MAJUNGU PLESI

  Рет қаралды 190,079

Joti TV

Joti TV

24 күн бұрын

Wadada muwe maakini na wanaume mnaoishi nao kwenye maisha yenu. Wengi wao ni wambea sana hawana kaba ni watoa siri...

Пікірлер: 446
@stanslausmajalla8896
@stanslausmajalla8896 6 күн бұрын
Jamani na mimi naomba like hata 1 tu kila siku wengine tu mnawapa like
@jeremiahromward6784
@jeremiahromward6784 21 күн бұрын
Anayeangalia huku anasoma comments gonga like twende sawa 😂😂😂😂 #joti is the best comedian 🤣
@ErickmidoMsodock
@ErickmidoMsodock 21 күн бұрын
From Japan Kuma moto I love u YANGA bingwa tyr😂😅
@MarybellaGeorge
@MarybellaGeorge 21 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-tj5lr2le6k
@user-tj5lr2le6k 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@batofrancis6930
@batofrancis6930 22 күн бұрын
Kama watu wamemkataa robot Yunis watanikubali mimi kweli 😂😂😂
@angelazizi4831
@angelazizi4831 21 күн бұрын
Mwnyw cjamuelewa wanja wake umetokea kulia kwenda kushoto..😂😂haf hela zetu wanachezea
@user-lk9rb2zw9s
@user-lk9rb2zw9s 21 күн бұрын
Kilasiku mm nakosa like ata moja
@duhuzebosco6207
@duhuzebosco6207 14 күн бұрын
Take mine I give you
@jonnyfranco5318
@jonnyfranco5318 20 күн бұрын
Joti unafanya kazi nzuri ila ukiingia katika series inakuwa the best
@officialsule270
@officialsule270 22 күн бұрын
Watu mpo faster haya nipeni hata like kumi tuu
@williamchenjelu3838
@williamchenjelu3838 21 күн бұрын
Joti hafai😂😂
@NdongaBoy-hy2qg
@NdongaBoy-hy2qg 21 күн бұрын
Ila joti kunakitu unatafuta Kwa huyu mzee jamani lake zangu 😂😂 jamani
@fallykitwara1192
@fallykitwara1192 21 күн бұрын
Daaaah!!wana wamemkataa kabisa Mwenzao Joti ndio kwanza wanachochea😂😂
@issafadhiri3895
@issafadhiri3895 21 күн бұрын
Daaaa ndio nilikua naishi uko wengi wakinijua kwa jina la dogox nyumbani uko safi sana mdogowangu joti
@LovelyMountainLandscape-dd4xe
@LovelyMountainLandscape-dd4xe 4 күн бұрын
Ila joti noma kwel
@HarounHassan-zv8kd
@HarounHassan-zv8kd 21 күн бұрын
Teem Fisi mtanivunja mbavu zangu. Kila siku story tam.dah noma sanaaa
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 21 күн бұрын
Mamaaeee nishai huo mwendo ulivokuwa. Unaingia kijiweni. Umeuwaa🤣🤣🔥
@andrewraphael3098
@andrewraphael3098 21 күн бұрын
Nishai mtomba ngwile kitwango mikazo misuguano 😊😂😂😂😂😂 kila ijumaa
@johnjoseph2531
@johnjoseph2531 21 күн бұрын
Misuguano
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 20 күн бұрын
😂😂😂😂Nyinyi
@khalelykhaled9266
@khalelykhaled9266 21 күн бұрын
Joti number one tz kwa comedian 🎉
@JamesMpiga
@JamesMpiga 21 күн бұрын
Unaviuno lakini unaachika sana😅😅
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 22 күн бұрын
Ijumaa tulivu nikiwa na JOTI TV🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@jumaramadhani5861
@jumaramadhani5861 21 күн бұрын
sahihi kabisa rafiki
@Khmy54
@Khmy54 21 күн бұрын
Alikuwa anasema mwananguuhh😂😂💔🙌
@numpefikimwaipopo
@numpefikimwaipopo 21 күн бұрын
Waomba like wanakera Kama nini
@kyannickk2be
@kyannickk2be 21 күн бұрын
Joti aisee....alivyojua ni baba mkwe dah...😂😂🤣
@BundalaShija-yb4vo
@BundalaShija-yb4vo 21 күн бұрын
Mmetisha team joti 😂😂😂😂
@dabomtanzania
@dabomtanzania 21 күн бұрын
Sema Zito mnafiki sana alivyokataa kwenye sauti sio mchezo 😄😄😄
@zamirzanjeel09
@zamirzanjeel09 21 күн бұрын
Gonga like kwa ajili ya joti from Bukoba 🏳
@1czay
@1czay 20 күн бұрын
😂😂😂wacha nicheke ju nikiomba likes sipewi hata moja
@IssaHamisi-tf1bf
@IssaHamisi-tf1bf 22 күн бұрын
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas jotii88iiiiii babaaaaaas
@mussanachele5199
@mussanachele5199 15 күн бұрын
😅😅😅😅nishai anasema leo kakalia chupa😅😅😅😅😅😅
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 21 күн бұрын
Oh mpu vizuri sana
@user-eo1qy1zh7r
@user-eo1qy1zh7r 22 күн бұрын
Nakubali sana mwanangu joti🎉
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 21 күн бұрын
Sema joti anajuaa sana kuchekexha
@HawaAkida
@HawaAkida 22 күн бұрын
Naombeni like zangu sijalala Leo nlikua namsubr not wa1 leo😂
@innocentjulius5341
@innocentjulius5341 22 күн бұрын
Hizo likes zitakusaidia nini?
