"NILIINGIA IKULU MWAKA 1978" MIZENGO PINDA Awachambua Hayati Baba wa Taifa, Mkapa na Mwinyi

  Рет қаралды 38,807

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

"NILIINGIA IKULU MWAKA 1978" MIZENGO PINDA Awachambua Hayati Baba wa Taifa, Mkapa na Mwinyi (PART ONE)
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda wakati ameeleza namna alivyoanza kufanya kazi na serikali hadi kuingia kwenye ulingo wa siasa, ambapo alianza kufanya kazi na serikali katika enzi ya baba wa Taifa tangu mwaka 1978.
Aidha Mstaafu Pinda ameelea namna ambavyo aliweza kufanya kazi kwenye serikali mbili mfululizo ambapo alifanya kazi na Hayati baba wa taifa kwa miaka Nane kabla ya mstaafu mwinyi kuchukua kiti cha urais mwaka 1985
#MizengoPinda
kzbin.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyhowww.yout.... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 24
@frankngoloka8311
@frankngoloka8311 4 жыл бұрын
Hongera pinda kwa uwekezaji huo
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 4 жыл бұрын
Ikulu ulianza na miaka 30 couse umezaliwa 1948 mpaka 1978 ulipoanza,ww ni kiongozi bora hakuna asiyejua utendaji wako Mhe!Ubarikiwe sana
@aaroneu07
@aaroneu07 4 жыл бұрын
Pinda muungwana sana sana. Nakutakia maisha mema Mzee Pinda.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 4 жыл бұрын
Mzee wangu napenda busara zako sana!! Mzee wa watu hana makuu na mtu...
@jaysonlee4091
@jaysonlee4091 2 жыл бұрын
Sorry to be offtopic but does anyone know a trick to log back into an instagram account..? I stupidly lost the login password. I appreciate any tips you can offer me
@emilymwanandenje9989
@emilymwanandenje9989 4 жыл бұрын
Mwatendamataaa waluko, Mizengo Pinda
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Mwandishi hajui historie yetu. Mwinyi hakuleta wazo la serikali huria, lilitoka worldbank na ni moja ya sababu za Mwalimu kung`atuka. Mwinyi alilazimika kuisimamia huo mlengo wa siasa.
@brysonngullo6724
@brysonngullo6724 4 жыл бұрын
Hujui sovereignty ya taifa
@godfreystephano304
@godfreystephano304 4 жыл бұрын
Baba ww ni Mfano God bless you
@shijalameckmpemba4529
@shijalameckmpemba4529 4 жыл бұрын
CV yako iko vzr mweshima kwa kukaa serikarini muda wote huu ,siyo Kama viogozi wegine hata CV Hana lakini anakuwa na kelele nyingi pumuzika kwa amani mkuu usikubali kuhusishwa sana na siasa kuwa mkimya usije bebeshwa lawama waachie nao waliopo kwa muda huu
@samidusadru6709
@samidusadru6709 4 жыл бұрын
Shija lameck Mpemba
@manmacho6529
@manmacho6529 4 жыл бұрын
busara sana big up💘
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Mwaka 78 mzee Pinda ulikuwa na miaka 30 na SIO miaka 40: Hivyo ni Kweli ulikuwa ni kijana sana•
@pastorypatrick9472
@pastorypatrick9472 4 жыл бұрын
Mtangazaji umeuliza maswali ya kisomi sana pia mzee wa kibaoni kajibu kwa busara iliyotukuka
@j.m.illulah4070
@j.m.illulah4070 4 жыл бұрын
Mbona imeishia njiani
@meksonyjoseph8909
@meksonyjoseph8909 4 жыл бұрын
Huyu muheshimiwa uwaga hana makuu .ila kwa speed ya msukuma usinge weza
@maro1351
@maro1351 4 жыл бұрын
Leteni muendelezo jmn
@boniphacejonas4109
@boniphacejonas4109 4 жыл бұрын
Nakumbuka ulikuja mwanza ukaruhusu wamachinga wapigwe tu
@jeremiahalbertbenjaminiben4868
@jeremiahalbertbenjaminiben4868 4 жыл бұрын
30tu nikweli sio ,40
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Hizi documentary hamjazitendea haki. Kama lengo lilikuwa ni siasa mngeweka ya siasa ijitegemee na ishibe. Kama ni ujasiliamali mngefanya watu waone na wajifunze in full. Siyo kuruka ruka. Na mbaya zaidi kwenye ujasiliamali voice quality ni mbaya. Yani mlikuwa na kitu kizuri ila hamjakifanya kwa ukamilifu.
@mapandekoda5121
@mapandekoda5121 4 жыл бұрын
mtangazaji unavutia
@zagaronondo8130
@zagaronondo8130 4 жыл бұрын
MAPANDE KODA we inaonesha we ningosha aka mshamba
@Ba63828
@Ba63828 4 жыл бұрын
ULIKUA NA 30 YRS TU MKUU SIO 40
@khatibabdallah6185
@khatibabdallah6185 4 жыл бұрын
Vizuri sana mzee pinda kwa kweli ntafika dodoma kujifunza uwekezaji wa namna hiyo kwa kweli
"KISIASA MAGUFULI ALINITANGULIA, NI MKALI SANA/ HANA KIGUGUMIZI"
9:44
Global TV Online
Рет қаралды 28 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 525 М.
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 21 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 17 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Historia, Asili Na Maana Ya DAR ES SALAAM, TANGA / ZANZIBAR
14:44
Global TV Online
Рет қаралды 139 М.
GLD Nieuws 3 juli 2024
13:20
Omroep Gelderland
Рет қаралды 2,5 М.
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,8 МЛН
Weidel wünscht sich Trump als US-Präsidenten | ZDF-Sommerinterview 07.07.2024
20:20
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 525 М.