JPM: "Mizengo Pinda hazungumzi chochote, hapigi kelele yoyote"

  Рет қаралды 49,137

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Пікірлер: 55
@nancymrs359
@nancymrs359 6 жыл бұрын
Asante mheshimiwa Raisi JP Magufuli. Mola yu nawe.
@josephstephen2047
@josephstephen2047 6 жыл бұрын
Mzee Pinda you're too special hahahaha Magu kajifunze tu kiinglish maana ni tatizo kubwa kwako
@pambanomwadia4946
@pambanomwadia4946 6 жыл бұрын
apige kelele gani xaxa yeye anamaisha mazuri cc walalahoi ndo tunaeteseka
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Mzee huyu alikuwa hapendi watu waongee na kukosoa serikali yake alitaka watu wakae kimya hata kama kuna mambo yanaenda hovyo kwenye serikali bado watu walilazimishwa wasijadili. mtu aliyejitaidi kukosoa alichukuliwa hatua kali na kuonekana kama siyo mzarendo ni msaliti wa nchi. kila siku kwenye vituo vya television, radio,magazeti na media zote alisikika yeye tu
@shafiiislamttv251
@shafiiislamttv251 6 жыл бұрын
Dah TZ tulibet vibaya sana
@professorjoma2364
@professorjoma2364 6 жыл бұрын
Akuprleke kwa mganga ili akazuie damu za watu zisikufwate maana hutalala nini kimemshinda alikokua mamamee
@raphaelkyando7543
@raphaelkyando7543 6 жыл бұрын
haya ndio unayo yapenda watu wakae kimya hata kama kuna mabaya wakae kimya tu
@kinjekitilemsulubiwa1493
@kinjekitilemsulubiwa1493 6 жыл бұрын
Duuuuuuh sababu hakemei ujinga unaoendelea,wa kustaafu yupi na amwachie nani kiti
@emanueljoshua925
@emanueljoshua925 6 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mohamed.hassani9917
@mohamed.hassani9917 6 жыл бұрын
aaah mzee tuache ,sasa watu wote wakae bubu hata kama kuna jambo linakera!!! mficha uchi hazai"
@saidasimba9979
@saidasimba9979 6 жыл бұрын
Mohamed. Hassani useme nn sasa ma..vii kweli wewe
@mohamed.hassani9917
@mohamed.hassani9917 6 жыл бұрын
+Said Asimba shut up Idiot wewe
@rashidkassim7836
@rashidkassim7836 6 жыл бұрын
Hapo kwa kuonekana kijana Mzee baba pinda mh
@khalidunited5978
@khalidunited5978 6 жыл бұрын
kwahiyo kama yeye hasemi nawengine wasiseme kwani wenani lazima wa2 tuseme utake usitake
@njaunestory761
@njaunestory761 6 жыл бұрын
Unacheekesh kweli kwahiyo hupendi tuongeeee
@elinikomniko4411
@elinikomniko4411 6 жыл бұрын
Eti haongei chochote, mbona tunajua ndvyo mnavyotaka
@allanishabakaki3638
@allanishabakaki3638 6 жыл бұрын
nazungumza sincerely
@khamisilukasi7627
@khamisilukasi7627 6 жыл бұрын
uyu mzee atuwezi kumkumbuka kwawema mana alisema wapigwe tu kisa kudai akiyao
@kidubwashaone6092
@kidubwashaone6092 6 жыл бұрын
Atakupa nani kozi mtu mpenda kusifiwa.
@tendwajohn7785
@tendwajohn7785 6 жыл бұрын
Frank Mushi hapo ipo kazi kwahyo wastaafu wasiongee kitu
@coachtemba6002
@coachtemba6002 6 жыл бұрын
Ni vema kutambua ukimya ni hulka na pia kuongea ni hulka. Pindi mwenye hulka ya kunyamaza akaongea kuna mawili. Mosi, akapata kusikilizwa sana kwasababu si kawaida yake na pili, akaonekana anaropokwa. Vivyo hivyo kwa mtu mwenye hulka ya kusema, anaweza onekana ni kawaida yake na anapoamua kunyamaza atapata 'attention' kwamba nini kimemsibu bwana huyu. Hivyo basi, kama kuna wako wa kimya basi tuwatambue na wanaosema maana wote wanamichango muhimu, ila kutatokea ihtilafu kama woote watalazimishwa kuwa wakimya(mkimya+msemaji) au kinyume chake. Natukubali kuwa ni suala la Asili kuwa na pande mbili tofauti zenye mvutano na hii ndio maana alisi ya Muungano 'Unity' na msamiati kuvumiliana ndipo ukazaliwa. Na yeyote mwenye kulitambua hilo, basi anajitengenezea njia ya kukua kifikra, hisia na kwa utu wake kwa ujumla (maendeleo yanazaliwa ). Kinyume na hapo, ni mfarakano na kutokuvumiliana na mwisho wa siku hakuna atakaeshinda bali ni muanguko kwa wote. Hivyo basi ushauri wangu kwako mtukufu Raisi, tambua mchango wa wanaosema na kufikiri tofauti na wewe.
