Asante sana mtumishi kwa ualimu wako. Mungu akubariki sana
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@mariousnjessa61235 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu. Mwenye kusikia na asikie
@EgidMwalongo4 ай бұрын
Sawa kabisa mwalim wote wanaomkataa yesu siku ya mwisho ni jehanam tu
@hassanjuma27722 ай бұрын
Hahuna muislamu anaemkataa yesu lzima mnapokoment mjue vya kuongea,ila wanakataa sifa mnazompa,hata mm nikiwa mmoja wao.sasa tuone Kama wewe siku hio utakuwa mlangoni kwa jehannam utupeleke tukachomwe au tutakwenda pamoja au ndo ushajihakikishia huku ukiwa na makosa kibao una hukumu watu duniani
@samuelgacheru48542 ай бұрын
Mwalimu bwana akumbaliki sana,endelea kufunza kuelimisa wa watu wa mungu
@EgidMwalongo4 ай бұрын
Waisraeli hawezi kulaaniwa na watoto wa babamdogo
@samweljackson57543 ай бұрын
Mh! Makubwa sana asante mwalimu endelea kubarikiwa
@BanyangaMohammed5 ай бұрын
Mwalimu nakufwataka nikiwa Congo naweza kupata hivyo vitabu vyakislamu vipi?
@sarahkeivaly33512 ай бұрын
Waislam daima huwa hawana hoja, wao kazi Yao huwa ni kupinga tu
@Motheking-ps2tl4 ай бұрын
Huyu kichwa nyoka anaijua quran kweli.
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
Msomi Ibn Kathir ninayemnukuu wewe unamuita ni kichwa nyoka? Kwa hiyo mfasiri maarufu wa Quran, wewe unamuita kichwa nyoka? Wewe unaona kakosea kwa sababu ameandika kwamba mnyama atawatia doa jeusi makafiri? Kwani Waislamu hamna alama ya doa jeusi kwenye vipaji vyenu vya uso? Kosa langu ni nini kunukuu?
@hassanjuma27722 ай бұрын
@@BAYYINATDMTVtatizo huelewki na pia unakusudia kuchafua kitu kisichochafuka
@hassanjuma27722 ай бұрын
@@BAYYINATDMTVwewe na ndacha mkweli ni nani tufuate
@AlbertMakori-u2l3 ай бұрын
Meza madawa aki wewe ni mgonjwa kabisa
@enockabumba75133 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@OscarMilambo-xu7ek5 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki sana nimekuelewa sana mwaisa
@enockabumba75133 ай бұрын
Balikiwa sana mtumishi
@albertvalentino1305 ай бұрын
Kama jiwe,lililokuwa jeupe,limegeuka kuwa jeusi,kwa sababu ya kuathirika kutokana na kazi ya kuzitakasa dhambi ya wanadamu ! Lakini wakati huo huo,upande mwingine,unadema watu wanataksswa dhambi zap kwa damu ya Yesu ! --- Ndipo Mimi husema kuwa,hivyo vitabu viwili,havitokani na Mungu huyo mmoja aliyeumba vyote --- kwasababu Mungu hawezi " kujikanganya mwrnyewe " yaani Mungu huyo mmoja,upande mmoja awaambie watu hivyo,kuhusu namna ya kutakaswa zambi zao --- Halafu,upande mwingine,awaambie namna tofauti ya kutakswa dhambi zao,kama alivyowaambia wale wa kwanza,Halafu tuendelee kuamini kuwa vitabu hivyo,chanzo chake ni kimoja -- No," Mungu hayuko hivyo --- kwake hakuna mkanganyiko "
@yamungummungulo6333 ай бұрын
Endlea kufuata njia(dini) ili ufike kwake Mungu salama
@harunaotieno28933 ай бұрын
Kitabu cha injili ni kitabu kilichotumwa kwa watu maalum na walkkuwa wana wa Israel sawa sawa na tourati pia ilitumwa kwa watu maalum ila Qur'an ni kitabu kimetumwq kwa ulimwengu mzima
@Vicent-nd7bn4 ай бұрын
Asnte mutumishi
@111dudi5 ай бұрын
Quraan inasema Nabi Ibrahim alijenga kaaba. Wewe umekataa, you dalili zako. Toa falili kama nabi Ibrahim hakufika Makka. Acha blaa blaa
@BAYYINATDMTV5 ай бұрын
Quran 34:44 kwa Waarabu hajawahi kwenda Mwonyaji (Mtume au Nabii) kabla ya Muhammad. Je Ibrahim aliishi kabla au baada ya Muhammad?
