Рет қаралды 277,039
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa amejikuta akiibua Shangwe baada ya kumtaja Bondia Karim Mandonga alipokuwa akieleza namna ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivyosaidia kuinua Michezo.
Majaliwa ameyasema hayo wakati akihutubia kwenye Baraza Kuu la Kanisa la TAG ambapo lialikwa kama Mgeni Rasmi ambapo alizindua pia makao makuu ya Kanisa hilo jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti 12, 2022.