@HawaAkida
@HawaAkida 22 күн бұрын
😂😂Kama unamkubali jot gongalike hapa
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 22 күн бұрын
Kutoka nairobi like senu
@shukranikayange2275
@shukranikayange2275 21 күн бұрын
😂😂😂
@sweetlady-xs5vo
@sweetlady-xs5vo 21 күн бұрын
Wewe dotto weww ety from Nairobi 😅😅
@missdija4959
@missdija4959 2 күн бұрын
Mchaga wa Nairobi😂😂😂😂
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 күн бұрын
From Gikombaa
@stanastana3199
@stanastana3199 21 күн бұрын
Majungu plesi,anavaa shanga anavua daah
@godfreymasondaabel1904
@godfreymasondaabel1904 20 күн бұрын
Haaaaaa hili funzo sanaaa
@Charleskulwa-hp5ow
@Charleskulwa-hp5ow 18 күн бұрын
Joti hongera sana brother hamna kama ww bongo
@user-ck7fi3bh3i
@user-ck7fi3bh3i 21 күн бұрын
Haki nmechekaa leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaan joti mungu akuweke jmn uzid kutufurahisha et kaja mjini kutolewa mkishipaaaa 🤣
@muhammadamir2901
@muhammadamir2901 21 күн бұрын
King of Comedians 🔥🔥🔥
@BabaKubwa-po3wy
@BabaKubwa-po3wy 21 күн бұрын
Leo jotii naona umekumbuka ulipotoka daaah 😊😊
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 18 күн бұрын
Hahaha joti kayakanyaga😂😂
@user-gq7qy7ok1v
@user-gq7qy7ok1v 21 күн бұрын
🙌🙌🙌 umenishinda jot haun mpenzani
@andersonmutta3807
@andersonmutta3807 22 күн бұрын
ila Joti, mwanangu nataka kuja mjini na mimiiiiii😂😂
@JosephMroki-gg9nc
@JosephMroki-gg9nc 21 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 joti nakukubali sana best comedian in TZ 😅
@EmmanuelPeter-lo2mp
@EmmanuelPeter-lo2mp 21 күн бұрын
Big up great comedian 👏👏
@user-gv8pf6if9m
@user-gv8pf6if9m 21 күн бұрын
Leo waomba like wamechelewa sijui wametangulia kwa billytv😅
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 21 күн бұрын
Huo ndo ulikua utani wa mwisho😂😂😂😂😂
@ashahassan7414
@ashahassan7414 22 күн бұрын
😂😂😂😂joti ❤
@evajohnsun7672
@evajohnsun7672 20 күн бұрын
Alooohh...Mwanangu nataka kuja mjini na mmi 😅😅😅
@user-br4yw1eo4h
@user-br4yw1eo4h 22 күн бұрын
Joti it's better comedy Africa
@kicbreezy4641
@kicbreezy4641 21 күн бұрын
Mkwe wangu habariii😂😂😂😂 nataka kuja mjini na Mimi🙌dah joti😂😂😂
@user-gz5tp6dw1k
@user-gz5tp6dw1k 22 күн бұрын
1 leo
@ashahassan7414
@ashahassan7414 22 күн бұрын
Waomba like bado mmelala😂😂 mpeni joti maua yake❤
@user-br4yw1eo4h
@user-br4yw1eo4h 22 күн бұрын
❤wew Leo ujalal umekesha wew😅😅
@ashahassan7414
@ashahassan7414 22 күн бұрын
Hahaha 😅hapana mm sehemu nipo bado ndo kwanza saa tako kasoro uck
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 21 күн бұрын
😂😂😂
@zkiduku4068
@zkiduku4068 21 күн бұрын
​@@ashahassan7414edit your comment
@christellairadukunda3961
@christellairadukunda3961 21 күн бұрын
​​@@ashahassan7414 Ndo iwe saa tako kasoro uchi? Duuuh
@ZaiduGillah
@ZaiduGillah Күн бұрын
Kutoka MAREKANI 🇺🇸🇺🇸