@111dudi5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV tatizo liko wapi? Eaarabu walikuwa watu watulivu sio kama mayahudi, waua mitume na wafanya uchafu wa kila aina na mpaka sasa wanafanya maovu sana
@suleimaniddi4 ай бұрын
Ubiri dini yako kama unataka elimu yakislamu mwone Dr Sele au Mazinge
@wadimtwana72864 ай бұрын
Paka we rather die make money ndio kazi yenu
@saidiMsume5 ай бұрын
Inavyoonesha hata maandiko hayajui,uislamu ameubuni marehemu mtume moud,Adamu anahusikaje na Hilo jiwe? Wewe ndo unapotosha ukweli kwa sababu mmejawa na mapepo.
@AlbertMakori-u2l3 ай бұрын
Aki wewe ni mgonjwa kbsa yaani ulitaka yote yawe meupe ama , mbona wewe ni mweusi ? Si ni mapenzi ya mungu au?.
@yamungummungulo6333 ай бұрын
Kwann jiwe libadilike rangi kutoka kweny weupe had weusi je jiwe ndio njia ya kusafisha dhambi
@hassanjuma27722 ай бұрын
@@yamungummungulo633ndugu naona unawapa nguvu wasuoamini Kama Kuna Mungu,kwa sababu unapowazunumzia watu wanaomini kuwa jiwe jeusi limo kwenye sehemu ya Ibadan zao wewe ukahisi ni wapofu,basi geuza shilingi upande wapili uangalie jee wale wanaomini na kulifata sananu la bikra maria tuwaiteje? Siku zote ukitaka kumsema mtu kwanza ujikaguwe wewe ndipo useme,
@husseinihassani35414 ай бұрын
😂😂😂😂 mwalimu uislamu sio kama ukirsto kuwa utakurupuka halafu useme mm ni mtume nooo mpaka ukasome uelewe uzuri jiwe mpaka sasa lipo pale maka nlifikiri wasema umeenda ukaliona ndo ulijadili kumbe unaelezea kitu ambacho hata huja kiona mzeee baba unakwama wapi?
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
Nilidhani utaniambia hakuna hilo jiwe jeusi ambalo hata Umar ibn Khattab alilikataa lakini wewe unaling'ang'ania.
@husseinihassani35414 ай бұрын
Unazungumzia kitu usichokuwa na elimu nacho ndo maana mzee wa upako akiwarekebisha hamtaki hebu kwakuwa jiwe lenyewe lipo pale nenda siku moja ukasome halfu uje ufundishe wengine elimu ni bora kuliko mihemko sawa kaka
@protucekimario81993 ай бұрын
lile jiwe sio hilo kama linavyoonekana ingia KZbin utaona sio hilo kubwa jeusi Bali kwenye Kona kabisa ndo kunakajiwe kadogo kameshikishwa kwenye hilo jiwe jeusi na hilo jiwe ukiliangalia vizur Lina shape like Virgina, ndo nikawaza Mimi kuwa mtume alipenda sana chini hadi akaamua kutafuta jiwe lenye shape kama hiyo angalia vizur utaona hajir bin asward, so hao jamaa wahafanya kitu ambacho hawajui kinamaana Gani, ndio maana jamaa hadi akawa na WA awake wengi hicho ndo kitu alichokipenda@@BAYYINATDMTV
@honestrafael33905 ай бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@WadySaidi5 ай бұрын
Komwe lako ujui lolote afu Iki kilikuwa kilevi kipuuz hiki
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@elmeskatto5 ай бұрын
kujibu vitu tofauti na hoja za danieli ni chuki,hoja haijibiwi kwa kejeli.
@WadySaidi5 ай бұрын
Ujinga tu Ana nn uho
@WadySaidi5 ай бұрын
Lazma mambumbu yajibiwe
@albertvalentino1305 ай бұрын
Mtumishi,huyo anaye LILAANI TAIFA LA ISRAEL,na huku ana claim kwamba --- " yeye ni mwalimu wa neno la Mungu,ni TAPELI --- MGANGA NJAA asiye jua kitu kuhusu neno la Mungu " Neno la Mungu litimie kwake Mwanzo 12: 3b.
