No video

UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 69,978

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 147
@JosephKomba-zv5ed
@JosephKomba-zv5ed Жыл бұрын
Siku yakwanza kukusikiliza ndio sikuniliyo badilisha maisha yangu japo bado nipo kwenyekujitafuta ila umenibadilisha xan adi mwanangu nimempa jina lako
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen, nashukuru kusikia hivyo
@jovinbyserjb3532
@jovinbyserjb3532 Жыл бұрын
Ukiwa bado unijitafuta bado mindset ina wasi wasi
@bma255
@bma255 Жыл бұрын
even me my son anaitwa joel na nilimpa because of him! Amenifanya niwe Best Father to my family... MUNGU AMUWEKE OUR MENTOR
@JosephKomba-zv5ed
@JosephKomba-zv5ed Жыл бұрын
@@jovinbyserjb3532 okay kiongozi apo unanisaidiaje mdau
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 ай бұрын
Hata Mimi ni baba Joe kwasababu ya huyu mwamba
@NasserShayo-tn6vo
@NasserShayo-tn6vo Жыл бұрын
Naumia sanaa kuona Channel kama hizi hazina wafuatiaji wengi kama kwenye Channels ambazo hazina maana yeyote katika maisha ya mtu😢😢😢😢😢
@user-sh8xp5dn3w
@user-sh8xp5dn3w Жыл бұрын
Kaka Joel mimi naishi Dar ....ninatamani sana kukuona au kupata maelekezo fulani kutoka kwako ...naomba msaada kaka nawezaje kukuona hata kwa dakika 10 tu
@user-gv1si9fq9v
@user-gv1si9fq9v Жыл бұрын
Mimi ninaamini wew unatumika kama kinywa Cha Mungu ktk kututoa ukungu ktk maisha mom binafsi najifuilnza Sana kupitia wew.. Ila tatizo umezidi kuchanganya kingereza kwenye mafundisho yako wakati wengi tunaojifunza kupitia wew hatujui kingereza tumia kiswahili tukuelewe viziri ndugu
@labanchayonga8103
@labanchayonga8103 Жыл бұрын
Elim yako na uelewa wako katika kufafanua mambo mbali mbali umenisaidia sana umekuwa ukinipa mwanga hivyo kuwa na mtu kama wewe ni baraka kwenye maisha yetu wale ambao tunakufuatilia…! 🙏ahsante sana kwa kutusaidia kwa jins ambavyo mungu kakupatia maarifa hayo..🫡nanauka wewe ni mtu bora na mwenye uwezo mkubwa sana katika kufikisha ujumbe sahahi… safi sana na nashukuru sana
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen, Ahsante sana kwa maneno haya mazito 🙏🏼🙏🏼
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Daaah sijakosea kutumia muda wangu asubuhi hii kumsikiliza brother Joel Mungu akubariki sana
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana sanaa
@Meruhoodfilms
@Meruhoodfilms 4 ай бұрын
Happy to meet you today joel,from morning up to 1 pm I have been going through your videos and in need you have bring big positive impact in my life
@mirajikombo5413
@mirajikombo5413 11 ай бұрын
You are My Mentor ....video zako ni ushaur tosha kwangu katika kila hatua ya Maisha yangu be blessed forever My Mentor 🎉🎉✍️🙏🙏🙏
@brayctech
@brayctech Жыл бұрын
Mimi ni mtu ambae napenda sana kujifunza na ukwel ni kwamba Joel Nanauka ni the best speaker na ni mtu anaeonekana kuwa mtu bora ni kwa sabab ni mtu asiyechoka kujifunza zaidi kila siku na hii ndio real meaning ya neno msomi . Be blessed brother Joel Nanauka
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Haya ni madini ya dhahabu Barikiwa sana Joel Sasa nao ngea na wa toto wangu maneno ya kuwa jenga
@sebastianmwita6148
@sebastianmwita6148 11 ай бұрын
Kama ni kiingereza ongea kingereza na kama ni kiswahili ongea kiswahili sio kuchanganya rugha kuna wengine unatuchanganya.