@momembe9980
@momembe9980 6 жыл бұрын
Hasa mizengo pinda mtu ? Hata akiongea atasilikizwa nani
@msafirimwampamba4698
@msafirimwampamba4698 6 жыл бұрын
Mungu akuongezee afya Rais wetu
@gbconline2006
@gbconline2006 6 жыл бұрын
Magu🙏
@allymasenti7974
@allymasenti7974 6 жыл бұрын
Nyie ni wauaji
@richardsimpasa1451
@richardsimpasa1451 6 жыл бұрын
TANGU LINI MSUKULE UKAONGEA! MSUKULE UNAONGEAGA NENO MOJA TU..... "WAPIGWE TU HAO" au mtapigwa tu! Watu wanapotezwa, wanakufa, wanapigwa risasi hadharani na wasiojurikana, maiti kwenye viriba, wizi wa Trilioni 1.5, maisha magumu, watu kufukuzwa kazi kiholela na mengine mengi ya kusikitisha, halafu unataka watu wakae kimya. Nyambafu zako!
@dicksonisakwe3063
@dicksonisakwe3063 6 жыл бұрын
Sa kuful nalo linaongeaga? Hata likchokonolewa, linatulia tu
@mohamedisarafi2025
@mohamedisarafi2025 6 жыл бұрын
Unataka aseme hili humfirisi kama sumaye
@papafikiri
@papafikiri 6 жыл бұрын
Ukifanya fujo....umeambiwa usifanye hivi weae ukakaidi....utapigwa tu
@michaelsayote5451
@michaelsayote5451 6 жыл бұрын
ha ha haaa patamu hapo
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 жыл бұрын
Safi mh magufuli
@hekimaelia3783
@hekimaelia3783 6 жыл бұрын
Acheni kulaumu na kushutumu walaumuni baba zenu na mama zenu ambao awkuwawekea mpango mzuri Wa maisha. Acheni kumtukana kiogozi wetu. Mnalaana nyinyi nyote mnaomtukana kiongozi wanchi na laana hii itawatesa nyinyi na familia zenu na vizazi vyenu kama mmetumwa kutoka kuzimu imekula kwenu Sisi wetu tunampenda Bali nyinyi mnaombeza na kumkashifu mnalaana ya MUNGU inawala.
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 жыл бұрын
Hekima Elia kabisa maneno kuntu kila siku wanalalamikia serikali wapambane na hali zao
@erentjohn1303
@erentjohn1303 6 жыл бұрын
NI KWELI MKUU, SASA UNAMUENZI VIPI HUKU KATAVI TUNASOTA, BARABARA ZA MITAA ZINATIA HURUMA, ZA MIKOWA USISEME .
@afmabeat9567
@afmabeat9567 6 жыл бұрын
Hana cha kusema
@professorjoma2364
@professorjoma2364 6 жыл бұрын
Tumkumbuke kwa lipi hana akili bora tena ww licha hatukutaki
@Hauleshabby
@Hauleshabby 6 жыл бұрын
nenda huko
@hanifarukman9661
@hanifarukman9661 6 жыл бұрын
ujaachaga utoto tu
@joshuamgeni
@joshuamgeni 6 жыл бұрын
Hanifa Rukman 😀😀😀😀...Dah umenichekesha sana
@psterinishayo4270
@psterinishayo4270 6 жыл бұрын
Mzeee wa piga tuuuuuuu
@ramambongo4069
@ramambongo4069 6 жыл бұрын
Mohamed hassan safari hii mficha uchi atazaa tu
@utaani1
@utaani1 6 жыл бұрын
Wauwaji wahalifu wanapongezana
@saidasimba9979
@saidasimba9979 6 жыл бұрын
utaani1 ma..vii wewe
@Madanstars
@Madanstars 6 жыл бұрын
hats Mimi kama pinda au punda
@imamboya9414
@imamboya9414 6 жыл бұрын
piga tu
@abssaleh141
@abssaleh141 6 жыл бұрын
Mzee neng'enekaa weeee lakini kesho kutwa lazima ujue kama watanzania sio wajinga au waoga kama unavyofikiria na wana uchungu na nchi yao
@estaradam4993
@estaradam4993 6 жыл бұрын
Abs Saleh andamana uone moto si umeshavimbiwa makande
@abssaleh141
@abssaleh141 6 жыл бұрын
Estar Adam inawezekana nimevimbiwa makande na nyie mnao taka kuzua haki ya kikatiba mumevimbiwa hela za wananchi
@mayalajames5541
@mayalajames5541 6 жыл бұрын
Abs Saleh Ha ha haaaa, hakuna maandamano bro
@abssaleh141
@abssaleh141 6 жыл бұрын
Mayala James hahaha bro rais mwenyewe anajua kama kuna maandamano.
@abssaleh141
@abssaleh141 6 жыл бұрын
Mayala James nimeamini maneno yako
@ezekielfunuki6402
@ezekielfunuki6402 6 жыл бұрын
Hongera mh. Pinda
@ndarogamba191
@ndarogamba191 6 жыл бұрын
Bora nimkumbuke Pinda lakini siyo wewe!.
Nilipoitwa Ikulu Nilipata Mcheche/Sokoine Ni Balaa--PINDA
12:45
Global TV Online
Рет қаралды 77 М.
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 16 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 61 МЛН
Middle East World Economic Forum 2008 - Mizengo Pinda
9:05
World Economic Forum
Рет қаралды 4,1 М.
"HAPA HAMNA KITU, TUMELIWA"- RAIS MAGUFULI
6:26
Millard Ayo
Рет қаралды 355 М.
Mwone Mizengo Pinda akipambana shambani kutafuta pesa
4:09