@RashidAbbas-zy6xx5 ай бұрын
Wewe mwehu jadili dini yako ambayo ata mungu Haina mara mungubaba mara mungu mwana mara yesu
@khatibal-zinjibari69565 ай бұрын
KUTEREMSHWA BIBLIA NA QUR'AN Kwa vile Allah alimtereshia Injeel (Good News) Mtume Yesu (pbuh) kabla ya Qur'an kwa Mtume Muhammad (pbuh), Injeel haikureremshwa kuthibitisha au kukosoa Qur'an.
@elmeskatto5 ай бұрын
naomba kujua naweza kupata wapi nakala za injili aliyotelemshiwa Yesu ili nisome kujua ndani ya hiyo injili kumeandikwa nini.
@hashimchaoga95664 ай бұрын
Kaaba ni sehemu yenye maana nyingine kabisa ya kawaida tu. Ni mahali ambapo watu wa wakati waliweka baadhi ya vitu vyao
@mbukumagiubukumagu4065 ай бұрын
Inna lillahy Wayna Rajna .Muslim do not worship the stone. Waislamu Mungu 1 tu hakuza wala hakuzaliwa .Christians lie ..Jesus hajawahi kuwa Mkiristo ..Paul created christianity..Jesus 300%was muslim
@elmeskatto5 ай бұрын
naomba kuuliza,kitabu alichopewa nabii isa aje nacho kinaitwaje na kiko wapi kwa sasa?
@veromosha90905 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi,,,,Leo nikiwa kwenye majukumu nilipta changamoto ya swali kuhusu alkahaba iko pale kwaajili gani,,,,maana nimeona clip watu wanapaabudu Kama wanamwabudu Mungu wanatukuza jiwe lile kwa heshima kuliko kawaida,,,mbona Kama ni ibada isiyoeleweka,usikute ni ibada za miungu waislam hawaelewi?😢
@BAYYINATDMTV5 ай бұрын
Ndivyo ilivyo ni ibada za miungu. Ibada hoyo ilianzia tangu kabla ya Uislamu
@veromosha90905 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV Asante mwalimu,,,na wanaposema Adam ndo mwislam wakwanza imekaaje iyo,maana hapo tumejifunza hakukuwepo uislam
@saphinalutaha90775 ай бұрын
Ukitaka kujua uislam kausome sio kusomewa Alkaba ni kibura ya waislam au ni mwongozo waliopewa waislam wote mda wa kusujudu waelekee sehem moja
@georgekimasaofficial16295 ай бұрын
Huo mwongozo wa alkaba na jiwe jeusi unapatikana kwenye Aya Gani? ndini ya Quran@@saphinalutaha9077
@veromosha90905 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kwanini waislam? Nasio wanadamu wote ikiwa Mungu ni moja?..swali langu limetokana na vitendo nlivyoviona kwenye clip flan namna watu wanafanya wakiwa mbele ya lile boksi jeusi la alkaaba,nikama wanalihusudu ilo jiwe kuliko Mungu,sio sawa lkn kwa fikra tu za kibinadamu
@ibrahimkassim82895 ай бұрын
Ni vyema uongelele dini yako unayoijua kuliko kuongelelea uislamu ambayo hauijui .
@abubakarmwasumilwe70704 ай бұрын
Kweli Ukafiri ni Mtihani
@111dudi5 ай бұрын
Akili fupi, mtu mweusi sijda guwa nyeusi, mtu mweupe haiwi nyeusi.ufurahi jiwe likewise jeusi kama wewe
@richardnganya23114 ай бұрын
Mtu mweupe sijda inakuwa Rangi gani ?
@badruseif13185 ай бұрын
Akili za ukafiri bwana! Mtihani sana yaani wewe babu umekaa kupinga tu kila kitu, na utaumia sana mana hija ya waislamu ndio mkusanyiko mkubwa kuliko wowote katika dunia hii
@elmeskatto5 ай бұрын
uhalali wa ibada haupimwi na wingi wa kusanyiko....wachawi wakikusanyika kufanya ibada je ibada zao ni halali kwa sababu wamekusanyika wengi.
@badruseif13185 ай бұрын
Wewe babu wacha kujikomba kwa mayahudi, wale ni watu waliolaaniwa hata uwasafishe vipi, kwani wewe hujui kama wayahudi walizikataa neema za Mwenyezi Mungu? Mpaka wakaanza kazi ya kuua mitume? Na hata huyo muungu wako unaemuamini wanampinga halafu eti unajikomba kwao, uwo kweli sio uzwazwa?