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 9 ай бұрын
❤❤❤ ubarikiwe😊
@user-kb1xk5cs2z
@user-kb1xk5cs2z 11 ай бұрын
Nayapenda sana mafundisho yako MUNGU akubariki sana uendelee kutufundisha MUNGU akupe maisha marefu nafurahia uwepo wako duniani
@musatalange4587
@musatalange4587 Жыл бұрын
Naweza nikasema wewe Ni zaidi ya life coach mana kunavitu vingi Sana huwa najifunza kwako navinanipa kuendelea sana
@EmilyMwalongo-sg4ru
@EmilyMwalongo-sg4ru 2 ай бұрын
Bro joel nanauka umechangiya kwa 100% kubadili maisha na fomla nzima ya maisha yangu na shukuru sana kwa kazi nzuri unayo ifanya ya kuandaa hizi content na vitabu vyako vyenye Quality ya juu vinavyo nifanya niwe imara kwenye hatua za kukamilisha ndoto yangu so thank you bro. (If this knowledge I have, if I manage to penetrate and reach even a quarter of Africans, I am sure we will become strong nations or Africa very strong economically. See you at the top my brother.
@skataezer7487
@skataezer7487 Жыл бұрын
We love you brother
@ElineAngel
@ElineAngel Жыл бұрын
Siku yangu imekuwa njema sana , mungu akubariki kaka Joel.. nakupenda adi mungu anajua... Unanisaidia sana,.. ila Kuna tabia ninayo ambayo siiipenda ninataka kuacha nifanye Nini jamni😢
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Asante sana Eline, nashukuru. Kuna kitabu kinaitwa Sayansi ya Tabia nimeeleza kwa mapana, Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda. Kitafute bookshop kinapatikana, mawasiliano 0762 31 2171
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Ongera Joel Mimi nikiweka clip zako watot wangu nawasogeza wasikilize iwasaidie angalau badae nikiwa nipo au sipo,
@RegnethSangwa-jv6gr
@RegnethSangwa-jv6gr Жыл бұрын
Wewe ni genius, nataman niwe kama wewe jmn
@therepublicofgreatthinkers
@therepublicofgreatthinkers Жыл бұрын
Wa kwanza kukomment leo😂😂
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Hongera sana sana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ahsante
@user-sh8xp5dn3w
@user-sh8xp5dn3w Жыл бұрын
Kaka naomba kukuona niko dar
@midazanzibar1283
@midazanzibar1283 Жыл бұрын
🎉🎉Kaka ubarikiwe sana🎉🎉❤
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Amen Amen Ameen
@johnmaduhu9435
@johnmaduhu9435 11 ай бұрын
Asante sana kaka.Mungu akuinue
@zainilkanji9141
@zainilkanji9141 11 ай бұрын
Ahsante brother
@fatmasoud
@fatmasoud Жыл бұрын
Mimi ni mschana wa miaka 22 nilipat matatzo sana katika masomo yangu hadi nikakata tamaa na kuamua kukaa nyumbani kwani nilikuwa nafeli sana…baada ya hapo nikaja kufuatilia masomo yako na nikasoma vitabu vinne miongoni mwa hvo ni #timiza malengo yako# ni kapata nguvu ya kurudi shule nikarisit mtihan baada ya kufeli mara 2 nimefaulu na nimepta division 2..na nimechaguliwa kujiunga na chuo coz ya uphamasia…Asante sana kaka Joel
@NsumbaHerbal
@NsumbaHerbal Жыл бұрын
Hongera Sana Dada. Binafsi Nayafurahia Sana Mafanikio Yako.