@nachengasir5426
@nachengasir5426 20 күн бұрын
Kuna vitu viwili haviko sawa kwanza mzee kaja kauliza hichi ni kijiwe cha majungu ples baadae anauliza hichi kijiwe kinaitwaje, pili anamtaja mpita njia kwa jina "zuu" ilihali yeye ni mgen
@Missney-ci1kx
@Missney-ci1kx 21 күн бұрын
Joti kitambo sanaa ujashtua kijoti napendaga walaah ,, kipindi ikoo watu ndo ilikuwa swaga yetuu
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 19 күн бұрын
😂😂😂 Joti anabalaa aisee...
@user-my1vi6wv9h
@user-my1vi6wv9h 21 күн бұрын
ila jotiii😂😂😂😂 unamsema mkwe wako
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 21 күн бұрын
Babahhh mlewa sheweleeeee
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 21 күн бұрын
Sasa jot mzee kabeba mfuko alafu umejianikaaaa...jua limekausha...umefuliaaaaa
@user-xz5gk5ds7b
@user-xz5gk5ds7b 21 күн бұрын
Naombeni like zenu hata moja😅
@kupazd_zine7437
@kupazd_zine7437 17 күн бұрын
Tayari
@JosephMinja-xh3jm
@JosephMinja-xh3jm 21 күн бұрын
Joti kweli unaweza!
@salimakida95
@salimakida95 22 күн бұрын
Timu Fisi pamoja tujuane
@KondoRamadan
@KondoRamadan 13 күн бұрын
Sema mwanangu unazingua sana joti😂😂😂
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 20 күн бұрын
Never disappoint jotiiii 😂🎉
@starjay3052
@starjay3052 21 күн бұрын
🤣🤣😂😂 shika shika shika kikombe kwanza
@mbarakapandu101
@mbarakapandu101 21 күн бұрын
Mi joti namkubali sana ukiwa nishai bwana ananivunja mbavu
@Wanisimbula
@Wanisimbula 19 күн бұрын
Zito sio mtu mzuri kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dominiquebirler2791
@dominiquebirler2791 21 күн бұрын
Twakusupport sana wakenya. Wapi likes za 254 ? 🇰🇪 🇰🇪
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 20 күн бұрын
Walio rudia kuangalia wa like
@WilliamMosara
@WilliamMosara 21 күн бұрын
Baba mkwe kachomoa betri😂😂
@hassansammy1076
@hassansammy1076 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂joti weye noma sana 😂😂😂😂😂😂😂
@praygodtemba7046
@praygodtemba7046 11 күн бұрын
Aloo leo nimekalia chupa that part😂😂😂
@abdallahmagesa6209
@abdallahmagesa6209 21 күн бұрын
Joti......salute
@chrismuganwa8634
@chrismuganwa8634 21 күн бұрын
You never disappoint me Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@user-ir1cw9ev3v
@user-ir1cw9ev3v 21 күн бұрын
😂😂😂😂 joti wee ni kiboko sana🎉🎉
@Shadia544
@Shadia544 21 күн бұрын
Miee leo nimesahau kama leo JOTI 😂😂😂 MBONA MAJUNGU PLESI😂😂😂
@japhetseko563
@japhetseko563 21 күн бұрын
Dah 😂😂 lunch yangu leo imesindikizwa na hiki kichekesho
@azizayassin3623
@azizayassin3623 21 күн бұрын
Kumekuchaaaa 😂😂😂😂😂 waomba 👍 like
@sizampanda2869
@sizampanda2869 14 күн бұрын
Eti leo nimekalia chupa😅😅😅
@safarikarisa5912
@safarikarisa5912 19 күн бұрын
Assalamu aleikum mimi nishabikia nishai sana toka Kenya lakini mbona hamueki kazi mpya??
@fabianclato3101
@fabianclato3101 21 күн бұрын
Natoa naweka 😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 21 күн бұрын
😂😂😂jot bana😄
@danielkembo2177
@danielkembo2177 14 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅joti utakuja kutuuwa
@mwaminishakalili4120
@mwaminishakalili4120 21 күн бұрын
Nimecheka hadi nadikia haja yachoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😄😁😁😄😃😃
@jayjay8845
@jayjay8845 22 күн бұрын
Nishai Mtombangile wa miguno mikazo
@baloz8974
@baloz8974 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@othmanmbarouk8499
@othmanmbarouk8499 21 күн бұрын
😂😂😂hii ya leo kali balaaaa
@shuzashadyproduction8438
@shuzashadyproduction8438 18 күн бұрын
Leo Kijiwe Majungu kimechanganya Sana😂😂😂😂
@christiantariq7263
@christiantariq7263 21 күн бұрын
Eti leo nimekalia chupa😂😂
@kassimkobby1679
@kassimkobby1679 21 күн бұрын
Yaaan nmecheka sana dah jot mngese
@salamisindimwo303
@salamisindimwo303 21 күн бұрын
kimeumanaaaa in KANYINYI'S voice....
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 21 күн бұрын
Rudia 😂😂😂 joti never disappoints🔥
@selemandaniel6179
@selemandaniel6179 12 күн бұрын
Joti unashidagani lakn
@amirikonja340
@amirikonja340 22 күн бұрын
Mapemaa
@dckeydad3737
@dckeydad3737 22 күн бұрын
Joti 😂😂
@ShabanRajabu-pz5cn
@ShabanRajabu-pz5cn 21 күн бұрын
Nishai unamiuno ila unaachika sijui kwanini😀
@MagrethNyakunga
@MagrethNyakunga 21 күн бұрын
Nishai mvaa shanga😂😂😂😂
@majambomake-js3tw
@majambomake-js3tw 22 күн бұрын
Asanteee❤❤
@barakafredy7726
@barakafredy7726 21 күн бұрын
Ila nishai😂😂😂
@alhalithhamis2536
@alhalithhamis2536 21 күн бұрын
Et leo umekalia Chupa😂😂
@beccasniper-ki4gg
@beccasniper-ki4gg 21 күн бұрын
Heti leo nimekalia chupaa😂😂😂😂
@user-vo5ob1pw4j
@user-vo5ob1pw4j 21 күн бұрын
Aky leo nmekelia chupa 😂😂😂😂😂
@EricKazungu-ni1hm
@EricKazungu-ni1hm 20 күн бұрын
Babamkwe atolewe kijagi😅
SIFA ZA KIJINGA
9:57
Joti TV
Рет қаралды 72 М.
MADAWA
9:09
Joti TV
Рет қаралды 449 М.
Can you beat this impossible game?
00:13
LOL
Рет қаралды 58 МЛН
New Gadgets! Bycycle 4.0 🚲 #shorts
00:14
BongBee Family
Рет қаралды 13 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 6 СЕРИЯ
21:57
Inter Production
Рет қаралды 506 М.
NDARO NA STEVE MWEUSI WAROHO UTACHEKA
13:28
Ndaro Tz
Рет қаралды 444 М.
PENZI LA MWANAFUNZI
7:20
ASMA COMEDIAN
Рет қаралды 1,7 МЛН
HATONGOZEKI
9:13
Joti TV
Рет қаралды 295 М.
CHEKESHA: FUNDI CHEREANI | NAPIMA T TATU
9:10
CHEKESHA
Рет қаралды 43 М.
BAHASHA
8:12
Joti TV
Рет қаралды 544 М.
PISI MBUZI
9:00
Joti TV
Рет қаралды 938 М.
MTEGO
6:30
Joti TV
Рет қаралды 712 М.
DUKANI KWA MEKU
11:05
Joti TV
Рет қаралды 190 М.
Книжка где, пончик? #shorts #сериалы #юмор
0:44
Мир Сватов
Рет қаралды 7 МЛН
Spongebob team his wife is pregnant #spongebob #marriage #pregnant
0:12
DINOSAURS ATTACKED AT THE POOL #shorts #netflixpartner
1:01
The McCartys
Рет қаралды 17 МЛН
Бабушка и домовой
0:53
Сабина Хайрова
Рет қаралды 1,6 МЛН