@elmeskatto5 ай бұрын
jikite kwenye kujibu hoja alizozileta,mbona anachofanya mwalimu danieli ni kitu sahihi,yeye analeta hoja,anatumia vitabu,mjibuni kwa hoja zilizo ndani ya vitabu
@elizabethmwaipopo23035 ай бұрын
😢
@januaryyotham55145 ай бұрын
Kwan sasaiv vipindi vimebadilika???
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@ostenmwakasita69605 ай бұрын
Mungu akubariki mwana wa Mungu
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@daudimichael73385 ай бұрын
Inasemekana linasamehe dhambi, eti siku ya kiama litakuwa na macho, litakuwa linawatambua Waislamu waliokuwa wanalibusu kwa dhihaka, halitawafutia madhambi yao, na waliokuwa wanalibusu kwa nia thabiti litawafutia madhambi yao. Kama anayesamehe dhambi ni Mungu basi jiwe jeusi ni Mungu wa Waislamu. Soma sunan ibn Majah hadith namba 2944.
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@badruseif13185 ай бұрын
@@MB-yq3tymfundishe huyo kuffar asojitambua
@BAYYINATDMTV5 ай бұрын
Ukienda hija unaposujudu kwenye hilo mara 3 na kulibusu, kitendo hicho kinaitwaje?
@MB-yq3ty5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV Kajibu hoja nilizokupa kwenye video husika ya DOA jeusi ukimaliza kuzijibu halafu uulizie maswali kwenye video husika na hapa tutakuja si unazijua video zako au huzijui?
@WadySaidi5 ай бұрын
Wewe na Daniel nyinyi mamwehu
@badruseif13185 ай бұрын
Alafu nimegundua kumbe wewe mzee ni bonge la mjinga ,sasa ulitaka OMAR aseme wewe jiwe ndio Mungu wangu?
@RashidAbbas-zy6xx5 ай бұрын
Hilo jiwe jeupe la mbimguni umeliona vipi umekwenda? Mpumbavu mkubwa
@RashidAbbas-zy6xx5 ай бұрын
Uislamu upo tangia Nabii Adam
@selelilumambo21574 ай бұрын
kama uisilam ulikuwepo tangia enzi za Adam..Na mtume Mohammad alikuja kufanya nini
@selelilumambo21574 ай бұрын
wew haujui kuwa uislamu uliletwa na mtume???
@easternyerembe72714 ай бұрын
Hahahaha😅😅 nmecheka Kwa nguvu
@isaackmlayy62284 ай бұрын
kwahiyo waisrael na wayaudi ni waislamu pungunza utahira
@richardnganya23114 ай бұрын
Sasa Koran ya nini kama uislam upo kabla ya marehemu Mohammed?
@Mpakauseme5 ай бұрын
Washirikina tu
@MB-yq3ty5 ай бұрын
Hakuna Jiwe linalofanyiwa Ibada Makkah ewe Mpuuzi Danieli kwenye DOA jeusi ulikimbia kujibu hoja unarudi na ujinga huu nilikwambia kabla ya kuongea kasomeshwe unajia aibu kwa chuki za kijinga na kujikokea moto mwenyewe. Kama wewe ni Mkweli waambie watu hilo jiwe limeyoka wapi. Kuna elimu kubwa juu ya hilo sio upuuzi wako unaongea vitu usivyo vijua 1.Hilo jiwe lipo toka Nabii Adamu alitoka nalo Peponi wakati analetwa duniani. 2.Waambie watu hilo jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa na kwa nini limebadilika kuwa jeusi 3.Waambie watu kwàmba Misikiti unayoisema na athari za dini pale aliifundisha Nabii Ismaili 4.Waambie pia watu kwamba Kaaba ni nyumba kongwe kuliko zote na imebomoka Mara ngapi pia huwa inarudishiwa kila wakati Moja ya waloirudishia kunyenyua kuta zake ni Ismaili na baba yake Ibrahimu 5. Sasa wewe unawaongelea Makafiri wa kiquraish wa juzi utakuwa wewe ni mtafiti au mjinga ulojaa chuki. Nakupa hadith za Mtume. Jiwe jeusi lilishushwa kutoka kwa Allah kwenda duniani kutoka Peponi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "jiwe jeusi lilishushwa kutoka Peponi." (Ametaja al-Tirmidhi, 877; al-Nasaa'i, 2935. Hadiyth ameisahihisha al-Tirmidhi). Jiwe lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zilifanya kuwa jeusi. Imetajwa kwamba Ibn 'Abbas alisema: Mtume wa Allah (rehma na amani zimshukie) alisema: "Wakati jiwe jeusi likishushwa kutoka Peponi, lilikuwa jeupe kuliko maziwa, lakini dhambi za wanaadamu zililifanya kuwa jeusi." (Amesema al-Tirmidhi, 877; Ahmad, 2792. Ilizingatiwa kuwa sahihi na Ibn Khuzaymah, 4/219. Al-Haafiz ibn Hajar aliyaainisha kuwa qawiy (imara) katika Fath al-Baari, 3/462). Umeelewa kwamba sisi tunajua jiwe limeyoka wapi? Na vipi tuliabudu wakati wakati tunajua aliyeliumba huko peponi? Kwa akili zako tulijue jiwe na asili yake na tumjue aliyeliumba kisha tumwache aliyeliumba tuabudu jiwe sio?. Nahisi ubongo wako upo kwenye hilo lipua. Nabii Issa hakuwa anafanya ujinga unaofanya wewe Soma masomo ya Tawhiid uache shirki siku zaja utakufa nakukumbusha.