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Mungu akusaidie
@fatmasoud
@fatmasoud 11 ай бұрын
@@NsumbaHerbalasante sana
@fatmasoud
@fatmasoud 11 ай бұрын
@@happynescostat7420amyn
@richardvalson4313
@richardvalson4313 Жыл бұрын
✊✊✊💯Nanauka
@gayatiryoba4478
@gayatiryoba4478 Жыл бұрын
Mungu akutunze sana
@ElizabethLizzysingano
@ElizabethLizzysingano Жыл бұрын
All is mind,,,,,,, What you think you become What you feel you attract What you imagine you create Nashukuru mungu nimejua ukweli wa maisha bado mdogo Wengi wetu tunaishi maisha ambayo hatuyapendi bila kutambua sisi ndio wahusika wala sio mungu😂
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Very Trueee
@asiliyetuafrika9542
@asiliyetuafrika9542 Жыл бұрын
Allah akulipe kheri
@nelsonpatricioestanislaus7144
@nelsonpatricioestanislaus7144 Жыл бұрын
Kazi yako ni nzuri sana Mungo akubariki.
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
SoMo zuri,Ila kinanda kipunguzwe😊
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu sana... Unatupa madini amazing
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 Жыл бұрын
Daah, Mungu akubariki sana mkuu kwa mafundisho haya mazuri sana ❤
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@edsonedmond6919
@edsonedmond6919 Жыл бұрын
Asante sana kaka joel kwa mafundisho , mimi kuna kitu ambacho kinanisumbuaga nikiamua kukiamini sio raisi mimi kubadilika Sasa inakuwa shida kwa watu wanao nizunguuka wanakuwa wanani shambulia kwamba nina jifanyaga nina imani sana ,ni fanyeje kwa kuwarizisha watu ao wanao ninzunguuka ao marafiki zangu na ndugu zangu
@edsonedmond6919
@edsonedmond6919 Жыл бұрын
Napia naitaji sana kupata vitabu vya aina tofauti tofauti kwa kupata elimu zaidi
@edsonedmond6919
@edsonedmond6919 Жыл бұрын
HILA NATOKEA DALLAS TEXAS MAREKANI
@erickukula5331
@erickukula5331 Жыл бұрын
nanauka ni mtu makini sana
@songolomeshake6206
@songolomeshake6206 Жыл бұрын
Ubarikiwe kaka joele
@emmanuelpeter9022
@emmanuelpeter9022 Жыл бұрын
Samhan kidg kiongozi jaribu kufafanua& kuelezea kiswahili zaidi tupate kuelewa maan wengn elimu zetu ni za chini na tunaitaji mafundisho yako zaidi Asante
@yollamniko5090
@yollamniko5090 Жыл бұрын
Napenda Sana kukufatilia Kaka nanauka,,lakini jitahidi kua unatumia kiswahili zaidi,wengi tutakuelewa zaidi natutafaidika namengi,
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Acha tu nikupe maua yako, sauti inasikika vizuri sana
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Thank you so Much
@user-rm7lc4kc9k
@user-rm7lc4kc9k 11 ай бұрын
Wewe ni mwalimu Bora nataman niwe Kama wewe brother
@MeripaMusa
@MeripaMusa 4 ай бұрын
Be blessed mr
@MeripaMusa
@MeripaMusa 4 ай бұрын
🎉🎉
@hadidjaissa9154
@hadidjaissa9154 Жыл бұрын
🙏🙏🙏kwa somo nzr limenisaidi sn
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Safi sanaa
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 Жыл бұрын
Je nikitaka kuacha tabia ambayo ninayo na siipendi hiyo tabia unafanyaje
@mikenimubona127
@mikenimubona127 Жыл бұрын
That's good mzee Nanauka i like what you doing ❤
@neemasempombe1853
@neemasempombe1853 11 ай бұрын
Ubarikiwe This is real Let us impact our kids Positive things ata watavyoenda uko nje ile Positive mind iko strong Realy good and bad this mostly start in the Family Family its big industry 👏👏👏 Mungu azid kukuinua
