Nampenda sana nishai na kundilake kwaujumla amjawai kuferi nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤
@juma62533 ай бұрын
Wapenda mishangazi joti katuangusha sana😅😅😅
@RashidiSaidi-u6g3 ай бұрын
Mungu akupe afya njema ,uishi miaka mingi ili watanzania tuendelee kufaidi kipaji chako
@stephancosmas65533 ай бұрын
amen
@HawaHusseni-x9v3 ай бұрын
Nakukubali sana Sanaaa Nishai Mtombangilee mitwango mikazo miguno misuguano nakuongezea jina lingine "Minyanduano" 😂😂😂😂
@kareemkondo16553 ай бұрын
Hahahah umetisha San hawa naona majina yote umemtaja nishai
@MauFundiElectronics3 ай бұрын
Minyanduano.
@GeraldElias-s7j3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@HawaHusseni-x9v3 ай бұрын
@@kareemkondo1655 Pamojaa sana Kareem😂😂😂😂😂
@HawaHusseni-x9v3 ай бұрын
@@kareemkondo1655 pamoja Sanaa😂😂😂😂
@LuluGalea2 ай бұрын
Zuuh umenenepa jamani maisha yamekukubali good❤.
@ashminaabdulla89463 ай бұрын
Kwa siku milioni 2 ww kwenu hata banda la kuku huna dah😂😂😂😂😂😂😂skikamooo Shangazi hujambo ❤❤❤❤
@pretty20813 ай бұрын
O primeiro apartir de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 . Grande job joti
@ArlonKamgisha2 ай бұрын
Ujuh 🎉Iuy😢🎉Iiiiiiiiiiii❤❤🎉😢😮😅🎉🎉
@clevalupakisyo74603 ай бұрын
Huyo jamaa big amecheza vizuriiii sana hapo😂😂😂😂mnooo;
@brownsebastianmwibi56473 ай бұрын
Nimecheka sana, sema Joti umemaliza vibaya. Hapo mwishoni hapana maadili, sidhani kama baba, mama, na watoto wanaweza kuangalia mpaka mwisho halafu wasione aibu. Mwishoni umeharibu mzee
@fredycheti34993 ай бұрын
HUJATUMWA KUANGALIA
@ShuwarMdudu3 ай бұрын
Unasema maadili, maadili Ni wewe mwenyewe utavo walea wanao
@gadielshedaffa33333 ай бұрын
Uko sahihi na asingesema hayo maneno hapo mwisho
@mohammedkidody56183 ай бұрын
Ila joti ww kweli legend😂❤🐐
@godfreymagigi83403 ай бұрын
Mtu wa 22 nimekuwa hadi raha nipeni like zangu!
@carolynekanaiza3 ай бұрын
Kama umeipenda hii ebu like,carol from kenya,nishai hoyee napendezwa sana movie zako sana
@IssaothmanSliman3 ай бұрын
❤😂🎉😢😮😅😊😊umetishaaaaaa mwambaasa jotiiiiii
@jescamushi31423 ай бұрын
Naitwa Nishai mtombangile kitwango mikazo migunoo, Leo kimemlambaaa😊
@JustinMwakalukila3 ай бұрын
😂😂😂😂😂,watu wa kutoka Kongo 😂😂😂. Ndo inatosha vile😂😂😂
@Shadia5443 ай бұрын
😂😂😂MSHANGAZI JAMANIII 😂😂😂😂ILA DORISI JAMANIII 😂😂😂MSHANGAZI NDIYO MAMA PILI😂😂
@Pedeshee012 ай бұрын
Wewe siyo mshangazi tuyajenge
@Naema-x7p3 ай бұрын
Mzeee wa mbio leo umekamatika 😂😂😂😂😂😂ilove jot im from kenya ❤❤❤❤❤❤
@willhardnyambo46123 ай бұрын
Wanae kubali huyu jamaa ni mbuzi tz nzima gonga like hapa🐐
@رحيمهموينديموتو3 ай бұрын
Watching from Kenya..Angeuona Mjuluss
@craftedforexcellence3 ай бұрын
Hilarious 😂.. Watching from Kenya, Nairobi. Ila tu next twamtaka kiboga... Jamani kiboga nimekumiss
@RamadanPaul3 ай бұрын
Zuuh mbona kanenepa sana❤❤❤
@FatmaKhamis-sq9mx3 ай бұрын
Yani wakiigiza hawa wadada huwa napenda Sanaa ❤❤❤❤
@wondertrainer9027Ай бұрын
Wahudum vibonge wavivuuuu😂😂😂
@ErickmidoMsodock3 ай бұрын
From Japan Kuma moto I love u YANGA bingwa
@adonisalfred89963 ай бұрын
Million mbili kwa siku aisee nipe connection ya mshangaz mmoja
@OmariChanja3 ай бұрын
Kiuhalisia mishangazi kama hiyo haipo, wapo kwnye mafilamu tu!
@samchris19142 ай бұрын
@@OmariChanjaipo Mzee we huoni vijana wanashinda Gym asubuh mpk usiku wakimaliza wanacheck tu movie 😂
@salmamlokela19872 ай бұрын
😂😂😂@@OmariChanja
@theonekulwa3 ай бұрын
Nimecherewa au .Nakubari mzee joti piga kaz br.
@AllenBunzu-x3i2 ай бұрын
Sema joyce wa maneno ya kuambiwa amenenepa
@SwitbertMarcel3 ай бұрын
My best comedian.
@amsiabbas38093 ай бұрын
🤣🤣Kweli Mlewa Kavu sana Daah!!?😂😂 Alivo kua anamchana Daah!!
@RandB_Channel3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 mnapenda mishangazi kumbe roho bado iko kwenye vitoto vidogo😀😀😀
@RutyNatalia-uu5uj3 ай бұрын
Nampenda sana zuu 😊jamannnnnn
@NuruZebedayombise-ie5zb3 ай бұрын
Tunakupenda sanaaaa joti
@IbraPesa2 ай бұрын
Bro nishaih like
@youngyayoo28053 ай бұрын
Kijana mdogo kudate na mishangaz kutàfuta aaahhh
@CollisBill-mu3zp3 ай бұрын
Shida ya wahudumu vibongee ni wavivu😂😂
@nyamiziramadhani42323 ай бұрын
😂😂😂
@cristaezekiel10363 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@WiselightOfficial3 ай бұрын
😂😂😂
@Nyalafu3 ай бұрын
Kumbe ndio wanaomuweka mjini.
@aishafrancis77143 ай бұрын
Kwenye milioni mbili kwa siku mshangzi umetupiga.😂😂😂😂
@immaculatakadyanji59272 ай бұрын
😂😂
@OmaryKhalfani-ko8qx2 ай бұрын
Kubaaaabako Joti unanifanya nacheka mpka natoa mate,,,,,,Eti na angeuona huu,,,,😂😂
@sylviaecke17723 ай бұрын
Wanaume Kama hawa nao wapate funzo from kenya 🇪🇺🇩🇪🇰🇪