@BAYYINATDMTV5 ай бұрын
Mada ya doa Jeusi niliikimbia lini? Je uko tayari kwa mdahalo kuhusu mada ya doa jeusi?
@MB-yq3ty5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV Ndio kajibu hoja zangu haraka uache uzuzu. Kwanini wewe ni jitu Ongo na huogopi kudandanya ewe Kafiri Danieli. Wewe sio moja ya vile vitangulizi vya Masihi Dajjal tulivyovifundishwa kweli?
@MB-yq3ty5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV We mzee tatizo bangi uwe unapunguza hizo au ulivuta ujanani bado zinakupa athari kichwani. Kwa sababu nimeangalia maada mbili tatu hupatii kabisa kama mafundisho yanavyosema. Sasa wewe Mtafiti gani kama sio juha unawadanganya wasojua kisha mnapiga haleluya kweli?. Hujui hii dhima utaibeba?
@MB-yq3ty5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV Kwa bahati mbaya wajinga wenzako wanakuona kama bonge la msomi yani kumbe bonge la juha, zindiiq mkubwa, kidajjal flani hivi. Kwann uwadandanye wenzako jiwe la Maquraish na misikiti ya Maquraish wakati uislamu umefundisha wapi chanzo cha jiwe hilo? Kwanini usiwaelekeze chanzo upo tu Maquraish, Maquraish si hadaa hizi.
@abilahnamnungu18195 ай бұрын
mwankemwa unaumia nini kwa waislam kufanya mambo ya kiislam?acha umbea
@BAYYINATDMTV5 ай бұрын
Na wewe unaumia nini mimi nikitoa tofauti ya jiwe jeusi na jiwe jeupe?
@venancemwanya42125 ай бұрын
Fundisha mpaka wafundishike
@Mpakauseme5 ай бұрын
Mnakwenda uchawi 😂😂😂
@MB-yq3ty5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV Wewe ni mjinga na unaendeshwa na chuki tu huna misingi ya elimu.
Unawapamba wayahudi alafu unajichanganya mwenyewe, sasa anasema ukimkataa yesu umepotea lakini uzuri wake sisi waislamu tunamkubali yesu na ukimpinga yesu wewe sio muislamu, tatizo lipo kwa hao jamaa zako mayajudi wanaomwita yesu mtoto wa zinaa
@yohanamwamkili43975 ай бұрын
Kama ambavyo ismail alivyo mtoto haramu na wa zinaa
@elmeskatto5 ай бұрын
waislamu mnamkubali Yesu kuwa ni mwana wa MUNGU?,mnakubali alikufa na kufufuka?
@badruseif13185 ай бұрын
@@elmeskatto Hilo kwetu Ni muhali mana nyinyi wenyewe hamujulikani msimamo wenu kama yesu Ni mwana wa Mungu au yesu Ni Mungu hamjui mushike wapi
@badruseif13185 ай бұрын
@@yohanamwamkili4397 alaa kumbe?
@hashimchaoga95664 ай бұрын
@@elmeskattoWaislam wanaamini Mungu hakuzaa hakuzaliwa na hana mshirika