na mwanamuziki king noumaaaaa
@Jipendelee255
@Jipendelee255 2 ай бұрын
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 3 ай бұрын
Uyo ndio king
@gibronrugemela853
@gibronrugemela853 3 ай бұрын
Great vibe🎉
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 2 ай бұрын
King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤
@Saki930
@Saki930 3 ай бұрын
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
@JosephMichael-z5y
@JosephMichael-z5y 3 ай бұрын
Ninoma Sana 😂😂
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 3 ай бұрын
King ni mmoja2
@EsperanceNamagajo
@EsperanceNamagajo 3 ай бұрын
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
@3kingsmusictv873
@3kingsmusictv873 2 ай бұрын
Unyaaaama ❤🎉
@mohamedyally816
@mohamedyally816 2 ай бұрын
No one like you bongo king kiba
@SwediSwedi-c6x
@SwediSwedi-c6x 2 ай бұрын
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 3 ай бұрын
Nakubal
Alikiba Live performance AFROFEST 2024 at Canada
35:37
Alikiba
Рет қаралды 52 М.
Alikiba   Mahaba Live At Super Dome
5:48
Kings Music Records
Рет қаралды 9 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 108 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
PAUL MKAI ALIVYOTAMBULISHWA CROWN SPORTS LEO
6:08
Crown Media
Рет қаралды 57 М.
KING KIBA LIVE
15:14
SPORT NAMI
Рет қаралды 2 М.
ALIKIBA ALIVYOMSUPRISE JAYMELODY KWENYE SHOW YAKE
3:15
Millard Ayo
Рет қаралды 34 М.
HADI RAHA! ALIKIBA APIGIWA SHANGWE AKIIMBA RUN DUNIA
5:01
EastAfricaTV
Рет қаралды 75 М.
MISSION IMPOSSIBLE [49]
29:03
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 8 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН