►Instagram / stbongotv ►TikTok / stbongotv.tz ►Facebook / stbongotv ►Twitter / stbongotv ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 106
@joycehaule97173 ай бұрын
Hahahahahhahahahahahahahaaaaaaa nimecheka sanaa NAMPENDA SUZY BALE
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂
@MaxwellLegnardoElias3 ай бұрын
Janet i know you from dodom city,hanet village god bless you
@pamelafelix63613 ай бұрын
Ila uyu kaka si alishawahi kuja apa na aliondoka na yule dada mwenye dred kichwani😢😢😢😢😢😢😢😢😢nimelia sana
@user-ju3nm8oc1c3 ай бұрын
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
@user-ju3nm8oc1c3 ай бұрын
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
@bhokesaid32643 ай бұрын
Wanaigiza hao hakuna hata1 aliyeserious wote ukiwaona huku siku kadhaa utawaona kwenye comedy,music,tangazo na chochote so not serious
@Official836403 ай бұрын
Kwani inakuwaga kweli na maigizo tu hayo ht Mwijaku aliwahi kusema unaowaona hapo wote km wanalipwa tu kuendesha kipindi lkn hamna ukweli wowote
@AbdulDc-oc7ps3 ай бұрын
Ndio yy
@SelemanMilumba2 ай бұрын
Nampenda sana suzi sitamani aondoke
@asmoretune3 ай бұрын
sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that
@LidiaElias-k6bАй бұрын
Jaman
@user-db9tu5lv4z3 ай бұрын
😢huyu mdada 🙌💔si anaenda kwa lennie beauty Store au sio yy
@FatumaNurdin-ob7br2 ай бұрын
Uyu dad s alkua kwenye kipnd cha mr uk na uyo bwan wamejfanny wameachan kumbe waongo shenzeiiii
@user-il8wx3eq8i3 ай бұрын
Huyo naumbile lake alivyo mnene kigauni kifupi
@sammyzumesh81623 ай бұрын
Na mkuwe na mbwembwe ka Mr right ya Kenya😂😂😂😂
@habi781213 ай бұрын
show za kistarabu so km kwenu kenya fujo tu mwanzo mwisho😂😂😂😂
@subrynerysegerow13233 ай бұрын
Kwenu wamechanganyikiwa yani wanawake wenu jeuri😂😂😂
@user-xr6xk9lb5c3 ай бұрын
Watu wanajiheshimu tu. Bwebwe za nini?
@bintsaid76962 ай бұрын
@@habi78121😂😂😂ila watu wangu WA +254 Wana npunga banaa Ile ya ma ex walipo kutana😂😂😂😂😂
@reginamtitu55923 ай бұрын
Aenderee Suzi kuwepo kwenye jukwaa
@poulmbogo17703 ай бұрын
Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini
@iddydanna66413 ай бұрын
Big yash😂
@KigorofaniKigorofani3 ай бұрын
Janeth❤
@soniamarther59373 ай бұрын
Mkuwe mna tuwa full video please
@farajangwema46632 ай бұрын
Jamani huo ni uchumba sio ndoa so wakimech tabia wanaendelea wasipo mech wanaachana akimpata wanaemechi wanafunga ndoa
@NsiaNdanshau2 ай бұрын
Jane njo najambo naww sio kwa uzuri wako embu njoo
@MchelliLaizer2 ай бұрын
Alafu uyu si alibadisha jina akaijiita fey momo huku anaitwa jina lingine uyu dada mcharuko
@stellakatana36432 ай бұрын
Kabisa n huyo😅kumbe umeona kama mm
@innocentkanyata99233 ай бұрын
Sasa ya nini kumkasilikia mtu? Huyo Bibi mtoen hapo
@deecokujory2 ай бұрын
Et sahv wameachana duh mapensi konyoooo
@LovelyCoastline-il1lr3 ай бұрын
Suzi unaongea mpaka unakera sasa unakuwa kama gigy money
@YazrinKajia-rk8fc2 ай бұрын
Jamani huyo Suzy anaboa mtoeni kwenye kipind, mdhalilishaji bwana hachagui maneno yakuongea watu watajiskia vibaya isee
@user-sn4fu7hd6u2 ай бұрын
😂😂😂suz jaman punguz kuongea bas
@brunoh_bx2 ай бұрын
Inaonekana urefu ni deal, mimi na ufupi wangu huu nahangaika wee kupata mwanamke wa kuoa sipat lakin mwamba wanawake wote wanne wanamtaka😮😅🙌
@FATUMACHIPYANGU3 ай бұрын
Uyo mkaka alishawahi kuja apo mbona😮
@danielmllay83322 ай бұрын
😅
@RehemaMwampashi3 ай бұрын
Kamchukua na kamuach
@deborahmollel31702 ай бұрын
Huyo mwanamama apunguze maneno inaboa kipindi
@Sara-iz2nr3 ай бұрын
Suzi namupenda ❤❤❤
@user-vi3ck1cw3h3 ай бұрын
SUSY HAFAI ANAONGEA SANAAA😮
@Patrisha6002 ай бұрын
Wameachan kidaa bidad anachat na ex wang inakeraa kwa kwel. Boraa angeondok na sindelelaa ndoa ingekuwepoo😄😄
@devotamutayoba93733 ай бұрын
Suzi arudi mtaani tu
@upendoeliya93293 ай бұрын
Yaani anachamba km ugomvi!!!😮
@rachelpatrick37492 ай бұрын
Mtoenii Suzy bale anaongea sanaaa
@N254NK3 ай бұрын
Yani no one has chosen that chic in green
@user-jx8et3mk1p2 ай бұрын
Suzi anaongea haid kunachangamka 😅
@AbdulDc-oc7ps3 ай бұрын
Kama awana watu wapya si waseme mpaka arudie mwamba uyo
@lyidiajuakaly33352 ай бұрын
Wameshaachana tayari hawa🤣🤣🤣🤣 nyie
@Officialrockzompa3 ай бұрын
Suzy baleee😂
@user-kp8bp3em7v2 ай бұрын
NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI? WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN
@kissageorge39873 ай бұрын
Mi tu hiyo brauzi ya haria uwiii hadi aibu
@Hajer-be2kh2 ай бұрын
Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo
@salmakasim83902 ай бұрын
Sindio na me nashangaa nimemuona pia anajiita fay momo
@user-rk7iw5mw8z2 ай бұрын
C ndio apo kwa Mr right anajiita Lisa kwa Mr uky anajiita faymomo duh dunia Ina watu wa ajab kbx
@MchelliLaizer2 ай бұрын
Me mwenyewe nashangaaa
@FadhiliMbise-jo3vr3 ай бұрын
Mama agness kasha aribu nyota ya mwanae
@christainc.52173 ай бұрын
❤❤
@paschalmichael97443 ай бұрын
Lucy
@pilselman29553 ай бұрын
Kwan Eliza na na zalisha wako wp jaman maan mie sijanglia sikunying
@MariyaChaki3 ай бұрын
Hhhh ata mmi nimejiuliza wapi wapi au wamejiondokea soko gumu
@MariyaChaki3 ай бұрын
Hh mienyewe najiuliza
@JeremiaNanyaro2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢
@user-ch2it3qt5z3 ай бұрын
😂😂😂 hii nayo n aina ya umalaya wa kidigital yn wa kixomi 😂 mnajiuza kisasa dah
@user-hp6pq9fb2l3 ай бұрын
Ukweli usemwe tu
@user-ch2it3qt5z3 ай бұрын
Hahaha et ukwl usemwe
@maryamedi91413 ай бұрын
Hyu kaka alikujanga akapata na mchumba mbon tena karudi
@user-hp6pq9fb2l3 ай бұрын
Ni kumega na kuacha hiyo
@pamelafelix63613 ай бұрын
Si ndo nashangaa jaman....watu mna kumbukumbu aisee😂😂😂
@maryamedi91413 ай бұрын
@@user-hp6pq9fb2l 🤣🤣🤣
@maryamedi91413 ай бұрын
@@user-hp6pq9fb2l duuh hatri
@user-wd2bc7bf5x3 ай бұрын
na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo
@user-lb1nr2fw7t3 ай бұрын
Icho kipindi wanatafuta tu ustar hamna lolote
@Salimuyusufu3 ай бұрын
mbona kama huyu jamaa amerudi mara ya pili
@nancyg86643 ай бұрын
😂kumbe nawewe umeona eee,yan nikajiuliza mbona kama nimewahi kumuona humu
@sophsoph47403 ай бұрын
Mi mwenyewe nimeshangaa
@joyce557273 ай бұрын
Ndio yeye kalud
@pamelafelix63613 ай бұрын
Nimeshangaa Sana....alaf na izo bigG zake anatafunaga kama ng'ombe aliyecheua😤😤😤
@mercychepteekilovethismovi9123 ай бұрын
Hata mi naona hivo
@celinamputacelinamputa35773 ай бұрын
Saivi washa achana
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