@a.p.monlinetv3561
@a.p.monlinetv3561 Жыл бұрын
SoMo zuri hakka ✨💪💪
@eliastanda9825
@eliastanda9825 Жыл бұрын
Joel na mm reply nakubali elimu yako na inaaminika
@imanihaitv6682
@imanihaitv6682 Жыл бұрын
Hongera sana kaka yangu, Mungu azidi kukuongoza. Fr Joseph Nkusi
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana sana
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo Жыл бұрын
Joel Nanauka mungu wa mbinguni akulinde sana
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen, endeleea kuniombea
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
ASANTE SANA
@mwajabuhoza9919
@mwajabuhoza9919 Жыл бұрын
You are my Mentor and My role model🙏🙏.. Nasaidika sana mafundisho yako. Yesu akutunze
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen
@kevinalfredythebrainyprobl8925
@kevinalfredythebrainyprobl8925 Жыл бұрын
Mbegu unazopandaa kwa vichwa vyetu ni ya MILELE Kaka excellent good speech
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sanaa
@bushiryulaya1843
@bushiryulaya1843 Жыл бұрын
ubarikiwe
@franklukazula
@franklukazula Жыл бұрын
❤️ from MALAWI 🇲🇼 home 🇧🇮 Burundi
@user-je2qo8cp9e
@user-je2qo8cp9e 11 ай бұрын
Maneno yote yametimia tubarikiwe sote wenye kujifunza na mafunzo ya kaka joel
@harunaathumani1672
@harunaathumani1672 Жыл бұрын
Daaah mlemlee
@zabronmarco1430
@zabronmarco1430 Жыл бұрын
God bless you
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hapa nisomo nzuri sana mienzi mitatu utakuwa ushashikanisha vizuri saa
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 10 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@NasserShayo-tn6vo
@NasserShayo-tn6vo Жыл бұрын
Shukrani sanaaa umebadilisha maisha yangu kiasi kiasi kikubwa sanaaaa❤❤❤❤
@Yonzomc01
@Yonzomc01 Жыл бұрын
Hasante kwa somo zuri nimejifunza sana nanitatendea kazi
@sefumwelasefumwela
@sefumwelasefumwela Ай бұрын
Emu elewen vitu vingine aviongeleki kwa lukha moj lazima uchanganye so kam uwelew lakn kam kinaongelewa kitu sahihi utapat isia tuu
@daprince7545
@daprince7545 Жыл бұрын
Bro congratulations 🎉🎉🎉 be blessed 🙏🙏🙏
@bushiryj8537
@bushiryj8537 Жыл бұрын
Genius
@harrislaston3710
@harrislaston3710 11 ай бұрын
God bless you brother for a good work to us
@sifaisack7470
@sifaisack7470 Жыл бұрын
Yaan nikwel kabisa hasaa hyo sehem ya pil (wanafunzi wenzangu) na ya tano vmenitesa sana hata nikawa najiona si chchte lkn kuptia haya mafundsho yako nayafatlia sana nayamenibadlsha mnoo najiamin na ninaiman ktk kila nakifanya hata nmeanza kuziish ndoto zangu zle nliona siwez kufkia kulngana na nilvokua najiona kuptia mazngra nmeptia
@bensontemu9356
@bensontemu9356 Жыл бұрын
Ahsante, Barikiwa
@user-ipallangyo
@user-ipallangyo Жыл бұрын
I appreciate, I should build my mind set
@user-yq1eo9od4t
@user-yq1eo9od4t Жыл бұрын
Watching from Namibia this time, congulatulations for your lesson me i use to call you the Dr of mind set formation!!
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Thank you so much kwa kuendelea kufuatilia
@daudkanyelele4862
@daudkanyelele4862 Жыл бұрын
Kaka Joel wewe umekuwa mjibu maswali yangu .. Last month.. Nilikuwa nawaza mawazo negative juu ya biashara yangu Kuhsu maeneo nilipo. Lakini nmepata wazo hapa..nifikili namna ya kufanikiwa hapa
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Hongera sana, namshukuru Mungu.
@daudkanyelele4862
@daudkanyelele4862 Жыл бұрын
Naomba soft copy za vitabu vyako...core genius and Timiza malengo..no ya whatsapp..naktaftaga lakini sms hujibu najuwa unamambo meng
@gaspalcharles4865
@gaspalcharles4865 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@eliwitnessjoseph4350
@eliwitnessjoseph4350 Жыл бұрын
I like it
@BARAKAMGINA
@BARAKAMGINA Жыл бұрын
THANKS ALOT BRO JOEL
@rajeshmajesh
@rajeshmajesh Жыл бұрын
True
@salmazwallo5920
@salmazwallo5920 Жыл бұрын
Asateee bro❤❤❤❤
@gilionintellectual9312
@gilionintellectual9312 Жыл бұрын
This is it
@sekeyifabian9517
@sekeyifabian9517 11 ай бұрын
🙏
@eliasmugume254
@eliasmugume254 Жыл бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa
@gloriakawago6223
@gloriakawago6223 Жыл бұрын
Jaman mm nilisha ambiwa na baba wa watoto wangu kuwa siwezi biashara, na maneno ya kunivunja moyo, lkn nilipo amua kuachana nae nimefungua biashara, nasimamia mwenyewe na nimeweza kufanya mambo mengi kweli utakacho semeshwa mara kwa mara ubongo unaamin hivyo lkn kumbe sivyo see you at the top.
@cymornymurheegue5165
@cymornymurheegue5165 Жыл бұрын
God bless you,, kaka your words are so wise
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sana sana
@husseinmwakasala7565
@husseinmwakasala7565 Жыл бұрын
thanks Joel
@bestroyaltv
@bestroyaltv 11 ай бұрын
Very powerful
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 11 ай бұрын
I've added something in my mind be blessed myself brother Joel 🙏
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Asante sana
@ngubwene
@ngubwene Жыл бұрын
Thank you
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibj
@YoungsHilary-xd2ml
@YoungsHilary-xd2ml Жыл бұрын
Asantee sana,,,
@davidmkonyi7474
@davidmkonyi7474 11 ай бұрын
Be blessed brother ur genius🙌
@paulpeter4684
@paulpeter4684 Жыл бұрын
Gratitude for your good lesson I learned how Icwn create My mind set thanks Brother J.. Nanaula since you provides good fertilizer to Us
@ridhonemkaikuta8628
@ridhonemkaikuta8628 Жыл бұрын
Perfect speech
@prof.golden5424
@prof.golden5424 Жыл бұрын
You are a treasure of the nation
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen, remember me in your prayers
@mackreenmsika9772
@mackreenmsika9772 10 ай бұрын
😮. 😅v min
@jkayombo_jr858
@jkayombo_jr858 Жыл бұрын
Asante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibu sana sana
@StanslausKitandala-el4np
@StanslausKitandala-el4np Жыл бұрын
Nahitaji kupata vitabu nimejaribu kuwatafuta nimeshindwa
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Namba za bookshop ni 0762 31 21 71 (Destiny Bookstore) na 0745 252670(Timiza Malengo Bookshop), karibu sana
@user-sh8xp5dn3w
@user-sh8xp5dn3w Жыл бұрын
Kaka naomba nikuone Niko dar naomba sana kukuona hata dakika 10 tu nina jambo muhimu la kushirikisha
@StanslausKitandala-el4np
@StanslausKitandala-el4np Жыл бұрын
@@user-sh8xp5dn3w Mimi Niko mpanda katavi ndugu
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg Жыл бұрын
Thankx
@robbyman6213
@robbyman6213 Жыл бұрын
Amen
@kaittheleast
@kaittheleast Жыл бұрын
Statement ya mwalimu wa maths 😢😢
@user-sh8xp5dn3w
@user-sh8xp5dn3w Жыл бұрын
Natamani niongee na wewe japo kwa cm tu hata dakika chache ....
@niriacatering172
@niriacatering172 Жыл бұрын
Thank you so much
Maeneo Sita (6) Ya Kuzingatia Katika Kujenga Nidhamu - Joel Nanauka
12:01
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 48 М.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 90 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 12 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 8 МЛН
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA
49:41
HATUA ZA KUJENGA USHAWISHI - JOEL NANAUKA
12:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Jinsi ya kutImiza malengo yako kwenye ulimwengu wa Sasa.
55:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 104 М.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 8 М.
ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO SEHEMU YA PILI
35:42
Harris Kapiga
Рет қаралды 67 М.
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 6 М.
KISA CHA MAITI ALIYEVUTISHWA BANGI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
14:49
arkas online tv
Рет қаралды 271 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН